SHAMBA REAL ESTATE FOR SALE IN KIWANGWA

TZS 5,000,000
Land
3 years
Tanzania
Pwani
Bagamoyo
3051 views
SKU: 43
Published 3 years ago by Alphonce Kamisa
TZS 5,000,000
In Land category
Bagamoyo, Pwani, Tanzania
Get directions →
3051 item views
Shamba lipo Kiwangwa eneo linaloitwa Bago katika kijiji cha Msinune. Lina ukubwa wa takriban eka mbili (02) kasoro hivi. Jirani n shamba ipo Shule ya Msingi Msinune. Barabara ya vumbi inafika hadi shambani na gari zinafika kiurahisi.
Umbali kutoka shambani hadi barabara ya lami inayotoka Bagamoyo kuelekea Msata ni kama Kilometa 1 hivi.

Linafaa kwa kilimo cha mananasi, mihogo, mahindi, michungwa, limao na migomba (ndizi).
Bei ya shamba hilo ni shilingi milioni Tano (5,000,000). Gharama za Serikali ya Kijiji ni za mnunuzi (buyer).

Kwa maelezo zaidi piga simu namba 0744 627 333 au 0712 682 475.

KARIBU SANA. Read more

Description

Shamba lipo Kiwangwa eneo linaloitwa Bago katika kijiji cha Msinune. Lina ukubwa wa takriban eka mbili (02) kasoro hivi. Jirani n shamba ipo Shule ya Msingi Msinune. Barabara ya vumbi inafika hadi shambani na gari zinafika kiurahisi.
Umbali kutoka shambani hadi barabara ya lami inayotoka Bagamoyo kuelekea Msata ni kama Kilometa 1 hivi.

Linafaa kwa kilimo cha mananasi, mihogo, mahindi, michungwa, limao na migomba (ndizi).
Bei ya shamba hilo ni shilingi milioni Tano (5,000,000). Gharama za Serikali ya Kijiji ni za mnunuzi (buyer).

Kwa maelezo zaidi piga simu namba 0744 627 333 au 0712 682 475.

KARIBU SANA.

Safety Tips

  • Never make a payment or provide personal information until you have verified the seller and the electronic device in person.
  • Be cautious of sellers asking for advance payments before you meet and inspect the device.
  • Always test the electronic device to ensure it is fully functional before making a purchase learn about device faults on this page.
  • Make sure to meet in a safe, public place when dealing with sellers.
Print
Report

Recently viewed

Damson-Store Pro Damson-Store 11 months
nyumba na kiwanja
TZS 50,000,000
nyumba na kiwanja
Dar es Salaam
kiwanja kinauzwa na nyumba Dar es salaam,kibamba,kibamba njiapanda ya delin nyumba yenye vyumba 7 na kiwanja kipo kimbamba mtaa wa delin umeme,maji,na barabara nzury na vyote vipo,shule kiwanja kimepimwa kiwanja kina faa kwa makazi,na biashara.
Used Houses & Apartments for Sale Kibamba-mtaa Wa Delin
TZS 50,000,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 7 months
Pro Land Mwanza Mwanza 7 months
Eneo linauzwa pembeni ya rock city mall
TZS 130,000,000
Eneo linauzwa pembeni ya rock city mall
Mwanza
KIWANJA KINAUZWA PEMBENI YA ROCK CITY MALL -ukubwa wa kiwanja ni 25x20 = Sqm 500 -kiwanja kina hati miliki mkononi -location nzuri ya apartment -bei Milioni 130 Kwenye kiwanja kuna nyumba ya kizamani
Land
TZS 130,000,000
Jane Jane 6 months
Apartment for rent
$ 1,300
Apartment for rent
Dar es Salaam
Apartment for rent at masaki
Used Houses & Apartments for Rent Masaki
$ 1,300
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 7 months
Pro Land Dodoma Dodoma 7 months
Kiwanja chenye matumizi ya sheli ( petrol station ) kinauzwa dodoma
TZS 480,000,000
Kiwanja chenye matumizi ya sheli ( petrol station ) kinauzwa dodoma
Dodoma
KIWANJA CHA SHELI KINAUZWA ????Mahali - *NALA* Ukubwa - Square meter 7,585 Bei - *Millon 480* Documents - *HATI*✅
Land
TZS 480,000,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 8 months
Pro Land Mwanza Mwanza 8 months
kiwanja kinauzwa nyashishi - mwabebeya ( kimepimwa )
TZS 2,000,000
kiwanja kinauzwa nyashishi - mwabebeya ( kimepimwa )
Mwanza
KIWANJA KINAUZWA NYASHISHI - MWABEBEYA -ukubwa wa kiwanja ni 20x22 -kiwanja kimepimwa tayari -umeme, maji na barabara vipo -bei Milioni 2 ???? 0743220097
Land
TZS 2,000,000
Are you a professional seller? Create an account