Nauza shamba la umwagiliaji hekari 50 shamba lipo kijiji cha Wami Mkoko kata ya Msata lipo umbali wa kilometa 15 kutoka lami mpaka shamba Gar linafika mpaka Shamba bei kwa kila Eka moja ni 1.2M milion moja na laki mbili
Read more
Description
Nauza shamba la umwagiliaji hekari 50 shamba lipo kijiji cha Wami Mkoko kata ya Msata lipo umbali wa kilometa 15 kutoka lami mpaka shamba Gar linafika mpaka Shamba bei kwa kila Eka moja ni 1.2M milion moja na laki mbili
Mashine ya kuchanganya chakula cha kuku ipo katika hali nzuri sana, Bei ni Tsh 6,000,000/- tu. Ina uwezo wa kuzalisha chakula cha kuku nusu tani kwa saa. Na utapata kila kitu na motor pia. Karibu sana mteja.