Magonjwa ya Moyo/Presha ya kupanda/Presha ya kushuka/Tiba asili ya presha

Check with seller
Huduma za Urembo na Mazoezi
2 years
Tanzania
Morogoro
Morogoro
3920 views
SKU: 2189
Published 2 years ago by Nutr Sood
Check with seller
Morogoro, Morogoro, Tanzania
Get directions →
3920 item views
Zijue Faida Zitakazokuepusha na Kukutibu Presha na Magonjwa ya Moyo Kwa Haraka.

MAGONJWA YA MOYO /SHINIKIZO LA DAMU/ PRESHA YA KUPANDA & KUSHUKA/SHAMBULIO LA MOYO/CHEMBE YA MOYO/MOYO KUTANUKA/KUTANUKA KWA MISULI YA MOYO/KUZIBA KWA VISHIPA VYA DAMU.


Magonjwa ya moyo ni muunganiko wa magonjwa yanayoshambulia moyo, vishipa vipelekavyo/vitoavyo damu kwenye moyo na maumbile yanayotengeneza moyo kwa ujumla(Structural and vessels disease).

Moja ya ugonjwa wa moyo unaokuja kwa kasi sana nchini ni ⤵;
↪Kupanda kwa shinikizo la juu la damu/Presha ya kupanda(high blood pressure/Hypertension) na kushuka kwa shinikizo la damu (Presha ya kushuka/Hypotension).

Presha ni msukumo wa damu kwenye vishipa vya damu,msukumo huu ukiwa mkubwa au mdogo kuliko unaohitajika mwilini ndio huitwa presha ya kupanda au kushuka.

Kwa mujibu wa shirika la afya duniani (WHO) sababu kuu za Presha pamoja na magonjwa ya moyo zinatajwa kuwa ni pamoja na;

????Ulaji usiofaa, ulaji usiofata taratibu za kitabibu ikiwa ni pamoja na kula chakula kingi baada ya saa kumi na moja jioni au kula chakula kingi katika mlo mmoja kuliko kiwango kinachohitajika kwa siku (RDA).

???? Ulaji wa vyakula vya mafuta kwa wingi, ulaji wa vyakula vyenye sukari nyingi au chumvi nyingi katika mlo wako.

????Kutokula mboga mboga za majani pamoja na matunda ambapo kitaalamu inashauriwa nusu ya kila mlo wako iwe mboga mboga za majani pamoja na matunda n.k

*DALILI ZA MAGONJWA YA MOYO & PRESHA*

Zijue dalili ziletwazo na magonjwa ya moyo pamoja na presha ni ;

▶️Maumivu ya kifua mithili ya chembe ya moyo/chembe ya moyo.

▶️ Maumivu ya kifua kuzunguka hadi kwenye bega la kushoto.

▶️ Kuvimba kwa miguu na mikono.

▶️ Mapigo ya moyo kuwa ya chini sana au kasi sana.

▶️ Moyo kwenda mbio sana na kukosa pumzi hasaa zaidi unapotembea au kufanya shughuli zako ndogo ndogo/moyo kudunda kama mtu apiga dogoro kwa chini hasaa wakati wa kulala.

▶️ Mwili kuishiwa nguvu.

▶️ Kupata kizunguzungu na kuzimia.

▶️ Kupata ganzi kwenye miguu na mikono.

▶️Kutokwa na jasho jingi sana n.k


*MATIBABU*
-Ni vyema kwenda Hospital kwanza kujua tatizo lako na chanzo chake kabla ya kuanza kutumia dawa.

-Ipo mimea tiba yenye uwezo mkubwa wa kutibu tatizo la presha ya kupanda/kushuka na magonjwa ya moyo kwa ufanisi mkubwa sana.

-Dawa hii ya kulamba hutumiwa na wagonjwa wa presha kwa wastani wa siku 6 hadi 10 pekee (Dozi moja) na hufanikisha kuwaacha salama na kuwaepusha na matumizi ya vidonge ya kila siku.

-Mimea hii huweza kuondoa tatizo la presha na kutoa matokeo ya haraka sana kuliko matarajio ya mtumiaji.



*NJIA ZA KUEPUKA NA KUPUNGUZA HATARI ZA MATATIZO YA MOYO NA PRESHA*

▶️ Epuka kutumia tumbaku(sigara)
▶️ Punguza kiwango cha chumvi kwenye mlo wako.
▶️ Kula mbogamboga na matunda kwa wingi.
▶️ Fanya mazoezi/Shughulisha mwili.

▶️Punguza ulaji wa vyakula vya kukaanga(vitumiavyo mafuta mengi).

▶️ Epuka unywaji wa pombe.
▶️ Jitibie Kisukari.
▶️ Rekebisha uzito wako ikiwa uko juu na kiasi cha mafuta mwilini (BMI)
▶️ Kuwa na muda sahihi wa kula chakula chako.

▶️ Punguza matumizi makubwa ya Wanga katika mlo wako.



Kwa Ushauri,Maoni pamoja na Msaada wa kimatibabu wasiliana nami kwa:⤵️

Contacts
Nutr.Sood

Calls/Sms/Whatsaap: 0678640098.
Morogoro, mjini & Ilala Dsm. Read more

Description

Zijue Faida Zitakazokuepusha na Kukutibu Presha na Magonjwa ya Moyo Kwa Haraka.

MAGONJWA YA MOYO /SHINIKIZO LA DAMU/ PRESHA YA KUPANDA & KUSHUKA/SHAMBULIO LA MOYO/CHEMBE YA MOYO/MOYO KUTANUKA/KUTANUKA KWA MISULI YA MOYO/KUZIBA KWA VISHIPA VYA DAMU.


Magonjwa ya moyo ni muunganiko wa magonjwa yanayoshambulia moyo, vishipa vipelekavyo/vitoavyo damu kwenye moyo na maumbile yanayotengeneza moyo kwa ujumla(Structural and vessels disease).

Moja ya ugonjwa wa moyo unaokuja kwa kasi sana nchini ni ⤵;
↪Kupanda kwa shinikizo la juu la damu/Presha ya kupanda(high blood pressure/Hypertension) na kushuka kwa shinikizo la damu (Presha ya kushuka/Hypotension).

Presha ni msukumo wa damu kwenye vishipa vya damu,msukumo huu ukiwa mkubwa au mdogo kuliko unaohitajika mwilini ndio huitwa presha ya kupanda au kushuka.

Kwa mujibu wa shirika la afya duniani (WHO) sababu kuu za Presha pamoja na magonjwa ya moyo zinatajwa kuwa ni pamoja na;

????Ulaji usiofaa, ulaji usiofata taratibu za kitabibu ikiwa ni pamoja na kula chakula kingi baada ya saa kumi na moja jioni au kula chakula kingi katika mlo mmoja kuliko kiwango kinachohitajika kwa siku (RDA).

???? Ulaji wa vyakula vya mafuta kwa wingi, ulaji wa vyakula vyenye sukari nyingi au chumvi nyingi katika mlo wako.

????Kutokula mboga mboga za majani pamoja na matunda ambapo kitaalamu inashauriwa nusu ya kila mlo wako iwe mboga mboga za majani pamoja na matunda n.k

*DALILI ZA MAGONJWA YA MOYO & PRESHA*

Zijue dalili ziletwazo na magonjwa ya moyo pamoja na presha ni ;

▶️Maumivu ya kifua mithili ya chembe ya moyo/chembe ya moyo.

▶️ Maumivu ya kifua kuzunguka hadi kwenye bega la kushoto.

▶️ Kuvimba kwa miguu na mikono.

▶️ Mapigo ya moyo kuwa ya chini sana au kasi sana.

▶️ Moyo kwenda mbio sana na kukosa pumzi hasaa zaidi unapotembea au kufanya shughuli zako ndogo ndogo/moyo kudunda kama mtu apiga dogoro kwa chini hasaa wakati wa kulala.

▶️ Mwili kuishiwa nguvu.

▶️ Kupata kizunguzungu na kuzimia.

▶️ Kupata ganzi kwenye miguu na mikono.

▶️Kutokwa na jasho jingi sana n.k


*MATIBABU*
-Ni vyema kwenda Hospital kwanza kujua tatizo lako na chanzo chake kabla ya kuanza kutumia dawa.

-Ipo mimea tiba yenye uwezo mkubwa wa kutibu tatizo la presha ya kupanda/kushuka na magonjwa ya moyo kwa ufanisi mkubwa sana.

-Dawa hii ya kulamba hutumiwa na wagonjwa wa presha kwa wastani wa siku 6 hadi 10 pekee (Dozi moja) na hufanikisha kuwaacha salama na kuwaepusha na matumizi ya vidonge ya kila siku.

-Mimea hii huweza kuondoa tatizo la presha na kutoa matokeo ya haraka sana kuliko matarajio ya mtumiaji.



*NJIA ZA KUEPUKA NA KUPUNGUZA HATARI ZA MATATIZO YA MOYO NA PRESHA*

▶️ Epuka kutumia tumbaku(sigara)
▶️ Punguza kiwango cha chumvi kwenye mlo wako.
▶️ Kula mbogamboga na matunda kwa wingi.
▶️ Fanya mazoezi/Shughulisha mwili.

▶️Punguza ulaji wa vyakula vya kukaanga(vitumiavyo mafuta mengi).

▶️ Epuka unywaji wa pombe.
▶️ Jitibie Kisukari.
▶️ Rekebisha uzito wako ikiwa uko juu na kiasi cha mafuta mwilini (BMI)
▶️ Kuwa na muda sahihi wa kula chakula chako.

▶️ Punguza matumizi makubwa ya Wanga katika mlo wako.



Kwa Ushauri,Maoni pamoja na Msaada wa kimatibabu wasiliana nami kwa:⤵️

Contacts
Nutr.Sood

Calls/Sms/Whatsaap: 0678640098.
Morogoro, mjini & Ilala Dsm.

Vidokezo Salama

  • Usifanye malipo yoyote mtandaoni au kutoa taarifa zako binafsi kakikisha unaiona bidhaa kabla ya kununua.
  • Kuwa mwangalifu na wauzaji wanao hitaji malipo ya awali kabla ya kukutana na kukagua kifaa.
  • Jaribu bidhaa hakikisha inafanya kazi kikamilifu kabla ya kununua, fahamu zaidi kupitia ukurasa huu.
  • Hakikisha unakutana na muuzaji katika eneo salama na la wazi pale unapotaka kununua bidhaa.
Print
Toa Taarifa

Bidhaa Ulizoangalia

Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 10 months
BOSS FRIDGE BS-68 SVR
TZS 495,000
BOSS FRIDGE BS-68 SVR
Dar es Salaam
BOSS FRIDGE BS-68 SVR Price: 495,000Tsh Call/Whatsaapp: 0627774377
Bidhaa Nyingine
TZS 495,000
Laith Alhabsy Laith Alhabsy 5 months
Plot #4, Buyuni, Kigamboni.
$ 330,000
Plot #4, Buyuni, Kigamboni.
Dar es Salaam
Discover your dream beachfront property with this stunning 2,968 sqm plot, offering breathtaking ocean views and direct beach access. Located in a serene and picturesque location, this prime piece of land is perfect for a private retreat, resort, or investment opportunity. A charming small hut sits at the front, adding a rustic touch and immediate functional...
New Nyumba Zinauzwa
$ 330,000
Shirley Z. Shirley Z. 1 year
NNewmatic H17.9P Undermount Chimney Slim Hood
TZS 19,999
NNewmatic H17.9P Undermount Chimney Slim Hood
Dar es Salaam
Designed to be mounted under the top kitchen cabinet, the Newmatic H17.9Pis compact but very powerful due to twin blowers. Equipped with 3-speed mechanical control, it is the workhorse in your kitchen that clears cooking fumes whenever you cook. The only under-mount slim hood in the market that has LED illumination, the bright 2x5W LED lamp is energy-saving ...
Bidhaa Nyingine
TZS 19,999
Wizy Magari Tz Wizy Magari Tz 10 months
2008 LAND ROVER DISCOVERY 3
TZS 55,000,000
2008 LAND ROVER DISCOVERY 3
Dar es Salaam
LANDROVER DISCOVERY 3 HSE Year of make 2008 Engine Size : 2700cc Fuel : Diesel Transmission : Automatic Colour : Gray Seat Capacity : 7 Leather Seats With sunroof Very Good Condition Car! Price ????️ TSH 55M With Registration CALL ???? 0787 444 507
Gari Kinondoni
TZS 55,000,000
Nabeel ikbal Pro Nabeel ikbal 8 months
M-HORSE HOT 40 PRO SIMU NZURI SANA
TZS 255,000
M-HORSE HOT 40 PRO SIMU NZURI SANA
Dar es Salaam
*M-HORSE HOT 40 PRO NZURI *Ram 4 *GB 64 *2 LINE *mAh battery:5000 *Inches size 6.78 *MP 8 *FINGER PRINT Freee↓↓↓ 1.protector 2.free cover FULL BOX ???? *Warranty:2 YEARS IlE BEI TSHS TSH:/=255,000/= *Maongezi yapo* *Call me NBL: 0677 789 575_Tigo 0746 267 886_Whatsapp *Wa mikoani* *tuna tuma mzigo mkoa wowote uliyopo* *0FFER: *Na pia kma upo jiji la Dar es S...
Simu na Vifaa
TZS 255,000
Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 2 years
APEXEL Lensa Microscope Smartphone 200X - APL-MS002CBK
TZS 175,000
APEXEL Lensa Microscope Smartphone 200X - APL-MS002CBK
Dar es Salaam
APEXEL Lensa Microscope Smartphone 200X - APL-MS002CBK Price :175,000Tshs
Bidhaa Nyingine
TZS 175,000
RAM HOLDINGS TANZANIA LTD RAM HOLDINGS TANZANIA LTD 3 months
BURKA EXQUISITE 4BED VILLA
TZS 5,000,000
BURKA EXQUISITE 4BED VILLA
Arusha
BURKA EXQUISITE|4BED VILLA|$1700 - $1200 About this space; Burka Exquisite home is a four bedroom house located in a lovely and quiet neighbourhood at Burka, Arusha with a beautiful view of Mount Meru. It is only 15 minutes drive from Arusha CBD and 5 minutes drive from Kisongo (Arusha) Airport. The spacious luxury home features 4 bedrooms (all ensuits), gue...
Nyumba za Kupanga Ngorongoro Building, Floor No 9 Room No 120
TZS 5,000,000
Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 1 year
GreenLion Rechargable Torch
TZS 215,000
GreenLion Rechargable Torch
Dar es Salaam
GreenLion Rechargable Torch Price : 215,000Tshs Call / Whatsapp : 0627774377
Bidhaa Nyingine
TZS 215,000
Harab Motors Pro Harab Motors 2 years
Toyota Premio 2008
TZS 27,000,000
Toyota Premio 2008
Dar es Salaam
Car is still like new condition
Gari 1101 - New Bagamoyo Rd Next To International Eye Hospital
TZS 27,000,000
Excela Joshua Excela Joshua 10 months
KIWANJA KINAUZWA BONYOKWA SEGEREA
TZS 50,000,000
KIWANJA KINAUZWA BONYOKWA SEGEREA
Dar es Salaam
KIWANJA KINAUZWA BONYOKWA/SEGEREA KARIBU NA SHULE YA MACEDONIA. NI KIWANJA CHA TATU TOKA BARABARA YA BONYOKWA SEGEREA LOC :BONYOKWA SEGEREA AREA :SQM 660 PRICE: MIL 50 UMILIKI :HATI CONT. CALL Whatsapp &sms +255715090904 kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>> https://wa.me/255715090904 Insta @excela_and_properties HUDUMA ZOTE ZIPO... GHARAMA YA KUP...
Viwanja Bonyokwa Segerea
TZS 50,000,000
wisefx tz wisefx tz 9 months
Other 9 months
KITANDA 5 KWA 6 NA GODORO INCH 6
Check with seller
KITANDA 5 KWA 6 NA GODORO INCH 6
NAWEZA KUUZA KITANDA PEKEAKE NA GODORO PEKEAKE KITANDA TZS 120000 GODORO 130000. LOCATION MBEYA, IYELA, PAMBOGO MTAA WA ISENGO, NAMBA , 0744742559
Other
Check with seller
Paul Meda Paul Meda 1 year
Sony Xperia 10 ii
Check with seller
Sony Xperia 10 ii
Dar es Salaam
used abroad,clean as New Brand Sony Model Xperia 10ii 64gb,4ram Camera 12+8+8mp Battery 3600mah Price 290,000/= simu kali japo watu hawajizielewa
Bidhaa
Check with seller
Muuza Magari Muuza Magari 2 months
Toyota Premio 2008
TZS 16,800,000
Toyota Premio 2008
Dar es Salaam
On sale Toyota Premio
Gari
TZS 16,800,000
Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 10 months
CVW Crystal Video Spectra Video Radio Link for HDMI Cameras
TZS 1,600,000
CVW Crystal Video Spectra Video Radio Link for HDMI Cameras
Dar es Salaam
CVW Crystal Video Spectra Video Radio Link for HDMI Cameras Price : 1.6million Tshs Call / Whatsapp : 0627774377
Bidhaa Nyingine
TZS 1,600,000
Excela Joshua Excela Joshua 1 year
PLOT FOR SALE, IT'S LOCATED AT WAZO MASHAMBA YA JESHI
TZS 130,000,000
PLOT FOR SALE, IT'S LOCATED AT WAZO MASHAMBA YA JESHI
Dar es Salaam
KIWANJA KIZURI SANA KIMEZUNGUSHIWA MSINGI WA FENCE KINAUZWA WAZO MASHAMBA YA JESHI LOC :WAZO MASHAMBA YA JESHI AREA :SQM 2506 PRICE : MIL 130 UMILIKI : HATI MILIKI CONT. CALL Whatsapp &sms +255715090904 kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>> https://wa.me/255715090904 Insta @excela_and_properties HUDUMA ZOTE ZIPO... GHARAMA YA KUPELEKWA SITE NI SH ...
Viwanja Wazo Mashamba Ya Jeshi
TZS 130,000,000
rajabu shafii rajabu shafii 3 months
Toyota Landcruiser prado
TZS 155,000,000
Toyota Landcruiser prado
Dar es Salaam
Toyota Landcruiser prado Year 2019 Diesel Engine 1GD Diesel Automatic Gar ni mpyaa sanaa
Used Exchange Allowed Gari Sinza
TZS 155,000,000
Paul Meda Paul Meda 1 year
ZTE Nubia Z60 Ultra
TZS 2,150,009
ZTE Nubia Z60 Ultra
Dar es Salaam
Hello There Brand ZTE model Nubia Z60 Ultra 256gb,12ram Camera 64+50+50mp Battery 6000mah Android 14 Price 2,150,000/=
Bidhaa
TZS 2,150,009
Are you a professional seller? Create an account