Tiba Ya Presha/Dawa ya Presha/Dawa ya Asili ya Presha

TZS 69,000
Health, Beauty & Fitness
1 year
Tanzania
Morogoro
Morogoro
3000
1541 views
SKU: 2469
Published 1 year ago by Nutr Sood
TZS 69,000
3000, Morogoro, Morogoro, Tanzania
Get directions →
1541 item views
Zijue Faida Zitakazokuepusha na Kukutibu Presha na Magonjwa ya Moyo Kwa Haraka.


Ugonjwa wa Presha /Dawa ya Presha ya kupanda/Sababu ya Presha kupanda/Madhara ya Presha Kupanda/Tiba ya Presha/Visababishi vya Presha/Dawa ya kupungua Presha/Presha ni nini/Kushuka kwa Presha/Dawa ya Asili ya Presha/Dalili za Presha.




Magonjwa ya moyo ni muunganiko wa magonjwa yanayoshambulia moyo, vishipa vipelekavyo/vitoavyo damu kwenye moyo na maumbile yanayotengeneza moyo kwa ujumla(Structural and vessels disease).

Moja ya ugonjwa wa moyo unaokuja kwa kasi sana nchini ni ⤵;
↪Kupanda kwa shinikizo la juu la damu/Presha ya kupanda(high blood pressure/Hypertension) na kushuka kwa shinikizo la damu (Presha ya kushuka/Hypotension).

Presha ni msukumo wa damu kwenye vishipa vya damu,msukumo huu ukiwa mkubwa au mdogo kuliko unaohitajika mwilini ndio huitwa presha ya kupanda au kushuka.

Kwa mujibu wa shirika la afya duniani (WHO) sababu kuu za Presha pamoja na magonjwa ya moyo zinatajwa kuwa ni pamoja na;

????Ulaji usiofaa, ulaji usiofata taratibu za kitabibu ikiwa ni pamoja na kula chakula kingi baada ya saa kumi na moja jioni au kula chakula kingi katika mlo mmoja kuliko kiwango kinachohitajika kwa siku (RDA).

???? Ulaji wa vyakula vya mafuta kwa wingi, ulaji wa vyakula vyenye sukari nyingi au chumvi nyingi katika mlo wako.

????Kutokula mboga mboga za majani pamoja na matunda ambapo kitaalamu inashauriwa nusu ya kila mlo wako iwe mboga mboga za majani pamoja na matunda n.k

????Kutokushughurisha mwili/kufanya mazoezi.

*DALILI ZA MAGONJWA YA MOYO & PRESHA*

Zijue dalili ziletwazo na magonjwa ya moyo pamoja na presha ni ;

▶️Maumivu ya kifua mithili ya chembe ya moyo/chembe ya moyo.

▶️ Maumivu ya kifua kuzunguka hadi kwenye bega la kushoto.

▶️ Kuvimba kwa miguu na mikono.

▶️ Mapigo ya moyo kuwa ya chini sana au kasi sana.

▶️ Moyo kwenda mbio sana na kukosa pumzi hasaa zaidi unapotembea au kufanya shughuli zako ndogo ndogo/moyo kudunda kama mtu apiga dogoro kwa chini hasaa wakati wa kulala.

▶️ Mwili kuishiwa nguvu.

▶️ Kupata kizunguzungu na kuzimia.

▶️ Kupata ganzi kwenye miguu na mikono.

▶️Kutokwa na jasho jingi sana n.k


*MATIBABU/DAWA YA PRESHA.*
-Ni vyema kwenda Hospital kwanza kujua tatizo lako na chanzo chake kabla ya kuanza kutumia dawa.

-Ipo mimea tiba yenye uwezo mkubwa wa kutibu tatizo la presha ya kupanda/kushuka na magonjwa ya moyo kwa ufanisi mkubwa sana.

-Dawa hii ya kulamba hutumiwa na wagonjwa wa presha kwa wastani wa siku 6 hadi 10 pekee (Dozi moja) na hufanikisha kuwaacha salama na kuwaepusha na matumizi ya vidonge ya kila siku.

-Mimea hii huweza kuondoa tatizo la presha na kutoa matokeo ya haraka sana kuliko matarajio ya mtumiaji.



*NJIA ZA KUEPUKA NA KUPUNGUZA HATARI ZA MATATIZO YA MOYO NA PRESHA*

▶️ Epuka kutumia tumbaku(sigara)
▶️ Punguza kiwango cha chumvi kwenye mlo wako.
▶️ Kula mbogamboga na matunda kwa wingi.
▶️ Fanya mazoezi/Shughulisha mwili.

▶️Punguza ulaji wa vyakula vya kukaanga(vitumiavyo mafuta mengi).

▶️ Epuka unywaji wa pombe.
▶️ Jitibie/Rekebisha Kisukari yako kwenye damu.
▶️ Rekebisha uzito wako ikiwa uko juu na kiasi cha mafuta mwilini (BMI)
▶️ Kuwa na muda sahihi wa kula chakula chako.

▶️ Punguza matumizi makubwa ya Wanga katika mlo wako.



Kwa Ushauri,Maoni pamoja na Msaada wa kimatibabu wasiliana nami kwa:⤵️

Contacts
Nutr.Sood

Calls/Sms/Whatsaap: 0678640098.
Morogoro, mjini & Ilala Dsm. Read more

Description

Zijue Faida Zitakazokuepusha na Kukutibu Presha na Magonjwa ya Moyo Kwa Haraka.


Ugonjwa wa Presha /Dawa ya Presha ya kupanda/Sababu ya Presha kupanda/Madhara ya Presha Kupanda/Tiba ya Presha/Visababishi vya Presha/Dawa ya kupungua Presha/Presha ni nini/Kushuka kwa Presha/Dawa ya Asili ya Presha/Dalili za Presha.




Magonjwa ya moyo ni muunganiko wa magonjwa yanayoshambulia moyo, vishipa vipelekavyo/vitoavyo damu kwenye moyo na maumbile yanayotengeneza moyo kwa ujumla(Structural and vessels disease).

Moja ya ugonjwa wa moyo unaokuja kwa kasi sana nchini ni ⤵;
↪Kupanda kwa shinikizo la juu la damu/Presha ya kupanda(high blood pressure/Hypertension) na kushuka kwa shinikizo la damu (Presha ya kushuka/Hypotension).

Presha ni msukumo wa damu kwenye vishipa vya damu,msukumo huu ukiwa mkubwa au mdogo kuliko unaohitajika mwilini ndio huitwa presha ya kupanda au kushuka.

Kwa mujibu wa shirika la afya duniani (WHO) sababu kuu za Presha pamoja na magonjwa ya moyo zinatajwa kuwa ni pamoja na;

????Ulaji usiofaa, ulaji usiofata taratibu za kitabibu ikiwa ni pamoja na kula chakula kingi baada ya saa kumi na moja jioni au kula chakula kingi katika mlo mmoja kuliko kiwango kinachohitajika kwa siku (RDA).

???? Ulaji wa vyakula vya mafuta kwa wingi, ulaji wa vyakula vyenye sukari nyingi au chumvi nyingi katika mlo wako.

????Kutokula mboga mboga za majani pamoja na matunda ambapo kitaalamu inashauriwa nusu ya kila mlo wako iwe mboga mboga za majani pamoja na matunda n.k

????Kutokushughurisha mwili/kufanya mazoezi.

*DALILI ZA MAGONJWA YA MOYO & PRESHA*

Zijue dalili ziletwazo na magonjwa ya moyo pamoja na presha ni ;

▶️Maumivu ya kifua mithili ya chembe ya moyo/chembe ya moyo.

▶️ Maumivu ya kifua kuzunguka hadi kwenye bega la kushoto.

▶️ Kuvimba kwa miguu na mikono.

▶️ Mapigo ya moyo kuwa ya chini sana au kasi sana.

▶️ Moyo kwenda mbio sana na kukosa pumzi hasaa zaidi unapotembea au kufanya shughuli zako ndogo ndogo/moyo kudunda kama mtu apiga dogoro kwa chini hasaa wakati wa kulala.

▶️ Mwili kuishiwa nguvu.

▶️ Kupata kizunguzungu na kuzimia.

▶️ Kupata ganzi kwenye miguu na mikono.

▶️Kutokwa na jasho jingi sana n.k


*MATIBABU/DAWA YA PRESHA.*
-Ni vyema kwenda Hospital kwanza kujua tatizo lako na chanzo chake kabla ya kuanza kutumia dawa.

-Ipo mimea tiba yenye uwezo mkubwa wa kutibu tatizo la presha ya kupanda/kushuka na magonjwa ya moyo kwa ufanisi mkubwa sana.

-Dawa hii ya kulamba hutumiwa na wagonjwa wa presha kwa wastani wa siku 6 hadi 10 pekee (Dozi moja) na hufanikisha kuwaacha salama na kuwaepusha na matumizi ya vidonge ya kila siku.

-Mimea hii huweza kuondoa tatizo la presha na kutoa matokeo ya haraka sana kuliko matarajio ya mtumiaji.



*NJIA ZA KUEPUKA NA KUPUNGUZA HATARI ZA MATATIZO YA MOYO NA PRESHA*

▶️ Epuka kutumia tumbaku(sigara)
▶️ Punguza kiwango cha chumvi kwenye mlo wako.
▶️ Kula mbogamboga na matunda kwa wingi.
▶️ Fanya mazoezi/Shughulisha mwili.

▶️Punguza ulaji wa vyakula vya kukaanga(vitumiavyo mafuta mengi).

▶️ Epuka unywaji wa pombe.
▶️ Jitibie/Rekebisha Kisukari yako kwenye damu.
▶️ Rekebisha uzito wako ikiwa uko juu na kiasi cha mafuta mwilini (BMI)
▶️ Kuwa na muda sahihi wa kula chakula chako.

▶️ Punguza matumizi makubwa ya Wanga katika mlo wako.



Kwa Ushauri,Maoni pamoja na Msaada wa kimatibabu wasiliana nami kwa:⤵️

Contacts
Nutr.Sood

Calls/Sms/Whatsaap: 0678640098.
Morogoro, mjini & Ilala Dsm.

Safety Tips

  • Never make a payment or provide personal information until you have verified the seller and the electronic device in person.
  • Be cautious of sellers asking for advance payments before you meet and inspect the device.
  • Always test the electronic device to ensure it is fully functional before making a purchase learn about device faults on this page.
  • Make sure to meet in a safe, public place when dealing with sellers.
Print
Report

Recently viewed

Job Bisendo Job Bisendo 11 months
House for sale in Chamazi-Dar es salaam
TZS 125,000,000
House for sale in Chamazi-Dar es salaam
Dar es Salaam
This house has 4 bedrooms, master bedroom, sitting room, dinning room, kitchen, electricity and water. It is located in business area.
Houses & Apartments for Sale Chamazi
TZS 125,000,000
Excela Joshua Excela Joshua 10 months
Land Mkuranga Pwani 10 months
SHAMBA LINA MABANDA YA KUFUGIA LINAUZWA TENGEREA MKURANGA
TZS 85,000,000
SHAMBA LINA MABANDA YA KUFUGIA LINAUZWA TENGEREA MKURANGA
Pwani
SHAMBA ZURI SANA LINA MABANDA YA KUFUGIA LINAUZWA TENGEREA MKURANGA. NI KILOMITA 6 TU, TOKA MAIN ROAD (KILWA ROAD) LOC :TENGEREA MKURANGA AREA :EKA 6½ PRICE : MIL 85 UMILIKI :MKATABA WA SERIKALI YA MTAA CONT. CALL Whatsapp &sms +255715090904 kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>> https://wa.me/255715090904 Insta @excela_and_properties SIFA:- -KUNA ...
Land Tengerea Mkuranga
TZS 85,000,000
Jeff Bezos Jeff Bezos 2 years
3 floor foundation for sale
TZS 27,000,000
3 floor foundation for sale
Dar es Salaam
Msingi wa ghorofa ya ghorofa tatu unauzwa Chanika. Floor ya kwanza imekamilika. Bado kufunga slab tu. Nyumba ina urefu wa mita 15 na upana wa mita 12.
Houses & Apartments for Sale
TZS 27,000,000
Dera Estates Pro Dera Estates 1 year
BEACH HOUSE FOR SALE @ KIGAMBONI
$ 1,000,000
BEACH HOUSE FOR SALE @ KIGAMBONI
Dar es Salaam
Deal: FOR SALE Type: BEACH HOUSE (Up to 3000 sq.m) Location: MJIMWEMA, KIGAMBONI Description: 1 STORY| 5 BED| 4 FULL BATHS| ATTIC| OFFICE| OCEAN VIEWS| DINNING & SPACIOUS KITCHEN Comments: CURRENTLY THE BEST BEACH HOUSE ON THE MARKET WITH OCEAN WAVES SPLASHING FEW METERS FROM THE FRONT WALL, OCEAN VIEWS AS FAR AS THE EYE CAN SEE, HUGE PLOT, QUITE NEIGHBO...
Houses & Apartments for Sale Mjimwema
$ 1,000,000
Ivan Minja Ivan Minja 7 months
Hotel for sale in kariakoo
$ 2,800,000
Hotel for sale in kariakoo
Dar es Salaam
Minja real estate & Car Broker introduce:- Hotel for sale in kariakoo. Blue Pearl Hotel. Hotel has 8th floor. Plot size Sqm 395. Hotel has 85 rooms. There is rooms per night 80000, 100000, 150000 and all the rooms are full everyday. 20 shops frames monthly rent is between 800000=1500000 per month. Price Mil 2.5 USD. Call/whats app via 0687575770. GOD BLE...
Houses & Apartments for Sale Kariakoo
$ 2,800,000
Excela Joshua Excela Joshua 10 months
VIWANJA VINAUZWA MADALE KWA KAWAWA
TZS 25,000,000
VIWANJA VINAUZWA MADALE KWA KAWAWA
Dar es Salaam
VIWANJA VIKO VINNE VINAUZWA MADALE KWA MZUNGU, NI KILOMITA 1.7 TOKA MAIN ROAD LOC :MADA KWA MZUNGU AREA :SQM 500 KILA KIMOJA PRICE : MIL 25 KILA KIMONA UMILIKI :MKATABA WA SERIKALI YA MTAA CONT. CALL Whatsapp &sms +255715090904 kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>> https://wa.me/255715090904 Insta @excela_and_properties HUDUMA ZOTE ZIPO... GHARAMA...
Land Madale Kwa Mzungu
TZS 25,000,000
Sam Yombo Sam Yombo 2 years
Nyumba , 4 bedroom house
Check with seller
Nyumba , 4 bedroom house
Dar es Salaam
Nyumba ipo chanika
Houses & Apartments for Sale
Check with seller
Mama G store Mama G store 2 years
kiboko ya kusimamisha na kupunguza matiti
TZS 70,000
kiboko ya kusimamisha na kupunguza matiti
Dar es Salaam
Kiboko ya chuchu saa 6 -inapunguza matiti na kukaza misuli ya titi iliyolegea -inaondoa madoa na alama kwenye matiti -Inasimamisha matiti kwa haraka Dawa yetu ni og kutoka thailand na imethibitiwa na kwa matumizi ya binadamu Haina madhara imetengenezwa kwa mitishamba Kwa matokeo Bomba tumiaa og pekee €£€matokeo ni wik 3 mpka wik 4
Health, Beauty & Fitness
TZS 70,000
Are you a professional seller? Create an account