Presha ya kupanda/Presha ya kushuka/Dalili za Presha/Tiba Asili Ya Presha.

TZS 69,999
Huduma za Urembo na Mazoezi
2 years
Tanzania
Dar es Salaam
Ilala
3000
3331 views
SKU: 2193
Published 2 years ago by Nutr Sood
TZS 69,999
3000, Ilala, Dar es Salaam, Tanzania
Get directions →
3331 item views
Presha(Shinikizo la Damu) ni msukumo wa damu kwenye vishipa vya damu, msukumo huo huzalishwa baada ya moyo kusukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.

Aina za Presha.

Zipo aina kuu mbili za presha, yaani;
(I) PRESHA YA KUPANDA
(II) PRESHA YA KUSHUKA.

PRESHA YA KUPANDA.

Presha ya kupanda ni msukumo wa damu unaosukumwa na moyo kwenda kwenye vishipa vya damu (artery) kuwa mkubwa kuliko njia ya mishipa hiyo.
Presha itaitwa kuwa presha ya kupanda ikiwa iko juu zaidi ya presha ya kawaida ambayo ni 120/80mmHg au kwa lugha nyingine wataalam wanasema ikiwa juu ya 140mmHg systolic blood pressure.Presha yaweza kupanda mpaka kufikia 240/120mmHg.


Sababu Kuu Za Kupanda Kwa Presha.

(i) Utumiaji wa chumvi nyingi kwenye chakula.

(ii) Unywaji wa pombe/sigara uliokithiri.

(iii) Msongo wa mawazo na kutokufanya mazoezi

(iv) Familia zenye matatizo ya moyo pamoja na kurithi.

(v) uzito mkubwa,unene na kitambi.



Dalili Za Presha Ya Kupanda.

(I) Kushikwa na kizunguzungu.

(II) Kichefuchefu, tumbo kujaa na kutapika kusiko kwa kawaida.

(iii) Kuvimba/kujaa maji kwa miguu,uso na mikono.

(iv)Kutokuona vizuri (kuona ukungu).


Madhara Yatokanayo Na Presha Ya Kupanda.

1️⃣ Uvimbe kwenye kuta za vishipa vya damu/kuziba kwa mishipa ya damu(artery) inayopelekea shambulio la moyo (Heart attack).

2️⃣Moyo kushindwa kusukuma damu (Heart failure).

3️⃣Kiharusi(stroke).

4️⃣ Kuharibika kwa figo pamoja na kupata shida ya moyo kutanuka.

Kwa upande mwingine;


PRESHA YA KUSHUKA.

Presha ya kushuka ni ile hali msukumo wa damu unakuwa mdogo kuliko upana (unene) wa vishipa vya damu hali inayopelekea damu chache kufika kwenye ubongo na viungo vingine vya mwili.

Presha ikishuka mpaka kufikia 90/60mmHg kutokea 120/80mmHg inatafsiriwa kama presha iliyoshuka.


Presha ya kushuka huchangiwa hasaa na moja ya sababu zifuatazo;

➡️Matatizo ya homoni.

➡️Maradhi ya moyo pamoja na matatizo ya vishipa vya damu.

➡️Kuwa na ugonjwa wa Kisukari.

➡️Kubeba Ujauzito.

➡️Ukosefu wa virutubisho mwilini kama vile protini,madini ya chuma,Vitamin B-12 n.k

➡️Kushikwa na hasira pamoja na msongo wa mawazo/matatizo ya hofu na wasi wasi.


Na moja ya dalili za presha ya kushuka ni kama vile;

➡️Mchoko(udhaifu), mwili kukosa nguvu na kuhisi kizunguzungu.

➡️Maumivu ya kifua pamoja na homa kali.

➡️Kupumua kwa shida na moyo kwenda mbio (mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida).

➡️Maumivu kwenye kifua, bega la kushoto pamoja na kiwiko cha mkono.

Moja ya madhara yanayotajwa yatokanayo na presha ya kushuka ni pamoja na mshtuko/kifo cha ghafla kunakotokana na viungo vya mwili kutokupata oxygen ya kutosha.


Epuka,dhibiti moja ya mambo yafuatayo ikiwa unasumbuliwa na tatizo la presha (aina zote) pamoja na athari zitokanazo na magonjwa ya moyo.

1.Kupata wasaa wa kufanya mazoezi ya viungo, kukimbilia au kuendesha baiskeli (wastani wa dk 45 kwa siku)

2.Epuka matumizi ya sigara, pombe na matumizi mengine ya madawa kama Heroine

3.Tumia kiasi sahihi cha chumvi, sukari au mafuta kwenye chakula chako(Sikiliza miongozo ya wataalamu).

4.Pata wasaa wa kupumzika (Zaidi ya saa 8 kwa siku)

5.Punguza unene au uzito uriokithiri.

Muhimu zaidi;

_Ipo mimea tiba yenye uwezo wa ajabu katika kutibu matatizo ya presha na kuondoa athari zitokanazo na magonjwa ya moyo.

_Dawa hii utaitumia kwa muda wa siku 6 hadi 10 tu,zitatosha kuondoa na kumaliza kabisa tatizo lako la presha.Presha kwa siku 6 hadi 10, tafsiri yake dawa inafanya kazi kwa haraka sanaaa na inatoa matokeo kwa haraka.

Nakukaribisha tena kupata suluhisho la tatizo lako.

Kwa ushauri,maoni pamoja na msaada wa kimatibabu, wasiliana nami kwa namba;

Call/sms/whatsaap

0678640098.
Ilala,Dsm&Morogoro mjini. Read more

Description

Presha(Shinikizo la Damu) ni msukumo wa damu kwenye vishipa vya damu, msukumo huo huzalishwa baada ya moyo kusukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.

Aina za Presha.

Zipo aina kuu mbili za presha, yaani;
(I) PRESHA YA KUPANDA
(II) PRESHA YA KUSHUKA.

PRESHA YA KUPANDA.

Presha ya kupanda ni msukumo wa damu unaosukumwa na moyo kwenda kwenye vishipa vya damu (artery) kuwa mkubwa kuliko njia ya mishipa hiyo.
Presha itaitwa kuwa presha ya kupanda ikiwa iko juu zaidi ya presha ya kawaida ambayo ni 120/80mmHg au kwa lugha nyingine wataalam wanasema ikiwa juu ya 140mmHg systolic blood pressure.Presha yaweza kupanda mpaka kufikia 240/120mmHg.


Sababu Kuu Za Kupanda Kwa Presha.

(i) Utumiaji wa chumvi nyingi kwenye chakula.

(ii) Unywaji wa pombe/sigara uliokithiri.

(iii) Msongo wa mawazo na kutokufanya mazoezi

(iv) Familia zenye matatizo ya moyo pamoja na kurithi.

(v) uzito mkubwa,unene na kitambi.



Dalili Za Presha Ya Kupanda.

(I) Kushikwa na kizunguzungu.

(II) Kichefuchefu, tumbo kujaa na kutapika kusiko kwa kawaida.

(iii) Kuvimba/kujaa maji kwa miguu,uso na mikono.

(iv)Kutokuona vizuri (kuona ukungu).


Madhara Yatokanayo Na Presha Ya Kupanda.

1️⃣ Uvimbe kwenye kuta za vishipa vya damu/kuziba kwa mishipa ya damu(artery) inayopelekea shambulio la moyo (Heart attack).

2️⃣Moyo kushindwa kusukuma damu (Heart failure).

3️⃣Kiharusi(stroke).

4️⃣ Kuharibika kwa figo pamoja na kupata shida ya moyo kutanuka.

Kwa upande mwingine;


PRESHA YA KUSHUKA.

Presha ya kushuka ni ile hali msukumo wa damu unakuwa mdogo kuliko upana (unene) wa vishipa vya damu hali inayopelekea damu chache kufika kwenye ubongo na viungo vingine vya mwili.

Presha ikishuka mpaka kufikia 90/60mmHg kutokea 120/80mmHg inatafsiriwa kama presha iliyoshuka.


Presha ya kushuka huchangiwa hasaa na moja ya sababu zifuatazo;

➡️Matatizo ya homoni.

➡️Maradhi ya moyo pamoja na matatizo ya vishipa vya damu.

➡️Kuwa na ugonjwa wa Kisukari.

➡️Kubeba Ujauzito.

➡️Ukosefu wa virutubisho mwilini kama vile protini,madini ya chuma,Vitamin B-12 n.k

➡️Kushikwa na hasira pamoja na msongo wa mawazo/matatizo ya hofu na wasi wasi.


Na moja ya dalili za presha ya kushuka ni kama vile;

➡️Mchoko(udhaifu), mwili kukosa nguvu na kuhisi kizunguzungu.

➡️Maumivu ya kifua pamoja na homa kali.

➡️Kupumua kwa shida na moyo kwenda mbio (mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida).

➡️Maumivu kwenye kifua, bega la kushoto pamoja na kiwiko cha mkono.

Moja ya madhara yanayotajwa yatokanayo na presha ya kushuka ni pamoja na mshtuko/kifo cha ghafla kunakotokana na viungo vya mwili kutokupata oxygen ya kutosha.


Epuka,dhibiti moja ya mambo yafuatayo ikiwa unasumbuliwa na tatizo la presha (aina zote) pamoja na athari zitokanazo na magonjwa ya moyo.

1.Kupata wasaa wa kufanya mazoezi ya viungo, kukimbilia au kuendesha baiskeli (wastani wa dk 45 kwa siku)

2.Epuka matumizi ya sigara, pombe na matumizi mengine ya madawa kama Heroine

3.Tumia kiasi sahihi cha chumvi, sukari au mafuta kwenye chakula chako(Sikiliza miongozo ya wataalamu).

4.Pata wasaa wa kupumzika (Zaidi ya saa 8 kwa siku)

5.Punguza unene au uzito uriokithiri.

Muhimu zaidi;

_Ipo mimea tiba yenye uwezo wa ajabu katika kutibu matatizo ya presha na kuondoa athari zitokanazo na magonjwa ya moyo.

_Dawa hii utaitumia kwa muda wa siku 6 hadi 10 tu,zitatosha kuondoa na kumaliza kabisa tatizo lako la presha.Presha kwa siku 6 hadi 10, tafsiri yake dawa inafanya kazi kwa haraka sanaaa na inatoa matokeo kwa haraka.

Nakukaribisha tena kupata suluhisho la tatizo lako.

Kwa ushauri,maoni pamoja na msaada wa kimatibabu, wasiliana nami kwa namba;

Call/sms/whatsaap

0678640098.
Ilala,Dsm&Morogoro mjini.

Vidokezo Salama

  • Usifanye malipo yoyote mtandaoni au kutoa taarifa zako binafsi kakikisha unaiona bidhaa kabla ya kununua.
  • Kuwa mwangalifu na wauzaji wanao hitaji malipo ya awali kabla ya kukutana na kukagua kifaa.
  • Jaribu bidhaa hakikisha inafanya kazi kikamilifu kabla ya kununua, fahamu zaidi kupitia ukurasa huu.
  • Hakikisha unakutana na muuzaji katika eneo salama na la wazi pale unapotaka kununua bidhaa.
Print
Toa Taarifa

Bidhaa Ulizoangalia

Empire tronix Pro Empire tronix 10 months
Samsung 65 Inch Crystal UHD DU8000 4K Tizen OS Smart TV (2024)
TZS 2,250,000
Samsung 65 Inch Crystal UHD DU8000 4K Tizen OS Smart TV (2024)
Dar es Salaam
Samsung 65 Inch Crystal UHD DU8000 4K Tizen OS Smart TV (2024) – Available at Empire Tronix Tanzania Upgrade your entertainment experience with the Samsung 65 Inch Crystal UHD DU8000 4K Tizen OS Smart TV (2024). This cutting-edge TV offers stunning 4K picture quality, immersive sound, and a sleek design, making it the perfect addition to your home. Whether y...
New Bidhaa za Nyumbani za Umeme Kinondoni Dar Es Salaam
TZS 2,250,000
cecylia daniel cecylia daniel 2 years
10.5M
TZS 10,500,000
10.5M
Dar es Salaam
gari mpya jaman,serious buyer anichek 0655031352
Gari
TZS 10,500,000
Stanley Marco Stanley Marco 1 year
Apartments for rent at Mikocheni B
TZS 550,000
Apartments for rent at Mikocheni B
Dar es Salaam
Apartments Mikocheni B warioba 2bedrooms
Nyumba za Kupanga
TZS 550,000
Mr Cart Kariakoo Mr Cart Kariakoo 1 year
Luxurious 2-Bedroom Apartment in Oysterbay Masaki!
$ 1,700
Luxurious 2-Bedroom Apartment in Oysterbay Masaki!
Dar es Salaam
Luxurious 2-Bedroom Apartment in Oysterbay Masaki! ????????️ Location: Just 100 meters from the beach in Oysterbay, Masaki. ???? Features: 2 Spacious Master Bedrooms with en-suite bathrooms Guest/Public Toilet for convenience Fully Air Conditioned for ultimate comfort Modern Kitchen with all amenities Swimming Pool access for a refreshing dip Secure Car Park...
Nyumba za Kupanga Oysterbay
$ 1,700
Ola Ola 1 year
Baby swing bed
TZS 160,000
Baby swing bed
Dar es Salaam
Baby swing bed
Vitu vya Watoto
TZS 160,000
Paul Meda Paul Meda 1 year
samsung s22 Ultra
TZS 1,490,000
samsung s22 Ultra
Dar es Salaam
used abroad,approved clean Brand Samsung Model S22 Ultra 512gb,12ram Camera 108+10+10+12mp Battery 5000mah Price 1,490,000/= mnataka nini tena mazee
Bidhaa
TZS 1,490,000
Mohammed Daffa Mohammed Daffa 1 year
2 BEDROOMS APARTMENT SALASALA MWANZONI
TZS 800,000
2 BEDROOMS APARTMENT SALASALA MWANZONI
Dar es Salaam
#VYUMBA_VIWILI INAPANGISHWA APARTMENT FOR RENT IKO-DAR-ES-SALAAM Tz MAHALI _SALASALA MWANZONI ______________ KODI 800,000 KWA MWEZI _________________ MALIPO YA MIEZI 6 _____________ YA KIFAMILIA, _______ YENYE:- Vyumba viwili vya kulala #Kimoja ni Masta #Sebule #Jiko zuri la kisasa #Choo\/#Bafu vya ndani public #Gypsum #Tiles #Umeme upo wa #Luku yake #Maji y...
Nyumba za Kupanga Dar Es Salaam
TZS 800,000
Stanley Marco Stanley Marco 1 year
House for rent at mbezi beach
TZS 1,500,000
House for rent at mbezi beach
Dar es Salaam
House mbezi beach Renbow 3bedrooms
Nyumba za Kupanga
TZS 1,500,000
mo estate mo estate 1 year
4bdrm compound house/villa for rent oyster bay
$ 5,000
4bdrm compound house/villa for rent oyster bay
Dar es Salaam
4bdrm villa house for rent oyster bay with living room kitchen cabinets all room self contained swimming pool garden parking space call wasap 0714592413 0625503976
Nyumba za Kupanga Oyster Bay
$ 5,000
Munira Hashim Munira Hashim 8 months
Sofa set 3pcs set
TZS 700,000
Sofa set 3pcs set
Dar es Salaam
Sofa set 3pcs set 3 seater 2 seater 1 seater
Used Vifaa Nyumbani na Fanicha Upanga
TZS 700,000
Edward Joseph Edward Joseph 1 year
Toyota IST
TZS 11,500,000
Toyota IST
Dar es Salaam
Toyota Ist Full Ac 2005 Model Full Android System Bei: Milioni 11.5 Mob: 0689467656 / 0719515714 Gari ni nzuri sana hii
Gari
TZS 11,500,000
Mohammed Daffa Mohammed Daffa 1 year
NEW 6 BEDROOM HOUSE MIKOCHENI
$ 4,500
NEW 6 BEDROOM HOUSE MIKOCHENI
Dar es Salaam
#VYUMBA_SITA VYA KULALA STAND ALONE HOUSE FOR RENT IKO-DAR-ES-SALAAM Tz MAHALI-MIKOCHENI B KWA NYERERE ______________ KODI $4500\\\/=KWA MWEZI _________________ MALIPO YA MIEZI 6 WACHINA PIA TUNACHUKUA ILA KAZI GANI UNAFANYIA???? ATUTAKI MFUNGUE KIWANDA _____________ YA KIFAMILIA, _______ YENYE:- Vyumba SITA vya kulala #VINNE ni Masta #Sebule #Jiko zuri la k...
Nyumba za Kupanga Dar Es Salaam
$ 4,500
Francis Mulokozi Francis Mulokozi 1 year
Modern Studio apartment
$ 600
Modern Studio apartment
Dar es Salaam
Location: Bahari Beach 7 km from Dar es Salaam (CBD) Near Jambo Supermarket, Dynasty Beach and Nyuki Public bus station.
Nyumba za Kupanga Bahari Beach
$ 600
Danvast Land and Property Pro Danvast Land and Property 1 year
Viwanja Kigamboni Kisarawe 2 mtaa wa lingato
TZS 10,000
Viwanja Kigamboni Kisarawe 2 mtaa wa lingato
Dar es Salaam
Viwanja kigamboni, viwanja vya mradi vimepimwa. Ukubwa ni kuanzia sam 400, vipo vya ukubwa wa kila namna Bei zipo za sh 10,000, 12,000 na 15,000 kwa SQM. Viwanja vipo jirani na viwanda vikubwa vya afyya na vingine.
Viwanja P.O.Box 55029
TZS 10,000
Mikocheni Motors Pro Mikocheni Motors 2 years
Toyota Corolla Rumion 2008 Model, Sports Rim,
TZS 19,000,000
Toyota Corolla Rumion 2008 Model, Sports Rim,
Dar es Salaam
Toyota Corolla Rumion 2008 Model, Call / WhatsApp 0756 465 338 https://wa.me/255756465338 https://www.dealerlogin.co/tz/Mikocheni-Motors/Cars Japanese Used, Unregistered, Location, Dar Es Salaam, Color Black, Engine 1490cc, Very Clean Interior, ABS, Auto Transmission, Multi-Airbags, Power Steering, Low Mileage, Air Conditioning, FM /AM Radio, CD Player, Fog ...
Gari 0756465338 - Main Street Msasani, Near Msasani Shule Dar Es Salaam
TZS 19,000,000
Are you a professional seller? Create an account