Kitasa hiki kinatumika katika milango ya mageti na chuma...kinafunguka kwa njia ya Password,card,app yake ktk simu,Funguo au Fingerprint. Utakipata kwetu GORDON TECHNOLOGY. Tunauza na kufunga vitasa hivi nchi nzima(Tanzania). Wasiliana Nasi.
Gari in engine 2TR, haijawahi kuguswa Number DNK Ipo kwenye condition nzuri kabisa, ilikuwa inatumika na mwanamke kwa matumizi ya nyumbani tu. Ndani ipo vizuri sana smart radio, rim sport from America sio mchina, ina upgrade ya CNG... Vizuri kuiona kuliko mameno mengi Gari haina udalali