🎧 Zisikia tofauti!
Chagua kati ya Buds 3 Pro au Buds 3 kwa bei ya kipekee ya Tsh 85,000 tu!
💥 Sauti safi, bass kali, na comfort ya hali ya juu – ni wewe tu na muziki wako!
📦 Stock ni chache – kamata zako sasa!
🎧 Zisikia tofauti!
Chagua kati ya Buds 3 Pro au Buds 3 kwa bei ya kipekee ya Tsh 85,000 tu!
💥 Sauti safi, bass kali, na comfort ya hali ya juu – ni wewe tu na muziki wako!
📦 Stock ni chache – kamata zako sasa!
Kitasa hiki kinatumika katika milango ya mageti na chuma...kinafunguka kwa njia ya Password,card,app yake ktk simu,Funguo au Fingerprint. Utakipata kwetu GORDON TECHNOLOGY. Tunauza na kufunga vitasa hivi nchi nzima(Tanzania). Wasiliana Nasi.
Focusrite scarlett 2i2, 3rd generation. Brand new kwenye package yake kutoka focusrite wenyewe. Inakuja na software bundle na discount coupon kutoka kampuni mbali mbali za vifaa vya muziki. Niliagiza kutoka UK wakanitumia unit mbili. Bahati inaweza kuwa yako chukua hii nakupa bei kama zawadi.
Kifaa hiki huwezesha cctv camera zako ziendelee ku rekodi matukio hata kama umeme umekatika. Umeme ukikatika automatically kifaa hiki kitajiwasha na hata umeme ukirudi basi automatically kifaa hiki kitajizima ili umeme uendelee kufanya kazi.