Mashine ya Barafu 250 hadi 300

TZS 2,500,000
Vifaa Nyumbani na Fanicha
Thursday 18:19
Tanzania
Dar es Salaam
Temeke
Tandika Plaza
14 views
SKU: 14548
Published 1 day ago by Suleyman Hemeyd
TZS 2,500,000
Tandika Plaza, Temeke, Dar es Salaam, Tanzania
Get directions →
14 item views
Nauza mashine ya barafu 120 kwa masaa 4 Tu
Mashine inatumia umeme wa 5000 kwa barafu 120 hadi 150
Unauwezo wa kuuza barafu 250 hadi 300
Mashine hii pia ina makopo yake ya kugandisha barafu za Tofali.makopo 40 total
Mashine wa biashara nzuri na inakupa faida kwa haraka.
Wahi tuwahi mashine naiuza bei ya kutupa. Read more

Description

Nauza mashine ya barafu 120 kwa masaa 4 Tu
Mashine inatumia umeme wa 5000 kwa barafu 120 hadi 150
Unauwezo wa kuuza barafu 250 hadi 300
Mashine hii pia ina makopo yake ya kugandisha barafu za Tofali.makopo 40 total
Mashine wa biashara nzuri na inakupa faida kwa haraka.
Wahi tuwahi mashine naiuza bei ya kutupa.

Vidokezo Salama

  • Usifanye malipo yoyote mtandaoni au kutoa taarifa zako binafsi kakikisha unaiona bidhaa kabla ya kununua.
  • Kuwa mwangalifu na wauzaji wanao hitaji malipo ya awali kabla ya kukutana na kukagua kifaa.
  • Jaribu bidhaa hakikisha inafanya kazi kikamilifu kabla ya kununua, fahamu zaidi kupitia ukurasa huu.
  • Hakikisha unakutana na muuzaji katika eneo salama na la wazi pale unapotaka kununua bidhaa.
Print
Toa Taarifa
Are you a professional seller? Create an account