SHAMBA REAL ESTATE FOR SALE IN KIWANGWA

TZS 5,000,000
Land
2 years
Tanzania
Pwani
Bagamoyo
2905 views
SKU: 43
Published 2 years ago by Alphonce Kamisa
TZS 5,000,000
In Land category
Bagamoyo, Pwani, Tanzania
Get directions →
2905 item views
Shamba lipo Kiwangwa eneo linaloitwa Bago katika kijiji cha Msinune. Lina ukubwa wa takriban eka mbili (02) kasoro hivi. Jirani n shamba ipo Shule ya Msingi Msinune. Barabara ya vumbi inafika hadi shambani na gari zinafika kiurahisi.
Umbali kutoka shambani hadi barabara ya lami inayotoka Bagamoyo kuelekea Msata ni kama Kilometa 1 hivi.

Linafaa kwa kilimo cha mananasi, mihogo, mahindi, michungwa, limao na migomba (ndizi).
Bei ya shamba hilo ni shilingi milioni Tano (5,000,000). Gharama za Serikali ya Kijiji ni za mnunuzi (buyer).

Kwa maelezo zaidi piga simu namba 0744 627 333 au 0712 682 475.

KARIBU SANA. Read more

Description

Shamba lipo Kiwangwa eneo linaloitwa Bago katika kijiji cha Msinune. Lina ukubwa wa takriban eka mbili (02) kasoro hivi. Jirani n shamba ipo Shule ya Msingi Msinune. Barabara ya vumbi inafika hadi shambani na gari zinafika kiurahisi.
Umbali kutoka shambani hadi barabara ya lami inayotoka Bagamoyo kuelekea Msata ni kama Kilometa 1 hivi.

Linafaa kwa kilimo cha mananasi, mihogo, mahindi, michungwa, limao na migomba (ndizi).
Bei ya shamba hilo ni shilingi milioni Tano (5,000,000). Gharama za Serikali ya Kijiji ni za mnunuzi (buyer).

Kwa maelezo zaidi piga simu namba 0744 627 333 au 0712 682 475.

KARIBU SANA.

Safety Tips

  • Never make a payment or provide personal information until you have verified the seller and the electronic device in person.
  • Be cautious of sellers asking for advance payments before you meet and inspect the device.
  • Always test the electronic device to ensure it is fully functional before making a purchase learn about device faults on this page.
  • Make sure to meet in a safe, public place when dealing with sellers.
Print
Report

Recently viewed

Excela Joshua Excela Joshua 1 year
VIWANJA VINAUZWA KILUVYA MADUKANI
TZS 14,000,000
VIWANJA VINAUZWA KILUVYA MADUKANI
Dar es Salaam
VIWANJA VINAUZWA KILUVYA MADUKANI. NI KILOMITA 2 TOKA MOROGORO ROAD, UMEME NA MAJI VIPO SITE LOC :KILUVYA MADUKANI AREA :SQM 378 TSH MILIONI 7.8 SQM 840 TSH MILIONI 14 UMILIKI : MKATABA WA MAUZIANO CONT. CALL Whatsapp &sms +255715090904 kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>> https://wa.me/255715090904 Insta @excela_and_properties HUDUMA ZOTE ZIPO.....
Land Kiluvya Madukani
TZS 14,000,000
hans john hans john 2 years
Kiwanja kimepimwa
TZS 5,000,000
Kiwanja kimepimwa
Dar es Salaam
1.Kiwanja Kipo Wilaya ya Kigamboni,Kata ya Kisarawe 2,mtaa wa Mwasonga 2.Kina eneo lenye ukubwa mita za mraba 551 3.Nyaraka zote muhimu zipo
Land 14112 - Kisarawe 2-Mwasonga
TZS 5,000,000
Lukman Manjy Manjy Pro Lukman Manjy Manjy 1 month
Battery-Powered Electric Ride on Cars
TZS 850,000
Battery-Powered Electric Ride on Cars
Dar es Salaam
Gari za Watoto za Kuchaji (Electric Ride-on Cars) 🚗⚡ Furahisha mtoto wako na gari la kisasa la umeme linalokaa naye kama dereva halisi! Magari haya ya watoto yanakujia kwa ubora wa hali ya juu, yakiwa na betri ya kuchaji, taa, muziki na remote control kwa mzazi. ✅ Betri ya kuchaji – hudumu muda mrefu ✅ Taa na muziki kwa burudani ya mtoto ✅ Remote control kwa...
Toys & Games Kariakoo
TZS 850,000
Ramah Mtegetu Ramah Mtegetu 1 year
"Spacious Commercial Supermarket for Rent ????
$ 12,600
"Spacious Commercial Supermarket for Rent ????
Dar es Salaam
Spacious commercial supermarket - perfect for all your grocery needs, offering a wide range of products at competitive prices! Fresh produce, household items, and more! Location: Prime spot in pugu road, air port area, excellent foot traffic and accessibility. Size: 1,800 SQUARE METERS Price: $12 per square meter. Utilities: Fully equipped with electricity, ...
Office & Commercial Space Pugu Road, Air Port Area
$ 12,600
Are you a professional seller? Create an account