Presha ya kupanda/Presha ya kushuka/Dalili za Presha/Tiba Asili Ya Presha.

TZS 69,999
Health, Beauty & Fitness
2 years
Tanzania
Dar es Salaam
Ilala
3000
3187 views
SKU: 2193
Published 2 years ago by Nutr Sood
TZS 69,999
3000, Ilala, Dar es Salaam, Tanzania
Get directions →
3187 item views
Presha(Shinikizo la Damu) ni msukumo wa damu kwenye vishipa vya damu, msukumo huo huzalishwa baada ya moyo kusukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.

Aina za Presha.

Zipo aina kuu mbili za presha, yaani;
(I) PRESHA YA KUPANDA
(II) PRESHA YA KUSHUKA.

PRESHA YA KUPANDA.

Presha ya kupanda ni msukumo wa damu unaosukumwa na moyo kwenda kwenye vishipa vya damu (artery) kuwa mkubwa kuliko njia ya mishipa hiyo.
Presha itaitwa kuwa presha ya kupanda ikiwa iko juu zaidi ya presha ya kawaida ambayo ni 120/80mmHg au kwa lugha nyingine wataalam wanasema ikiwa juu ya 140mmHg systolic blood pressure.Presha yaweza kupanda mpaka kufikia 240/120mmHg.


Sababu Kuu Za Kupanda Kwa Presha.

(i) Utumiaji wa chumvi nyingi kwenye chakula.

(ii) Unywaji wa pombe/sigara uliokithiri.

(iii) Msongo wa mawazo na kutokufanya mazoezi

(iv) Familia zenye matatizo ya moyo pamoja na kurithi.

(v) uzito mkubwa,unene na kitambi.



Dalili Za Presha Ya Kupanda.

(I) Kushikwa na kizunguzungu.

(II) Kichefuchefu, tumbo kujaa na kutapika kusiko kwa kawaida.

(iii) Kuvimba/kujaa maji kwa miguu,uso na mikono.

(iv)Kutokuona vizuri (kuona ukungu).


Madhara Yatokanayo Na Presha Ya Kupanda.

1️⃣ Uvimbe kwenye kuta za vishipa vya damu/kuziba kwa mishipa ya damu(artery) inayopelekea shambulio la moyo (Heart attack).

2️⃣Moyo kushindwa kusukuma damu (Heart failure).

3️⃣Kiharusi(stroke).

4️⃣ Kuharibika kwa figo pamoja na kupata shida ya moyo kutanuka.

Kwa upande mwingine;


PRESHA YA KUSHUKA.

Presha ya kushuka ni ile hali msukumo wa damu unakuwa mdogo kuliko upana (unene) wa vishipa vya damu hali inayopelekea damu chache kufika kwenye ubongo na viungo vingine vya mwili.

Presha ikishuka mpaka kufikia 90/60mmHg kutokea 120/80mmHg inatafsiriwa kama presha iliyoshuka.


Presha ya kushuka huchangiwa hasaa na moja ya sababu zifuatazo;

➡️Matatizo ya homoni.

➡️Maradhi ya moyo pamoja na matatizo ya vishipa vya damu.

➡️Kuwa na ugonjwa wa Kisukari.

➡️Kubeba Ujauzito.

➡️Ukosefu wa virutubisho mwilini kama vile protini,madini ya chuma,Vitamin B-12 n.k

➡️Kushikwa na hasira pamoja na msongo wa mawazo/matatizo ya hofu na wasi wasi.


Na moja ya dalili za presha ya kushuka ni kama vile;

➡️Mchoko(udhaifu), mwili kukosa nguvu na kuhisi kizunguzungu.

➡️Maumivu ya kifua pamoja na homa kali.

➡️Kupumua kwa shida na moyo kwenda mbio (mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida).

➡️Maumivu kwenye kifua, bega la kushoto pamoja na kiwiko cha mkono.

Moja ya madhara yanayotajwa yatokanayo na presha ya kushuka ni pamoja na mshtuko/kifo cha ghafla kunakotokana na viungo vya mwili kutokupata oxygen ya kutosha.


Epuka,dhibiti moja ya mambo yafuatayo ikiwa unasumbuliwa na tatizo la presha (aina zote) pamoja na athari zitokanazo na magonjwa ya moyo.

1.Kupata wasaa wa kufanya mazoezi ya viungo, kukimbilia au kuendesha baiskeli (wastani wa dk 45 kwa siku)

2.Epuka matumizi ya sigara, pombe na matumizi mengine ya madawa kama Heroine

3.Tumia kiasi sahihi cha chumvi, sukari au mafuta kwenye chakula chako(Sikiliza miongozo ya wataalamu).

4.Pata wasaa wa kupumzika (Zaidi ya saa 8 kwa siku)

5.Punguza unene au uzito uriokithiri.

Muhimu zaidi;

_Ipo mimea tiba yenye uwezo wa ajabu katika kutibu matatizo ya presha na kuondoa athari zitokanazo na magonjwa ya moyo.

_Dawa hii utaitumia kwa muda wa siku 6 hadi 10 tu,zitatosha kuondoa na kumaliza kabisa tatizo lako la presha.Presha kwa siku 6 hadi 10, tafsiri yake dawa inafanya kazi kwa haraka sanaaa na inatoa matokeo kwa haraka.

Nakukaribisha tena kupata suluhisho la tatizo lako.

Kwa ushauri,maoni pamoja na msaada wa kimatibabu, wasiliana nami kwa namba;

Call/sms/whatsaap

0678640098.
Ilala,Dsm&Morogoro mjini. Read more

Description

Presha(Shinikizo la Damu) ni msukumo wa damu kwenye vishipa vya damu, msukumo huo huzalishwa baada ya moyo kusukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.

Aina za Presha.

Zipo aina kuu mbili za presha, yaani;
(I) PRESHA YA KUPANDA
(II) PRESHA YA KUSHUKA.

PRESHA YA KUPANDA.

Presha ya kupanda ni msukumo wa damu unaosukumwa na moyo kwenda kwenye vishipa vya damu (artery) kuwa mkubwa kuliko njia ya mishipa hiyo.
Presha itaitwa kuwa presha ya kupanda ikiwa iko juu zaidi ya presha ya kawaida ambayo ni 120/80mmHg au kwa lugha nyingine wataalam wanasema ikiwa juu ya 140mmHg systolic blood pressure.Presha yaweza kupanda mpaka kufikia 240/120mmHg.


Sababu Kuu Za Kupanda Kwa Presha.

(i) Utumiaji wa chumvi nyingi kwenye chakula.

(ii) Unywaji wa pombe/sigara uliokithiri.

(iii) Msongo wa mawazo na kutokufanya mazoezi

(iv) Familia zenye matatizo ya moyo pamoja na kurithi.

(v) uzito mkubwa,unene na kitambi.



Dalili Za Presha Ya Kupanda.

(I) Kushikwa na kizunguzungu.

(II) Kichefuchefu, tumbo kujaa na kutapika kusiko kwa kawaida.

(iii) Kuvimba/kujaa maji kwa miguu,uso na mikono.

(iv)Kutokuona vizuri (kuona ukungu).


Madhara Yatokanayo Na Presha Ya Kupanda.

1️⃣ Uvimbe kwenye kuta za vishipa vya damu/kuziba kwa mishipa ya damu(artery) inayopelekea shambulio la moyo (Heart attack).

2️⃣Moyo kushindwa kusukuma damu (Heart failure).

3️⃣Kiharusi(stroke).

4️⃣ Kuharibika kwa figo pamoja na kupata shida ya moyo kutanuka.

Kwa upande mwingine;


PRESHA YA KUSHUKA.

Presha ya kushuka ni ile hali msukumo wa damu unakuwa mdogo kuliko upana (unene) wa vishipa vya damu hali inayopelekea damu chache kufika kwenye ubongo na viungo vingine vya mwili.

Presha ikishuka mpaka kufikia 90/60mmHg kutokea 120/80mmHg inatafsiriwa kama presha iliyoshuka.


Presha ya kushuka huchangiwa hasaa na moja ya sababu zifuatazo;

➡️Matatizo ya homoni.

➡️Maradhi ya moyo pamoja na matatizo ya vishipa vya damu.

➡️Kuwa na ugonjwa wa Kisukari.

➡️Kubeba Ujauzito.

➡️Ukosefu wa virutubisho mwilini kama vile protini,madini ya chuma,Vitamin B-12 n.k

➡️Kushikwa na hasira pamoja na msongo wa mawazo/matatizo ya hofu na wasi wasi.


Na moja ya dalili za presha ya kushuka ni kama vile;

➡️Mchoko(udhaifu), mwili kukosa nguvu na kuhisi kizunguzungu.

➡️Maumivu ya kifua pamoja na homa kali.

➡️Kupumua kwa shida na moyo kwenda mbio (mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida).

➡️Maumivu kwenye kifua, bega la kushoto pamoja na kiwiko cha mkono.

Moja ya madhara yanayotajwa yatokanayo na presha ya kushuka ni pamoja na mshtuko/kifo cha ghafla kunakotokana na viungo vya mwili kutokupata oxygen ya kutosha.


Epuka,dhibiti moja ya mambo yafuatayo ikiwa unasumbuliwa na tatizo la presha (aina zote) pamoja na athari zitokanazo na magonjwa ya moyo.

1.Kupata wasaa wa kufanya mazoezi ya viungo, kukimbilia au kuendesha baiskeli (wastani wa dk 45 kwa siku)

2.Epuka matumizi ya sigara, pombe na matumizi mengine ya madawa kama Heroine

3.Tumia kiasi sahihi cha chumvi, sukari au mafuta kwenye chakula chako(Sikiliza miongozo ya wataalamu).

4.Pata wasaa wa kupumzika (Zaidi ya saa 8 kwa siku)

5.Punguza unene au uzito uriokithiri.

Muhimu zaidi;

_Ipo mimea tiba yenye uwezo wa ajabu katika kutibu matatizo ya presha na kuondoa athari zitokanazo na magonjwa ya moyo.

_Dawa hii utaitumia kwa muda wa siku 6 hadi 10 tu,zitatosha kuondoa na kumaliza kabisa tatizo lako la presha.Presha kwa siku 6 hadi 10, tafsiri yake dawa inafanya kazi kwa haraka sanaaa na inatoa matokeo kwa haraka.

Nakukaribisha tena kupata suluhisho la tatizo lako.

Kwa ushauri,maoni pamoja na msaada wa kimatibabu, wasiliana nami kwa namba;

Call/sms/whatsaap

0678640098.
Ilala,Dsm&Morogoro mjini.

Safety Tips

  • Never make a payment or provide personal information until you have verified the seller and the electronic device in person.
  • Be cautious of sellers asking for advance payments before you meet and inspect the device.
  • Always test the electronic device to ensure it is fully functional before making a purchase learn about device faults on this page.
  • Make sure to meet in a safe, public place when dealing with sellers.
Print
Report

Recently viewed

TRUST RECOVERIES LIMITED Pro TRUST RECOVERIES LIMITED 1 year
Nyumba
TZS 70,000,000
Nyumba
Mbeya
NYUMBA INAUZWA ipo isiyese mbeya mjini mtaa wa nyondo inadaiwa na bank ya Akiba commercial bank
Houses & Apartments for Sale Isiyese
TZS 70,000,000
Samson Joel
Samson Joel 6 months
Harrier. 2014
TZS 58,000,000
Harrier. 2014
Dar es Salaam
Make: TOYOTA Model: HARRIER Year of manufacture : 2014 Cc: 2000 Fuel: Petrol Color: White Low mileage Leather seats - Modelista Kit Price: 58,000,000
Used Exchange Allowed Cars 9070 Dsm
TZS 58,000,000
7tronic Sezary store 7tronic Sezary store 8 months
Mr UK Fridge Showcase
TZS 410,000
Mr UK Fridge Showcase
Dar es Salaam
Fridge showcase 46 Lita 92 Design: Double-door configuration with a sleek silver colour. Capacity: Total of 92 litres (67L fridge and 25L freezer). Dimensions: Width: 48 cm, Depth: 50 cm, Height: 85 cm. Lighting: Equipped with an interior LED light for clear visibility. Storage: Includes a crystal crisper drawer, crystal door balconies, and glass partitionin...
New Other Electronics Masasi
TZS 410,000
Excela Joshua Excela Joshua 1 year
NYUMBA INAUZWA GOBA KULANGWA
TZS 89,000,000
NYUMBA INAUZWA GOBA KULANGWA
Dar es Salaam
NYUMBA INAUZWA GOBA KULANGWA, IKO KILOMITA 1.5 TOKA BARABARA KUU LOC : GOBA KULANGWA AREA :SQM 850 PRICE : MIL 89 UMILIKI HATI CONT. CALL Whatsapp &sms +255715090904 kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>> https://wa.me/255715090904 Insta @excela_and_properties SIFA:- -3MASTER BEDROOMS -KITCHEN -STORE -DINNING -SITTING ROOM -PUBLIC TOILET HUDUMA ZOT...
Houses & Apartments for Sale Goba Kulangwa
TZS 89,000,000
Winfred Mwakalinga Winfred Mwakalinga 1 year
Nyumba inauzwa kimara golani
TZS 22,000,000
Nyumba inauzwa kimara golani
Dar es Salaam
Nyumba inauzwa kimara golani inavyumba vitatu vya kulala kimoja ni master,choo na sebule karibu sana piga simu unampata muhusika Moja Kwa moja.
Houses & Apartments for Sale 10797
TZS 22,000,000
Bongo chicks company ltd Pro Bongo chicks company ltd 1 year
MASHINE YA KUANGULIA MAYAI / FULL AUTOMATIC EGG INCUBATORS FOR SALE IN TANZANIA
TZS 4,570,000
MASHINE YA KUANGULIA MAYAI / FULL AUTOMATIC EGG INCUBATORS FOR SALE IN TANZANIA
Dar es Salaam
BONGO CHICKS COMPANY LTD. {Quality matters first} ;WATENGEZAJI NA WASAMBAZAJI WA MASHINE ZA KUTOTOLESHEA VIFARANGA !!! MASHINE ZETU NI FULLY AUTOMATIC MA ZINA GUARANTEE YA MWAKA MIWILI !!! BEI ELEKEZI KWA MASHINE ZETU: MAYAI 60 (60 Eggs)=@450,000/=Tshs. MAYAI 90 (90 Eggs)=@570,000/=Tshs. MAYAI 120 (120 Eggs)=@620,000/=Tshs. MAYAI 180 (180 Eggs)=@750,000/=Tsh...
Other Gongolamboto
TZS 4,570,000
Excela Joshua Excela Joshua 1 year
NYUMBA INAUZWA KIMARA SUKA GOLANI
TZS 55,000,000
NYUMBA INAUZWA KIMARA SUKA GOLANI
Dar es Salaam
NYUMBA INAUZWA KIMARA SUKA GOLANI LOC : KIMARA SUKA GOLANI AREA :SQM 500 PRICE : MIL 55 UMILIKI : KARATASI YA SERIKALI YA MTAA CONT. CALL Whatsapp &sms +255715090904 kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>> https://wa.me/255715090904 Insta @excela_and_properties . SIFA:- . -3BEDROOMS 1MASTER -SITTING ROOM -KITCHEN WITH STORE -PUBLIC TOILET -FENCED HU...
Houses & Apartments for Sale Kimara Suka Golani
TZS 55,000,000
Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 11 months
Zoom sound H1 Clean Bei 28k
TZS 320,000
Zoom sound H1 Clean Bei 28k
Dar es Salaam
Zoom sound H1 Clean Bei 28k Price: 320,000Tsh Call/Whatsapp: 0627774377
Everything
TZS 320,000
Christopher Charles Christopher Charles 1 year
Best Hotel Amenities In Tanzania
TZS 600
Best Hotel Amenities In Tanzania
Morogoro
Tunauza Bidhaa za hotel zenye ubora wa juu kwa bei kitonga. Tupigie tuzungumze. hautajutia kufanya biashara nasi
Other Lotos Building, Opposite Morogoro Municipal Offices
TZS 600
Empire tronix Pro Empire tronix 2 years
JBL Charge 5 Portable Bluetooth Speaker – 20 Hours Playtime
TZS 400,000
JBL Charge 5 Portable Bluetooth Speaker – 20 Hours Playtime
Dar es Salaam
JBL Charge 5 Portable Bluetooth Speaker – Empire Tronix Experience premium sound and portability with the JBL Charge 5 Portable Bluetooth Speaker from Empire Tronix. Designed for music lovers and adventurers, the Charge 5 delivers crystal-clear sound, powerful bass, and all-day playtime, making it the perfect companion for any occasion. Whether you're hostin...
Other Electronics Kinondoni Dar Es Salaam
TZS 400,000
Excela Joshua Excela Joshua 1 year
NYUMBA INAUZWA BOKO BEACH
TZS 170,000,000
NYUMBA INAUZWA BOKO BEACH
Dar es Salaam
NYUMBA NZURI SANA NA YA KISASA INAUZWA BOKO BEACH. IKO KWENYE MTAA ULIOPANGIKA VIZIRI SANA LOC :BOKO BEACH AREA :SQM 700 PRICE : MIL 170 UMILIKI:HATI CONT. CALL Whatsapp &sms +255715090904 kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>> https://wa.me/255715090904 Insta @excela_and_properties SIFA:- -VYUMBA VITATU VYA KULALA, 1 NI MASTER -SEBULE -DINNING -JI...
Houses & Apartments for Sale Boko Beach
TZS 170,000,000
Raul Liya Raul Liya 1 year
Nissan
TZS 25,000,000
Nissan
Dar es Salaam
Good car good condition
Cars
TZS 25,000,000
Empire tronix Pro Empire tronix 9 months
JBL Tune 670NC Wireless Noise-Cancelling On-Ear Headphones – Pure Bass Sound
TZS 255,000
JBL Tune 670NC Wireless Noise-Cancelling On-Ear Headphones – Pure Bass Sound
Dar es Salaam
Experience high-quality sound and uninterrupted music with the JBL Tune 670NC Wireless Noise-Cancelling On-Ear Headphones in Blue, available at Empire Tronix in Tanzania. Designed for music lovers and professionals who need premium audio with superior noise cancellation, these headphones bring JBL’s signature Pure Bass sound and cutting-edge adaptive noise-c...
New Other Electronics Kinondoni Dar Es Salaam
TZS 255,000
Mikocheni Motors Pro Mikocheni Motors 2 years
Nissan Juke 2012 Model, Call /WhatsApp 0756 465 338
TZS 29,000,000
Nissan Juke 2012 Model, Call /WhatsApp 0756 465 338
Dar es Salaam
Nissan Juke 2012 Model, Call /WhatsApp 0756 465 338 https://wa.me/255756465338 https://www.dealerlogin.co/tz/Mikocheni-Motors Japanese Used, Unregistered, Location Dar Es Salaam, Color Pearl White , Engine 1600 cc, Very Clean Interior, Auto Transmission, Power Steering, Power Windows, Fm/ Am Radio, ABS, Multi-Airbags, Air Conditioning, Power Seat Adjustment ...
Cars 14100 - Main Street Msasani, Near Msasani Shule Dar Es Salaam
TZS 29,000,000
Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 2 years
Garmin fish fish finder with built in GPS
TZS 880,000
Garmin fish fish finder with built in GPS
Dar es Salaam
Garmin fish fish finder with built in GPS.full with adjustable mounting, cables,sensor Price : 880,000Tshs Call / Whatsapp : 0627774377
Everything
TZS 880,000
Andika Dyandra Andika Dyandra 1 year
Toro Toro 60V 30" Self Propelled Push Lawn Mower Bare Tool (FIRST MOWER DEPOT)
Check with seller
Toro Toro 60V 30" Self Propelled Push Lawn Mower Bare Tool (FIRST MOWER DEPOT)
Zanzibar North
Toro Toro 60V 30" Self Propelled Push Lawn Mower Bare Tool (FIRST MOWER DEPOT) DESCRIPTION Toro Toro 60V 30" Self Propelled Push Lawn Mower Bare Tool (FIRST MOWER DEPOT) The Toro 60V MAX* 30 in. eTimeMaster™ Personal Pace Auto-Drive™ Self-Propel Lawn Mower with two 10Ah Batteries and charger. Rely on our 30 in. wide all-steel deck and cast aluminum frame for...
Everything Ruko Sutera Niaga 2, Jl. Raya Serpong Kilometer 7, Pakulonan, Kec. Serpong Utara, Kota Tangerang Sel
Check with seller
Are you a professional seller? Create an account