Dawa ya kikojozi

TZS 55,000
Health, Beauty & Fitness
1 year
Tanzania
Dar es Salaam
Temeke
640 views
SKU: 4002
Published 1 year ago by Amanzi Said
TZS 55,000
Temeke, Dar es Salaam, Tanzania
Get directions →
640 item views
Chanzo cha tatizo hili huanzia kwenye figo.figo huenda zikawa zinatengeneza mkojo mwingi zaidi ya kiwango kinachoitajika.homoni ADH huambia figo kutengeneza mkojo mchache kiwango cha kawaida na Mara nyingi homoni hiyo hupungua nyakati za usiku.wakati unapotokwa na mkojo kitandani huenda homoni za ADH zimepungua ama figo hazifanyi kazi kama inavyostaili

Kiwango cha sukari pia huathiri kiwango cha homoni za ADH,hatua zinazoifanya figo kutengeneza kiwango kikubwa cha mkojo unapokuwa na mkojo mwingi kibofu chako hushindwa kuzuia na hivyo basi mkojo hutoka Mara kwa mara.

Mwanamke hanaweza kuwa na tatizo la kukojoa kitandani iwapo anatatizo la kibofu cha mkojo na kushindwa kujizuia.pia kuna maambukizi ya njia ya mkojo ambayo yanaweza kumfanya mtu zima kukojoa kitandani.kitamaduni tatizo la kutokwa na mkojo kitandani hudaiwa kusababishwa na pepo wabaya au maahetwani lakini kwamba kutokwa na mkojo ni ugonjwa ambao unapojulikana huwezi kushirikishwa na pepo au mashetwani Read more

Description

Chanzo cha tatizo hili huanzia kwenye figo.figo huenda zikawa zinatengeneza mkojo mwingi zaidi ya kiwango kinachoitajika.homoni ADH huambia figo kutengeneza mkojo mchache kiwango cha kawaida na Mara nyingi homoni hiyo hupungua nyakati za usiku.wakati unapotokwa na mkojo kitandani huenda homoni za ADH zimepungua ama figo hazifanyi kazi kama inavyostaili

Kiwango cha sukari pia huathiri kiwango cha homoni za ADH,hatua zinazoifanya figo kutengeneza kiwango kikubwa cha mkojo unapokuwa na mkojo mwingi kibofu chako hushindwa kuzuia na hivyo basi mkojo hutoka Mara kwa mara.

Mwanamke hanaweza kuwa na tatizo la kukojoa kitandani iwapo anatatizo la kibofu cha mkojo na kushindwa kujizuia.pia kuna maambukizi ya njia ya mkojo ambayo yanaweza kumfanya mtu zima kukojoa kitandani.kitamaduni tatizo la kutokwa na mkojo kitandani hudaiwa kusababishwa na pepo wabaya au maahetwani lakini kwamba kutokwa na mkojo ni ugonjwa ambao unapojulikana huwezi kushirikishwa na pepo au mashetwani

Safety Tips

  • Never make a payment or provide personal information until you have verified the seller and the electronic device in person.
  • Be cautious of sellers asking for advance payments before you meet and inspect the device.
  • Always test the electronic device to ensure it is fully functional before making a purchase learn about device faults on this page.
  • Make sure to meet in a safe, public place when dealing with sellers.
Print
Report

Recently viewed

Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 2 years
Maono 2 in 1 Wireless Microphone
TZS 350,000
Maono 2 in 1 Wireless Microphone
Dar es Salaam
Maono 2 in 1 Wireless Microphone for IOS Price : 350,000Tshs Call / Whatsapp : 0627774377
Cameras & Accessories
TZS 350,000
Adam jazile Pro Adam jazile 1 year
Pro Land Bagamoyo Pwani 1 year
Shamba la ekari 3 linauzwa fukayosi bagamoyo
TZS 12,000,000
Shamba la ekari 3 linauzwa fukayosi bagamoyo
Pwani
SHAMBA LA KULIMA NANASI NK LA EKARI 3 LINAUZWA MWAVI FUKAYOSI lipo umbali wa kilometa 2.na nusu kutoka main load ya bagamoyo msata kila ekali moja inauzwa shilingi milioni 4 shamba ni zuri sana lipo njiani kabisa
Land Fukayosi
TZS 12,000,000
Amanzi Said Amanzi Said 1 year
Dawa ya tezi dume
TZS 35,000
Dawa ya tezi dume
Dar es Salaam
Ni dawa inayotibu magojwa ya tezi dume 1)Inatibu tezi dume 2)Inazibua mirija ya mkojo 3)Inaimarisha mishipa 4)Inasafisha kibofu cha mkojo 5)Inatibu ngiri 6)Inatoa gesi 7)Inatibu maumivu ya mgongo
Health, Beauty & Fitness
TZS 35,000
Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 1 year
Brand new Monitors HP* HP M24f FHD IPS 1 vga 1 Hdmi ips Frameless
TZS 595,000
Brand new Monitors HP* HP M24f FHD IPS 1 vga 1 Hdmi ips Frameless
Dar es Salaam
Brand new Monitors HP* HP M24f FHD IPS 1 vga 1 Hdmi ips Frameless Tshs 595,000/ Call / Whatsapp : 0627774377
Everything
TZS 595,000
Are you a professional seller? Create an account