TOYOTA MARK II GRAND INAUZWA Inauzwa gari safi aina ya *Toyota Mark II Grand*, lina nguvu, mwendo mzuri na lina muonekano wa kifahari. Lipo tayari kwa matumizi. 🚘 Aina: Toyota Mark II Grand 🛠 Hali nzuri sana, linafanya kazi vizuri *Bei*: TSh *5,500,000* 📞 *Wasiliana:* 0786 522 839
*TOYOTA CARINA TI INAUZWA Inauzwa gari imara aina ya *Toyota Carina TI*, linaendeshwa vizuri, lina nguvu na linatumia mafuta kwa uchumi. Lipo tayari kwa matumizi. *Bei*: TSh *10,500,000 📞 *Wasiliana:* 0786 522 839
*TOYOTA HARRIER NEW MODEL INAUZWA. *Toyota Harrier New Model*, gari lenye muonekano wa kifahari, lenye nguvu na starehe kwa matumizi ya mjini na safari ndefu. *Sifa za Gari:* 🚙 Aina: Toyota Harrier – New Model ⚙ Transmission: Automatic ⛽ Injini: Petrol 🧊 AC baridi 💺 Viti vya ngozi (Leather seats), ndani safi 🛠 Hali bora kabisa, haijawahi kupata ajali 🔊 Scree...
Price: 98.5M Bmw x5 2015🔥 M sport package ✅ Diesel engine 🔥 Digital dashboard & AC controller 22’ inches alloy wheels Sunroof ✅ Clean & mint cindition👌 Free registration🔥
*NISSAN DUALIS INAUZWA Inauzwa gari la kifamilia aina ya *Nissan Dualis*, niya kisasa yenye nguvu, nafasi kubwa, na muonekano wa kuvutia. Inafaa kwa matumizi ya mji na safari ndefu. 🚙 Aina: Nissan Dualis ⚙ Transmission: Automatic ⛽ Injini: Petrol 💺 Ndani safi na viti vya kifahari 🧊 AC baridi 🛞 Alloy Rims 🛠 Hali bora – haijawahi kupata ajali 🔊 Screen + sound ...