Vifaa vya studio ya kurekodi

TZS 2,300,000
Vifaa vya Muziki
1 year
Tanzania
Dar es Salaam
Kinondoni
Sinza Boardroom
1697 views
SKU: 7831
Published 1 year ago by Shadrack Alfred
TZS 2,300,000
In Vifaa vya Muziki category
Sinza Boardroom, Kinondoni, Dar es Salaam, Tanzania
Get directions →
1697 item views
Nauza vifaa vyangu vya studio vilivyopo pichani kasoro laptop na hiyo Meza na kiti vilivyobaki vyote vipo kwenye package hata hilo carpet lipo ndani ya package kubwa wake ni futi 17×12,maongezi yapo kidogo package ina vitu vingi vizuri ukafika kuona boss, vifaa unaruhusiwa kutest kama tutakuwa serious kununua Read more

Description

Nauza vifaa vyangu vya studio vilivyopo pichani kasoro laptop na hiyo Meza na kiti vilivyobaki vyote vipo kwenye package hata hilo carpet lipo ndani ya package kubwa wake ni futi 17×12,maongezi yapo kidogo package ina vitu vingi vizuri ukafika kuona boss, vifaa unaruhusiwa kutest kama tutakuwa serious kununua

Vidokezo Salama

  • Usifanye malipo yoyote mtandaoni au kutoa taarifa zako binafsi kakikisha unaiona bidhaa kabla ya kununua.
  • Kuwa mwangalifu na wauzaji wanao hitaji malipo ya awali kabla ya kukutana na kukagua kifaa.
  • Jaribu bidhaa hakikisha inafanya kazi kikamilifu kabla ya kununua, fahamu zaidi kupitia ukurasa huu.
  • Hakikisha unakutana na muuzaji katika eneo salama na la wazi pale unapotaka kununua bidhaa.
Print
Toa Taarifa

Bidhaa Ulizoangalia

Kelvin Kongojole Kelvin Kongojole 2 years
PROFESSIONAL MIN SOUND CARD
TZS 200,000
PROFESSIONAL MIN SOUND CARD
Dar es Salaam
High fidelity Professional min sound card. With two channel input.
Vifaa vya Muziki +255 - Mwananyamala "A"
TZS 200,000
Are you a professional seller? Create an account