*TOYOTA IST INAUZWA Gari imara na la kisasa aina ya *Toyota IST* linauzwa. Linatumia mafuta kidogo, linaendeshwa vizuri na lina mwonekano wa kuvutia – lipo tayari kwa matumizi. *Bei*: TSh *8,000,000* 📞 *Wasiliana:* 0786 522 839
*TOYOTA HARRIER NEW MODEL INAUZWA. *Toyota Harrier New Model*, gari lenye muonekano wa kifahari, lenye nguvu na starehe kwa matumizi ya mjini na safari ndefu. *Sifa za Gari:* 🚙 Aina: Toyota Harrier – New Model ⚙ Transmission: Automatic ⛽ Injini: Petrol 🧊 AC baridi 💺 Viti vya ngozi (Leather seats), ndani safi 🛠 Hali bora kabisa, haijawahi kupata ajali 🔊 Scree...
TOYOTA LAND CRUISER PRADO Gari ya nguvu inayofaa kwa safari za mbali, maeneo magumu na matumizi ya kifamilia au kiofisi. Ipo katika hali nzuri, tayari kwa matumizi. *Bei*: TSh *15,500,000* 📞 *Wasiliana:* 0786 522 839
*HONDA INAUZWA Inauzwa gari aina ya *Honda* lina hali nzuri, linaendeshwa vizuri, na ni chaguo bora kwa matumizi ya kila siku. Bei M4. 📞 *Wasiliana:* 0786 522 839
Nauza mini washing machine kilo 4.5 Inafua nguo aina zote adi viatu Pia inakausha nguo Inatumia umeme mdogo Na ni rahisi kutumia kwa mtu yoyote Bei yake ni 150,000 Delivery ipo unalipia mzigo ukikufikia