TEDIVINA

Check with seller
Health, Beauty & Fitness
3 weeks
New
Tanzania
Dar es Salaam
Ubungo
Dar Es Salaam
50 views
SKU: 11537
Published 3 weeks ago by Rashidi Martine
Check with seller
New
Dar Es Salaam, Ubungo, Dar es Salaam, Tanzania
Get directions →
50 item views
Tatizo la kukosa choo kwa muda mrefu, (constipation) huweza kumpata mtu yeyote. Kuna watu wanaopata choo mara tatu kwa siku, wengine hupata mara chache kwa wiki. Kwa wale wanaofika siku tatu bila kupata choo huchukuliwa ni muda mrefu sana hivyo wako katika hatari.

Kuna baadhi ya mambo ambayo huchangia kukosa choo kwa muda mrefu/choo kigumu, na hivi ni baadhi ya vyanzo vinavyoweza kusababisha tatizo hilo;

*Msongo wa mawazo

*Ubovu wa lishe
Matumizi ya vyakula vilivyosindikwa sana, sukari, nafaka iliyokobolewa, pombe, huleta ugumu kwanye umeng'enywaji .

*Kutoshughulisha mwili (kutokufanya mazoez)
Utafiti unaonesha watu wanaotumia muda mwingi wakiwa wamekaa hasa ofisini wanaongoza kwa kupata matatizo ya kukosa choo kwa mda mrefu.

*Matumizi ya baadhi ya vidonge

*Matatizo ya tezi ya thyroid na matatizo mengine ya homoni:
Matatizo kama kisukari, kukoma hedhi, maumivu kabla ya hedhi.

*Upungufu wa magnesium

Madhara ya kukosa choo kwa mda mrefu

*Tumbo kuuma
*Tumbo kujaa gesi
*Bawasiri(kuota kinyama sehem ya haja kubwa
*vidonda kwenye utumbo mdogo na mpana


Fanya mambo haya yafuatayo ili kuzuia tatizo la kukosa choo kwa muda mrefu;

. Kula zaidi chakula chenye nyuzinyuzi kama maharage, mboga za majani,
matunda, nafaka nzima
. Kunywa maji mengi
. Fanya mazoezi ya mwili
. Jaribu kudhibiti msongo wa mawazo
. Usiahirishe kwenda chooni
. Jaribu kuweka ratiba maalumu ya kujisaidia, hasa baada ya kula.

Kama hautapata matokeo yoyote yale bas tutafute tukusaidie kwa haraka sana kupitia

Call:0744657095
WhatsApp: 0712043500
Tunapatikana dar es salaam kwa walioko mikoani tuwasiliane namna yakukusaidia Read more

Description

Tatizo la kukosa choo kwa muda mrefu, (constipation) huweza kumpata mtu yeyote. Kuna watu wanaopata choo mara tatu kwa siku, wengine hupata mara chache kwa wiki. Kwa wale wanaofika siku tatu bila kupata choo huchukuliwa ni muda mrefu sana hivyo wako katika hatari.

Kuna baadhi ya mambo ambayo huchangia kukosa choo kwa muda mrefu/choo kigumu, na hivi ni baadhi ya vyanzo vinavyoweza kusababisha tatizo hilo;

*Msongo wa mawazo

*Ubovu wa lishe
Matumizi ya vyakula vilivyosindikwa sana, sukari, nafaka iliyokobolewa, pombe, huleta ugumu kwanye umeng'enywaji .

*Kutoshughulisha mwili (kutokufanya mazoez)
Utafiti unaonesha watu wanaotumia muda mwingi wakiwa wamekaa hasa ofisini wanaongoza kwa kupata matatizo ya kukosa choo kwa mda mrefu.

*Matumizi ya baadhi ya vidonge

*Matatizo ya tezi ya thyroid na matatizo mengine ya homoni:
Matatizo kama kisukari, kukoma hedhi, maumivu kabla ya hedhi.

*Upungufu wa magnesium

Madhara ya kukosa choo kwa mda mrefu

*Tumbo kuuma
*Tumbo kujaa gesi
*Bawasiri(kuota kinyama sehem ya haja kubwa
*vidonda kwenye utumbo mdogo na mpana


Fanya mambo haya yafuatayo ili kuzuia tatizo la kukosa choo kwa muda mrefu;

. Kula zaidi chakula chenye nyuzinyuzi kama maharage, mboga za majani,
matunda, nafaka nzima
. Kunywa maji mengi
. Fanya mazoezi ya mwili
. Jaribu kudhibiti msongo wa mawazo
. Usiahirishe kwenda chooni
. Jaribu kuweka ratiba maalumu ya kujisaidia, hasa baada ya kula.

Kama hautapata matokeo yoyote yale bas tutafute tukusaidie kwa haraka sana kupitia

Call:0744657095
WhatsApp: 0712043500
Tunapatikana dar es salaam kwa walioko mikoani tuwasiliane namna yakukusaidia

Safety Tips

  • Never make a payment or provide personal information until you have verified the seller and the electronic device in person.
  • Be cautious of sellers asking for advance payments before you meet and inspect the device.
  • Always test the electronic device to ensure it is fully functional before making a purchase learn about device faults on this page.
  • Make sure to meet in a safe, public place when dealing with sellers.
Print
Report

Recently viewed

omary omary Pro omary omary 1 year
Sony experia 10iii
Check with seller
Sony experia 10iii
Dar es Salaam
Sony experia 10iii Storage 128gb Ram 6gb Single sim Display 6.0’ Battery 4500mAh Camera 12mp Contact 0763010155 call/txt/watsup Price 295,000 Location kkoo & makumbusho
Other
Check with seller
vansville vansville 7 months
LG V60
TZS 450,000
LG V60
Dar es Salaam
128GB VERY CLEAN FROM ABROAD AVAILABLE ON WHOLESALE & RETAIL
For sale
TZS 450,000
Swedi property Swedi property 1 year
Apartments to let
TZS 2,000,000
Apartments to let
Dar es Salaam
1bdrm serviced apartment to let in mikocheni Rose garden Living room dining room with open kitchen Stand by generator with cleaning including in rent Price $800 per month advance monthly For more information please call me
Houses & Apartments for Rent Mikocheni Shoppers Plaza
TZS 2,000,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz Wednesday 11:01
nyumba inapangishwa ( stand alone ) kiseke
TZS 650,000
nyumba inapangishwa ( stand alone ) kiseke
Mwanza
NYUMBA INAPANGISHWA -vyumba 03 ( masterbed room 1), sebule, dinning, jiko, stoo na public toilet -makabati, feni, heater, water reserve tank, car parking space -kodi 650,000 kwa mwezi -malipo ni miezi sita NB:- *Nyumba moja ndani ya fensi
Houses & Apartments for Rent
TZS 650,000
marvellous gesase marvellous gesase 2 years
Gari Nzuri
TZS 7,700,000
Gari Nzuri
Dar es Salaam
Gari haina changamoto yoyote. Piga 0683294249 kuwasiliana na muuzaji.
Cars
TZS 7,700,000
Martin Bendera Martin Bendera 1 year
samsung A04s
TZS 280,000
samsung A04s
Dar es Salaam
Samsung A04S GB 64gb ram 4gb 0625557741 bei 280,000 Finger na face android 13 camera full hd portrait Location dar
For sale Ferry
TZS 280,000
Gariyangu_Project Pro Gariyangu_Project 2 years
Pro Cars Ilala Dar es Salaam 2 years
Mazda Demio
TZS 13,250,000
Mazda Demio
Dar es Salaam
Mazda Demio Available for import make your order now
Cars
TZS 13,250,000
Mchungaji O Milanzi Mchungaji O Milanzi 7 months
Sofa cover
Check with seller
Sofa cover
Dar es Salaam
Popote Tunatuma seti ni 3,2,1 2,2,1 3,2,2
For sale 0775496707
Check with seller
Paul Meda Paul Meda 1 year
Nokia C12
TZS 450,000
Nokia C12
Dar es Salaam
Hello There Brand Nokia Model C12 64gb,4ram Battery 3000mah Price 450,000/= shimo limetema
For sale
TZS 450,000
Alz Alz 1 year
Coconut Shell Bowls with mother of pearl and lacquer inlay
TZS 25,000
Coconut Shell Bowls with mother of pearl and lacquer inlay
Dar es Salaam
Handcrafted coconut shell bowls with mother of pearl and lacquer inlay. Ideal for snacks or decorative purposes
Art & Collectibles
TZS 25,000
Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 1 year
Bosch Professional Angle Grinder GWS 2000
TZS 350,000
Bosch Professional Angle Grinder GWS 2000
Dar es Salaam
Bosch Professional Angle Grinder GWS 2000 Price : 350,000Tshs Call / Whatsapp : 0627774377
Everything
TZS 350,000
mo estate mo estate 2 years
Were house for rent mbezi beach
$ 2,750
Were house for rent mbezi beach
Dar es Salaam
Were house for rent mbezi beach sq meter 650 $ 4 per sq meter USD 2750
Office & Commercial Space
$ 2,750
Romeo Alvonso Pro Romeo Alvonso 9 months
2024 Giant Propel Advanced SL Frameset (ALANBIKESHOP)
$ 2,100
2024 Giant Propel Advanced SL Frameset (ALANBIKESHOP)
Arusha
Buy 2024 Giant Propel Advanced SL Frameset from Alan Bike Shop is 100% safe, Because purchase products at Alan Bike Shop provide 100% moneyback guarantee To purchase online visit our website : www.alanbikeshop.com Price : USD 2100 Min Order: 1 Unit Lead Time: 7 Days Express Port : Syamsuddin Noor International Airport Terms : PayPal, Bank Transfer, Wise, Wes...
Sporting Goods & Bicycles Jl. S. Parman No.8, Ps. Lama, Kec.Banjarmasin Tengah
$ 2,100
Joshua Kachala Joshua Kachala 1 year
HOUSE FOR RENT TEGETA MASAITI
TZS 800,000
HOUSE FOR RENT TEGETA MASAITI
Dar es Salaam
#VYUMBA_VINNE _VYA_KULALA# INAPANGISHWA# APARTMENT IKO-DAR-ES-SALAAM Tz MAHALI- TEGETA NAMANGA ——————————————————— KODI TSHS LAKI 800,000/=KWA MWEZI ________________ MALIPO YA MIEZI 6 ————- APART YA KISASA _________________ KUBWA YA KIFAMILIA ______ YENYE:- Vyumba vinne vya kulala, #Master #Sebule kubwa # Dinning Jiko, #Choo/#Bafu vya ndani public #Gypsum #T...
Houses & Apartments for Rent Tegeta - Tegeta Masaiti
TZS 800,000
Are you a professional seller? Create an account