rickrealestatetz

rickrealestatetz rickrealestatetz
Specializes in Land
Rock City Mall, Mwanza, Tanzania
126 active listings
Company
Last online 1 week ago
Registered for 5 months

Latest Products

rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 1 month
Nyumba ya kizamani inauzwa nyamanoro mwanza ( airport road )
TZS 130,000,000
Nyumba ya kizamani inauzwa nyamanoro mwanza ( airport road )
Mwanza
NYUMBA YA KIZAMANI INAUZWA NYAMANORO -nyumba ya pili kutoka barabara ya lami (airport road) -ukubwa wa kiwanja ni 30x15 =450 Sqm -ina hati miliki ya wizara -bei Milioni 130 ???? 0743 220097
Houses & Apartments for Sale
TZS 130,000,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 1 month
Pro Land Mwanza Mwanza 1 month
Kiwanja cha kwanza kutoka lami kinauzwa kisesa - isangijo
TZS 70,000,000
Kiwanja cha kwanza kutoka lami kinauzwa kisesa - isangijo
Mwanza
KIWANJA CHA KWANZA KUTOKA LAMI KINAUZWA KISESA - ISANGIJO - ukubwa wa kiwanja ni 44x32 =1,419 Sqm - kiwanja kina hati miliki ya wizara - bei Milioni 70 ???? 0743 220097
Land
TZS 70,000,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 1 month
Pro Land Mwanza Mwanza 1 month
Kiwanja kinauzwa isamilo international
TZS 150,000,000
Kiwanja kinauzwa isamilo international
Mwanza
KIWANJA KINAUZWA ISAMILO INTERNATIONAL -ukubwa wa kiwanja ni Sqm 591 -kina hati miliki ya wizara -bei Milioni 150 NB:- -kiwanja kimezungukwa na barabara ya lami pande mbili ( corner plot ) Plot Namba 215, Kitalu “D” isamilo
Land
TZS 150,000,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 1 month
Boma linauzwa buswelu
TZS 25,000,000
Boma linauzwa buswelu
Mwanza
BOMA LINAUZWA BUSWELU -lina vyumba vinne vya kulala ( kimoja ni self contained ), sebule, dinning, jiko, stoo na public toilet -ukubwa wa kiwanja ni Sqm 1,024 -kiwanja kimepimwa tayari -bei Milioni 25 ( mazungumzo yapo ) ???? 0743220097
Houses & Apartments for Sale
TZS 25,000,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 1 month
Nyumba ya kupanga Nyasaka ( chumba self + Sebule )
TZS 120,000
Nyumba ya kupanga Nyasaka ( chumba self + Sebule )
Mwanza
Nyumba inapangishwa nyasaka -ni chumba kimoja self na sebule -kodi 120,000 kwa mwezi -malipo miezi 6
Houses & Apartments for Rent
TZS 120,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 1 month
Pro Land Dodoma Dodoma 1 month
Kiwanja cha kwanza lami ( iringa road ) kinauzwa mkonze
TZS 40,000,000
Kiwanja cha kwanza lami ( iringa road ) kinauzwa mkonze
Dodoma
KIWANJA CHA KWANZA LAMI KINAUZWA -Mahali - MKONZE -Kiwanja kinatazama IRINGA ROAD -km 10 tu kutoka mjini kati -Kina ukubwa wa 1599 sqm ( ni viwili viwili vimeungana) -document ni HATI Bei - 40 milioni
Land
TZS 40,000,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 1 month
Pro Land Dodoma Dodoma 1 month
Viwanja vimeungana vinauzwa Ng’ong’onha Mhande
TZS 8,600,000
Viwanja vimeungana vinauzwa Ng’ong’onha Mhande
Dodoma
VIWANJA VIMEUNGANA VINAUZWA -Mahali - NG'ONG'ONHA MHANDE -km 1.5 kutoka lami (RING ROAD) -Ukubwa -JUMLA Sqm 4,555 -Document - Survey form -Bei - Million 8.6 KWA VYOTE
Land
TZS 8,600,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 1 month
Chumba kimoja self kikubwa kinapangishwa nyasaka
TZS 80,000
Chumba kimoja self kikubwa kinapangishwa nyasaka
Mwanza
Nyumba inapangishwa nyasaka center -ni chumba kimoja self kikubwa -umeme na maji mnashare -kodi 80,000 kwa mwezi -malipo miezi 6
Houses & Apartments for Rent
TZS 80,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 1 month
Pro Airbnb Mwanza Mwanza 1 month
Full Furnished Apartment To Rent ( Two master bedrooms )
TZS 100,000
Full Furnished Apartment To Rent ( Two master bedrooms )
Mwanza
Full Furnished Apartment To Rent LOCATION: Nyegezi Mwanza AMENITIES Two master bedrooms Seating Room Full equipped kitchen Free Wi-Fi Back up generator Visitors reception area Parking Toilets 24 hour CCTV surveillance and security Water heater system Price per day TZS 100,000
Airbnb
TZS 100,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 1 month
Office space to rent at dodoma town
TZS 3,000,000
Office space to rent at dodoma town
Dodoma
NAFASI ZA OFISI ZINAPAGISHWA DODOMA MJINI Jengo ni jipya kabisa Maji & umeme wa uhakika CCTV Camera, AC & Feni Na Lift Sqm 300 mpaka 390
Office & Commercial Space
TZS 3,000,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 1 month
Pro Land Dodoma Dodoma 1 month
Eneo la ukubwa heka mbili linauzwa nala ( limetazama barabara ya lami ringroad )
TZS 60,000,000
Eneo la ukubwa heka mbili linauzwa nala ( limetazama barabara ya lami ringroad )
Dodoma
Kiwanja cha kwanza kinauzwa nala -ukubwa wa eneo ni heka mbili = Sqm 8000+ -eneo limetazama ringroad -linafaa kwa biashara -bei milioni 60
Land
TZS 60,000,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 1 month
Pro Land Dodoma Dodoma 1 month
kiwanja kinauzwa ntyuka jirani sana na Dcmc
TZS 28,000,000
kiwanja kinauzwa ntyuka jirani sana na Dcmc
Dodoma
KIWANJA KINAUZWA Mahali - NTYUKA JIRANI SANA NA DCMC Ukubwa - Sqm 1,700 Document - HATI Bei - Million 28
Land
TZS 28,000,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 2 months
Nyumba ( stand alone ) inapangishwa buzuruga
TZS 583,000
Nyumba ( stand alone ) inapangishwa buzuruga
Mwanza
NYUMBA INAPANGISHWA BUZURUGA -ina vyumba vitatu vya kulala ( kimoja ni self contained ), sebule, dinning, jiko, stoo na public toilet -ina heater, makabati jiko na vyumbani, CCTV camera, garden na public toilet ya njee -kodi Milioni 7 kwa mwaka -malipo miezi sita NB:- Nyumba Moja Ndani Ya Fensi ???? 0743 220097
Houses & Apartments for Rent
TZS 583,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 2 months
Gorofa la kisasa linapangishwa nyasaka
TZS 2,000,000
Gorofa la kisasa linapangishwa nyasaka
Mwanza
NYUMBA INAPANGISHWA NYASAKA •Ground Floor ina vyumba viwili vya kulala vyote ni self contained, sebule, dinning, jiko na public toilet • First Floor ina vyumba vitatu vya kulala vyote ni self contained, sebule, public toilet na chumba cha kusalia Ina servant quater ya chumba x 2, stoo na public toilet • kodi Milioni 2 kwa mwezi NB:- Nyumba Moja Ndani Ya Fens...
Houses & Apartments for Rent
TZS 2,000,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 2 months
Nyumba inapangishwa Mecco mtaa wa kangaye
TZS 333,333
Nyumba inapangishwa Mecco mtaa wa kangaye
Mwanza
Nyumba inapangishwa mecco mtaa kangaye -ina vyumba viwili vya kulala ( kimoja ni self contained ), sebule, dinning, jiko, stoo na public toilet -kodi ni Milioni 4 kwa mwaka -umeme na maji unajitegemea -familia mbili ndani ya fensi moja
Houses & Apartments for Rent
TZS 333,333
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 2 months
Nyumba mpya zinapangishwa
TZS 150,000
Nyumba mpya zinapangishwa
Mwanza
Nyumba mpya zinapangishwa buswelu -chumba kimoja self contained, sebule na jiko -kodi 150,000 kwa mwezi -malipo ni miezi 4 -umeme na maji mnashare
Houses & Apartments for Rent
TZS 150,000
Are you a professional seller? Create an account