Viwanja vipo Kisarawe II mtaa wa lingato ni KM 3 kutoka bararabara inayowekewa lami kuelekea viwandani, pia huduma za kijamii kama maji, umeme, shule na hospitali zipo karibu
Read more
Specs
Property Size Sq Ft4306
Description
Viwanja vipo Kisarawe II mtaa wa lingato ni KM 3 kutoka bararabara inayowekewa lami kuelekea viwandani, pia huduma za kijamii kama maji, umeme, shule na hospitali zipo karibu
JUMLA YA VIWANJA KUMI NA SITA (16) VINAUZWA -Eneo/Mtaa Ni Nyashishi - Mwabebeya -Ukubwa Wa Kila Kiwanja Ni Mita 20x20 =400 Sqm -Ruksa Kununua Kiwanja Kimoja Au Zaidi -Bei Tsh Milioni Tatu Na Laki Nane kwa kimoja Wasiliana Nasi Kwa Simu Namba 0743220097
Kiwanja kikubwa square meter 2745 kipo Geza kigamboni kina hati na huduma zote muhimu kama maji umeme na miundo mbinu ya barabara ipo tayari vizuri bei ni maelewano.
-shamba ni la kwanza kutoka ziwani -panafaa kwa makazi, kilimo, ufugaji n.k -shamba lipo km 2 kutoka daraja la JPM lilipo -umeme, maji na barabara vyote vipo Bei Milioni 25
📍 Mahali: Misugusugu, Kibaha (Karibia na grid ya umeme ya taifa) 📐 Ukubwa: 24m x 28m = 672 sqm 🏠 Msingi wa Nyumba ya Kisasa Tayari ➡️ Vyumba 4 (viwili ni Master) ➡️ Sebule, Dining, Jiko, Store, na Public Toilet 🛠️ Spetic Tank limechimbwa 🧱 Matofali 300+ tayari yapo site ⚡ Umeme, barabara na Maji vipo jirani kabisa 🗺️ Ramani ya Nyumba utapewa bure kabisa! 💸 B...
🌲vinapatikana kibaha Kwa Mathias 🌲Umbali ni km 5.5 kutoka barabarani..na barabara ya kwenda site ni lami 🌲Bei ni kuanzia milion 2 tu kwa ukubwa wa mita 15/15.. 🌴🌴Sehem ni tambarare.. maji, umeme, hospital, shule, nk vyote vipo karibu. 🌲Siku za kwenda site ni Kila siku piga simu au watsap 0612238874/ 0714499979 🌴🏠Karibuni sana
Shamba linauzwa lipo kijiji cha bago kata ya kiwangwa halimashauli ya chalinze wilaya ya bagamoyo linaukubwa wa heka 100 linafa kulima mazao ya aina yoyote au kufuga kisasa umbali kutoka lami kilometa 9 barabara safi mpaka shamba mawasiliano no 0714121506 whatsapp ipo bei sh laki tano kwa heka moja kalibuni sana kiwangwa yenye neema kuona bule asanteni sana
♦️ Viwanja vimeshuka bei ni kuanzia milioni Moja na laki sita tu. ♦️Bomang'ombe Kilimanjaro na Kikatiti Arusha ♦️ Ukubwa ni 15 kwa 20. ♦️ Unalipa nusu iliyobaki unalipa taratibu ndani ya miezi 6 ♦️Mawasiliano. 0769728776 https://wa.me/message/R5H3WUFKZWELN1
-ukubwa wa kiwanja ni 50x40 =2,000 sqm -kiwanja kimeshapimwa tayari -kiwanja kipo karibu kabisa na daraja la JPM -panafaa kwa makazi au biashara -bei Milioni 30
Minja real estate & Car Broker introduce:- Building for sale in Dar es salaam city centre. The build is located at India Street. Located near Jmall. Price Mil 1.5 USD. Please call/whats app if your serious buyer via 0687575770.
Houses & Apartments for SaleDar Es Salaam City Centre