Presha ya kupanda/Presha ya kushuka/Dalili za Presha/Tiba Asili Ya Presha.

TZS 69,999
Huduma za Urembo na Mazoezi
2 years
Tanzania
Dar es Salaam
Ilala
3000
2740 views
SKU: 2193
Published 2 years ago by Nutr Sood
TZS 69,999
3000, Ilala, Dar es Salaam, Tanzania
Get directions →
2740 item views
Presha(Shinikizo la Damu) ni msukumo wa damu kwenye vishipa vya damu, msukumo huo huzalishwa baada ya moyo kusukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.

Aina za Presha.

Zipo aina kuu mbili za presha, yaani;
(I) PRESHA YA KUPANDA
(II) PRESHA YA KUSHUKA.

PRESHA YA KUPANDA.

Presha ya kupanda ni msukumo wa damu unaosukumwa na moyo kwenda kwenye vishipa vya damu (artery) kuwa mkubwa kuliko njia ya mishipa hiyo.
Presha itaitwa kuwa presha ya kupanda ikiwa iko juu zaidi ya presha ya kawaida ambayo ni 120/80mmHg au kwa lugha nyingine wataalam wanasema ikiwa juu ya 140mmHg systolic blood pressure.Presha yaweza kupanda mpaka kufikia 240/120mmHg.


Sababu Kuu Za Kupanda Kwa Presha.

(i) Utumiaji wa chumvi nyingi kwenye chakula.

(ii) Unywaji wa pombe/sigara uliokithiri.

(iii) Msongo wa mawazo na kutokufanya mazoezi

(iv) Familia zenye matatizo ya moyo pamoja na kurithi.

(v) uzito mkubwa,unene na kitambi.



Dalili Za Presha Ya Kupanda.

(I) Kushikwa na kizunguzungu.

(II) Kichefuchefu, tumbo kujaa na kutapika kusiko kwa kawaida.

(iii) Kuvimba/kujaa maji kwa miguu,uso na mikono.

(iv)Kutokuona vizuri (kuona ukungu).


Madhara Yatokanayo Na Presha Ya Kupanda.

1️⃣ Uvimbe kwenye kuta za vishipa vya damu/kuziba kwa mishipa ya damu(artery) inayopelekea shambulio la moyo (Heart attack).

2️⃣Moyo kushindwa kusukuma damu (Heart failure).

3️⃣Kiharusi(stroke).

4️⃣ Kuharibika kwa figo pamoja na kupata shida ya moyo kutanuka.

Kwa upande mwingine;


PRESHA YA KUSHUKA.

Presha ya kushuka ni ile hali msukumo wa damu unakuwa mdogo kuliko upana (unene) wa vishipa vya damu hali inayopelekea damu chache kufika kwenye ubongo na viungo vingine vya mwili.

Presha ikishuka mpaka kufikia 90/60mmHg kutokea 120/80mmHg inatafsiriwa kama presha iliyoshuka.


Presha ya kushuka huchangiwa hasaa na moja ya sababu zifuatazo;

➡️Matatizo ya homoni.

➡️Maradhi ya moyo pamoja na matatizo ya vishipa vya damu.

➡️Kuwa na ugonjwa wa Kisukari.

➡️Kubeba Ujauzito.

➡️Ukosefu wa virutubisho mwilini kama vile protini,madini ya chuma,Vitamin B-12 n.k

➡️Kushikwa na hasira pamoja na msongo wa mawazo/matatizo ya hofu na wasi wasi.


Na moja ya dalili za presha ya kushuka ni kama vile;

➡️Mchoko(udhaifu), mwili kukosa nguvu na kuhisi kizunguzungu.

➡️Maumivu ya kifua pamoja na homa kali.

➡️Kupumua kwa shida na moyo kwenda mbio (mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida).

➡️Maumivu kwenye kifua, bega la kushoto pamoja na kiwiko cha mkono.

Moja ya madhara yanayotajwa yatokanayo na presha ya kushuka ni pamoja na mshtuko/kifo cha ghafla kunakotokana na viungo vya mwili kutokupata oxygen ya kutosha.


Epuka,dhibiti moja ya mambo yafuatayo ikiwa unasumbuliwa na tatizo la presha (aina zote) pamoja na athari zitokanazo na magonjwa ya moyo.

1.Kupata wasaa wa kufanya mazoezi ya viungo, kukimbilia au kuendesha baiskeli (wastani wa dk 45 kwa siku)

2.Epuka matumizi ya sigara, pombe na matumizi mengine ya madawa kama Heroine

3.Tumia kiasi sahihi cha chumvi, sukari au mafuta kwenye chakula chako(Sikiliza miongozo ya wataalamu).

4.Pata wasaa wa kupumzika (Zaidi ya saa 8 kwa siku)

5.Punguza unene au uzito uriokithiri.

Muhimu zaidi;

_Ipo mimea tiba yenye uwezo wa ajabu katika kutibu matatizo ya presha na kuondoa athari zitokanazo na magonjwa ya moyo.

_Dawa hii utaitumia kwa muda wa siku 6 hadi 10 tu,zitatosha kuondoa na kumaliza kabisa tatizo lako la presha.Presha kwa siku 6 hadi 10, tafsiri yake dawa inafanya kazi kwa haraka sanaaa na inatoa matokeo kwa haraka.

Nakukaribisha tena kupata suluhisho la tatizo lako.

Kwa ushauri,maoni pamoja na msaada wa kimatibabu, wasiliana nami kwa namba;

Call/sms/whatsaap

0678640098.
Ilala,Dsm&Morogoro mjini. Read more

Description

Presha(Shinikizo la Damu) ni msukumo wa damu kwenye vishipa vya damu, msukumo huo huzalishwa baada ya moyo kusukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.

Aina za Presha.

Zipo aina kuu mbili za presha, yaani;
(I) PRESHA YA KUPANDA
(II) PRESHA YA KUSHUKA.

PRESHA YA KUPANDA.

Presha ya kupanda ni msukumo wa damu unaosukumwa na moyo kwenda kwenye vishipa vya damu (artery) kuwa mkubwa kuliko njia ya mishipa hiyo.
Presha itaitwa kuwa presha ya kupanda ikiwa iko juu zaidi ya presha ya kawaida ambayo ni 120/80mmHg au kwa lugha nyingine wataalam wanasema ikiwa juu ya 140mmHg systolic blood pressure.Presha yaweza kupanda mpaka kufikia 240/120mmHg.


Sababu Kuu Za Kupanda Kwa Presha.

(i) Utumiaji wa chumvi nyingi kwenye chakula.

(ii) Unywaji wa pombe/sigara uliokithiri.

(iii) Msongo wa mawazo na kutokufanya mazoezi

(iv) Familia zenye matatizo ya moyo pamoja na kurithi.

(v) uzito mkubwa,unene na kitambi.



Dalili Za Presha Ya Kupanda.

(I) Kushikwa na kizunguzungu.

(II) Kichefuchefu, tumbo kujaa na kutapika kusiko kwa kawaida.

(iii) Kuvimba/kujaa maji kwa miguu,uso na mikono.

(iv)Kutokuona vizuri (kuona ukungu).


Madhara Yatokanayo Na Presha Ya Kupanda.

1️⃣ Uvimbe kwenye kuta za vishipa vya damu/kuziba kwa mishipa ya damu(artery) inayopelekea shambulio la moyo (Heart attack).

2️⃣Moyo kushindwa kusukuma damu (Heart failure).

3️⃣Kiharusi(stroke).

4️⃣ Kuharibika kwa figo pamoja na kupata shida ya moyo kutanuka.

Kwa upande mwingine;


PRESHA YA KUSHUKA.

Presha ya kushuka ni ile hali msukumo wa damu unakuwa mdogo kuliko upana (unene) wa vishipa vya damu hali inayopelekea damu chache kufika kwenye ubongo na viungo vingine vya mwili.

Presha ikishuka mpaka kufikia 90/60mmHg kutokea 120/80mmHg inatafsiriwa kama presha iliyoshuka.


Presha ya kushuka huchangiwa hasaa na moja ya sababu zifuatazo;

➡️Matatizo ya homoni.

➡️Maradhi ya moyo pamoja na matatizo ya vishipa vya damu.

➡️Kuwa na ugonjwa wa Kisukari.

➡️Kubeba Ujauzito.

➡️Ukosefu wa virutubisho mwilini kama vile protini,madini ya chuma,Vitamin B-12 n.k

➡️Kushikwa na hasira pamoja na msongo wa mawazo/matatizo ya hofu na wasi wasi.


Na moja ya dalili za presha ya kushuka ni kama vile;

➡️Mchoko(udhaifu), mwili kukosa nguvu na kuhisi kizunguzungu.

➡️Maumivu ya kifua pamoja na homa kali.

➡️Kupumua kwa shida na moyo kwenda mbio (mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida).

➡️Maumivu kwenye kifua, bega la kushoto pamoja na kiwiko cha mkono.

Moja ya madhara yanayotajwa yatokanayo na presha ya kushuka ni pamoja na mshtuko/kifo cha ghafla kunakotokana na viungo vya mwili kutokupata oxygen ya kutosha.


Epuka,dhibiti moja ya mambo yafuatayo ikiwa unasumbuliwa na tatizo la presha (aina zote) pamoja na athari zitokanazo na magonjwa ya moyo.

1.Kupata wasaa wa kufanya mazoezi ya viungo, kukimbilia au kuendesha baiskeli (wastani wa dk 45 kwa siku)

2.Epuka matumizi ya sigara, pombe na matumizi mengine ya madawa kama Heroine

3.Tumia kiasi sahihi cha chumvi, sukari au mafuta kwenye chakula chako(Sikiliza miongozo ya wataalamu).

4.Pata wasaa wa kupumzika (Zaidi ya saa 8 kwa siku)

5.Punguza unene au uzito uriokithiri.

Muhimu zaidi;

_Ipo mimea tiba yenye uwezo wa ajabu katika kutibu matatizo ya presha na kuondoa athari zitokanazo na magonjwa ya moyo.

_Dawa hii utaitumia kwa muda wa siku 6 hadi 10 tu,zitatosha kuondoa na kumaliza kabisa tatizo lako la presha.Presha kwa siku 6 hadi 10, tafsiri yake dawa inafanya kazi kwa haraka sanaaa na inatoa matokeo kwa haraka.

Nakukaribisha tena kupata suluhisho la tatizo lako.

Kwa ushauri,maoni pamoja na msaada wa kimatibabu, wasiliana nami kwa namba;

Call/sms/whatsaap

0678640098.
Ilala,Dsm&Morogoro mjini.

Vidokezo Salama

  • Usifanye malipo yoyote mtandaoni au kutoa taarifa zako binafsi kakikisha unaiona bidhaa kabla ya kununua.
  • Kuwa mwangalifu na wauzaji wanao hitaji malipo ya awali kabla ya kukutana na kukagua kifaa.
  • Jaribu bidhaa hakikisha inafanya kazi kikamilifu kabla ya kununua, fahamu zaidi kupitia ukurasa huu.
  • Hakikisha unakutana na muuzaji katika eneo salama na la wazi pale unapotaka kununua bidhaa.
Print
Toa Taarifa

Bidhaa Ulizoangalia

One Crystal One Crystal 4 months
Fridge
TZS 350,000
Fridge
Dar es Salaam
Double Door Fridge for home or business use, great electric consumption, strong functionality.
Used Vifaa Nyumbani na Fanicha Geza
TZS 350,000
Ivan Minja Ivan Minja 9 months
Wonderful White sand beach plot for sale Geza Bamba Beach Kigamboni
TZS 1,787,500,000
Wonderful White sand beach plot for sale Geza Bamba Beach Kigamboni
Dar es Salaam
Minja real estate & Car Broker introduce:- Wonderful sand beach Plot for sale Geza Bamba Beach Kigamboni. The Beach has 4 acres. First plot from the beach. Kindly call/What's app if your interested via 0687575770. Price 650,000 USD. GOD BLESS THE WORK OF MY HANDS.
Viwanja Geza Bamba Beach Kigamboni
TZS 1,787,500,000
Peter Alfred Peter Alfred 2 months
KWA MILIONI 25 UNAMILIKI KIWANJA KARIBU NA BAHARI KIGAMBONI
TZS 25,000,000
KWA MILIONI 25 UNAMILIKI KIWANJA KARIBU NA BAHARI KIGAMBONI
Dar es Salaam
KWA MILIONI 25 UNAMILIKI KIWANJA KARIBU SANA NA BAHARI, Ni sehemu nzuri sana iliyongeka, Ni mita 600 kutoka barabara ya lami, NI OFA YA WIKI MBILI TU, SITE VISIT NI KILA SIKU, Piga simu uwahi Ofa hii tamu, 0623590196
Viwanja Kibugumo
TZS 25,000,000
Mkufya Matope Mkufya Matope 2 months
House for Rent Mbweni Teta - Mpya kabisa
TZS 1,500,000
House for Rent Mbweni Teta - Mpya kabisa
Dar es Salaam
Nyumba ya Ghorofa Moja, Vyumba 4 vya kulala vyote ni Master na Makabati ya nguo, Sebule kubwa na eneo la kulia chakula (*Dining*), Jiko la kisasa lenye makabati, Eneo la kupaki magari kubwa (Parking Space), Garden ndogo na mazingira safi, Potential area, Laundry Area & Storage Room, Tiles, Gypsum and Sliding Windows and Door.
New Nyumba za Kupanga Mbweni Teta - Ugogoni, Mtaa Wa Lemba
TZS 1,500,000
johal ali johal ali 2 years
New Samsung Galaxy s9 256GB
TZS 587,978
New Samsung Galaxy s9 256GB
Dodoma
WhatsApp Chat/Call Anytime :  +16193779952 Sealed In Box Complete Accessories Original , Authentic 1 Years Warranty 90 Days Return Policy. 100% MoneyBack Guaranteed. Receipt.
Simu na Vifaa Road Way
TZS 587,978
Shara Khamis Shara Khamis 2 years
Nyumba ya vyumba 4 Fuoni inauzwa
TZS 75,000,000
Nyumba ya vyumba 4 Fuoni inauzwa
Zanzibar Urban/West
Nyumba yenye vyumba vinne vya kulala, sebule, jiko, chumba kimoja kinajitegemea choo, kuna choo cha pamoja, ina ukuta mkubwa kwa usalama na faragha, ipo laini ya tatu kutoka njia kuu, nyumba ni kongwe inakalika, pia unaweza kuvunja na kujenga mpya. Tutafute .
Nyumba Zinauzwa
TZS 75,000,000
Mohamed Ayoub Mohamed Ayoub 1 year
Free Construction Estimates
Check with seller
Free Construction Estimates
Dar es Salaam
Whether you're planning or intending to build, we always help get free construction estimates. Contact Us Now
Huduma Nyingine 14110 - Acacia Estates Offices, Plot No. 84
Check with seller
Vicci Borkan Vicci Borkan 5 months
Subaru
TZS 23,500,000
Subaru
Dar es Salaam
*Price 23.5m* Subaru Forester Cc 1990 Year 2008/9 Mileage 66000 Android Radio Color black leather Seats Push To Start New Tires✅✅ Excellent Condition 0617302008
Used Exchange Allowed Gari Mlimani
TZS 23,500,000
Edward Isaya Edward Isaya 1 year
Gari Mwanza Mwanza 1 year
Ist
TZS 7,500,000
Ist
Mwanza
Ist NEAT CAR RADIO Full Ac ENGINE SAFI???? #BEI;,7,500,000/=MILIONI TZS #CALL,,,WHATSAP,,,&TEXT???? #0743448205 #MR.EDDO #KARIBUMTEJA #MWANZA-HQ#tanzania#zambia #usedcars#instagram #facebook #market #businessman #business #used #edward.nkaina#nkainatraders #morogoro #kigoma #mtwara #nairobi #kampala #NKAINATRADERS##mpanda@nkaina_traders @edward.nkaina#Ka...
Gari 1234 - 33312
TZS 7,500,000
Jucy Maine Jucy Maine 4 months
Mazda cz5
TZS 28,500,000
Mazda cz5
Dar es Salaam
Mazda cx5 2015,diesel,cc 2300 Skyactive(hybrid Lita 1 km 11 Bei:28.5ml Ipo bandarini tayar Wahi kulipia usajiliwe Zipo2 tu BEI+USAJILI WAKO. ????DSM????0785 323353 Napokea pia pesa via benk/ Ujanja kuwahi,karibun. NB:HUPAT BEI KITONGA KOKOTE MJINI HAPA ZAID YANGU
New Gari Malamba Mawili
TZS 28,500,000
Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 1 year
Original Force Star long key set 15pcs
TZS 115,000
Original Force Star long key set 15pcs
Dar es Salaam
Original Force Star long key set 15pcs Price : 115,000Tshs Call / Whatsapp : 0627774377
Bidhaa Nyingine
TZS 115,000
aston peter aston peter 4 months
canon G3410
TZS 450,000
canon G3410
Dar es Salaam
*_Limited Offer_* *Canon Pixma G3410* Print, Copy, Scan, Wi-Fi (Wireless), Boardless Photo printing *3-year warranty* _GET FREE_ 1pcs Ream Paper 1pcs Printer Cable 1mtr 1pcs T-shirt 1pcs Canon Bag
New Bidhaa Nyingine za Umeme Uhuru
TZS 450,000
Jovins Malle Jovins Malle 2 years
Suzuki Carry Injection
TZS 7,200,000
Suzuki Carry Injection
Dar es Salaam
Suzuki Super Carry Container box body, Very Good Condition Manual Injection
Magari Makubwa na Mabasi
TZS 7,200,000
Lorraine Shose David Maimu Lorraine Shose David Maimu 1 year
canon 1200D
TZS 350,000
canon 1200D
Dar es Salaam
in mint condition with 2 batteries and charger. no lens, no memory card
Kamera na Vifaa Ally Sykes Close
TZS 350,000
Aneth Mpiga Aneth Mpiga 2 months
Gari Dodoma Dodoma 2 months
Alphad v6, 2008
TZS 28,000,000
Alphad v6, 2008
Dodoma
still in good condition and it has been used in 6 months only
Used Gari Nzuguni B
TZS 28,000,000
Bunikeni Paul Bunikeni Paul 1 year
Ukubwa: Mita 28 kwa 17
TZS 16,000,000
Ukubwa: Mita 28 kwa 17
Dar es Salaam
Kiwanja kipo Goba mpakani. kipo sehemu tambarare. Huduma zote zinapatikana(Maji, umeme n.k)
Viwanja Goba Mpakani
TZS 16,000,000
Brigite Ringia Brigite Ringia 3 months
Vaseline body oil
TZS 50,000
Vaseline body oil
Dar es Salaam
Mafuta mazuri sana kwa watu wenye ngozi kavu.
New Afya na Urembo 62 Cosford Crescent
TZS 50,000
Isaac Siza Pro Isaac Siza 2 years
Pro Gari Ilala Dar es Salaam 2 years
SUBARU FORESTER
TZS 33,500,000
SUBARU FORESTER
Dar es Salaam
OFISI ZETU Ghorofa ya 6, Salamander Tower/Gsm Mall, Mtaa wa samora-Posta Dar es salaam
Gari Salamander Tower
TZS 33,500,000
Nabeel ikbal Pro Nabeel ikbal 2 months
Engine for Alphard complete: ml3,330,000/=
TZS 3,330,000
Engine for Alphard complete: ml3,330,000/=
Dar es Salaam
Engine 2Az for_Alphard, Harrier,Rav_4 miss Tz kluger(FROM DUBAI???????? Cc 2360 Used from Dubai Price Milion ml ●:3,330,000/= *Maongezi yapo* Call me:0677 789 575-TIGO 0746 267 886-Whatsapp Location:ILALA/DAR ES SALAAM: MTAA WA SHAURI MOYO OPPOSITE JENGO LA TRA Mikoani:Tunatuma Engine Kwa gharama nafuu kabisa 1.Miswaki ya Engine IPO Kwa gharama nafuu☑️ 2.Gea...
Used Exchange Allowed Mauzo ya Jumla Studio
TZS 3,330,000
Excela Joshua Excela Joshua 10 months
Viwanja Tanga Tanga 10 months
ENEO LINAKAMATA BARABARA KUU LINAUZWA MKATA TANGA
TZS 6,500,000
ENEO LINAKAMATA BARABARA KUU LINAUZWA MKATA TANGA
Tanga
ENEO LIMEKAMATA BARABARA YA KUU LINAUZWA MKATA TANGA, NI KARIBU NA BELIA KABLA HUJAFIKA MKATA MJINI UKITOKEA DAR LOC :MKATA TANGA AREA :EKA 2 PRICE: MIL 6.5 UMILIKI :MKATABA WA SERIKALI YA KIJIJI CONT. CALL Whatsapp &sms +255715090904 kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>> https://wa.me/255715090904 Insta @excela_and_properties HUDUMA ZOTE ZIPO... ...
Viwanja Mkata Tanga
TZS 6,500,000
Ahmed Sereri Ahmed Sereri 4 months
A59 plus smartwatch
TZS 55,000
A59 plus smartwatch
Dar es Salaam
Pataa smartwatch na zawadi ndani yake kwa bei ya ofa ya 55,000 Tu
New Vito na Saa
TZS 55,000
Donny Magari Donny Magari 4 months
Other 4 months
Marcopolo Tata bus
TZS 78,800,000
Marcopolo Tata bus
Tata Marcopolo DVL Mwaka 2025 Price:78.8M Mlango mmoja Hamna kipengele gari mpya sana Location Dsm Tuwasiliane 0676 478 888
Used Exchange Allowed Other
TZS 78,800,000
Innocent Otto Innocent Otto 1 year
RELIABLE ENGINE PERFORMANCE ERISTIC GASKET KIT ENGINE SUZUKI G16A
TZS 40,000
RELIABLE ENGINE PERFORMANCE ERISTIC GASKET KIT ENGINE SUZUKI G16A
Dar es Salaam
Maintain peak performance and reliability of your suzuki vitara or escudo with g16a engine with our brand new ERISTIC gasket kit engine with all neccessry gaskets and seals required for engine assembly ensuring tight seals and dependable performance Key Features High quality materials used hence offers exceptional resistance to heat pressure ensuring long la...
Spea na Vifaa P.o.box 34129 Dar Es Salaam
TZS 40,000
Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 1 year
Joint & Bone Therapy Spray
TZS 65,000
Joint & Bone Therapy Spray
Dar es Salaam
Joint & Bone Therapy Spray Price : 65,000Tshs Call / Whatsapp : 0627774377
Bidhaa Nyingine
TZS 65,000
Are you a professional seller? Create an account