Tiba Ya Presha/Dawa ya Presha/Dawa ya Asili ya Presha

TZS 69,000
Huduma za Urembo na Mazoezi
2 years
Tanzania
Morogoro
Morogoro
3000
2531 views
SKU: 2469
Published 2 years ago by Nutr Sood
TZS 69,000
3000, Morogoro, Morogoro, Tanzania
Get directions →
2531 item views
Zijue Faida Zitakazokuepusha na Kukutibu Presha na Magonjwa ya Moyo Kwa Haraka.


Ugonjwa wa Presha /Dawa ya Presha ya kupanda/Sababu ya Presha kupanda/Madhara ya Presha Kupanda/Tiba ya Presha/Visababishi vya Presha/Dawa ya kupungua Presha/Presha ni nini/Kushuka kwa Presha/Dawa ya Asili ya Presha/Dalili za Presha.




Magonjwa ya moyo ni muunganiko wa magonjwa yanayoshambulia moyo, vishipa vipelekavyo/vitoavyo damu kwenye moyo na maumbile yanayotengeneza moyo kwa ujumla(Structural and vessels disease).

Moja ya ugonjwa wa moyo unaokuja kwa kasi sana nchini ni ⤵;
↪Kupanda kwa shinikizo la juu la damu/Presha ya kupanda(high blood pressure/Hypertension) na kushuka kwa shinikizo la damu (Presha ya kushuka/Hypotension).

Presha ni msukumo wa damu kwenye vishipa vya damu,msukumo huu ukiwa mkubwa au mdogo kuliko unaohitajika mwilini ndio huitwa presha ya kupanda au kushuka.

Kwa mujibu wa shirika la afya duniani (WHO) sababu kuu za Presha pamoja na magonjwa ya moyo zinatajwa kuwa ni pamoja na;

????Ulaji usiofaa, ulaji usiofata taratibu za kitabibu ikiwa ni pamoja na kula chakula kingi baada ya saa kumi na moja jioni au kula chakula kingi katika mlo mmoja kuliko kiwango kinachohitajika kwa siku (RDA).

???? Ulaji wa vyakula vya mafuta kwa wingi, ulaji wa vyakula vyenye sukari nyingi au chumvi nyingi katika mlo wako.

????Kutokula mboga mboga za majani pamoja na matunda ambapo kitaalamu inashauriwa nusu ya kila mlo wako iwe mboga mboga za majani pamoja na matunda n.k

????Kutokushughurisha mwili/kufanya mazoezi.

*DALILI ZA MAGONJWA YA MOYO & PRESHA*

Zijue dalili ziletwazo na magonjwa ya moyo pamoja na presha ni ;

▶️Maumivu ya kifua mithili ya chembe ya moyo/chembe ya moyo.

▶️ Maumivu ya kifua kuzunguka hadi kwenye bega la kushoto.

▶️ Kuvimba kwa miguu na mikono.

▶️ Mapigo ya moyo kuwa ya chini sana au kasi sana.

▶️ Moyo kwenda mbio sana na kukosa pumzi hasaa zaidi unapotembea au kufanya shughuli zako ndogo ndogo/moyo kudunda kama mtu apiga dogoro kwa chini hasaa wakati wa kulala.

▶️ Mwili kuishiwa nguvu.

▶️ Kupata kizunguzungu na kuzimia.

▶️ Kupata ganzi kwenye miguu na mikono.

▶️Kutokwa na jasho jingi sana n.k


*MATIBABU/DAWA YA PRESHA.*
-Ni vyema kwenda Hospital kwanza kujua tatizo lako na chanzo chake kabla ya kuanza kutumia dawa.

-Ipo mimea tiba yenye uwezo mkubwa wa kutibu tatizo la presha ya kupanda/kushuka na magonjwa ya moyo kwa ufanisi mkubwa sana.

-Dawa hii ya kulamba hutumiwa na wagonjwa wa presha kwa wastani wa siku 6 hadi 10 pekee (Dozi moja) na hufanikisha kuwaacha salama na kuwaepusha na matumizi ya vidonge ya kila siku.

-Mimea hii huweza kuondoa tatizo la presha na kutoa matokeo ya haraka sana kuliko matarajio ya mtumiaji.



*NJIA ZA KUEPUKA NA KUPUNGUZA HATARI ZA MATATIZO YA MOYO NA PRESHA*

▶️ Epuka kutumia tumbaku(sigara)
▶️ Punguza kiwango cha chumvi kwenye mlo wako.
▶️ Kula mbogamboga na matunda kwa wingi.
▶️ Fanya mazoezi/Shughulisha mwili.

▶️Punguza ulaji wa vyakula vya kukaanga(vitumiavyo mafuta mengi).

▶️ Epuka unywaji wa pombe.
▶️ Jitibie/Rekebisha Kisukari yako kwenye damu.
▶️ Rekebisha uzito wako ikiwa uko juu na kiasi cha mafuta mwilini (BMI)
▶️ Kuwa na muda sahihi wa kula chakula chako.

▶️ Punguza matumizi makubwa ya Wanga katika mlo wako.



Kwa Ushauri,Maoni pamoja na Msaada wa kimatibabu wasiliana nami kwa:⤵️

Contacts
Nutr.Sood

Calls/Sms/Whatsaap: 0678640098.
Morogoro, mjini & Ilala Dsm. Read more

Description

Zijue Faida Zitakazokuepusha na Kukutibu Presha na Magonjwa ya Moyo Kwa Haraka.


Ugonjwa wa Presha /Dawa ya Presha ya kupanda/Sababu ya Presha kupanda/Madhara ya Presha Kupanda/Tiba ya Presha/Visababishi vya Presha/Dawa ya kupungua Presha/Presha ni nini/Kushuka kwa Presha/Dawa ya Asili ya Presha/Dalili za Presha.




Magonjwa ya moyo ni muunganiko wa magonjwa yanayoshambulia moyo, vishipa vipelekavyo/vitoavyo damu kwenye moyo na maumbile yanayotengeneza moyo kwa ujumla(Structural and vessels disease).

Moja ya ugonjwa wa moyo unaokuja kwa kasi sana nchini ni ⤵;
↪Kupanda kwa shinikizo la juu la damu/Presha ya kupanda(high blood pressure/Hypertension) na kushuka kwa shinikizo la damu (Presha ya kushuka/Hypotension).

Presha ni msukumo wa damu kwenye vishipa vya damu,msukumo huu ukiwa mkubwa au mdogo kuliko unaohitajika mwilini ndio huitwa presha ya kupanda au kushuka.

Kwa mujibu wa shirika la afya duniani (WHO) sababu kuu za Presha pamoja na magonjwa ya moyo zinatajwa kuwa ni pamoja na;

????Ulaji usiofaa, ulaji usiofata taratibu za kitabibu ikiwa ni pamoja na kula chakula kingi baada ya saa kumi na moja jioni au kula chakula kingi katika mlo mmoja kuliko kiwango kinachohitajika kwa siku (RDA).

???? Ulaji wa vyakula vya mafuta kwa wingi, ulaji wa vyakula vyenye sukari nyingi au chumvi nyingi katika mlo wako.

????Kutokula mboga mboga za majani pamoja na matunda ambapo kitaalamu inashauriwa nusu ya kila mlo wako iwe mboga mboga za majani pamoja na matunda n.k

????Kutokushughurisha mwili/kufanya mazoezi.

*DALILI ZA MAGONJWA YA MOYO & PRESHA*

Zijue dalili ziletwazo na magonjwa ya moyo pamoja na presha ni ;

▶️Maumivu ya kifua mithili ya chembe ya moyo/chembe ya moyo.

▶️ Maumivu ya kifua kuzunguka hadi kwenye bega la kushoto.

▶️ Kuvimba kwa miguu na mikono.

▶️ Mapigo ya moyo kuwa ya chini sana au kasi sana.

▶️ Moyo kwenda mbio sana na kukosa pumzi hasaa zaidi unapotembea au kufanya shughuli zako ndogo ndogo/moyo kudunda kama mtu apiga dogoro kwa chini hasaa wakati wa kulala.

▶️ Mwili kuishiwa nguvu.

▶️ Kupata kizunguzungu na kuzimia.

▶️ Kupata ganzi kwenye miguu na mikono.

▶️Kutokwa na jasho jingi sana n.k


*MATIBABU/DAWA YA PRESHA.*
-Ni vyema kwenda Hospital kwanza kujua tatizo lako na chanzo chake kabla ya kuanza kutumia dawa.

-Ipo mimea tiba yenye uwezo mkubwa wa kutibu tatizo la presha ya kupanda/kushuka na magonjwa ya moyo kwa ufanisi mkubwa sana.

-Dawa hii ya kulamba hutumiwa na wagonjwa wa presha kwa wastani wa siku 6 hadi 10 pekee (Dozi moja) na hufanikisha kuwaacha salama na kuwaepusha na matumizi ya vidonge ya kila siku.

-Mimea hii huweza kuondoa tatizo la presha na kutoa matokeo ya haraka sana kuliko matarajio ya mtumiaji.



*NJIA ZA KUEPUKA NA KUPUNGUZA HATARI ZA MATATIZO YA MOYO NA PRESHA*

▶️ Epuka kutumia tumbaku(sigara)
▶️ Punguza kiwango cha chumvi kwenye mlo wako.
▶️ Kula mbogamboga na matunda kwa wingi.
▶️ Fanya mazoezi/Shughulisha mwili.

▶️Punguza ulaji wa vyakula vya kukaanga(vitumiavyo mafuta mengi).

▶️ Epuka unywaji wa pombe.
▶️ Jitibie/Rekebisha Kisukari yako kwenye damu.
▶️ Rekebisha uzito wako ikiwa uko juu na kiasi cha mafuta mwilini (BMI)
▶️ Kuwa na muda sahihi wa kula chakula chako.

▶️ Punguza matumizi makubwa ya Wanga katika mlo wako.



Kwa Ushauri,Maoni pamoja na Msaada wa kimatibabu wasiliana nami kwa:⤵️

Contacts
Nutr.Sood

Calls/Sms/Whatsaap: 0678640098.
Morogoro, mjini & Ilala Dsm.

Vidokezo Salama

  • Usifanye malipo yoyote mtandaoni au kutoa taarifa zako binafsi kakikisha unaiona bidhaa kabla ya kununua.
  • Kuwa mwangalifu na wauzaji wanao hitaji malipo ya awali kabla ya kukutana na kukagua kifaa.
  • Jaribu bidhaa hakikisha inafanya kazi kikamilifu kabla ya kununua, fahamu zaidi kupitia ukurasa huu.
  • Hakikisha unakutana na muuzaji katika eneo salama na la wazi pale unapotaka kununua bidhaa.
Print
Toa Taarifa

Bidhaa Ulizoangalia

One Crystal One Crystal 4 months
Dressing Table
TZS 500,000
Dressing Table
Dar es Salaam
For sale: Black dressing table with a large mirror and matching stool, used for 4 months. Features multiple drawers for storage and a sleek modern design. • Condition: Used (4 months) • Includes: Large mirror, drawers, stool • Price: TZS 500,000 (Negotiable) • Call/WhatsApp: 0686700805 / 0626815763 Inauzwa: Meza ya kuvalia yenye rangi nyeusi, kioo kikubwa, n...
Used Vifaa Nyumbani na Fanicha Geza
TZS 500,000
mo estate mo estate 2 months
5bdrm House for rent Peninsula msasani
$ 4,000
5bdrm House for rent Peninsula msasani
Dar es Salaam
5bdrm House for rent msasani peninsula double store with swimming pool back up generator all rooms en suite Rent 4000 fixed payment terms one year only call wasap
Used Nyumba za Kupanga Peninsula Msasani
$ 4,000
Gariyangu_Project Pro Gariyangu_Project 2 years
Pro Gari Ilala Dar es Salaam 2 years
LAND ROVER DISCOVERY3
TZS 35,500,000
LAND ROVER DISCOVERY3
Dar es Salaam
LAND ROVER DISCOVERY3 TDV6 AVAILABLE FOR IMPORT MAKE YOUR FREE ORDER NOW
Gari Nhc House Samora
TZS 35,500,000
Omari Said Omari Said 8 months
Apple MacBook Pro retina 2015 Core i5 Ram 8Gb SSD 256Gb
TZS 750,000
Apple MacBook Pro retina 2015 Core i5 Ram 8Gb SSD 256Gb
Dar es Salaam
???? MacBook pro Retina 2015 inch 13.3. Intel quad core i5 Ram 8Gb Ssd 256Gb Graphics iris intel 6100 1536MB Battery 10 hours Condition normal no scratch Price 750,000K Tell 0693090987 or WhatsApp
Kamera na Vifaa Kitunda
TZS 750,000
Empire tronix Pro Empire tronix 5 months
Sony PlayStation 4 (PS4) Slim 500GB Console
TZS 700,000
Sony PlayStation 4 (PS4) Slim 500GB Console
Dar es Salaam
Sony PlayStation 4 Slim 500GB Console – Empire Tronix Get ready for endless gaming fun with the Sony PlayStation 4 Slim 500GB Console, available at Empire Tronix. The PS4 Slim offers a sleek design, improved performance, and a massive selection of games to keep you entertained. Its 500GB storage allows you to store multiple games, apps, and media without run...
New Bidhaa za Game Kinondoni Dar Es Salaam
TZS 700,000
Sameer Dada Sameer Dada 2 years
Vacum Flask 500ml
TZS 26,000
Vacum Flask 500ml
Dar es Salaam
Vacum Flask 500ml
Vifaa Nyumbani na Fanicha
TZS 26,000
Dunda Magari Dunda Magari 1 year
Gari Mwanza Mwanza 1 year
Toyota alphard
TZS 16,500,000
Toyota alphard
Mwanza
Toyota alphard gari ipo vizuri aina shida yoyote
Gari Yes - Ilemela
TZS 16,500,000
Gariyangu_Project Pro Gariyangu_Project 1 year
Pro Gari Ilala Dar es Salaam 1 year
LAND ROVER RANGE SPORT
TZS 41,580,000
LAND ROVER RANGE SPORT
Dar es Salaam
RANGE ROVER SPORTS TDV6 5dr AVAILABLE FOR IMPORTING DIRECT FROM UK
Gari Nhc House Samora
TZS 41,580,000
Dunda Magari Dunda Magari 1 year
Gari Mwanza Mwanza 1 year
Subaru forestar
TZS 22,500,000
Subaru forestar
Mwanza
Subaru forestar gari ipo vizur aina shida yoyote
Gari Yes - Ilemela
TZS 22,500,000
Musa Lusaka Musa Lusaka 1 year
LAND 2.5 ACRES FOR SALE
Check with seller
LAND 2.5 ACRES FOR SALE
Dar es Salaam
VIWANJA SITA VINAUZWA VIPO SEHEMU MOJA. LOCATION: TEGETA, WAZO KARIBIA NA KITENGULE HOSPITA AREA: 8,860SQM KWA VYOTE(EKALI MBILI NA ROBO) BEI: 500,000,000/= MAZUNGUMZO: YAPO ENEO LINAFAA KWA KIWANDA AU YARD YA MALORY NA SHULE ENEO LIPO MITA 200 KUTOKA BARABARA YA WAZO(NJIA PANDA KIBAONI) NA MITA 80 BAGAMOYO ROAD ENEO LIKEPIMWA NA MICHORO YAKE IPO DOCUMENT ZI...
Viwanja 14110 - Tegeta Kibaoni
Check with seller
Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 2 years
Lutian Pressure Washer 1700Psi
TZS 750,000
Lutian Pressure Washer 1700Psi
Dar es Salaam
Lutian Pressure Washer 1700Psi Price : 750,000Tshs Call / Whatsapp : 0627774377
Bidhaa Nyingine
TZS 750,000
Gariyangu_Project Pro Gariyangu_Project 2 years
Pro Gari Ilala Dar es Salaam 2 years
HUMMER H3
TZS 70,000,000
HUMMER H3
Dar es Salaam
HUMMER H3 AVAILABLE FOR IMPORT MAKE YOUR FREE ORDER NOW
Gari Nhc House Samora
TZS 70,000,000
Saad Ally Saad Ally 2 years
Eneo Tabata (BARACUDA) ndani ya fence tabata
TZS 90,000,000
Eneo Tabata (BARACUDA) ndani ya fence tabata
Dar es Salaam
*Tabata Sigara ( Baracuda) karibu na magorofa ya sigara * Karibu kabisa na main road *Eneo lipo ndani ya fence na kuna frame nje * Kuna faa kwa makazi au biashara ya apartments * Eneo lipo kwenye corner * Eneo lina documents zote * Bei ni Tsh 90M negotiable * Ukubwa sqm 635 * Muuzaji ni mimi mwenyewe hakuna mtu kati
Viwanja Tabata Sigara
TZS 90,000,000
Hassan Shafuri Hassan Shafuri 2 years
Vacuum cleaner wireless
TZS 85,000
Vacuum cleaner wireless
Dar es Salaam
Wireless Vacuum cleaner from UK . Very good condition Bado jipya kabisa na menu book unapata
Bidhaa Nyingine
TZS 85,000
Samson Joel Samson Joel 3 months
Mercedez benz. E CLASS. 2011
TZS 28,000,000
Mercedez benz. E CLASS. 2011
Dar es Salaam
Bei ni 28m Make : Mercedes Benz Model : E Class✅ Class : 7G- tronic???? Fuel : Petrol Engine cc . 1,800✅ Year : 2011???? Reg : EDE. ✅ Condition : New in condition Inported : Japan
Used Exchange Allowed Gari 9070 Dsm
TZS 28,000,000
Sadat Magari Pro Sadat Magari 1 year
Toyota Alphard 2005 model
TZS 23,000,000
Toyota Alphard 2005 model
Dar es Salaam
Chassis number Nice and clean Double sunroof Back camera Electric power door extra accessories Low mileage Free registration 1 month engine warranty
Gari Kinondoni Studio
TZS 23,000,000
Akil Khatri Akil Khatri 3 months
Used Toshiba AC (2013)
TZS 120,000
Used Toshiba AC (2013)
Dar es Salaam
This is a used Toshiba AC Window Type , with AVS guard and DP Switch . The AC works ok but has weak compressor,
Used Bidhaa Nyingine za Umeme Kariakoo
TZS 120,000
Justin Maganga Justin Maganga 2 months
Toyota Vellfire
TZS 25,000,000
Toyota Vellfire
Dar es Salaam
BEI/PRICE 25m Toyota Vellfire ( EES) Eng type 2az Eng capacity 2.3 K/mita 71400 Leather Seat & android Redio RimSport & tair mpya Mwaka 2008
Gari Ubungo Riverside
TZS 25,000,000
Town Laptop Pro Town Laptop 2 years
CANON PIXMA TS3140
TZS 230,000
CANON PIXMA TS3140
Dar es Salaam
Wi-Fi, Print, Copy, Scan, Cloud Printer Specifications Print Resolution Up to 48001 x 1200 dpi Print Technology 2 FINE Cartridges (Black and Colour) Mono Print Speed Approx. 7.7 ipm2 Colour Print Speed Approx. 4.0 ipm3 Photo Print Speed Borderless 10x15cm : Approx. 65 seconds4 Borderless Printing Yes (13x18cm, 10x15cm, 13x13cm) Two Sided Printing Manual oper...
Picha na Sanaa Magila
TZS 230,000
Abbas Khan Abbas Khan 1 year
MERCEDES-BENZ C CLASS C300| AISHA TRADING LLC
Check with seller
MERCEDES-BENZ C CLASS C300| AISHA TRADING LLC
Kilimanjaro
MERCEDES-BENZ C CLASS C300 YEAR: 2008 GEAR: AT ENGINE: 3000CC COLOR: WHITE DRIVE: 2WD CHASSIS: 204054-163** FUEL: GASOLINE MILEAGE: 10K KM EQUIPEMENT AW PS PW SR Navigation Leather Sheet |ETC... BEST PRICE$8,000USD CNF (INCLUDING SHIPMENT TILL PORT DAR ES SALAAM TANZANIA)
Magari 25101
Check with seller
Empire tronix Pro Empire tronix 5 months
JBL Tune 520BT Wireless On-Ear Headphones
TZS 210,000
JBL Tune 520BT Wireless On-Ear Headphones
Dar es Salaam
Experience premium sound quality with the JBL Tune 520BT Wireless On-Ear Headphones, now available at Empire Tronix in Tanzania! These headphones deliver the iconic JBL Pure Bass Sound, ensuring deep, powerful audio for music, movies, and more. Equipped with Bluetooth 5.3 technology, you’ll enjoy a stable and seamless wireless connection, while multipoint co...
New Bidhaa Nyingine za Umeme Kinondoni Dar Es Salaam
TZS 210,000
J Salvatory Salvatory J Salvatory Salvatory 1 year
Toyota passo
TZS 5,800,000
Toyota passo
Dar es Salaam
ENGINE 1KR FULL AC FULL DOCUMENT
Gari 1234 - 1234
TZS 5,800,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 2 months
Jengo linauzwa buswelu
TZS 900,000,000
Jengo linauzwa buswelu
Mwanza
JENGO LINAUZWA BUSWELU -lina jumla ya vyumba 19 vyote ni self contained -ukubwa wa eneo ni 70x70 =4,900 Sqm -ina hati miliki ya wizara -bei Tsh Milioni 900 -punguzo lipo ???? 0743220097
Nyumba Zinauzwa
TZS 900,000,000
Are you a professional seller? Create an account