Explore Land for sale in Mwanza. Find great deals on different products including electronics, furniture, vehicles & more from verified sellers on Zoom Tanzania.
SHAMBA LA KILIMO CHA MPUNGA LINAUZWA MAGU -ukubwa wa shamba ni heka kumi ( 10 ) -shamba lipo karibu na chanzo cha maji -shamba lipo umbali wa km 69 kutoka mwanza mjini -bei Milioni 20 kwa shamba lote ???? 0743220097
KIWANJA CHA KWANZA KUTOKA LAMI KINAUZWA KISESA - ISANGIJO - ukubwa wa kiwanja ni 44x32 =1,419 Sqm - kiwanja kina hati miliki ya wizara - bei Milioni 70 ???? 0743 220097
KIWANJA KINAUZWA ISAMILO INTERNATIONAL -ukubwa wa kiwanja ni Sqm 591 -kina hati miliki ya wizara -bei Milioni 150 NB:- -kiwanja kimezungukwa na barabara ya lami pande mbili ( corner plot ) Plot Namba 215, Kitalu “D” isamilo
Beach plot inauzwa nyanguge pembeni ya bugando beach -ukubwa ni heka mbili (2) -eneo ni la kwanza kutoka ziwani -eneo limepimwa tayari -umeme, maji na barabara vipo -bei Milioni 70
KIWANJA KINAUZWA NYAMHONGOLO - NANENANE -kiwanja kina fensi pande zote na geti -ukubwa wa kiwanja ni 40x30 =1,200 Sqm -kina hati miliki ya wizara -bei Milioni 96 NB:- kipo karibu na barabara ya lami ( musoma road )
ENEO LA HEKA MBILI (2) LINAUZWA NYAMHONGOLO - BUSUBA -ukubwa wa eneo ni heka mbili (2) -kuna nyumba 2 kila nyumba ina chumba kimoja self, sebule na jiko -bei Milioni 20
KIWANJA KINAUZWA PEMBENI YA ROCK CITY MALL -ukubwa wa kiwanja ni 25x20 = Sqm 500 -kiwanja kina hati miliki mkononi -location nzuri ya apartment -bei Milioni 130 Kwenye kiwanja kuna nyumba ya kizamani
SHAMBA LA HEKA TANO (5) LINAUZWA LUGEYE -shamba linafaa kwa kilimo na ufugaji -kuna nyumba ndogo ya kizamani na kisima cha maji -bei Milioni 28 ☎️ 0743220097
KIWANJA KINAUZWA MALAIKA BEACH JIRANI NA AIRPORT -ukubwa wa kiwanja ni 2,111 SQM -hati miliki ipo mkononi -bei Tsh bilioni 1.2 -panataa kwa kujenga hotel, apartment, n.k -kiwanja kina view nzuri ya ziwa victoria
Kiwanja cha kwanza lami ( airport road ) kinauzwa pasiasi -kiwanja kina nyumba yenye fremu 4 na zote zina wapangaji -kiwanja kina hati miliki ya wizara Bei Milioni 35 Plot No 900, Block “A”
KIWANJA KINAUZWA KISESA KONA YA KAYENZE -kiwanja kipo jirani na chuo cha mipango na stendi -Ukubwa wa kiwanja ni Sqm 5,741 -kina hati miliki ya wizara ???? 0743220097
VIWANJA TISA (9) VINAUZWA KISESA - IGEKEMAJA -Ukubwa wa viwanja ni 25x20, 30x20 na 30x30 -bei Inaanzia Milioni Tsh 5 na kuendelea -ruksa kununua kimoja au zaidi ☎️ 0743220097
Kiwanja kinauzwa buswelu mtaa wa bujingwa -kiwanja cha 2 kutoka barabara ya mtaa -ukubwa wa kiwanja ni sqm 327 -kina hati miliki ya wizara -bei milioni 6
Kiwanja kinauzwa buswelu - ilalila jirani na shule ya nebrix -kiwanja kina ukubwa wa sqm 405 -kiwanja kimepimwa tayari -bei Milioni 2 na laki 5 -umeme, maji na barabara vyote vipo
KIWANJA KINAUZWA NYASHISHI - MWABEBEYA -ukubwa wa kiwanja ni 20x22 -kiwanja kimepimwa tayari -umeme, maji na barabara vipo -bei Milioni 2 ???? 0743220097
BUSWELU ROUND ABOUT YA ILALILA KIWANJA CHA KWENYE LAMI KINAUZWA -ukubwa wa kiwanja 33x15 = 508 SQM -kiwanja kina hati miliki ya wizara -kiwanja kipo location nzuri Bei milioni 10 Kiwanja cha pili (2) kutoka kwenye lami
JUMLA YA VIWANJA 127. ( vimepimwa ) VINAUZWA KISESA - MATELA -viwanja vipo KM 30 kutoka mwanza mjini -viwanja vyote vimepimwa na vina bicons -bei Milioni 300 kwa viwanja vyote 127 -umeme, maji na barabara vyote vipo -viwanja vipo mita 700 kutoka barabara ya lami