nauza tv yangu TCL inch 43 ni normal sio smart imetumika miez miwili haina kipengele chochote ina remote na box lake bei 550k ????0714572740 ????chanika delivery inafanyika dar na mikoani ✅
Kitasa hiki kina funguka kwa kutumia password,card na alama ya kidole(finger-print). Pia kitasa hiki kinakuja na funguo mbili za kawaida kwa ajili ya matumizi ya ziada. Tunafunga ktk nyumba,ofisi,apartment,hoteli,lodge na maeneo mengine. Unaweza kutupata ktk mitandao yote ya kijamii kwa kuandika neno Gordon Technology na utaona logo yetu yenye jina la Gordon...
hPRICE/BEI:21.8M PREMIO F NEW MODEL YEAR:2009 ENGINE CAPACITY:1490Cc ENGINE CODE:1NZ KILOMETER:60,000 AUTOMATIC TRANSMISSION ANDROID RADIO,CLEAN SEATS,SPORTS RIMS,NEW TYRES,FOG LIGHTS COLOUR: SILVER VERY GOOD CONDITION✅
Apartment inapangishwa buswelu center -ina vyumba viwili vya kulala ( kimoja ni self ), sebule, jiko na public toilet -kodi Milioni 2 kwa mwaka -malipo ni miezi sita -umeme na maji unajitegemea Nyumba ya 2 kutoka barabara ya lami 0743220097