Dawa ya kikojozi

TZS 55,000
Huduma za Urembo na Mazoezi
2 years
Tanzania
Dar es Salaam
Temeke
1139 views
SKU: 4002
Published 2 years ago by Amanzi Said
TZS 55,000
Temeke, Dar es Salaam, Tanzania
Get directions →
1139 item views
Chanzo cha tatizo hili huanzia kwenye figo.figo huenda zikawa zinatengeneza mkojo mwingi zaidi ya kiwango kinachoitajika.homoni ADH huambia figo kutengeneza mkojo mchache kiwango cha kawaida na Mara nyingi homoni hiyo hupungua nyakati za usiku.wakati unapotokwa na mkojo kitandani huenda homoni za ADH zimepungua ama figo hazifanyi kazi kama inavyostaili

Kiwango cha sukari pia huathiri kiwango cha homoni za ADH,hatua zinazoifanya figo kutengeneza kiwango kikubwa cha mkojo unapokuwa na mkojo mwingi kibofu chako hushindwa kuzuia na hivyo basi mkojo hutoka Mara kwa mara.

Mwanamke hanaweza kuwa na tatizo la kukojoa kitandani iwapo anatatizo la kibofu cha mkojo na kushindwa kujizuia.pia kuna maambukizi ya njia ya mkojo ambayo yanaweza kumfanya mtu zima kukojoa kitandani.kitamaduni tatizo la kutokwa na mkojo kitandani hudaiwa kusababishwa na pepo wabaya au maahetwani lakini kwamba kutokwa na mkojo ni ugonjwa ambao unapojulikana huwezi kushirikishwa na pepo au mashetwani Read more

Description

Chanzo cha tatizo hili huanzia kwenye figo.figo huenda zikawa zinatengeneza mkojo mwingi zaidi ya kiwango kinachoitajika.homoni ADH huambia figo kutengeneza mkojo mchache kiwango cha kawaida na Mara nyingi homoni hiyo hupungua nyakati za usiku.wakati unapotokwa na mkojo kitandani huenda homoni za ADH zimepungua ama figo hazifanyi kazi kama inavyostaili

Kiwango cha sukari pia huathiri kiwango cha homoni za ADH,hatua zinazoifanya figo kutengeneza kiwango kikubwa cha mkojo unapokuwa na mkojo mwingi kibofu chako hushindwa kuzuia na hivyo basi mkojo hutoka Mara kwa mara.

Mwanamke hanaweza kuwa na tatizo la kukojoa kitandani iwapo anatatizo la kibofu cha mkojo na kushindwa kujizuia.pia kuna maambukizi ya njia ya mkojo ambayo yanaweza kumfanya mtu zima kukojoa kitandani.kitamaduni tatizo la kutokwa na mkojo kitandani hudaiwa kusababishwa na pepo wabaya au maahetwani lakini kwamba kutokwa na mkojo ni ugonjwa ambao unapojulikana huwezi kushirikishwa na pepo au mashetwani

Vidokezo Salama

  • Usifanye malipo yoyote mtandaoni au kutoa taarifa zako binafsi kakikisha unaiona bidhaa kabla ya kununua.
  • Kuwa mwangalifu na wauzaji wanao hitaji malipo ya awali kabla ya kukutana na kukagua kifaa.
  • Jaribu bidhaa hakikisha inafanya kazi kikamilifu kabla ya kununua, fahamu zaidi kupitia ukurasa huu.
  • Hakikisha unakutana na muuzaji katika eneo salama na la wazi pale unapotaka kununua bidhaa.
Print
Toa Taarifa

Bidhaa Ulizoangalia

RLABS TANZANIA RLABS TANZANIA 2 years
Advert for Statutory Audit for RLabs Tanzania
Check with seller
Advert for Statutory Audit for RLabs Tanzania
Iringa
1. Background RLabs was born as Iringa Living Lab from the Tanz ICT project in 2013, which created ‘Living Labs’ as spaces to develop innovative solutions to community problems involving academic institutions, businesses, government and the community. The model uses design thinking and experiential learning to develop an innovation mindset. As the Iringa Liv...
Huduma Nyingine
Check with seller
Are you a professional seller? Create an account