Shamba linauzwa Kiwangwa masuguru shamba lina hati na lina ukubwa 10 pia shamba limegusa barabara kuu ya lami Bagamoyo to msata road bei ni milioni 15 kwa heka moja pia unaweza kupiga simu namba 0659628665 kwa maelezo zaidi
NYUMBA INAUZWA IPO IRINGA MJINI IPO KARIBU NA OFFICE ZA MANISPAA IRINGA KATA YA GANGILONGA NAKUKUHAKIKISHIA NI YA KISASA IMEJENGWA NA WA ISRAEL NA RAMANI KUTOKA ISRAEL
Shamba linauzwa lipo mbwewe pwani lina ukubwa wa heka 50 lipo umbali wa kilometa 4kutoka barabara kuu ya lami eneo ni zuri sana bei ni laki nne tu kwa heka moja pia unaweza kupiga simu namba 0659628662 kwa maelezo zaidi.
Nikochi Zurich sana linanyama unaweza hata kulala unatoa tu mito, wanakaa watu wanne kama wanamwili,linetumika miezi sita limetumika kiustaarabu wahari yajuu,bado jipya
Kiwanja kinauzwa Karanga, Moshi, Kilimandjaro. mita za mraba 617. Imechunguzwa kikamilifu. Ugavi wa Maji na Ugavi wa Umeme umefungwa kwa kiwanja. Mahali tulivu sana. Dakika 5 kutoka Moshi center. Ikiwa una nia, utakuwa ukinunua kiwanja moja kwa moja kutoka kwa mmiliki. Kwa maelezo zaidi, tafadhali wasiliana nami kupitia nambari 0716848756 / 0756340506, asant...