???? CAMERA YA 4G BILA WIFI – LIPIA KWA BEI NZURI SASA????
EZVIZ CB2 4G Kamera bora ya kukupa amani mahali popote, bila kuhitaji WiFi!
Kwa Nini Unahitaji Hii Kamera?
✔ Inatumia LINE YA SIMU! – Haitalazimika WiFi– Weka mahali popote!
✔ 2K Resolution + Usiku rangi halisia – Ona kila kitu kwa ufasaha, hata gizani!
✔ Taarifa za Watu/Magari Pekee – **Utatumiwa taarifa kila mtu au gari likipita katika eneo lako.
✔ Mazungumzo ya Moja kwa Moja – Sema na mgeni au mwizi kwa simu yako!
✔ Imara Mvua na Jua Imetengenezwa kuhimiri hali yoyote ya hewa kwa nje!
✔ Betri ya Muda Mrefu - Haitaki umeme kila siku!
Inafaa Kwa
✅ Maeneo ya biashara flemu na maeneo yasiyo na wifi
✅ Maeneo ya Ujenzi na Dukani
✅ Nyumba za Wageni na Mabanda
✅ Kulinda Mali Yako Bila Stress!
???? USISUBIRI TATIZO LITOKEE!
Kamera hii inakupa
✅ Macho 24/7 Angalia mazingira yako wakati wowote
✅ Mikakati ya kuzuia wiziTambua watu wasiojulikana mapema
✅ Uhuru wa kuweka mahali popote Bila wiring au WiFi!
???? Inapatikana kwa Tshs 250,000 ikiwa na Memory card 32GB
???? WASILIANA NASI
☎ Simu: 0765576003
???? WhatsApp: 0715909419
✊ Usiache mazingira yako yawe rahisi kwa wahalifu!
???? Chukua hatua ya kwanza kwa kujilinda leo!
????️ Tunatoa msaada wa ufundi na maelezo ya ziada!
Read more