Jamni ndugu wateja wetu Ile SET yetu ya sufuria4, Flampeni 3, bakuli2, vijiko na mwiko Basi imewadia jamni karibun Sana Wapendwa wateja wetu na hizi SET Zimebaki Chache mnoo wahi Sasa DM Chap 📩 Tuma Order yako Tukufanyie FREE DELIVERY popote ulipo nchini. karibun Sanaa YARA HOMEWARES TUAMINI NA SISI TUKUAMINISHE 🙏🏻🙏🏻
NewExchange AllowedVifaa Nyumbani na FanichaKariakoo,Ilala,Dar,es, Salaam,Tanzania
Semi Hollow original pici Artist Cherry 58 England na USA wanatumia sana Niko na Musical instrument .. unique heavy Duty pro guitarist Both Accoustic and electric vibes
Nauza Smartwatch na Earbud ambayo utapata mikanda mitatu ya smartwatch,cover ya smartwatch pamoja na charger zake kwa 25k maongezi mwisho 23k. Karibuni sana wateja napatikana Ubungo Riverside kwa namba 0763145480
Nauza mashine ya barafu 120 kwa masaa 4 Tu Mashine inatumia umeme wa 5000 kwa barafu 120 hadi 150 Unauwezo wa kuuza barafu 250 hadi 300 Mashine hii pia ina makopo yake ya kugandisha barafu za Tofali.makopo 40 total Mashine wa biashara nzuri na inakupa faida kwa haraka. Wahi tuwahi mashine naiuza bei ya kutupa.
Ndawa traders ni wauuzaji wa vifaa bora vya ujenzi kama bati aina zote, mbao, nondo, gypsum boards pia tunatoa ushauri bure wa ujenzi.Tunapatikana buguruni chama.
Mashamba mazuri ardhi nzuri yenye rutuba inakubali mazao yote zipo heka 300(300acres) Kila heka ni shilingi laki sita(600000) Yapo bagamoyo kiwangwa Kutoka barabarani Hadi shamba lilipo ni kilometer sita
Beach Plort for sale Mikocheni Pangani Tanga eneo hili lina hati miliki linaukubwa wa eka 53 jumla lakini unauziwa kulingana na ukubwa unao uitaji ata ukitaji eka 10 pia linakatwa linauzwa kwa kila eka moja ni 25.M mazungumzo yapo kwa mawasiliano zaidi piga. 0659628665/=