Magonjwa ya Moyo/Presha ya kupanda/Presha ya kushuka/Tiba asili ya presha

Check with seller
Health, Beauty & Fitness
2 years
Tanzania
Morogoro
Morogoro
4305 views
SKU: 2189
Published 2 years ago by Nutr Sood
Check with seller
Morogoro, Morogoro, Tanzania
Get directions →
4305 item views
Zijue Faida Zitakazokuepusha na Kukutibu Presha na Magonjwa ya Moyo Kwa Haraka.

MAGONJWA YA MOYO /SHINIKIZO LA DAMU/ PRESHA YA KUPANDA & KUSHUKA/SHAMBULIO LA MOYO/CHEMBE YA MOYO/MOYO KUTANUKA/KUTANUKA KWA MISULI YA MOYO/KUZIBA KWA VISHIPA VYA DAMU.


Magonjwa ya moyo ni muunganiko wa magonjwa yanayoshambulia moyo, vishipa vipelekavyo/vitoavyo damu kwenye moyo na maumbile yanayotengeneza moyo kwa ujumla(Structural and vessels disease).

Moja ya ugonjwa wa moyo unaokuja kwa kasi sana nchini ni ⤵;
↪Kupanda kwa shinikizo la juu la damu/Presha ya kupanda(high blood pressure/Hypertension) na kushuka kwa shinikizo la damu (Presha ya kushuka/Hypotension).

Presha ni msukumo wa damu kwenye vishipa vya damu,msukumo huu ukiwa mkubwa au mdogo kuliko unaohitajika mwilini ndio huitwa presha ya kupanda au kushuka.

Kwa mujibu wa shirika la afya duniani (WHO) sababu kuu za Presha pamoja na magonjwa ya moyo zinatajwa kuwa ni pamoja na;

????Ulaji usiofaa, ulaji usiofata taratibu za kitabibu ikiwa ni pamoja na kula chakula kingi baada ya saa kumi na moja jioni au kula chakula kingi katika mlo mmoja kuliko kiwango kinachohitajika kwa siku (RDA).

???? Ulaji wa vyakula vya mafuta kwa wingi, ulaji wa vyakula vyenye sukari nyingi au chumvi nyingi katika mlo wako.

????Kutokula mboga mboga za majani pamoja na matunda ambapo kitaalamu inashauriwa nusu ya kila mlo wako iwe mboga mboga za majani pamoja na matunda n.k

*DALILI ZA MAGONJWA YA MOYO & PRESHA*

Zijue dalili ziletwazo na magonjwa ya moyo pamoja na presha ni ;

▶️Maumivu ya kifua mithili ya chembe ya moyo/chembe ya moyo.

▶️ Maumivu ya kifua kuzunguka hadi kwenye bega la kushoto.

▶️ Kuvimba kwa miguu na mikono.

▶️ Mapigo ya moyo kuwa ya chini sana au kasi sana.

▶️ Moyo kwenda mbio sana na kukosa pumzi hasaa zaidi unapotembea au kufanya shughuli zako ndogo ndogo/moyo kudunda kama mtu apiga dogoro kwa chini hasaa wakati wa kulala.

▶️ Mwili kuishiwa nguvu.

▶️ Kupata kizunguzungu na kuzimia.

▶️ Kupata ganzi kwenye miguu na mikono.

▶️Kutokwa na jasho jingi sana n.k


*MATIBABU*
-Ni vyema kwenda Hospital kwanza kujua tatizo lako na chanzo chake kabla ya kuanza kutumia dawa.

-Ipo mimea tiba yenye uwezo mkubwa wa kutibu tatizo la presha ya kupanda/kushuka na magonjwa ya moyo kwa ufanisi mkubwa sana.

-Dawa hii ya kulamba hutumiwa na wagonjwa wa presha kwa wastani wa siku 6 hadi 10 pekee (Dozi moja) na hufanikisha kuwaacha salama na kuwaepusha na matumizi ya vidonge ya kila siku.

-Mimea hii huweza kuondoa tatizo la presha na kutoa matokeo ya haraka sana kuliko matarajio ya mtumiaji.



*NJIA ZA KUEPUKA NA KUPUNGUZA HATARI ZA MATATIZO YA MOYO NA PRESHA*

▶️ Epuka kutumia tumbaku(sigara)
▶️ Punguza kiwango cha chumvi kwenye mlo wako.
▶️ Kula mbogamboga na matunda kwa wingi.
▶️ Fanya mazoezi/Shughulisha mwili.

▶️Punguza ulaji wa vyakula vya kukaanga(vitumiavyo mafuta mengi).

▶️ Epuka unywaji wa pombe.
▶️ Jitibie Kisukari.
▶️ Rekebisha uzito wako ikiwa uko juu na kiasi cha mafuta mwilini (BMI)
▶️ Kuwa na muda sahihi wa kula chakula chako.

▶️ Punguza matumizi makubwa ya Wanga katika mlo wako.



Kwa Ushauri,Maoni pamoja na Msaada wa kimatibabu wasiliana nami kwa:⤵️

Contacts
Nutr.Sood

Calls/Sms/Whatsaap: 0678640098.
Morogoro, mjini & Ilala Dsm. Read more

Description

Zijue Faida Zitakazokuepusha na Kukutibu Presha na Magonjwa ya Moyo Kwa Haraka.

MAGONJWA YA MOYO /SHINIKIZO LA DAMU/ PRESHA YA KUPANDA & KUSHUKA/SHAMBULIO LA MOYO/CHEMBE YA MOYO/MOYO KUTANUKA/KUTANUKA KWA MISULI YA MOYO/KUZIBA KWA VISHIPA VYA DAMU.


Magonjwa ya moyo ni muunganiko wa magonjwa yanayoshambulia moyo, vishipa vipelekavyo/vitoavyo damu kwenye moyo na maumbile yanayotengeneza moyo kwa ujumla(Structural and vessels disease).

Moja ya ugonjwa wa moyo unaokuja kwa kasi sana nchini ni ⤵;
↪Kupanda kwa shinikizo la juu la damu/Presha ya kupanda(high blood pressure/Hypertension) na kushuka kwa shinikizo la damu (Presha ya kushuka/Hypotension).

Presha ni msukumo wa damu kwenye vishipa vya damu,msukumo huu ukiwa mkubwa au mdogo kuliko unaohitajika mwilini ndio huitwa presha ya kupanda au kushuka.

Kwa mujibu wa shirika la afya duniani (WHO) sababu kuu za Presha pamoja na magonjwa ya moyo zinatajwa kuwa ni pamoja na;

????Ulaji usiofaa, ulaji usiofata taratibu za kitabibu ikiwa ni pamoja na kula chakula kingi baada ya saa kumi na moja jioni au kula chakula kingi katika mlo mmoja kuliko kiwango kinachohitajika kwa siku (RDA).

???? Ulaji wa vyakula vya mafuta kwa wingi, ulaji wa vyakula vyenye sukari nyingi au chumvi nyingi katika mlo wako.

????Kutokula mboga mboga za majani pamoja na matunda ambapo kitaalamu inashauriwa nusu ya kila mlo wako iwe mboga mboga za majani pamoja na matunda n.k

*DALILI ZA MAGONJWA YA MOYO & PRESHA*

Zijue dalili ziletwazo na magonjwa ya moyo pamoja na presha ni ;

▶️Maumivu ya kifua mithili ya chembe ya moyo/chembe ya moyo.

▶️ Maumivu ya kifua kuzunguka hadi kwenye bega la kushoto.

▶️ Kuvimba kwa miguu na mikono.

▶️ Mapigo ya moyo kuwa ya chini sana au kasi sana.

▶️ Moyo kwenda mbio sana na kukosa pumzi hasaa zaidi unapotembea au kufanya shughuli zako ndogo ndogo/moyo kudunda kama mtu apiga dogoro kwa chini hasaa wakati wa kulala.

▶️ Mwili kuishiwa nguvu.

▶️ Kupata kizunguzungu na kuzimia.

▶️ Kupata ganzi kwenye miguu na mikono.

▶️Kutokwa na jasho jingi sana n.k


*MATIBABU*
-Ni vyema kwenda Hospital kwanza kujua tatizo lako na chanzo chake kabla ya kuanza kutumia dawa.

-Ipo mimea tiba yenye uwezo mkubwa wa kutibu tatizo la presha ya kupanda/kushuka na magonjwa ya moyo kwa ufanisi mkubwa sana.

-Dawa hii ya kulamba hutumiwa na wagonjwa wa presha kwa wastani wa siku 6 hadi 10 pekee (Dozi moja) na hufanikisha kuwaacha salama na kuwaepusha na matumizi ya vidonge ya kila siku.

-Mimea hii huweza kuondoa tatizo la presha na kutoa matokeo ya haraka sana kuliko matarajio ya mtumiaji.



*NJIA ZA KUEPUKA NA KUPUNGUZA HATARI ZA MATATIZO YA MOYO NA PRESHA*

▶️ Epuka kutumia tumbaku(sigara)
▶️ Punguza kiwango cha chumvi kwenye mlo wako.
▶️ Kula mbogamboga na matunda kwa wingi.
▶️ Fanya mazoezi/Shughulisha mwili.

▶️Punguza ulaji wa vyakula vya kukaanga(vitumiavyo mafuta mengi).

▶️ Epuka unywaji wa pombe.
▶️ Jitibie Kisukari.
▶️ Rekebisha uzito wako ikiwa uko juu na kiasi cha mafuta mwilini (BMI)
▶️ Kuwa na muda sahihi wa kula chakula chako.

▶️ Punguza matumizi makubwa ya Wanga katika mlo wako.



Kwa Ushauri,Maoni pamoja na Msaada wa kimatibabu wasiliana nami kwa:⤵️

Contacts
Nutr.Sood

Calls/Sms/Whatsaap: 0678640098.
Morogoro, mjini & Ilala Dsm.

Safety Tips

  • Never make a payment or provide personal information until you have verified the seller and the electronic device in person.
  • Be cautious of sellers asking for advance payments before you meet and inspect the device.
  • Always test the electronic device to ensure it is fully functional before making a purchase learn about device faults on this page.
  • Make sure to meet in a safe, public place when dealing with sellers.
Print
Report

Recently viewed

MANASE MKILANIA MANASE MKILANIA 2 years
MAZDA DEMIO (CHASSIS NUMBER)
TZS 12,800,000
MAZDA DEMIO (CHASSIS NUMBER)
Dar es Salaam
2010 MAZDA DEMIO (CHASSIS NUMBER) 2010 Manufacture year 80,305km 1340CC Engine capacity Automatic Petrol Unregistered Car * Black Interior * Black Fabric Cloth trim seats * Kenwood Original Radio * 14 inch Original Alloy Wheel (Sport Rims) From Japan * Front Fog Lights * After market Headlight unit Excellent Overal Condition Inside & Outside Total Price ...
Cars 12116 - P.o Box 13569
TZS 12,800,000
Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 2 years
Vision Glasses For Glare Free Diving
TZS 35,000
Vision Glasses For Glare Free Diving
Dar es Salaam
Vision Glasses For Glare Free Diving Price : 35,000Tshs Call / Whatsapp: 0627774377
Health & Beauty
TZS 35,000
Rayan Abdullah Pro Rayan Abdullah 1 year
NEW SONY PS4 PlayStation 4 Pro Original 1TB Console
TZS 400,000
NEW SONY PS4 PlayStation 4 Pro Original 1TB Console
Dar es Salaam
INSTALLMENT PLANS AVAILABLE * Lightning Speed: Harness the power of a custom CPU, GPU and SSD with Integrated I/O that rewrite the rules of what a PlayStation console can do * Ultra-High Speed SSS: Maximize your play sessions with near instant load times for installed PS5™ games * Integrated I/O: The custom integration of the PS5™ console's systems lets crea...
Video Games & Consoles
TZS 400,000
Adam jazile Pro Adam jazile 2 years
Pro Land Bagamoyo Pwani 2 years
Shamba la ekari 10 linauzwa kiwangwa mwetemomo
Check with seller
Shamba la ekari 10 linauzwa kiwangwa mwetemomo
Pwani
shamba la ekari 10 linauzwa lipo Umbali wa kilometa 3 kutoka main load ya msata bagamoyo kila ekari 1 inauzwa shilingi laki nane
Land 0713928950 - Bago
Check with seller
Empire tronix Pro Empire tronix 7 months
Sony PlayStation 4 (PS4) Slim 500GB Console
TZS 700,000
Sony PlayStation 4 (PS4) Slim 500GB Console
Dar es Salaam
Sony PlayStation 4 Slim 500GB Console – Empire Tronix Get ready for endless gaming fun with the Sony PlayStation 4 Slim 500GB Console, available at Empire Tronix. The PS4 Slim offers a sleek design, improved performance, and a massive selection of games to keep you entertained. Its 500GB storage allows you to store multiple games, apps, and media without run...
New Video Games & Consoles Kinondoni Dar Es Salaam
TZS 700,000
Are you a professional seller? Create an account