Dawa ya kutibu maradhi ya figo

TZS 350,000
Health, Beauty & Fitness
1 year
Tanzania
Dar es Salaam
Temeke
499 views
SKU: 3731
Published 1 year ago by Amanzi Said
TZS 350,000
Temeke, Dar es Salaam, Tanzania
Get directions →
499 item views
Kutambua na kutibu hali yoyote hiliyosababisha kufeli kwa figo ndio hatua muhimu sana ya kukabiliana na ugonjwa huu.matibabu huakikisha kuwa madhara zaidi hayafanyiki na hivyo kuzipa nafasi figo kupona

DALILI ZA UGONJWA WA FIGO
dalili za ugonjwa huu ni pamoja kushindwa kupumua,maumivu kwenye kifua,kutapika damu,mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida,kukosa hamu ya kula,kichefuchefu,kutapika na kwikwi,kuvimba kwa vifundo vya miguu,kuongezeka uzito,kupoteza damu nyingi,kuhisi homa na baridi,uchovu wa mwili na hata kuchanganyikiwa.

MATIBABU NA HATUA ZA KUZINGATIA
Inaondoa vijiwe kwenye figo
Lengo ni kusaidia kuzuia au kutibu matatizo yoyote ya figo
Kutibu maambukizi na kuzuia dawa zozote ambazo zinaweza kudhuru figo
Kutumia dawa za Zain ambazo husaidia kutoa mkojo hili kuzuia mwili kuvimba na mgonjwa kushindwa kupumua
Hatua zingine Zain husaidia kuzuia shinikizo la damu,kutapika,kushinwa kupumua,kuzimia na pia kupunguza kiwango cha madini ya potasium mwilini

USHAURI WA VYAKULA
Kuzingatia vyakula vinavyofaa kupunguza dalili za figo kufeli,kuzuia vyakula vyenye potasium hili kuifanya isiwe nyingi kwenye damu na kupunguza chumvi ili kuzuia kuvimba kwa mwili
KATIKA UGONJWA WA FIGO MATIBABU YA MAPEMA NA YANAYOFAA NA HUSAIDIA FIGO KUPONA BILA YA DAYALISISI Read more

Description

Kutambua na kutibu hali yoyote hiliyosababisha kufeli kwa figo ndio hatua muhimu sana ya kukabiliana na ugonjwa huu.matibabu huakikisha kuwa madhara zaidi hayafanyiki na hivyo kuzipa nafasi figo kupona

DALILI ZA UGONJWA WA FIGO
dalili za ugonjwa huu ni pamoja kushindwa kupumua,maumivu kwenye kifua,kutapika damu,mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida,kukosa hamu ya kula,kichefuchefu,kutapika na kwikwi,kuvimba kwa vifundo vya miguu,kuongezeka uzito,kupoteza damu nyingi,kuhisi homa na baridi,uchovu wa mwili na hata kuchanganyikiwa.

MATIBABU NA HATUA ZA KUZINGATIA
Inaondoa vijiwe kwenye figo
Lengo ni kusaidia kuzuia au kutibu matatizo yoyote ya figo
Kutibu maambukizi na kuzuia dawa zozote ambazo zinaweza kudhuru figo
Kutumia dawa za Zain ambazo husaidia kutoa mkojo hili kuzuia mwili kuvimba na mgonjwa kushindwa kupumua
Hatua zingine Zain husaidia kuzuia shinikizo la damu,kutapika,kushinwa kupumua,kuzimia na pia kupunguza kiwango cha madini ya potasium mwilini

USHAURI WA VYAKULA
Kuzingatia vyakula vinavyofaa kupunguza dalili za figo kufeli,kuzuia vyakula vyenye potasium hili kuifanya isiwe nyingi kwenye damu na kupunguza chumvi ili kuzuia kuvimba kwa mwili
KATIKA UGONJWA WA FIGO MATIBABU YA MAPEMA NA YANAYOFAA NA HUSAIDIA FIGO KUPONA BILA YA DAYALISISI

Safety Tips

  • Never make a payment or provide personal information until you have verified the seller and the electronic device in person.
  • Be cautious of sellers asking for advance payments before you meet and inspect the device.
  • Always test the electronic device to ensure it is fully functional before making a purchase learn about device faults on this page.
  • Make sure to meet in a safe, public place when dealing with sellers.
Print
Report
Are you a professional seller? Create an account