Shamba linauzwa lipo mbwewe lina ukubwa wa heka 100 bei ni laki nne umbali kutoka barabara kuu ni kilometa 4 kwa maelezo zaidi piga simu namba 0659628665
Shamba linauzwa Kiwangwa masuguru shamba lina hati na lina ukubwa 10 pia shamba limegusa barabara kuu ya lami Bagamoyo to msata road bei ni milioni 15 kwa heka moja pia unaweza kupiga simu namba 0659628665 kwa maelezo zaidi
Shamba linauzwa lenye ukubwa wa heka 50 lipo umbali wa kilometa 1 kutoka barabara kuu ya lami eneo zuri sana linafaa kwa uwekezaji makazi kilimo ufugaji na nk kwa maelezo zaidi piga 0659628665 shamba bei ni milion mbili kwa heka moja.
The size of the plot is Appr.800sq.meters.6 self-contained bedrooms,two public toilets (1ground floor 1 1st floor),2kitchens,2 Sitting rooms,2 Dining rooms,3 balcony's (front,LHD and 1st floor). The house has single phase electricity but applied to be upgraded to three phase from TANESCO.water supply from Dawasco/DAWASA. Well secured security fence,parking b...
Printer hii haina kasolo yoyote ile, ipo Mlole Kigoma, ukiihitaji unaruhusiwa kuja kuiona na kuikagua ili ujiridhishe kabla haujailipia. Karibu Sana...
NYUMBA 4 KWENYE KIWANJA CHA 2600sqm, ZINAUZWA MICHESE DODOMA. zipo kilomita 8 kutoka mjini. Zipo jirani na reli ya SGR. Nyumba mbili zilizokamilika Zina muundo wa vyumba viwili vyote master sebule dinning na jiko. zingine mbili bado zinahitaji finishing. Moja ujenzi umefikia kwenye linta Ina vyumba vitatu vyote master, sebule, dinning na jiko. Nyingine ni se...