Presha ya kupanda/Presha ya kushuka/Dalili za Presha/Tiba Asili Ya Presha.

TZS 69,999
Huduma za Urembo na Mazoezi
2 years
Tanzania
Dar es Salaam
Ilala
3000
3330 views
SKU: 2193
Published 2 years ago by Nutr Sood
TZS 69,999
3000, Ilala, Dar es Salaam, Tanzania
Get directions →
3330 item views
Presha(Shinikizo la Damu) ni msukumo wa damu kwenye vishipa vya damu, msukumo huo huzalishwa baada ya moyo kusukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.

Aina za Presha.

Zipo aina kuu mbili za presha, yaani;
(I) PRESHA YA KUPANDA
(II) PRESHA YA KUSHUKA.

PRESHA YA KUPANDA.

Presha ya kupanda ni msukumo wa damu unaosukumwa na moyo kwenda kwenye vishipa vya damu (artery) kuwa mkubwa kuliko njia ya mishipa hiyo.
Presha itaitwa kuwa presha ya kupanda ikiwa iko juu zaidi ya presha ya kawaida ambayo ni 120/80mmHg au kwa lugha nyingine wataalam wanasema ikiwa juu ya 140mmHg systolic blood pressure.Presha yaweza kupanda mpaka kufikia 240/120mmHg.


Sababu Kuu Za Kupanda Kwa Presha.

(i) Utumiaji wa chumvi nyingi kwenye chakula.

(ii) Unywaji wa pombe/sigara uliokithiri.

(iii) Msongo wa mawazo na kutokufanya mazoezi

(iv) Familia zenye matatizo ya moyo pamoja na kurithi.

(v) uzito mkubwa,unene na kitambi.



Dalili Za Presha Ya Kupanda.

(I) Kushikwa na kizunguzungu.

(II) Kichefuchefu, tumbo kujaa na kutapika kusiko kwa kawaida.

(iii) Kuvimba/kujaa maji kwa miguu,uso na mikono.

(iv)Kutokuona vizuri (kuona ukungu).


Madhara Yatokanayo Na Presha Ya Kupanda.

1️⃣ Uvimbe kwenye kuta za vishipa vya damu/kuziba kwa mishipa ya damu(artery) inayopelekea shambulio la moyo (Heart attack).

2️⃣Moyo kushindwa kusukuma damu (Heart failure).

3️⃣Kiharusi(stroke).

4️⃣ Kuharibika kwa figo pamoja na kupata shida ya moyo kutanuka.

Kwa upande mwingine;


PRESHA YA KUSHUKA.

Presha ya kushuka ni ile hali msukumo wa damu unakuwa mdogo kuliko upana (unene) wa vishipa vya damu hali inayopelekea damu chache kufika kwenye ubongo na viungo vingine vya mwili.

Presha ikishuka mpaka kufikia 90/60mmHg kutokea 120/80mmHg inatafsiriwa kama presha iliyoshuka.


Presha ya kushuka huchangiwa hasaa na moja ya sababu zifuatazo;

➡️Matatizo ya homoni.

➡️Maradhi ya moyo pamoja na matatizo ya vishipa vya damu.

➡️Kuwa na ugonjwa wa Kisukari.

➡️Kubeba Ujauzito.

➡️Ukosefu wa virutubisho mwilini kama vile protini,madini ya chuma,Vitamin B-12 n.k

➡️Kushikwa na hasira pamoja na msongo wa mawazo/matatizo ya hofu na wasi wasi.


Na moja ya dalili za presha ya kushuka ni kama vile;

➡️Mchoko(udhaifu), mwili kukosa nguvu na kuhisi kizunguzungu.

➡️Maumivu ya kifua pamoja na homa kali.

➡️Kupumua kwa shida na moyo kwenda mbio (mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida).

➡️Maumivu kwenye kifua, bega la kushoto pamoja na kiwiko cha mkono.

Moja ya madhara yanayotajwa yatokanayo na presha ya kushuka ni pamoja na mshtuko/kifo cha ghafla kunakotokana na viungo vya mwili kutokupata oxygen ya kutosha.


Epuka,dhibiti moja ya mambo yafuatayo ikiwa unasumbuliwa na tatizo la presha (aina zote) pamoja na athari zitokanazo na magonjwa ya moyo.

1.Kupata wasaa wa kufanya mazoezi ya viungo, kukimbilia au kuendesha baiskeli (wastani wa dk 45 kwa siku)

2.Epuka matumizi ya sigara, pombe na matumizi mengine ya madawa kama Heroine

3.Tumia kiasi sahihi cha chumvi, sukari au mafuta kwenye chakula chako(Sikiliza miongozo ya wataalamu).

4.Pata wasaa wa kupumzika (Zaidi ya saa 8 kwa siku)

5.Punguza unene au uzito uriokithiri.

Muhimu zaidi;

_Ipo mimea tiba yenye uwezo wa ajabu katika kutibu matatizo ya presha na kuondoa athari zitokanazo na magonjwa ya moyo.

_Dawa hii utaitumia kwa muda wa siku 6 hadi 10 tu,zitatosha kuondoa na kumaliza kabisa tatizo lako la presha.Presha kwa siku 6 hadi 10, tafsiri yake dawa inafanya kazi kwa haraka sanaaa na inatoa matokeo kwa haraka.

Nakukaribisha tena kupata suluhisho la tatizo lako.

Kwa ushauri,maoni pamoja na msaada wa kimatibabu, wasiliana nami kwa namba;

Call/sms/whatsaap

0678640098.
Ilala,Dsm&Morogoro mjini. Read more

Description

Presha(Shinikizo la Damu) ni msukumo wa damu kwenye vishipa vya damu, msukumo huo huzalishwa baada ya moyo kusukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.

Aina za Presha.

Zipo aina kuu mbili za presha, yaani;
(I) PRESHA YA KUPANDA
(II) PRESHA YA KUSHUKA.

PRESHA YA KUPANDA.

Presha ya kupanda ni msukumo wa damu unaosukumwa na moyo kwenda kwenye vishipa vya damu (artery) kuwa mkubwa kuliko njia ya mishipa hiyo.
Presha itaitwa kuwa presha ya kupanda ikiwa iko juu zaidi ya presha ya kawaida ambayo ni 120/80mmHg au kwa lugha nyingine wataalam wanasema ikiwa juu ya 140mmHg systolic blood pressure.Presha yaweza kupanda mpaka kufikia 240/120mmHg.


Sababu Kuu Za Kupanda Kwa Presha.

(i) Utumiaji wa chumvi nyingi kwenye chakula.

(ii) Unywaji wa pombe/sigara uliokithiri.

(iii) Msongo wa mawazo na kutokufanya mazoezi

(iv) Familia zenye matatizo ya moyo pamoja na kurithi.

(v) uzito mkubwa,unene na kitambi.



Dalili Za Presha Ya Kupanda.

(I) Kushikwa na kizunguzungu.

(II) Kichefuchefu, tumbo kujaa na kutapika kusiko kwa kawaida.

(iii) Kuvimba/kujaa maji kwa miguu,uso na mikono.

(iv)Kutokuona vizuri (kuona ukungu).


Madhara Yatokanayo Na Presha Ya Kupanda.

1️⃣ Uvimbe kwenye kuta za vishipa vya damu/kuziba kwa mishipa ya damu(artery) inayopelekea shambulio la moyo (Heart attack).

2️⃣Moyo kushindwa kusukuma damu (Heart failure).

3️⃣Kiharusi(stroke).

4️⃣ Kuharibika kwa figo pamoja na kupata shida ya moyo kutanuka.

Kwa upande mwingine;


PRESHA YA KUSHUKA.

Presha ya kushuka ni ile hali msukumo wa damu unakuwa mdogo kuliko upana (unene) wa vishipa vya damu hali inayopelekea damu chache kufika kwenye ubongo na viungo vingine vya mwili.

Presha ikishuka mpaka kufikia 90/60mmHg kutokea 120/80mmHg inatafsiriwa kama presha iliyoshuka.


Presha ya kushuka huchangiwa hasaa na moja ya sababu zifuatazo;

➡️Matatizo ya homoni.

➡️Maradhi ya moyo pamoja na matatizo ya vishipa vya damu.

➡️Kuwa na ugonjwa wa Kisukari.

➡️Kubeba Ujauzito.

➡️Ukosefu wa virutubisho mwilini kama vile protini,madini ya chuma,Vitamin B-12 n.k

➡️Kushikwa na hasira pamoja na msongo wa mawazo/matatizo ya hofu na wasi wasi.


Na moja ya dalili za presha ya kushuka ni kama vile;

➡️Mchoko(udhaifu), mwili kukosa nguvu na kuhisi kizunguzungu.

➡️Maumivu ya kifua pamoja na homa kali.

➡️Kupumua kwa shida na moyo kwenda mbio (mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida).

➡️Maumivu kwenye kifua, bega la kushoto pamoja na kiwiko cha mkono.

Moja ya madhara yanayotajwa yatokanayo na presha ya kushuka ni pamoja na mshtuko/kifo cha ghafla kunakotokana na viungo vya mwili kutokupata oxygen ya kutosha.


Epuka,dhibiti moja ya mambo yafuatayo ikiwa unasumbuliwa na tatizo la presha (aina zote) pamoja na athari zitokanazo na magonjwa ya moyo.

1.Kupata wasaa wa kufanya mazoezi ya viungo, kukimbilia au kuendesha baiskeli (wastani wa dk 45 kwa siku)

2.Epuka matumizi ya sigara, pombe na matumizi mengine ya madawa kama Heroine

3.Tumia kiasi sahihi cha chumvi, sukari au mafuta kwenye chakula chako(Sikiliza miongozo ya wataalamu).

4.Pata wasaa wa kupumzika (Zaidi ya saa 8 kwa siku)

5.Punguza unene au uzito uriokithiri.

Muhimu zaidi;

_Ipo mimea tiba yenye uwezo wa ajabu katika kutibu matatizo ya presha na kuondoa athari zitokanazo na magonjwa ya moyo.

_Dawa hii utaitumia kwa muda wa siku 6 hadi 10 tu,zitatosha kuondoa na kumaliza kabisa tatizo lako la presha.Presha kwa siku 6 hadi 10, tafsiri yake dawa inafanya kazi kwa haraka sanaaa na inatoa matokeo kwa haraka.

Nakukaribisha tena kupata suluhisho la tatizo lako.

Kwa ushauri,maoni pamoja na msaada wa kimatibabu, wasiliana nami kwa namba;

Call/sms/whatsaap

0678640098.
Ilala,Dsm&Morogoro mjini.

Vidokezo Salama

  • Usifanye malipo yoyote mtandaoni au kutoa taarifa zako binafsi kakikisha unaiona bidhaa kabla ya kununua.
  • Kuwa mwangalifu na wauzaji wanao hitaji malipo ya awali kabla ya kukutana na kukagua kifaa.
  • Jaribu bidhaa hakikisha inafanya kazi kikamilifu kabla ya kununua, fahamu zaidi kupitia ukurasa huu.
  • Hakikisha unakutana na muuzaji katika eneo salama na la wazi pale unapotaka kununua bidhaa.
Print
Toa Taarifa

Bidhaa Ulizoangalia

Ivan Minja Ivan Minja 1 year
House for sale Kiligolf USA River Arusha.
$ 470,000
House for sale Kiligolf USA River Arusha.
Arusha
Minja real estate & Car Broker introduce:- House for sale Kiligolf USA River Arusha. 1 acre. The building covers Sqm 329. Kitchen, 4 ensuit bedrooms. Maid quarter with Separated bathroom. Swimming pool. Pond. Double garage. Price USD 470,000. Please call/whats app if your serious interested via 0687575770.
Nyumba Zinauzwa Kiligolf USA River Arusha
$ 470,000
Joshua Kachala Joshua Kachala 2 years
HOUSE FOR RENT MBEZI BEACH
$ 1,000
HOUSE FOR RENT MBEZI BEACH
Dar es Salaam
#house for rent #stand alone #3beds #located at mbezi beach #price 1000 usd call whatssap
Nyumba za Kupanga Mbezi beach - Mbezi Beach
$ 1,000
mo estate mo estate 7 months
3bdrm villa for rent Ada estate
$ 3,000
3bdrm villa for rent Ada estate
Dar es Salaam
3bdrm villa for rent Ada estate Fully furnished All room self contained parking space Available now $ 3000 payment terms six months or year call wasap +255714592413 0625503976
New Nyumba za Kupanga Ada Estate
$ 3,000
Paul Meda Paul Meda 1 year
Ipad Pro 11 2024 5G
TZS 4,450,000
Ipad Pro 11 2024 5G
Dar es Salaam
Hello There Brand Apple Model Ipad Pro 11(2024) 5G M4 Chip 256gb,8ram Battery 8340mah Price 4,450,000/= Apple Pen 650,000/=
Bidhaa
TZS 4,450,000
Clara Indah Pro Clara Indah 1 year
2024 Giant TCR Advanced Pro Disc 0 AXS Road Bike
$ 4,600
2024 Giant TCR Advanced Pro Disc 0 AXS Road Bike
Mara
DreamBikeShop sells bicycle models: Road Bike, Mountain Bike, Triathlon Bike, Electric Bike, Cyclocross Bike, Gravel Bike, Track Bike, Road Frame, Mountain Frame, Triathlon Frame, Groupsets, Pedals, Saddle, Wheels, Helmets, Shoes, Gloves Hand and Camera. Purchase the "2024 Giant TCR Advanced Pro Disc 0 AXS Road Bike" from the DreamBikeShop, as it is brand ne...
Bidhaa za Michezo na Baiskeli 20123 - Jl. Gatot Subroto No.217, Sei Sikambing B, Kec. Medan Sunggal, Kota Medan, Sumatera Utara
$ 4,600
Joshua Kachala Joshua Kachala 2 years
HOUSE FOR RENT BAHARI BEACH
TZS 1,300,000
HOUSE FOR RENT BAHARI BEACH
Dar es Salaam
#VYUMBA_VITATU_VYA_KULALA# INAPANGISHWA#VILLA IKO-DAR-ES-SALAAM Tz MAHALI-BAHARI BEACH ______________ KODI TSHS MIL 1,300,000/=KWA MWEZI _________________ MALIPO YA MIEZI 6 _______________ NZURI YA KISASA _____________ YA KIFAMILIA _______ YENYE:- Vyumba Vitatu vya kulala #Master #Sebule #dinning #Jiko zuri #Choo/#Bafu vya ndani public #Gypsum #Tiles #alumin...
Nyumba za Kupanga BAHARI - Bahari Beach
TZS 1,300,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 9 months
apartment mpya zinapangishwa kiseke ppf
TZS 500,000
apartment mpya zinapangishwa kiseke ppf
Mwanza
APARTMENT MPYA INAPANGISHWA KISEKE PPF -ina vyumba vitatu vya kulala ( kimoja ni self contained ), sebule, dinning, jiko na public toilet -kodi Milioni 6 kwa mwaka -malipo ni miezi sita -umeme na maji unajitegemea ☎️ 0743220097
Nyumba za Kupanga
TZS 500,000
Michael Dalali Michael Dalali 1 year
FURNISHED HOUSE FOR RENT MBEZIBEACH
$ 1,200
FURNISHED HOUSE FOR RENT MBEZIBEACH
Dar es Salaam
FURNISHED HOUSE FOR RENT 3BEDROOMS LOCATED AT MBEZIBEACH TANK BOVU BEACH SIDE, NEAR MAIN ROAD, GOOD NEIGHBOURHOOD, PRICE: USD 1200 PER MONTH, RENT IS SIX MONTHS IN ADVANCE OR MORE AGENT FEE: 50000 TZS 0745 30 43 43 WHATSAPP
Nyumba za Kupanga Mbezibeach
$ 1,200
John Bemeye John Bemeye 7 months
Baby's car seat
TZS 90,000
Baby's car seat
Dar es Salaam
Humlinda mtoto akiwa ndani ya gari. Unaweza itumia nyumbani, matembezi na kwenye shughuli zinginezo maalumu. Karibu kwa mazungumzo ya biashara.
Used Vitu vya Watoto Boko
TZS 90,000
matson jackson matson jackson 2 years
TOYOTA VANGUARD FOR SALE
TZS 42,000,000
TOYOTA VANGUARD FOR SALE
Dar es Salaam
Price 42M+Registration Contact ????0787290855 TOYOTA VANGUARD Year 2011 Cc 2360 Km 42,000 Colour Black Push To start•
Bidhaa Nyingine
TZS 42,000,000
Michael Dalali Michael Dalali 1 year
HOUSE FOR RENT MBEZIBEACH
$ 3,000
HOUSE FOR RENT MBEZIBEACH
Dar es Salaam
HOUSE FOR RENT 7 BEDROOMS LOCATED AT MBEZIBEACH MAIN ROAD GOOD NEIGHBOURHOOD, ASKING PRICE: USD 3000 PER MONTH, RENT IS SIX MONTHS IN ADVANCE OR MORE AGENT FEE: 50000 TZS
Nyumba za Kupanga Mbezibeach
$ 3,000
Justin Maganga Justin Maganga 7 months
Subaru Impreza
TZS 10,900,000
Subaru Impreza
Dar es Salaam
*CAR ON SALE* SUBARU IMPREZA PRICE 10.9M ☑️ usajiri - DQD ☑️ mwaka - 2010 ☑️ rangi - Sliver ☑️ engine type -EJ15 ☑️ engine cc -1498 ☑️ mileages - very low ☑️ full AC ☑️ full documents ☑️ full accessories ☑️ full music systerm ☑️ full sport rims ☑️ No fault inafika popote???????????? NAVUNJA NA GARI YOYOTE LOCATION - DSM Call 0629492727
Gari Ubungo Riverside
TZS 10,900,000
Ivan Minja Ivan Minja 1 year
House for sale in Madale Mivumoni
TZS 35,000,000
House for sale in Madale Mivumoni
Dar es Salaam
Minja real estate & Car Broker introduce:- House for sale Madale Mivumoni. On behalf of bank. The house has three bedrooms. 1 bedrooms- self contained. Sitting room. Kitchen. Public toilet. Plot size Sqm 1200. Price Mil 35. Kindly call/whats app if your serious interested via 0687575770 Ivan the Don.
Nyumba Zinauzwa Madale Mivumoni
TZS 35,000,000
Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 2 years
Photo shoot Equipments Full Set
TZS 850,000
Photo shoot Equipments Full Set
Dar es Salaam
Photo shoot Equipments Full Set Price : 850,000Tshs Call / whatsapp : 0627774377
Bidhaa Nyingine
TZS 850,000
mo estate mo estate 2 years
4bdrm house for rent in best bite
$ 2,500
4bdrm house for rent in best bite
Dar es Salaam
4bdrm house for rent in best bite The house are nice and good located in a good area enough car's parking space $ 2500 contact ! +255714592413 0625503976
Nyumba za Kupanga
$ 2,500
mo estate mo estate 2 years
3bdrm brand new Apartment for rent mikocheni
$ 1,000
3bdrm brand new Apartment for rent mikocheni
Dar es Salaam
3bdrm brand new Apartment for rent in mikocheni with living room kitchen cabinets all room self contained parking space security 24 hours $ 1000
Nyumba za Kupanga
$ 1,000
Michael Dalali Michael Dalali 1 year
VillaFOR RENT KAWE BEACH
$ 4,000
VillaFOR RENT KAWE BEACH
Dar es Salaam
#villa for rent #4beds #kawe beach #4000usd 0745 30 43 43 WhatsApp
Nyumba za Kupanga Kawe Beach
$ 4,000
Joshua Kachala Joshua Kachala 2 years
HOUSE FOR RENT GOBA CENTER
TZS 1,000,000
HOUSE FOR RENT GOBA CENTER
Dar es Salaam
#VYUMBA_VITANO _VYA_KULALA# INAPANGISHWA ##STAND_ALONE# IKO-DAR-ES-SALAAM Tz MAHALI- GOBA CENTER ——————————————————— KODI MILLION 1,000,000 /=KWA MWEZI ________________ MALIPO YA MIEZI 6 ————- IKO PEKEE YAKE KWENYE FENSI _________________ KUBWA YA KIFAMILIA ______ YENYE:- Vyumba Vitano vya kulala #Master #Sebule kubwa # Dinning Jiko, Stoo#Choo/#Bafu vya ndan...
Nyumba za Kupanga Goba - Goba Center
TZS 1,000,000
Isack Sam Isack Sam 1 year
House for rent
TZS 900,000
House for rent
Dar es Salaam
#3BEDROOMS INAPANGISHWA IKO-DAR-ES-SALAAM Tz MAHALI-BAHARI BEACH YAPILI TOKA MAINROD ______________ KODI TSHS 900,000/=KWA MWEZI MALIPO YA MIEZI 6 ________________ IKO NDANI YA FENSI _____________ YA KIFAMILIA _______ YENYE:- Vyumba Vitatu vikubwa vya kulala #MASTA #Sebule kubwa #dinning #Jiko zuri lenye #makabati #Choo/#Bafu vya ndani public #makabati #Gyps...
Nyumba za Kupanga Bahari Beach
TZS 900,000
Esther Mtumbuka Esther Mtumbuka 2 years
two in one apartments for rent
TZS 1,000,000
two in one apartments for rent
Dar es Salaam
Twin appartments for rent at Mikocheni near Catholic Church. Each with two bedrooms (one master), sitting and kitchen. Fensed with a gate.
Nyumba za Kupanga
TZS 1,000,000
Mnama Motors Mnama Motors 1 year
2015 Toyota Aqua Hybrid
Sold
2015 Toyota Aqua Hybrid
TZS 18,200,000
2015 Toyota Aqua Hybrid
Dar es Salaam
Toyota Aqua Hybrid Yom: 2015 Engine: 1NZ-FE Displacement: 1490cc Hybrid Mileage: 71,000km Used japan Imported from Japan Price: 18,200,000/=
Magari Sold Mabibo Mwisho
TZS 18,200,000
Stewart Furniture Stewart Furniture 1 year
Vitanda 5×6
TZS 120,000
Vitanda 5×6
Dar es Salaam
njoo ujipatie vitanda vya mbao ngumu. Bei ni 120k usafiri elf 10. tupo jirani na uwanja wa taifa au mkapa piga 0685463889 0752508399 Anza maisha ukiwa na tabasamu
Vifaa Nyumbani na Fanicha
TZS 120,000
Mohammed Daffa Mohammed Daffa 1 year
NEW 6 BEDROOM HOUSE MIKOCHENI
$ 4,500
NEW 6 BEDROOM HOUSE MIKOCHENI
Dar es Salaam
#VYUMBA_SITA VYA KULALA STAND ALONE HOUSE FOR RENT IKO-DAR-ES-SALAAM Tz MAHALI-MIKOCHENI B KWA NYERERE ______________ KODI $4500\\\/=KWA MWEZI _________________ MALIPO YA MIEZI 6 WACHINA PIA TUNACHUKUA ILA KAZI GANI UNAFANYIA???? ATUTAKI MFUNGUE KIWANDA _____________ YA KIFAMILIA, _______ YENYE:- Vyumba SITA vya kulala #VINNE ni Masta #Sebule #Jiko zuri la k...
Nyumba za Kupanga Dar Es Salaam
$ 4,500
Ivan Minja Ivan Minja 1 year
Beach plot for sale in Banja Island Mafia Pwani Tanzania
TZS 300,000,000
Beach plot for sale in Banja Island Mafia Pwani Tanzania
Pwani
Minja real estate &Car Broker introduce:- Beach plot for sale in Banja Mafia. Plot size 4 acres. The plot is good for hotel/Lodge construction. Road access is clear. Beach front size not less than 120 meters. Price is 75 mil per acre. Please call/what's app 0687575770 for more info.
Viwanja Banja Mafia Island Tanzania
TZS 300,000,000
Are you a professional seller? Create an account