Tedivina kiboko ya bawasiri

TZS 100,000
Health, Beauty & Fitness
Tuesday 14:55
Tanzania
Dar es Salaam
Ubungo
Dar Es Salaam
24 views
SKU: 11556
Published 10 hours ago by Rashidi Martine
TZS 100,000
Dar Es Salaam, Ubungo, Dar es Salaam, Tanzania
Get directions →
24 item views
Tiba ya bawasiri (mgoro)

Bawasiri au kwa jina jingine watu wanaita mgoro,kuota kinyama sehem za haja kubwa ni moja ya tatizo kubwa ambalo linakumba watu wengi na wengi hushindwa kielezea hisia zao kwa kuogopa na kua na hofu

Ugonjwa huu unatokea hasa kwa wale watu wenue changamoto ya mfumo wa mmeng'enyo wa chakula

Dalili zake

*Miwasho sehem ya haja kubwa
*Maumivu wakati wa haja kibwa
*Kutoa haja kubwa chenye damu
*kukaa kwa shida

Chanzo cha bawasiri
*Kukaaa kwa mda mrefu
*kutokupata choo au kupata choo kigumu
*matumizi ya madawa mbalimbali
*kutumia nguv nyingi wakat wa kupata haja

Sùruhisho
#tumia vyakula vyenye nyuzinyuzi(matunda,mbogamboga kwa wingi
#kunywa maji mengi ili kupata choo kilaini
#fanya vipimo kubain ukubwa wa tatizo lako
#muone daktar kwa haraka zaidi

Kama umezunguka sana kupata suruhisho la tatzo lako basi hii ni habar njema kwako nipo hapa kukusaidia kuondoa tatizo lako kwa kuanza na chanzo cha tatizo kisha tatizo kamili tutafute kwa mawasiliano hapo chini Read more

Description

Tiba ya bawasiri (mgoro)

Bawasiri au kwa jina jingine watu wanaita mgoro,kuota kinyama sehem za haja kubwa ni moja ya tatizo kubwa ambalo linakumba watu wengi na wengi hushindwa kielezea hisia zao kwa kuogopa na kua na hofu

Ugonjwa huu unatokea hasa kwa wale watu wenue changamoto ya mfumo wa mmeng'enyo wa chakula

Dalili zake

*Miwasho sehem ya haja kubwa
*Maumivu wakati wa haja kibwa
*Kutoa haja kubwa chenye damu
*kukaa kwa shida

Chanzo cha bawasiri
*Kukaaa kwa mda mrefu
*kutokupata choo au kupata choo kigumu
*matumizi ya madawa mbalimbali
*kutumia nguv nyingi wakat wa kupata haja

Sùruhisho
#tumia vyakula vyenye nyuzinyuzi(matunda,mbogamboga kwa wingi
#kunywa maji mengi ili kupata choo kilaini
#fanya vipimo kubain ukubwa wa tatizo lako
#muone daktar kwa haraka zaidi

Kama umezunguka sana kupata suruhisho la tatzo lako basi hii ni habar njema kwako nipo hapa kukusaidia kuondoa tatizo lako kwa kuanza na chanzo cha tatizo kisha tatizo kamili tutafute kwa mawasiliano hapo chini

Safety Tips

  • Never make a payment or provide personal information until you have verified the seller and the electronic device in person.
  • Be cautious of sellers asking for advance payments before you meet and inspect the device.
  • Always test the electronic device to ensure it is fully functional before making a purchase learn about device faults on this page.
  • Make sure to meet in a safe, public place when dealing with sellers.
Print
Report
Are you a professional seller? Create an account