Kwa sasa kupika kwa umeme ni gharama nafuu salama na ya haraka zaidi kuliko kutumia kuni, mkaa au gesi. endapo ukitumia vifaa sanifu kupikia ikiwemo Sescom Pressure Cooker
Read more
Description
Kwa sasa kupika kwa umeme ni gharama nafuu salama na ya haraka zaidi kuliko kutumia kuni, mkaa au gesi. endapo ukitumia vifaa sanifu kupikia ikiwemo Sescom Pressure Cooker
Wahi chapu mzigo umeshuka bei maboss mtungi wa gas na regulator yake ni high pressure vyote bado vipya kabisa gas nimetumia siku 1 tu bado ina gas nipe 85,000 napatikana Magomeni Mawasiliano 0683106466 au 0750550828
Shamba linauzwa lipo mbwewe lina ukubwa wa heka 100 bei ni laki nne umbali kutoka barabara kuu ni kilometa 4 kwa maelezo zaidi piga simu namba 0659628665
TUNAUZA FURNITURE AINA ZOTE KWA BEI NAFUU SANA KITANDA, KABATI MILANGO MITATU NA MIWILI, BED SOFA NA MBAO, SHOE CASE, SHIE RANK KITCHEN CABINET COFFEE TABLE,BEDSIDE DINNING TABLE 0766537765
Shamba linauzwa Kiwangwa masuguru shamba lina hati na lina ukubwa 10 pia shamba limegusa barabara kuu ya lami Bagamoyo to msata road bei ni milioni 15 kwa heka moja pia unaweza kupiga simu namba 0659628665 kwa maelezo zaidi
Jamni ndugu wateja wetu Ile SET yetu ya sufuria4, Flampeni 3, bakuli2, vijiko na mwiko Basi imewadia jamni karibun Sana Wapendwa wateja wetu na hizi SET Zimebaki Chache mnoo wahi Sasa DM Chap 📩 Tuma Order yako Tukufanyie FREE DELIVERY popote ulipo nchini. karibun Sanaa YARA HOMEWARES TUAMINI NA SISI TUKUAMINISHE 🙏🏻🙏🏻
NewExchange AllowedVifaa Nyumbani na FanichaKariakoo,Ilala,Dar,es, Salaam,Tanzania
Nyumba inauzwa 300M. (Sqm600) . Mbagala kizuiyani barabarani pembeni ya Mahakama ya kuu mbagala na soko la kizuiyani. Nyumba ina Hati miliki, ina fremu 5 za biashara na Vyumba 5 vya kulala, Eneo ni kubwa, unaweza kujenga gorofa, ukumbi, apartment au fremu za kisasa mana eneo ni la biashara. Nyumba Haina Kipengele Chochote. Mawasiliano O654542366 Mmiliki, kar...
Ujipatie ultrasonic humidifier kwa Tsh 10,000 tu na ofa ya chupa moja ya marashi. Kwa matumizi ya nyumbani, ofisini, na hata kwenye gari. Wasiliana nasi kwa simu namba 0628892260 & 0619080040 & 0629119046 Karibuni sana