Magonjwa ya Moyo/Presha ya kupanda/Presha ya kushuka/Tiba asili ya presha

Check with seller
Huduma za Urembo na Mazoezi
2 years
Tanzania
Morogoro
Morogoro
3722 views
SKU: 2189
Published 2 years ago by Nutr Sood
Check with seller
Morogoro, Morogoro, Tanzania
Get directions →
3722 item views
Zijue Faida Zitakazokuepusha na Kukutibu Presha na Magonjwa ya Moyo Kwa Haraka.

MAGONJWA YA MOYO /SHINIKIZO LA DAMU/ PRESHA YA KUPANDA & KUSHUKA/SHAMBULIO LA MOYO/CHEMBE YA MOYO/MOYO KUTANUKA/KUTANUKA KWA MISULI YA MOYO/KUZIBA KWA VISHIPA VYA DAMU.


Magonjwa ya moyo ni muunganiko wa magonjwa yanayoshambulia moyo, vishipa vipelekavyo/vitoavyo damu kwenye moyo na maumbile yanayotengeneza moyo kwa ujumla(Structural and vessels disease).

Moja ya ugonjwa wa moyo unaokuja kwa kasi sana nchini ni ⤵;
↪Kupanda kwa shinikizo la juu la damu/Presha ya kupanda(high blood pressure/Hypertension) na kushuka kwa shinikizo la damu (Presha ya kushuka/Hypotension).

Presha ni msukumo wa damu kwenye vishipa vya damu,msukumo huu ukiwa mkubwa au mdogo kuliko unaohitajika mwilini ndio huitwa presha ya kupanda au kushuka.

Kwa mujibu wa shirika la afya duniani (WHO) sababu kuu za Presha pamoja na magonjwa ya moyo zinatajwa kuwa ni pamoja na;

????Ulaji usiofaa, ulaji usiofata taratibu za kitabibu ikiwa ni pamoja na kula chakula kingi baada ya saa kumi na moja jioni au kula chakula kingi katika mlo mmoja kuliko kiwango kinachohitajika kwa siku (RDA).

???? Ulaji wa vyakula vya mafuta kwa wingi, ulaji wa vyakula vyenye sukari nyingi au chumvi nyingi katika mlo wako.

????Kutokula mboga mboga za majani pamoja na matunda ambapo kitaalamu inashauriwa nusu ya kila mlo wako iwe mboga mboga za majani pamoja na matunda n.k

*DALILI ZA MAGONJWA YA MOYO & PRESHA*

Zijue dalili ziletwazo na magonjwa ya moyo pamoja na presha ni ;

▶️Maumivu ya kifua mithili ya chembe ya moyo/chembe ya moyo.

▶️ Maumivu ya kifua kuzunguka hadi kwenye bega la kushoto.

▶️ Kuvimba kwa miguu na mikono.

▶️ Mapigo ya moyo kuwa ya chini sana au kasi sana.

▶️ Moyo kwenda mbio sana na kukosa pumzi hasaa zaidi unapotembea au kufanya shughuli zako ndogo ndogo/moyo kudunda kama mtu apiga dogoro kwa chini hasaa wakati wa kulala.

▶️ Mwili kuishiwa nguvu.

▶️ Kupata kizunguzungu na kuzimia.

▶️ Kupata ganzi kwenye miguu na mikono.

▶️Kutokwa na jasho jingi sana n.k


*MATIBABU*
-Ni vyema kwenda Hospital kwanza kujua tatizo lako na chanzo chake kabla ya kuanza kutumia dawa.

-Ipo mimea tiba yenye uwezo mkubwa wa kutibu tatizo la presha ya kupanda/kushuka na magonjwa ya moyo kwa ufanisi mkubwa sana.

-Dawa hii ya kulamba hutumiwa na wagonjwa wa presha kwa wastani wa siku 6 hadi 10 pekee (Dozi moja) na hufanikisha kuwaacha salama na kuwaepusha na matumizi ya vidonge ya kila siku.

-Mimea hii huweza kuondoa tatizo la presha na kutoa matokeo ya haraka sana kuliko matarajio ya mtumiaji.



*NJIA ZA KUEPUKA NA KUPUNGUZA HATARI ZA MATATIZO YA MOYO NA PRESHA*

▶️ Epuka kutumia tumbaku(sigara)
▶️ Punguza kiwango cha chumvi kwenye mlo wako.
▶️ Kula mbogamboga na matunda kwa wingi.
▶️ Fanya mazoezi/Shughulisha mwili.

▶️Punguza ulaji wa vyakula vya kukaanga(vitumiavyo mafuta mengi).

▶️ Epuka unywaji wa pombe.
▶️ Jitibie Kisukari.
▶️ Rekebisha uzito wako ikiwa uko juu na kiasi cha mafuta mwilini (BMI)
▶️ Kuwa na muda sahihi wa kula chakula chako.

▶️ Punguza matumizi makubwa ya Wanga katika mlo wako.



Kwa Ushauri,Maoni pamoja na Msaada wa kimatibabu wasiliana nami kwa:⤵️

Contacts
Nutr.Sood

Calls/Sms/Whatsaap: 0678640098.
Morogoro, mjini & Ilala Dsm. Read more

Description

Zijue Faida Zitakazokuepusha na Kukutibu Presha na Magonjwa ya Moyo Kwa Haraka.

MAGONJWA YA MOYO /SHINIKIZO LA DAMU/ PRESHA YA KUPANDA & KUSHUKA/SHAMBULIO LA MOYO/CHEMBE YA MOYO/MOYO KUTANUKA/KUTANUKA KWA MISULI YA MOYO/KUZIBA KWA VISHIPA VYA DAMU.


Magonjwa ya moyo ni muunganiko wa magonjwa yanayoshambulia moyo, vishipa vipelekavyo/vitoavyo damu kwenye moyo na maumbile yanayotengeneza moyo kwa ujumla(Structural and vessels disease).

Moja ya ugonjwa wa moyo unaokuja kwa kasi sana nchini ni ⤵;
↪Kupanda kwa shinikizo la juu la damu/Presha ya kupanda(high blood pressure/Hypertension) na kushuka kwa shinikizo la damu (Presha ya kushuka/Hypotension).

Presha ni msukumo wa damu kwenye vishipa vya damu,msukumo huu ukiwa mkubwa au mdogo kuliko unaohitajika mwilini ndio huitwa presha ya kupanda au kushuka.

Kwa mujibu wa shirika la afya duniani (WHO) sababu kuu za Presha pamoja na magonjwa ya moyo zinatajwa kuwa ni pamoja na;

????Ulaji usiofaa, ulaji usiofata taratibu za kitabibu ikiwa ni pamoja na kula chakula kingi baada ya saa kumi na moja jioni au kula chakula kingi katika mlo mmoja kuliko kiwango kinachohitajika kwa siku (RDA).

???? Ulaji wa vyakula vya mafuta kwa wingi, ulaji wa vyakula vyenye sukari nyingi au chumvi nyingi katika mlo wako.

????Kutokula mboga mboga za majani pamoja na matunda ambapo kitaalamu inashauriwa nusu ya kila mlo wako iwe mboga mboga za majani pamoja na matunda n.k

*DALILI ZA MAGONJWA YA MOYO & PRESHA*

Zijue dalili ziletwazo na magonjwa ya moyo pamoja na presha ni ;

▶️Maumivu ya kifua mithili ya chembe ya moyo/chembe ya moyo.

▶️ Maumivu ya kifua kuzunguka hadi kwenye bega la kushoto.

▶️ Kuvimba kwa miguu na mikono.

▶️ Mapigo ya moyo kuwa ya chini sana au kasi sana.

▶️ Moyo kwenda mbio sana na kukosa pumzi hasaa zaidi unapotembea au kufanya shughuli zako ndogo ndogo/moyo kudunda kama mtu apiga dogoro kwa chini hasaa wakati wa kulala.

▶️ Mwili kuishiwa nguvu.

▶️ Kupata kizunguzungu na kuzimia.

▶️ Kupata ganzi kwenye miguu na mikono.

▶️Kutokwa na jasho jingi sana n.k


*MATIBABU*
-Ni vyema kwenda Hospital kwanza kujua tatizo lako na chanzo chake kabla ya kuanza kutumia dawa.

-Ipo mimea tiba yenye uwezo mkubwa wa kutibu tatizo la presha ya kupanda/kushuka na magonjwa ya moyo kwa ufanisi mkubwa sana.

-Dawa hii ya kulamba hutumiwa na wagonjwa wa presha kwa wastani wa siku 6 hadi 10 pekee (Dozi moja) na hufanikisha kuwaacha salama na kuwaepusha na matumizi ya vidonge ya kila siku.

-Mimea hii huweza kuondoa tatizo la presha na kutoa matokeo ya haraka sana kuliko matarajio ya mtumiaji.



*NJIA ZA KUEPUKA NA KUPUNGUZA HATARI ZA MATATIZO YA MOYO NA PRESHA*

▶️ Epuka kutumia tumbaku(sigara)
▶️ Punguza kiwango cha chumvi kwenye mlo wako.
▶️ Kula mbogamboga na matunda kwa wingi.
▶️ Fanya mazoezi/Shughulisha mwili.

▶️Punguza ulaji wa vyakula vya kukaanga(vitumiavyo mafuta mengi).

▶️ Epuka unywaji wa pombe.
▶️ Jitibie Kisukari.
▶️ Rekebisha uzito wako ikiwa uko juu na kiasi cha mafuta mwilini (BMI)
▶️ Kuwa na muda sahihi wa kula chakula chako.

▶️ Punguza matumizi makubwa ya Wanga katika mlo wako.



Kwa Ushauri,Maoni pamoja na Msaada wa kimatibabu wasiliana nami kwa:⤵️

Contacts
Nutr.Sood

Calls/Sms/Whatsaap: 0678640098.
Morogoro, mjini & Ilala Dsm.

Vidokezo Salama

  • Usifanye malipo yoyote mtandaoni au kutoa taarifa zako binafsi kakikisha unaiona bidhaa kabla ya kununua.
  • Kuwa mwangalifu na wauzaji wanao hitaji malipo ya awali kabla ya kukutana na kukagua kifaa.
  • Jaribu bidhaa hakikisha inafanya kazi kikamilifu kabla ya kununua, fahamu zaidi kupitia ukurasa huu.
  • Hakikisha unakutana na muuzaji katika eneo salama na la wazi pale unapotaka kununua bidhaa.
Print
Toa Taarifa

Bidhaa Ulizoangalia

Batury Nassibu Batury Nassibu 2 years
Nyumba inauzwa IPO Makambako -karibu n sokola magegere
TZS 35,000,000
Nyumba inauzwa IPO Makambako -karibu n sokola magegere
Njombe
Ukihitaji kuion tupigie kwa namba hii 0623255893
Nyumba Zinauzwa
TZS 35,000,000
Empire tronix Pro Empire tronix 5 months
JBL Tune 520BT Wireless On-Ear Headphones
TZS 210,000
JBL Tune 520BT Wireless On-Ear Headphones
Dar es Salaam
Experience premium sound quality with the JBL Tune 520BT Wireless On-Ear Headphones, now available at Empire Tronix in Tanzania! These headphones deliver the iconic JBL Pure Bass Sound, ensuring deep, powerful audio for music, movies, and more. Equipped with Bluetooth 5.3 technology, you’ll enjoy a stable and seamless wireless connection, while multipoint co...
New Bidhaa Nyingine za Umeme Kinondoni Dar Es Salaam
TZS 210,000
Robinson Helela Robinson Helela 1 year
TVS PIKI PIKI INAUZWA
TZS 1,050,000
TVS PIKI PIKI INAUZWA
Dar es Salaam
Piki piki used inauzwa.ipo kwenye good condition.haijawah beba abiria na pia imefanyiwa service kila wiki.Karibu kariakoo uje kuiona.haijawah funguliwa Engine.Bei ya Ofa ni 1,050,000Tshs
Magari 12778 - Kariakoo
TZS 1,050,000
Imah Tech Imah Tech 2 months
Usb Fast Charging Cable 65W PD 27W
TZS 20,000
Usb Fast Charging Cable 65W PD 27W
Dodoma
✓ 3A Fast Charging (Simu yako inachajiwa kwa haraka sana!) ✓ Imara & hazikatiki - unatumia kwa muda mrefu bila wasiwasi ✓ 4 in 1: USB| Type C| iPhone Lightning ✓ Urefu: 2 Mita - Unafika hata ukiwa mbali na soketi! Matumizi: Simu (Android & iPhone) | Power Bank| Headphones | Speaker | Tablet| Smart Watch ⌚| MP3/MP4 n.k Delivery ni BURE ndani ya Dodoma...
New Exchange Allowed Simu na Vifaa Hazina - Itega
TZS 20,000
rajabu shafii rajabu shafii 2 months
Mzda CX-5
TZS 38,000,000
Mzda CX-5
Dar es Salaam
PRICE/BEI:15.8M TOYOTA IST YEAR:2003 ENGINE CAPACITY:1490Cc ENGINE CODE:1NZ AUTOMATIC TRANSMISSION GOOD CONDITION Call/whatsapp +255719983849
Used Exchange Allowed Gari Sinza
TZS 38,000,000
Ze Blues Electronics Ze Blues Electronics 2 years
TV INCHES 32
TZS 250,000
TV INCHES 32
Dar es Salaam
SMART TV & LED FRAMELESS INCH 32 MPYA FULL BOX WARRANTY MWAKA 1 BEI YA OFFER BEI HAIPUNGUI KABISA USAFIRI BURE KWA DAR AGIZA NA ULIPE UKISHAPATA MZIGO WAKO TUPO KARIAKOO MSIMBAZI
Electroniki
TZS 250,000
Farid Mob Ji Farid Mob Ji 1 year
Popcorn Machine
Check with seller
Popcorn Machine
Dar es Salaam
Popcorn machine 295,000 tuuu, Karibuni wajasiriamali. Utapata na Warranty Ya kutosha Tuwasiliane 0672493810 Free dellivery in dar 1 year Warranty
Bidhaa
Check with seller
David Godian David Godian 1 year
Sofa set seat 10
TZS 1,500,000
Sofa set seat 10
Dar es Salaam
Free delivery
Bidhaa Buza
TZS 1,500,000
David Godian David Godian 1 year
Sofa set 7 seat
TZS 850,000
Sofa set 7 seat
Dar es Salaam
Free delivery
Bidhaa Buza
TZS 850,000
Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 3 months
Pro Other 3 months
GEEPAS® 4 in 1 CAPSULE COFFEE MACHINE
TZS 470,000
GEEPAS® 4 in 1 CAPSULE COFFEE MACHINE
GEEPAS® 4 in 1 CAPSULE COFFEE MACHINE Price : 470,000Tshs
New Other
TZS 470,000
Alz Alz 2 years
Coconut Shell Bowls with mother of pearl and lacquer inlay
TZS 25,000
Coconut Shell Bowls with mother of pearl and lacquer inlay
Dar es Salaam
Handcrafted coconut shell bowls with mother of pearl and lacquer inlay. Ideal for snacks or decorative purposes
Picha na Sanaa
TZS 25,000
Gariyangu_Project Pro Gariyangu_Project 2 years
Toyota coaster
TZS 66,000,000
Toyota coaster
Dar es Salaam
Toyota coaster available for import make your order now
Magari Mengine
TZS 66,000,000
Sound and Fair Tanzania Ltd Sound and Fair Tanzania Ltd 2 years
Executive office chair
TZS 100,000
Executive office chair
Dar es Salaam
Executive leather office chair
Bidhaa Nyingine
TZS 100,000
Are you a professional seller? Create an account