Magonjwa ya Moyo/Presha ya kupanda/Presha ya kushuka/Tiba asili ya presha

Check with seller
Huduma za Urembo na Mazoezi
2 years
Tanzania
Morogoro
Morogoro
4508 views
SKU: 2189
Published 2 years ago by Nutr Sood
Check with seller
Morogoro, Morogoro, Tanzania
Get directions →
4508 item views
Zijue Faida Zitakazokuepusha na Kukutibu Presha na Magonjwa ya Moyo Kwa Haraka.

MAGONJWA YA MOYO /SHINIKIZO LA DAMU/ PRESHA YA KUPANDA & KUSHUKA/SHAMBULIO LA MOYO/CHEMBE YA MOYO/MOYO KUTANUKA/KUTANUKA KWA MISULI YA MOYO/KUZIBA KWA VISHIPA VYA DAMU.


Magonjwa ya moyo ni muunganiko wa magonjwa yanayoshambulia moyo, vishipa vipelekavyo/vitoavyo damu kwenye moyo na maumbile yanayotengeneza moyo kwa ujumla(Structural and vessels disease).

Moja ya ugonjwa wa moyo unaokuja kwa kasi sana nchini ni ⤵;
↪Kupanda kwa shinikizo la juu la damu/Presha ya kupanda(high blood pressure/Hypertension) na kushuka kwa shinikizo la damu (Presha ya kushuka/Hypotension).

Presha ni msukumo wa damu kwenye vishipa vya damu,msukumo huu ukiwa mkubwa au mdogo kuliko unaohitajika mwilini ndio huitwa presha ya kupanda au kushuka.

Kwa mujibu wa shirika la afya duniani (WHO) sababu kuu za Presha pamoja na magonjwa ya moyo zinatajwa kuwa ni pamoja na;

????Ulaji usiofaa, ulaji usiofata taratibu za kitabibu ikiwa ni pamoja na kula chakula kingi baada ya saa kumi na moja jioni au kula chakula kingi katika mlo mmoja kuliko kiwango kinachohitajika kwa siku (RDA).

???? Ulaji wa vyakula vya mafuta kwa wingi, ulaji wa vyakula vyenye sukari nyingi au chumvi nyingi katika mlo wako.

????Kutokula mboga mboga za majani pamoja na matunda ambapo kitaalamu inashauriwa nusu ya kila mlo wako iwe mboga mboga za majani pamoja na matunda n.k

*DALILI ZA MAGONJWA YA MOYO & PRESHA*

Zijue dalili ziletwazo na magonjwa ya moyo pamoja na presha ni ;

▶️Maumivu ya kifua mithili ya chembe ya moyo/chembe ya moyo.

▶️ Maumivu ya kifua kuzunguka hadi kwenye bega la kushoto.

▶️ Kuvimba kwa miguu na mikono.

▶️ Mapigo ya moyo kuwa ya chini sana au kasi sana.

▶️ Moyo kwenda mbio sana na kukosa pumzi hasaa zaidi unapotembea au kufanya shughuli zako ndogo ndogo/moyo kudunda kama mtu apiga dogoro kwa chini hasaa wakati wa kulala.

▶️ Mwili kuishiwa nguvu.

▶️ Kupata kizunguzungu na kuzimia.

▶️ Kupata ganzi kwenye miguu na mikono.

▶️Kutokwa na jasho jingi sana n.k


*MATIBABU*
-Ni vyema kwenda Hospital kwanza kujua tatizo lako na chanzo chake kabla ya kuanza kutumia dawa.

-Ipo mimea tiba yenye uwezo mkubwa wa kutibu tatizo la presha ya kupanda/kushuka na magonjwa ya moyo kwa ufanisi mkubwa sana.

-Dawa hii ya kulamba hutumiwa na wagonjwa wa presha kwa wastani wa siku 6 hadi 10 pekee (Dozi moja) na hufanikisha kuwaacha salama na kuwaepusha na matumizi ya vidonge ya kila siku.

-Mimea hii huweza kuondoa tatizo la presha na kutoa matokeo ya haraka sana kuliko matarajio ya mtumiaji.



*NJIA ZA KUEPUKA NA KUPUNGUZA HATARI ZA MATATIZO YA MOYO NA PRESHA*

▶️ Epuka kutumia tumbaku(sigara)
▶️ Punguza kiwango cha chumvi kwenye mlo wako.
▶️ Kula mbogamboga na matunda kwa wingi.
▶️ Fanya mazoezi/Shughulisha mwili.

▶️Punguza ulaji wa vyakula vya kukaanga(vitumiavyo mafuta mengi).

▶️ Epuka unywaji wa pombe.
▶️ Jitibie Kisukari.
▶️ Rekebisha uzito wako ikiwa uko juu na kiasi cha mafuta mwilini (BMI)
▶️ Kuwa na muda sahihi wa kula chakula chako.

▶️ Punguza matumizi makubwa ya Wanga katika mlo wako.



Kwa Ushauri,Maoni pamoja na Msaada wa kimatibabu wasiliana nami kwa:⤵️

Contacts
Nutr.Sood

Calls/Sms/Whatsaap: 0678640098.
Morogoro, mjini & Ilala Dsm. Read more

Description

Zijue Faida Zitakazokuepusha na Kukutibu Presha na Magonjwa ya Moyo Kwa Haraka.

MAGONJWA YA MOYO /SHINIKIZO LA DAMU/ PRESHA YA KUPANDA & KUSHUKA/SHAMBULIO LA MOYO/CHEMBE YA MOYO/MOYO KUTANUKA/KUTANUKA KWA MISULI YA MOYO/KUZIBA KWA VISHIPA VYA DAMU.


Magonjwa ya moyo ni muunganiko wa magonjwa yanayoshambulia moyo, vishipa vipelekavyo/vitoavyo damu kwenye moyo na maumbile yanayotengeneza moyo kwa ujumla(Structural and vessels disease).

Moja ya ugonjwa wa moyo unaokuja kwa kasi sana nchini ni ⤵;
↪Kupanda kwa shinikizo la juu la damu/Presha ya kupanda(high blood pressure/Hypertension) na kushuka kwa shinikizo la damu (Presha ya kushuka/Hypotension).

Presha ni msukumo wa damu kwenye vishipa vya damu,msukumo huu ukiwa mkubwa au mdogo kuliko unaohitajika mwilini ndio huitwa presha ya kupanda au kushuka.

Kwa mujibu wa shirika la afya duniani (WHO) sababu kuu za Presha pamoja na magonjwa ya moyo zinatajwa kuwa ni pamoja na;

????Ulaji usiofaa, ulaji usiofata taratibu za kitabibu ikiwa ni pamoja na kula chakula kingi baada ya saa kumi na moja jioni au kula chakula kingi katika mlo mmoja kuliko kiwango kinachohitajika kwa siku (RDA).

???? Ulaji wa vyakula vya mafuta kwa wingi, ulaji wa vyakula vyenye sukari nyingi au chumvi nyingi katika mlo wako.

????Kutokula mboga mboga za majani pamoja na matunda ambapo kitaalamu inashauriwa nusu ya kila mlo wako iwe mboga mboga za majani pamoja na matunda n.k

*DALILI ZA MAGONJWA YA MOYO & PRESHA*

Zijue dalili ziletwazo na magonjwa ya moyo pamoja na presha ni ;

▶️Maumivu ya kifua mithili ya chembe ya moyo/chembe ya moyo.

▶️ Maumivu ya kifua kuzunguka hadi kwenye bega la kushoto.

▶️ Kuvimba kwa miguu na mikono.

▶️ Mapigo ya moyo kuwa ya chini sana au kasi sana.

▶️ Moyo kwenda mbio sana na kukosa pumzi hasaa zaidi unapotembea au kufanya shughuli zako ndogo ndogo/moyo kudunda kama mtu apiga dogoro kwa chini hasaa wakati wa kulala.

▶️ Mwili kuishiwa nguvu.

▶️ Kupata kizunguzungu na kuzimia.

▶️ Kupata ganzi kwenye miguu na mikono.

▶️Kutokwa na jasho jingi sana n.k


*MATIBABU*
-Ni vyema kwenda Hospital kwanza kujua tatizo lako na chanzo chake kabla ya kuanza kutumia dawa.

-Ipo mimea tiba yenye uwezo mkubwa wa kutibu tatizo la presha ya kupanda/kushuka na magonjwa ya moyo kwa ufanisi mkubwa sana.

-Dawa hii ya kulamba hutumiwa na wagonjwa wa presha kwa wastani wa siku 6 hadi 10 pekee (Dozi moja) na hufanikisha kuwaacha salama na kuwaepusha na matumizi ya vidonge ya kila siku.

-Mimea hii huweza kuondoa tatizo la presha na kutoa matokeo ya haraka sana kuliko matarajio ya mtumiaji.



*NJIA ZA KUEPUKA NA KUPUNGUZA HATARI ZA MATATIZO YA MOYO NA PRESHA*

▶️ Epuka kutumia tumbaku(sigara)
▶️ Punguza kiwango cha chumvi kwenye mlo wako.
▶️ Kula mbogamboga na matunda kwa wingi.
▶️ Fanya mazoezi/Shughulisha mwili.

▶️Punguza ulaji wa vyakula vya kukaanga(vitumiavyo mafuta mengi).

▶️ Epuka unywaji wa pombe.
▶️ Jitibie Kisukari.
▶️ Rekebisha uzito wako ikiwa uko juu na kiasi cha mafuta mwilini (BMI)
▶️ Kuwa na muda sahihi wa kula chakula chako.

▶️ Punguza matumizi makubwa ya Wanga katika mlo wako.



Kwa Ushauri,Maoni pamoja na Msaada wa kimatibabu wasiliana nami kwa:⤵️

Contacts
Nutr.Sood

Calls/Sms/Whatsaap: 0678640098.
Morogoro, mjini & Ilala Dsm.

Vidokezo Salama

  • Usifanye malipo yoyote mtandaoni au kutoa taarifa zako binafsi kakikisha unaiona bidhaa kabla ya kununua.
  • Kuwa mwangalifu na wauzaji wanao hitaji malipo ya awali kabla ya kukutana na kukagua kifaa.
  • Jaribu bidhaa hakikisha inafanya kazi kikamilifu kabla ya kununua, fahamu zaidi kupitia ukurasa huu.
  • Hakikisha unakutana na muuzaji katika eneo salama na la wazi pale unapotaka kununua bidhaa.
Print
Toa Taarifa

Bidhaa Ulizoangalia

Empire tronix Pro Empire tronix 9 months
Canon Printer PIXMA G2420
TZS 440,000
Canon Printer PIXMA G2420
Dar es Salaam
Enjoy productive, quality printing that’s economical too, with this dependable high yield multifunctional MegaTank printer featuring diverse media handling – for pin-sharp documents and vivid photos at home, or in the office.
Bidhaa Nyingine za Umeme Kinondoni Dar Es Salaam
TZS 440,000
Lukman manjy Pro Lukman manjy 8 months
meta Rayban
TZS 1,550,000
meta Rayban
Dar es Salaam
meta Rayban orignal,glasses,chargingcase,cleaningcloth.
New Kamera na Vifaa Kariakoo Fire Street
TZS 1,550,000
Walter Smuts Walter Smuts 8 months
Selling KLR650 2007 year model in Dar es Salaam in 1 week
TZS 2,000,000
Selling KLR650 2007 year model in Dar es Salaam in 1 week
Dar es Salaam
I've been riding up from CPT with my KLR650 and planning on Flying back. Arriving in Dar es Salaam on 4th of March. Bike details: 2007 KLR650 registered in Cape Town I bought it 10 years ago in 2015 in Stellenbosch with 14K on the clock Odometer broken but roughly got 50K on the clock now Uses roughly 2ml per km oil so I'm always riding with extra oil Idling...
Used Pikipiki Slow Leopard
TZS 2,000,000
John The Agent John The Agent 1 year
PLOT FOR SALE IN ZANZIBAR
$ 250,000
PLOT FOR SALE IN ZANZIBAR
Zanzibar Urban/West
Road Front Land for Sale and One of the World-Class Tourist Destinations in Bwejuu Zanzibar Property feature: 1. Total area is 10,230 m² 2. Main tarmac road frontage 3. Water and Electricity are available 4. Position on the Main Road 5. The land is located near the famous Hotels 6. This charming land is ready to build Villas, Hotel, Resort, Restaurant, Super...
Viwanja Bweju
$ 250,000
Donny Magari Donny Magari 7 months
Other 7 months
Toyota verosa verossa
TZS 6,700,000
Toyota verosa verossa
TOYOTA VEROSSA Full ac???? Beams engine Bei 6.7✅ Location Dsm Tuwasiliane 0676 478 888
Used Exchange Allowed Other
TZS 6,700,000
Timothy Renatus Timothy Renatus 2 years
Nyumba inauzwa Mbagala Maji Matitu-3 bedrooms
TZS 45,000,000
Nyumba inauzwa Mbagala Maji Matitu-3 bedrooms
Dar es Salaam
bei shilingi milioni 45,000,0000
Nyumba Zinauzwa
TZS 45,000,000
Lizy Msigwa Lizy Msigwa 10 months
Party Dress L,XL,2XL,3XL
TZS 65,000
Party Dress L,XL,2XL,3XL
Dar es Salaam
Gaun nzuri za sherehe kwa Wanawake good material zinapatikana kwa size L,XL,2XL,3XL
Nguo Narung'ombe
TZS 65,000
Donny Magari Donny Magari 7 months
Other 7 months
Toyota Crown majesta
TZS 17,500,000
Toyota Crown majesta
*Price 17.5 Million ON SALES ???????? *TOYOTA CROWN MAJESTA V8 kasongo Reg: EEM Engine Size CC 4600 Engine 1UR ~ dual Vvt-i Year 2011 8 Gear Outomanual transmission Low mileage Non Repainted Full Music system Clean condition ???? Contact:0676 478 888
Used Exchange Allowed Other
TZS 17,500,000
Ivan Minja Ivan Minja 1 year
Cheap and Good condition house for sale Madale Flamingo
TZS 220,000,000
Cheap and Good condition house for sale Madale Flamingo
Dar es Salaam
Minja Real Estate & Car Broker introduce to you:- Cheap and excellent condition house for sale Madale Flamingo. 1 km from Tarmac road. 3 bedrooms-1 master. Sitting room, Kitchen and Dnning. Public toilet. Plot Size Sqm 800. Surveyed. Doc: Local Government Sales agreement. Kindly Call/Whats app
Nyumba Zinauzwa Madale, Dar Es-Salaam, Coastal Zone, Tanzania
TZS 220,000,000
Donny Magari Donny Magari 7 months
Other 7 months
Toyota Premio X Cc1790 silver
TZS 11,500,000
Toyota Premio X Cc1790 silver
PREMIO X (DHV) Cc 1700 Full Ac Full file Color silver Gari kalii sanaa Bei ML11.5 chap Location kijitonyama Call 0676 478 888
Used Exchange Allowed Other
TZS 11,500,000
Elikind Lawrence Elikind Lawrence 2 years
TVS STAR HLX 125
TZS 1,000,000
TVS STAR HLX 125
Dar es Salaam
INAPIGA STATA HAIJAGUSWA POPOTE HAIHITAJI MATENGENEZO YOYOTE PIGA SIMU TUWASILIANE
Pikipiki
TZS 1,000,000
Ally Kipande Ally Kipande 9 months
Gari Kondoa Dodoma 9 months
Gari 2004
TZS 5,500,000
Gari 2004
Dodoma
Nauza hyoo gari ipo Dodoma Mjini Kondoa karibuni
Gari Mjini
TZS 5,500,000
johary mwijage johary mwijage 1 year
Nyumba inauzwa kigamboni
TZS 21,000,000
Nyumba inauzwa kigamboni
Dar es Salaam
Inauzwa nyumba kigamboni darajani bei 21 M vyumba 2 na choo Contact 0715053339
Nyumba Zinauzwa Kigamboni Dar
TZS 21,000,000
Ivan Minja Ivan Minja 1 year
Plot for sale Goba Madale Road
TZS 100,500,000,000
Plot for sale Goba Madale Road
Dar es Salaam
Minja real estate & Car Broker introduce:- Plot for sale Goba Madale Road. Plot size Sqm 4000. Clean title deed. 1 km from Njia nne. Plot good for Petrol station, Hotel, Pub and Lounge, Hospital, Collage n.k. Price 1.5 Billion. Contact : Call/Whats app 0687575770. GOD BLESS THE WORK OF MY HANDS.
Viwanja Goba Madale Road
TZS 100,500,000,000
Ivan Minja Ivan Minja 1 year
House for sale Bunju Mianzini
TZS 200,000,000
House for sale Bunju Mianzini
Dar es Salaam
Minja real estate & Car Broker introduce:- House for sale Bunju Mianzini. 3 bedrooms-1 master. Kitchen, sitting room. Clean title deed. Plot size Sqm 500. Price Mil 200. Call/whats app if your serious interested via 0687575770. If you need house to buy/you sell, renting, kindly get intouch. GOD BLESS THE WORK OF MY HANDS.
Nyumba Zinauzwa Mianzini Bunju
TZS 200,000,000
Mtc store Mtc store 2 years
Disaar vitamin c oil
TZS 10,000
Disaar vitamin c oil
Dar es Salaam
DISAAR VITAMIN C OIL AVAILABLE Th 10,000 • Oil nzuri ya vitamin c inasaidia kuondoa madoa mwilini * Wale wenye chunusi za mgongoni na kifuani hii oil inasaidia sana • Yanalainisha sana ngozi • Yanaipa unyevu ngozi • Hii oil haichubui inafaa kwa wanawake na wanaume! •' Ngozi ya mwili ina glow vizuri! Price: 10,000
Afya na Urembo
TZS 10,000
Nabeel ikbal Pro Nabeel ikbal 9 months
Infinix Hot 30
TZS 410,000
Infinix Hot 30
Dar es Salaam
*INFINIX NOTE 30 NZURI SANA *Ram 8 *GB 256 *mAh battery:5000 *Inches size 6.78 *MP 64 FULL BOX ???? *Warranty:2 years IlE BEI TSHS TSH:/=410,000/= *Maongezi yapo* *Call me NBL: 0677 789 575_Tigo 0746 267 886_Whatsapp *Wa mikoani* *tuna tuma mzigo mkoa wowote uliyopo* *0FFER: *Na pia kma upo jiji la Dar es Salaam Tunafanya *deliver free mpka ulipo:YANI USAFIR...
Simu na Vifaa Studio
TZS 410,000
Donny Magari Donny Magari 7 months
Other 7 months
Suzuki carry
TZS 5,800,000
Suzuki carry
SUZUKI CARRY 4wheel drive Cc 650 Milioni 5.8 In mint cond.???? Full A/C ✅ Location: SALASALA CALL 0676 478 888
Used Exchange Allowed Other
TZS 5,800,000
ISCOPE TRADING COMPANY Pro ISCOPE TRADING COMPANY 2 years
New sofa set
Check with seller
New sofa set
Dar es Salaam
sofa set 3:1:1
Vifaa Nyumbani na Fanicha
Check with seller
Peter Alfred Peter Alfred 6 months
FIRST BEACH PLOT FOR SALE
TZS 650,000,000
FIRST BEACH PLOT FOR SALE
Dar es Salaam
FIRST BEACH PLOT INAUZWA KIGAMBONI Ni beach plot safi ya mchanga, Huduma zote za kijamii zinapatikana, SITE VISIT NI KILA SIKU 0623590196
New Viwanja Kimbiji
TZS 650,000,000
Michael Dalali Michael Dalali 11 months
HOUSE FOR SALE MIKOCHENI MAIN ROAD
$ 1,000,000
HOUSE FOR SALE MIKOCHENI MAIN ROAD
Dar es Salaam
VERY GOOD HOUSE FOR SALE 6 BEDROOMS LOCATED AT MIKOCHENI MAIN ROAD, GOOD NEIGHBOURHOOD, PLOT SIZE: 1800 SQMS CLEAN TITLE DEED, ASKING PRICE: USD 1000000
Nyumba Zinauzwa Mbezibeach
$ 1,000,000
Bashir Adnan Bashir Adnan 2 years
Toyota mark 2 grand wanja
TZS 10,800,000
Toyota mark 2 grand wanja
Dar es Salaam
Toyota Mark II Grand Wanja. Engine vvti Cc 1980 Automatic Fuel Petrol Full ac Full file Excellent Condition Location Dar es salaam Tsh 10.8M 0675122105
Gari
TZS 10,800,000
Joel Zacharia Chalema Pro Joel Zacharia Chalema 2 years
Chalema Tanzania Safaris
Check with seller
Chalema Tanzania Safaris
Arusha
Chalema Tanzania Safaris, led by Joel Zacharia Chalema, is a premier local tour operator in Tanzania. Our team specializes in crafting personalized itineraries that showcase the best of Tanzania's wildlife, adventure, culture, and relaxation. From thrilling safaris to awe-inspiring mountain climbing expeditions, we create unforgettable experiences that excee...
Huduma Nyingine 10393 - New Safari Hotel Rd
Check with seller
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 5 months
Pro Viwanja Mwanza Mwanza 5 months
shamba la heka tano linauzwa lugeye
TZS 28,000,000
shamba la heka tano linauzwa lugeye
Mwanza
SHAMBA LA HEKA TANO (5) LINAUZWA LUGEYE -shamba linafaa kwa kilimo na ufugaji -kuna nyumba ndogo ya kizamani na kisima cha maji -bei Milioni 28 ☎️ 0743220097
Viwanja
TZS 28,000,000
Are you a professional seller? Create an account