Nauza friza yangu ya Exquisite (Lita 200) ambayo nimeitumia kwa muda mrefu na bado ni nzima kabisa. Nimeamua kuiuza ili kupata nafasi zaidi ofisini kwangu kwa ajili ya maboresho. Sifa na Hali ya Friza: 1. Uwezo: Inagandisha vizuri sana na kwa haraka, inafaa sana kwa biashara ya vinywaji au vitu vya kugandisha. 2. Compressor Imara: Kama unavyoona kwenye picha...
NYUMBA INAUZWA IPO IRINGA MJINI IPO KARIBU NA OFFICE ZA MANISPAA IRINGA KATA YA GANGILONGA NAKUKUHAKIKISHIA NI YA KISASA IMEJENGWA NA WA ISRAEL NA RAMANI KUTOKA ISRAEL
KIUKWEL WENGI WALIZOEA ZILE MASHINE NYINGINE ILA HII NI ZAIDI NA BORA KWA MATUMIZI YAKO YA KILA SIKU IKIWA NYUMBANI KWANZA INATUMIA UMEME MDOGO PILI NI RAHISI KUTUMIA-(Simple)... Wahi Sasa tupa Order yako Mapema tukufanyie FREE DELIVERY BUREE POPOTE ULIPO NCHINI 📩 Au tupigie hivi Sasa kupitia WhatsApp namba yetu, ☎️0759065148... Karibun Sanaa,🙏🏻 Kwanini Utes...
Home & FurnitureKariakoo,Ilala,Dar,es, Salaam,Tanzania
Nyumba inauzwa 300M. (Sqm600) . Mbagala kizuiyani barabarani pembeni ya Mahakama ya kuu mbagala na soko la kizuiyani. Nyumba ina Hati miliki, ina fremu 5 za biashara na Vyumba 5 vya kulala, Eneo ni kubwa, unaweza kujenga gorofa, ukumbi, apartment au fremu za kisasa mana eneo ni la biashara. Nyumba Haina Kipengele Chochote. Mawasiliano O654542366 Mmiliki, kar...