Presha ya kupanda/Presha ya kushuka/Dalili za Presha/Tiba Asili Ya Presha.

TZS 69,999
Health, Beauty & Fitness
1 year
Tanzania
Dar es Salaam
Ilala
3000
2347 views
SKU: 2193
Published 1 year ago by Nutr Sood
TZS 69,999
3000, Ilala, Dar es Salaam, Tanzania
Get directions →
2347 item views
Presha(Shinikizo la Damu) ni msukumo wa damu kwenye vishipa vya damu, msukumo huo huzalishwa baada ya moyo kusukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.

Aina za Presha.

Zipo aina kuu mbili za presha, yaani;
(I) PRESHA YA KUPANDA
(II) PRESHA YA KUSHUKA.

PRESHA YA KUPANDA.

Presha ya kupanda ni msukumo wa damu unaosukumwa na moyo kwenda kwenye vishipa vya damu (artery) kuwa mkubwa kuliko njia ya mishipa hiyo.
Presha itaitwa kuwa presha ya kupanda ikiwa iko juu zaidi ya presha ya kawaida ambayo ni 120/80mmHg au kwa lugha nyingine wataalam wanasema ikiwa juu ya 140mmHg systolic blood pressure.Presha yaweza kupanda mpaka kufikia 240/120mmHg.


Sababu Kuu Za Kupanda Kwa Presha.

(i) Utumiaji wa chumvi nyingi kwenye chakula.

(ii) Unywaji wa pombe/sigara uliokithiri.

(iii) Msongo wa mawazo na kutokufanya mazoezi

(iv) Familia zenye matatizo ya moyo pamoja na kurithi.

(v) uzito mkubwa,unene na kitambi.



Dalili Za Presha Ya Kupanda.

(I) Kushikwa na kizunguzungu.

(II) Kichefuchefu, tumbo kujaa na kutapika kusiko kwa kawaida.

(iii) Kuvimba/kujaa maji kwa miguu,uso na mikono.

(iv)Kutokuona vizuri (kuona ukungu).


Madhara Yatokanayo Na Presha Ya Kupanda.

1️⃣ Uvimbe kwenye kuta za vishipa vya damu/kuziba kwa mishipa ya damu(artery) inayopelekea shambulio la moyo (Heart attack).

2️⃣Moyo kushindwa kusukuma damu (Heart failure).

3️⃣Kiharusi(stroke).

4️⃣ Kuharibika kwa figo pamoja na kupata shida ya moyo kutanuka.

Kwa upande mwingine;


PRESHA YA KUSHUKA.

Presha ya kushuka ni ile hali msukumo wa damu unakuwa mdogo kuliko upana (unene) wa vishipa vya damu hali inayopelekea damu chache kufika kwenye ubongo na viungo vingine vya mwili.

Presha ikishuka mpaka kufikia 90/60mmHg kutokea 120/80mmHg inatafsiriwa kama presha iliyoshuka.


Presha ya kushuka huchangiwa hasaa na moja ya sababu zifuatazo;

➡️Matatizo ya homoni.

➡️Maradhi ya moyo pamoja na matatizo ya vishipa vya damu.

➡️Kuwa na ugonjwa wa Kisukari.

➡️Kubeba Ujauzito.

➡️Ukosefu wa virutubisho mwilini kama vile protini,madini ya chuma,Vitamin B-12 n.k

➡️Kushikwa na hasira pamoja na msongo wa mawazo/matatizo ya hofu na wasi wasi.


Na moja ya dalili za presha ya kushuka ni kama vile;

➡️Mchoko(udhaifu), mwili kukosa nguvu na kuhisi kizunguzungu.

➡️Maumivu ya kifua pamoja na homa kali.

➡️Kupumua kwa shida na moyo kwenda mbio (mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida).

➡️Maumivu kwenye kifua, bega la kushoto pamoja na kiwiko cha mkono.

Moja ya madhara yanayotajwa yatokanayo na presha ya kushuka ni pamoja na mshtuko/kifo cha ghafla kunakotokana na viungo vya mwili kutokupata oxygen ya kutosha.


Epuka,dhibiti moja ya mambo yafuatayo ikiwa unasumbuliwa na tatizo la presha (aina zote) pamoja na athari zitokanazo na magonjwa ya moyo.

1.Kupata wasaa wa kufanya mazoezi ya viungo, kukimbilia au kuendesha baiskeli (wastani wa dk 45 kwa siku)

2.Epuka matumizi ya sigara, pombe na matumizi mengine ya madawa kama Heroine

3.Tumia kiasi sahihi cha chumvi, sukari au mafuta kwenye chakula chako(Sikiliza miongozo ya wataalamu).

4.Pata wasaa wa kupumzika (Zaidi ya saa 8 kwa siku)

5.Punguza unene au uzito uriokithiri.

Muhimu zaidi;

_Ipo mimea tiba yenye uwezo wa ajabu katika kutibu matatizo ya presha na kuondoa athari zitokanazo na magonjwa ya moyo.

_Dawa hii utaitumia kwa muda wa siku 6 hadi 10 tu,zitatosha kuondoa na kumaliza kabisa tatizo lako la presha.Presha kwa siku 6 hadi 10, tafsiri yake dawa inafanya kazi kwa haraka sanaaa na inatoa matokeo kwa haraka.

Nakukaribisha tena kupata suluhisho la tatizo lako.

Kwa ushauri,maoni pamoja na msaada wa kimatibabu, wasiliana nami kwa namba;

Call/sms/whatsaap

0678640098.
Ilala,Dsm&Morogoro mjini. Read more

Description

Presha(Shinikizo la Damu) ni msukumo wa damu kwenye vishipa vya damu, msukumo huo huzalishwa baada ya moyo kusukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.

Aina za Presha.

Zipo aina kuu mbili za presha, yaani;
(I) PRESHA YA KUPANDA
(II) PRESHA YA KUSHUKA.

PRESHA YA KUPANDA.

Presha ya kupanda ni msukumo wa damu unaosukumwa na moyo kwenda kwenye vishipa vya damu (artery) kuwa mkubwa kuliko njia ya mishipa hiyo.
Presha itaitwa kuwa presha ya kupanda ikiwa iko juu zaidi ya presha ya kawaida ambayo ni 120/80mmHg au kwa lugha nyingine wataalam wanasema ikiwa juu ya 140mmHg systolic blood pressure.Presha yaweza kupanda mpaka kufikia 240/120mmHg.


Sababu Kuu Za Kupanda Kwa Presha.

(i) Utumiaji wa chumvi nyingi kwenye chakula.

(ii) Unywaji wa pombe/sigara uliokithiri.

(iii) Msongo wa mawazo na kutokufanya mazoezi

(iv) Familia zenye matatizo ya moyo pamoja na kurithi.

(v) uzito mkubwa,unene na kitambi.



Dalili Za Presha Ya Kupanda.

(I) Kushikwa na kizunguzungu.

(II) Kichefuchefu, tumbo kujaa na kutapika kusiko kwa kawaida.

(iii) Kuvimba/kujaa maji kwa miguu,uso na mikono.

(iv)Kutokuona vizuri (kuona ukungu).


Madhara Yatokanayo Na Presha Ya Kupanda.

1️⃣ Uvimbe kwenye kuta za vishipa vya damu/kuziba kwa mishipa ya damu(artery) inayopelekea shambulio la moyo (Heart attack).

2️⃣Moyo kushindwa kusukuma damu (Heart failure).

3️⃣Kiharusi(stroke).

4️⃣ Kuharibika kwa figo pamoja na kupata shida ya moyo kutanuka.

Kwa upande mwingine;


PRESHA YA KUSHUKA.

Presha ya kushuka ni ile hali msukumo wa damu unakuwa mdogo kuliko upana (unene) wa vishipa vya damu hali inayopelekea damu chache kufika kwenye ubongo na viungo vingine vya mwili.

Presha ikishuka mpaka kufikia 90/60mmHg kutokea 120/80mmHg inatafsiriwa kama presha iliyoshuka.


Presha ya kushuka huchangiwa hasaa na moja ya sababu zifuatazo;

➡️Matatizo ya homoni.

➡️Maradhi ya moyo pamoja na matatizo ya vishipa vya damu.

➡️Kuwa na ugonjwa wa Kisukari.

➡️Kubeba Ujauzito.

➡️Ukosefu wa virutubisho mwilini kama vile protini,madini ya chuma,Vitamin B-12 n.k

➡️Kushikwa na hasira pamoja na msongo wa mawazo/matatizo ya hofu na wasi wasi.


Na moja ya dalili za presha ya kushuka ni kama vile;

➡️Mchoko(udhaifu), mwili kukosa nguvu na kuhisi kizunguzungu.

➡️Maumivu ya kifua pamoja na homa kali.

➡️Kupumua kwa shida na moyo kwenda mbio (mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida).

➡️Maumivu kwenye kifua, bega la kushoto pamoja na kiwiko cha mkono.

Moja ya madhara yanayotajwa yatokanayo na presha ya kushuka ni pamoja na mshtuko/kifo cha ghafla kunakotokana na viungo vya mwili kutokupata oxygen ya kutosha.


Epuka,dhibiti moja ya mambo yafuatayo ikiwa unasumbuliwa na tatizo la presha (aina zote) pamoja na athari zitokanazo na magonjwa ya moyo.

1.Kupata wasaa wa kufanya mazoezi ya viungo, kukimbilia au kuendesha baiskeli (wastani wa dk 45 kwa siku)

2.Epuka matumizi ya sigara, pombe na matumizi mengine ya madawa kama Heroine

3.Tumia kiasi sahihi cha chumvi, sukari au mafuta kwenye chakula chako(Sikiliza miongozo ya wataalamu).

4.Pata wasaa wa kupumzika (Zaidi ya saa 8 kwa siku)

5.Punguza unene au uzito uriokithiri.

Muhimu zaidi;

_Ipo mimea tiba yenye uwezo wa ajabu katika kutibu matatizo ya presha na kuondoa athari zitokanazo na magonjwa ya moyo.

_Dawa hii utaitumia kwa muda wa siku 6 hadi 10 tu,zitatosha kuondoa na kumaliza kabisa tatizo lako la presha.Presha kwa siku 6 hadi 10, tafsiri yake dawa inafanya kazi kwa haraka sanaaa na inatoa matokeo kwa haraka.

Nakukaribisha tena kupata suluhisho la tatizo lako.

Kwa ushauri,maoni pamoja na msaada wa kimatibabu, wasiliana nami kwa namba;

Call/sms/whatsaap

0678640098.
Ilala,Dsm&Morogoro mjini.

Safety Tips

  • Never make a payment or provide personal information until you have verified the seller and the electronic device in person.
  • Be cautious of sellers asking for advance payments before you meet and inspect the device.
  • Always test the electronic device to ensure it is fully functional before making a purchase learn about device faults on this page.
  • Make sure to meet in a safe, public place when dealing with sellers.
Print
Report

Recently viewed

Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 1 month
Pro Other Ilala Dar es Salaam 1 month
taekwondo Uniform
TZS 185,000
taekwondo Uniform
Dar es Salaam
taekwondo Uniform Price : 185,000Tshs Call / Whatsapp : 0627774377
New Other
TZS 185,000
Samson Joel Samson Joel Saturday 09:53
Cars Ubungo Dar es Salaam Saturday 09:53
Rav 4. 2003
TZS 11,000,000
Rav 4. 2003
Dar es Salaam
*TOYOTA RAV4* Kill time CC1790 Year 2003 Color white Full documents *Price M11*
Used Exchange Allowed Cars 9070 Dsm
TZS 11,000,000
Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 1 year
TOWER KSTAR YDC3310S UPS-Online, 10KVA/9000W,
TZS 7,000,000
TOWER KSTAR YDC3310S UPS-Online, 10KVA/9000W,
Dar es Salaam
TOWER KSTAR YDC3310S UPS-Online, 10KVA/9000W, Three Phase LCD display, 400V/50Hz, Terminal slot in & output, Multiple communication interface: USB RS232, RS485, Parallel port, Dry, contact, Intelligent slot, with 2 years Warranty Price : 7million Tshs Call / Whatsapp : 0627774377
Everything
TZS 7,000,000
Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 1 year
Lanha 4-Stroke Engine Backpack Petrol Leaf Blower,
TZS 900,000
Lanha 4-Stroke Engine Backpack Petrol Leaf Blower,
Dar es Salaam
Lanha 4-Stroke Engine Backpack Petrol Leaf Blower, Price : 900,000Tshs Call / Whatsapp : 0627774377
Everything
TZS 900,000
Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 1 year
Sony Hometheatre D40
TZS 730,000
Sony Hometheatre D40
Dar es Salaam
Sony Hometheatre D40 Price : 730.000Tshs Call / Whatsapp : 0627774377
Everything
TZS 730,000
Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 1 year
Vackson Concrete mixer Diesel water cooling 500lts for
TZS 10,000,000
Vackson Concrete mixer Diesel water cooling 500lts for
Dar es Salaam
Vackson Concrete mixer Diesel water cooling 500lts Price : 10 million Tshs Call / Whatsapp : 0627774377
Everything
TZS 10,000,000
Samson Joel Samson Joel Saturday 14:07
Cars Ubungo Dar es Salaam Saturday 14:07
Jimny. 2006
TZS 13,000,000
Jimny. 2006
Dar es Salaam
1000cc Automatic Green black 4wd
Used Exchange Allowed Cars 9070 Dsm
TZS 13,000,000
Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 1 year
Yamaha DM-105 YM-9002 MICROPHONE
TZS 95,000
Yamaha DM-105 YM-9002 MICROPHONE
Dar es Salaam
Yamaha DM-105 YM-9002 MICROPHONE Price : 95,000Tshs Call / Whatsapp : 0627774377
Everything
TZS 95,000
Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 1 year
Sony HomeTheatre D20
TZS 630,000
Sony HomeTheatre D20
Dar es Salaam
Sony HomeTheatre D20 Price : 630,000Tshs Call / Whatsapp : 0627774377
Everything
TZS 630,000
Are you a professional seller? Create an account