Dawa ya asili yenye mchanganyiko wa dawa kubwa zenye uwezo wa kutibu magonjwa yanayousu magonjwa ya uzazi kwa mwanamke 1)Hedhi zisizo na mpangilio 2)Maumivu ya wakati wa hedhi 3)Kuondoa uvimbe kwenye kizazi 4)Kusafisha mirija ya uzazi 5)Kurejesha hamu ya tendo ndoa 6)Kubalance hormon
Kichomi hutokea mapafu yanapovimba kwa sababu ya maambukizi Kama nimonia au kifua kikuu.mara nyingi tatizo hili ni ishara ya kuwepo maambukizi ya virusi kwenye mapafu.pia maumivu kichomi yanaweza kusababishwa na 1)Magonjwa yanayosababishwa na asbesiti 2)Saratani fulani 3)Jeraha au kuumia kifuani 4)Magonjwa ya baridi yabisi
VIPIPI ni dawa Bora na mujarrabu sana kwa mwanamke hanaekos hamu ya tendo tendo la ndoa ,pia hinaongeza joto ukeni ,kuufanya uke kuwa mnato na Kuongeza msisimjo na hisia kali ya tendo la ndoa na kutibu kifua cha muda mrefu
Kuwashwa sehem ya haja kubwa Kutoa choo chenye damu Kupata choo kigumu Kutoka kinyama sehem ya haja kubwa Kukosa hamu ya kula Tumbo kujaaa gesi Zote hizo ni dalili moja wapo kua mfumo wako wa chakula hauko sawa na unahatari ya kupata bawasiri au kuota kinyama sehem ya haja kubwa Timekuja na suruhisho sahihi na lenye ufumbuz dhabit dawa zetu hazina madhara yo...
Presha(Shinikizo la Damu) ni msukumo wa damu kwenye vishipa vya damu, msukumo huo huzalishwa baada ya moyo kusukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili. Aina za Presha. Zipo aina kuu mbili za presha, yaani; (I) PRESHA YA KUPANDA (II) PRESHA YA KUSHUKA. PRESHA YA KUPANDA. Presha ya kupanda ni msukumo wa damu unaosukumwa na moyo kwenda kwenye vishipa vya da...
Programu ya Siku 9 (C9) – Njia Salama ya Kupunguza Uzito Programu ya C9 ni suluhisho la haraka na la asili kwa kupunguza uzito, kusafisha mwili (detox), na kuongeza nishati. Ndani ya siku 9, utaweza kupungua kilo 3-8 bila madhara, huku ukianza safari ya kubadili mwili wako kwa afya bora zaidi. Faida za C9 ✅ Kupunguza uzito haraka – Unaweza kupungua kilo 3-8 ...
Mujarrabu wa Kuondoa gesi tumboni pamoja na kiungulia kwa uhakika kabisa ni dawa asilia Bora kabisa kuwahi kutokea Kama huna shida hiyo basi mwisho wa tatizo humefika lakini pia kwa wenye Matatizo ya moyo pressure na mmeng'enyo chakula pia hii dawa hinamaliza kabisa Matatizo hayo
Chanzo cha tatizo hili huanzia kwenye figo.figo huenda zikawa zinatengeneza mkojo mwingi zaidi ya kiwango kinachoitajika.homoni ADH huambia figo kutengeneza mkojo mchache kiwango cha kawaida na Mara nyingi homoni hiyo hupungua nyakati za usiku.wakati unapotokwa na mkojo kitandani huenda homoni za ADH zimepungua ama figo hazifanyi kazi kama inavyostaili Kiwan...