Kitasa hiki kinatumika katika milango ya mageti na chuma...kinafunguka kwa njia ya Password,card,app yake ktk simu,Funguo au Fingerprint. Utakipata kwetu GORDON TECHNOLOGY. Tunauza na kufunga vitasa hivi nchi nzima(Tanzania). Wasiliana Nasi.
NYUMBA INAUZWA BUSWELU WILAYANI -ina vyumba vinne vya kulala ( viwili ni masterbed room ), sebule, jiko, stoo, dinning na public toilet -Pia kuna servant quater ya chumba kimoja self contained, sebule na jiko -ukubwa wa kiwanja ni 640 Sqm -kiwanja kimepimwa tayari -bei Milioni 170