Kitasa hiki kinatumika katika milango ya mageti na chuma...kinafunguka kwa njia ya Password,card,app yake ktk simu,Funguo au Fingerprint. Utakipata kwetu GORDON TECHNOLOGY. Tunauza na kufunga vitasa hivi nchi nzima(Tanzania). Wasiliana Nasi.
Focusrite scarlett 2i2, 3rd generation. Brand new kwenye package yake kutoka focusrite wenyewe. Inakuja na software bundle na discount coupon kutoka kampuni mbali mbali za vifaa vya muziki. Niliagiza kutoka UK wakanitumia unit mbili. Bahati inaweza kuwa yako chukua hii nakupa bei kama zawadi.
EQ ya kitaalamu (professional) kutoka Behringer, model FBQ3102. Ina FBQ feedback detection system kwa kudhibiti mirindimo. Sauti safi, stable na rahisi kuset. Bei: 250,000/= Mahali: Dar es Salaam Simu: 0713533662
pata vifaa vya kielectronic mfano pasi, memory card, wireless earphones, earpods, fast chager, power bank, na vifaa vingine vya kielectronic kwa bei nafuu kabisaa karibuni sanaa