Vifaa vya studio ya kurekodi

TZS 2,300,000
Vifaa vya Muziki
10 months
Tanzania
Dar es Salaam
Kinondoni
Sinza Boardroom
1041 views
SKU: 7831
Published 10 months ago by Shadrack Alfred
TZS 2,300,000
In Vifaa vya Muziki category
Sinza Boardroom, Kinondoni, Dar es Salaam, Tanzania
Get directions →
1041 item views
Nauza vifaa vyangu vya studio vilivyopo pichani kasoro laptop na hiyo Meza na kiti vilivyobaki vyote vipo kwenye package hata hilo carpet lipo ndani ya package kubwa wake ni futi 17×12,maongezi yapo kidogo package ina vitu vingi vizuri ukafika kuona boss, vifaa unaruhusiwa kutest kama tutakuwa serious kununua Read more

Description

Nauza vifaa vyangu vya studio vilivyopo pichani kasoro laptop na hiyo Meza na kiti vilivyobaki vyote vipo kwenye package hata hilo carpet lipo ndani ya package kubwa wake ni futi 17×12,maongezi yapo kidogo package ina vitu vingi vizuri ukafika kuona boss, vifaa unaruhusiwa kutest kama tutakuwa serious kununua

Vidokezo Salama

  • Usifanye malipo yoyote mtandaoni au kutoa taarifa zako binafsi kakikisha unaiona bidhaa kabla ya kununua.
  • Kuwa mwangalifu na wauzaji wanao hitaji malipo ya awali kabla ya kukutana na kukagua kifaa.
  • Jaribu bidhaa hakikisha inafanya kazi kikamilifu kabla ya kununua, fahamu zaidi kupitia ukurasa huu.
  • Hakikisha unakutana na muuzaji katika eneo salama na la wazi pale unapotaka kununua bidhaa.
Print
Toa Taarifa

Bidhaa Ulizoangalia

SWAHILI_USED_ITEMS SWAHILI_USED_ITEMS 2 years
HOMEBASE FRIDGE
TZS 320,000
HOMEBASE FRIDGE
Dar es Salaam
Haina shida yyte, ipo Tabata
Vifaa Nyumbani na Fanicha
TZS 320,000
Kipara Rajabu Kipara Rajabu 1 year
Shamba linauzwa msata
TZS 4,000,000
Shamba linauzwa msata
Pwani
Shamba linauzwa msata kutoka barabara kuu kuingia shamban mita 350 kira ekari moja inauzwa mirioni 4000000 kwa maelezo zaid 0656137213 ukubwa wa eneo ekari 6 tu
Bidhaa Nyingine Msata
TZS 4,000,000
Are you a professional seller? Create an account