TOYOTA VITZ NEW MODEL INAUZWA Inauzwa gari zuri, aina ya *Toyota Vitz New Model*,matumizi madogo ya mafuta na linafaa kwa mji. 🚘 Aina: Toyota Vitz – New Model *Bei*: TSh *6,500,000* 📞 *Wasiliana:* 0786 522 839
Speaker Ndonga (Bass Speaker) Used / Mtumba Original 💰 Bei: 350,000/= kwa piece 📍 Mahali: Dar es Salaam, Tanzania Maelezo: Speaker ndonga ya bass, original (mtumba)AG Watts: 2000W Ohms: 8Ω Coil size: 125mm Hali nzuri, hazijachoka Bass nzito na safi, inafaa kazi za nguvu 📦 Idadi: Zipo piece 4 ✅ Inafaa kwa disco sound, events, kanisa, na biashara ya sound 📞 Wa...
Ina uwezo wa kutoa tofali nne kwa wakati mmoja na pavings. Inatumia motor 3 za vibration zenye 2.2kw kila moja. Inakuja na toroli 2 za kubebea tofali, tool box na control box. Tunatoa free installation na training. Ina uwezo wa kufanya kazi 24/7 kwa shift. Warrant ni 6 months kwenye motors.
VIWANJA SITA VINAUZWA VIPO SEHEMU MOJA. LOCATION: TEGETA, WAZO KARIBIA NA KITENGULE HOSPITA AREA: 8,860SQM KWA VYOTE(EKALI MBILI NA ROBO) BEI: 500,000,000/= MAZUNGUMZO: YAPO ENEO LINAFAA KWA KIWANDA AU YARD YA MALORY NA SHULE ENEO LIPO MITA 200 KUTOKA BARABARA YA WAZO(NJIA PANDA KIBAONI) NA MITA 80 BAGAMOYO ROAD ENEO LIKEPIMWA NA MICHORO YAKE IPO DOCUMENT ZI...
Shamba linauzwa miono pwani kutoka bara bara kuingia shamban kirometa 3 kira ekari moja inauzwa raki mbiri 200000 kwa mawasiriano zaidi 0656137213 eneo nizur
Karibuni Raba kali za kiume kwa jumla na rejareja. Tunapatikana Kariakoo Narung'ombe street pamoja na Muhonda street Delivery ipo na mikoani tunasafirisha. Mawasiliano 0678779262 (WhatsApp 0693779262)