Rashidi Martine

Rashidi Martine Rashidi Martine
Specializes in Huduma za Urembo na Mazoezi
Dar es salaam, Ubungo, Dar es Salaam, Tanzania
7 active listings
Personal seller
Alikuwa online 4 days ago
Registered for 3 weeks
About seller
Tunasaidia watu wenye changamoto za afya kutatua matatizo yao kwa kutumia tiba lishe changamoto kama vile
1.vidonda vya tumbo
2.Acid tumboni (tumbo kujaa gesi)
3.Bawasiri(kuota kinyama sehem za siri
4.UTI sugu kwa wanawake
5.kutokupata ujauzito (mimba kutokatoka)
6.kupungua uzito na kutoa minyama zembe

Bidhaa Mpya

Rashidi Martine Rashidi Martine 1 week
Tedivina kiboko ya gesi tumboni
TZS 100,000
Tedivina kiboko ya gesi tumboni
Dar es Salaam
Tatizo hili limekua likiwakumba watu wengi bila wao kujua nimekuletea baadhi ya dalili zake 1.Koo kuwasha na kuhisi kama kitu kimekwama 2.Kifua kuuma 3.Kichefuchefuna mwili kuchoka 4.Kikohozi kisichoisha na kizunguzungu 5.Maumiv ya kichwa na mgongo Moja ya madhar makubwa ya kutokutibu tatizo hili ni kupata kansa ya koo pamoja na kansa ya utumbo Hizo ni baadh...
New Huduma za Urembo na Mazoezi Dar Es Salaam
TZS 100,000
Rashidi Martine Rashidi Martine 2 weeks
Tiba bora ya bawasiri na constipation au kukosa choo
TZS 100,000
Tiba bora ya bawasiri na constipation au kukosa choo
Dar es Salaam
Habari dawa hii itakusaidia yafuatayo 1.kusafisha tumbo na kulainisha mmeng'enyo wa chakula 2.kusafisha utumbo mdogo na mkubwa 3.kutoa sumu mwilini 4.kulainisha choo hivo kukufanya usipate maumivu wakat wa haja kubwa 5.kufanya kusinyaa kwa kinyama sehem ya haja kubwa Kiujumla dawa hii ni nzur sana kwa watu wenye changamoto zinazosababishwa na mfumo mmbovu wa...
New Huduma za Urembo na Mazoezi Dar Es Salaam
TZS 100,000
Rashidi Martine Rashidi Martine 2 weeks
TEDIVINA kiboko ya bawasiri na contipation
TZS 60,000
TEDIVINA kiboko ya bawasiri na contipation
Dar es Salaam
Leo nitatoa offer kabambe ambayo haijawah kutokea kwa watu wambao wanashida haswaa na wanahitaji kupona na wale ambao hawajawahi kupata huduma yeti Offer hii inamfaa mtu ambae anadalili zifuatazo 1.kupata choo kidogo au kigumu mala chache 2.kupata maumiv makali sehem ya haja kubwa 3.kupata shida wakati wahaja 4.kupata vidonda sehemu ya nje ya haja kubwa 5.ku...
Huduma za Urembo na Mazoezi Dar Es Salaam
TZS 60,000
Rashidi Martine Rashidi Martine 3 weeks
TEDIVINA kiboko ya acidi na vidonda vya tumbo
TZS 80,000
TEDIVINA kiboko ya acidi na vidonda vya tumbo
Dar es Salaam
Tiba ya ugonjwa wa acidi tumboni Ungonjwa huu unasumbua watu wengi na wengi wao hua ningumu kuutanbua na kujua tiba zake nimekuwekea dalili zake pindi uonapo uweze kujua kua tayar unatatizo la acidi tumbon Dalili zake ni pamoja na *Kikohozi endelevu Kikohozi kipo cha aina nyingi unaweza ukakohoa pengine unashida ya asthma,au maambukiziya njia ya hewa na meng...
Huduma za Urembo na Mazoezi Dar Es Salaam
TZS 80,000
Rashidi Martine Rashidi Martine 3 weeks
Tedivina kiboko ya bawasiri
TZS 100,000
Tedivina kiboko ya bawasiri
Dar es Salaam
Tiba ya bawasiri (mgoro) Bawasiri au kwa jina jingine watu wanaita mgoro,kuota kinyama sehem za haja kubwa ni moja ya tatizo kubwa ambalo linakumba watu wengi na wengi hushindwa kielezea hisia zao kwa kuogopa na kua na hofu Ugonjwa huu unatokea hasa kwa wale watu wenue changamoto ya mfumo wa mmeng'enyo wa chakula Dalili zake *Miwasho sehem ya haja kubwa *Mau...
Huduma za Urembo na Mazoezi Dar Es Salaam
TZS 100,000
Rashidi Martine Rashidi Martine 3 weeks
TEDIVINA
Check with seller
TEDIVINA
Dar es Salaam
Tatizo la kukosa choo kwa muda mrefu, (constipation) huweza kumpata mtu yeyote. Kuna watu wanaopata choo mara tatu kwa siku, wengine hupata mara chache kwa wiki. Kwa wale wanaofika siku tatu bila kupata choo huchukuliwa ni muda mrefu sana hivyo wako katika hatari. Kuna baadhi ya mambo ambayo huchangia kukosa choo kwa muda mrefu/choo kigumu, na hivi ni baadhi...
New Huduma za Urembo na Mazoezi Dar Es Salaam
Check with seller
  • 1
Are you a professional seller? Create an account