Tiba Ya Presha/Dawa ya Presha/Dawa ya Asili ya Presha

TZS 69,000
Huduma za Urembo na Mazoezi
2 years
Tanzania
Morogoro
Morogoro
3000
3015 views
SKU: 2469
Published 2 years ago by Nutr Sood
TZS 69,000
3000, Morogoro, Morogoro, Tanzania
Get directions →
3015 item views
Zijue Faida Zitakazokuepusha na Kukutibu Presha na Magonjwa ya Moyo Kwa Haraka.


Ugonjwa wa Presha /Dawa ya Presha ya kupanda/Sababu ya Presha kupanda/Madhara ya Presha Kupanda/Tiba ya Presha/Visababishi vya Presha/Dawa ya kupungua Presha/Presha ni nini/Kushuka kwa Presha/Dawa ya Asili ya Presha/Dalili za Presha.




Magonjwa ya moyo ni muunganiko wa magonjwa yanayoshambulia moyo, vishipa vipelekavyo/vitoavyo damu kwenye moyo na maumbile yanayotengeneza moyo kwa ujumla(Structural and vessels disease).

Moja ya ugonjwa wa moyo unaokuja kwa kasi sana nchini ni ⤵;
↪Kupanda kwa shinikizo la juu la damu/Presha ya kupanda(high blood pressure/Hypertension) na kushuka kwa shinikizo la damu (Presha ya kushuka/Hypotension).

Presha ni msukumo wa damu kwenye vishipa vya damu,msukumo huu ukiwa mkubwa au mdogo kuliko unaohitajika mwilini ndio huitwa presha ya kupanda au kushuka.

Kwa mujibu wa shirika la afya duniani (WHO) sababu kuu za Presha pamoja na magonjwa ya moyo zinatajwa kuwa ni pamoja na;

????Ulaji usiofaa, ulaji usiofata taratibu za kitabibu ikiwa ni pamoja na kula chakula kingi baada ya saa kumi na moja jioni au kula chakula kingi katika mlo mmoja kuliko kiwango kinachohitajika kwa siku (RDA).

???? Ulaji wa vyakula vya mafuta kwa wingi, ulaji wa vyakula vyenye sukari nyingi au chumvi nyingi katika mlo wako.

????Kutokula mboga mboga za majani pamoja na matunda ambapo kitaalamu inashauriwa nusu ya kila mlo wako iwe mboga mboga za majani pamoja na matunda n.k

????Kutokushughurisha mwili/kufanya mazoezi.

*DALILI ZA MAGONJWA YA MOYO & PRESHA*

Zijue dalili ziletwazo na magonjwa ya moyo pamoja na presha ni ;

▶️Maumivu ya kifua mithili ya chembe ya moyo/chembe ya moyo.

▶️ Maumivu ya kifua kuzunguka hadi kwenye bega la kushoto.

▶️ Kuvimba kwa miguu na mikono.

▶️ Mapigo ya moyo kuwa ya chini sana au kasi sana.

▶️ Moyo kwenda mbio sana na kukosa pumzi hasaa zaidi unapotembea au kufanya shughuli zako ndogo ndogo/moyo kudunda kama mtu apiga dogoro kwa chini hasaa wakati wa kulala.

▶️ Mwili kuishiwa nguvu.

▶️ Kupata kizunguzungu na kuzimia.

▶️ Kupata ganzi kwenye miguu na mikono.

▶️Kutokwa na jasho jingi sana n.k


*MATIBABU/DAWA YA PRESHA.*
-Ni vyema kwenda Hospital kwanza kujua tatizo lako na chanzo chake kabla ya kuanza kutumia dawa.

-Ipo mimea tiba yenye uwezo mkubwa wa kutibu tatizo la presha ya kupanda/kushuka na magonjwa ya moyo kwa ufanisi mkubwa sana.

-Dawa hii ya kulamba hutumiwa na wagonjwa wa presha kwa wastani wa siku 6 hadi 10 pekee (Dozi moja) na hufanikisha kuwaacha salama na kuwaepusha na matumizi ya vidonge ya kila siku.

-Mimea hii huweza kuondoa tatizo la presha na kutoa matokeo ya haraka sana kuliko matarajio ya mtumiaji.



*NJIA ZA KUEPUKA NA KUPUNGUZA HATARI ZA MATATIZO YA MOYO NA PRESHA*

▶️ Epuka kutumia tumbaku(sigara)
▶️ Punguza kiwango cha chumvi kwenye mlo wako.
▶️ Kula mbogamboga na matunda kwa wingi.
▶️ Fanya mazoezi/Shughulisha mwili.

▶️Punguza ulaji wa vyakula vya kukaanga(vitumiavyo mafuta mengi).

▶️ Epuka unywaji wa pombe.
▶️ Jitibie/Rekebisha Kisukari yako kwenye damu.
▶️ Rekebisha uzito wako ikiwa uko juu na kiasi cha mafuta mwilini (BMI)
▶️ Kuwa na muda sahihi wa kula chakula chako.

▶️ Punguza matumizi makubwa ya Wanga katika mlo wako.



Kwa Ushauri,Maoni pamoja na Msaada wa kimatibabu wasiliana nami kwa:⤵️

Contacts
Nutr.Sood

Calls/Sms/Whatsaap: 0678640098.
Morogoro, mjini & Ilala Dsm. Read more

Description

Zijue Faida Zitakazokuepusha na Kukutibu Presha na Magonjwa ya Moyo Kwa Haraka.


Ugonjwa wa Presha /Dawa ya Presha ya kupanda/Sababu ya Presha kupanda/Madhara ya Presha Kupanda/Tiba ya Presha/Visababishi vya Presha/Dawa ya kupungua Presha/Presha ni nini/Kushuka kwa Presha/Dawa ya Asili ya Presha/Dalili za Presha.




Magonjwa ya moyo ni muunganiko wa magonjwa yanayoshambulia moyo, vishipa vipelekavyo/vitoavyo damu kwenye moyo na maumbile yanayotengeneza moyo kwa ujumla(Structural and vessels disease).

Moja ya ugonjwa wa moyo unaokuja kwa kasi sana nchini ni ⤵;
↪Kupanda kwa shinikizo la juu la damu/Presha ya kupanda(high blood pressure/Hypertension) na kushuka kwa shinikizo la damu (Presha ya kushuka/Hypotension).

Presha ni msukumo wa damu kwenye vishipa vya damu,msukumo huu ukiwa mkubwa au mdogo kuliko unaohitajika mwilini ndio huitwa presha ya kupanda au kushuka.

Kwa mujibu wa shirika la afya duniani (WHO) sababu kuu za Presha pamoja na magonjwa ya moyo zinatajwa kuwa ni pamoja na;

????Ulaji usiofaa, ulaji usiofata taratibu za kitabibu ikiwa ni pamoja na kula chakula kingi baada ya saa kumi na moja jioni au kula chakula kingi katika mlo mmoja kuliko kiwango kinachohitajika kwa siku (RDA).

???? Ulaji wa vyakula vya mafuta kwa wingi, ulaji wa vyakula vyenye sukari nyingi au chumvi nyingi katika mlo wako.

????Kutokula mboga mboga za majani pamoja na matunda ambapo kitaalamu inashauriwa nusu ya kila mlo wako iwe mboga mboga za majani pamoja na matunda n.k

????Kutokushughurisha mwili/kufanya mazoezi.

*DALILI ZA MAGONJWA YA MOYO & PRESHA*

Zijue dalili ziletwazo na magonjwa ya moyo pamoja na presha ni ;

▶️Maumivu ya kifua mithili ya chembe ya moyo/chembe ya moyo.

▶️ Maumivu ya kifua kuzunguka hadi kwenye bega la kushoto.

▶️ Kuvimba kwa miguu na mikono.

▶️ Mapigo ya moyo kuwa ya chini sana au kasi sana.

▶️ Moyo kwenda mbio sana na kukosa pumzi hasaa zaidi unapotembea au kufanya shughuli zako ndogo ndogo/moyo kudunda kama mtu apiga dogoro kwa chini hasaa wakati wa kulala.

▶️ Mwili kuishiwa nguvu.

▶️ Kupata kizunguzungu na kuzimia.

▶️ Kupata ganzi kwenye miguu na mikono.

▶️Kutokwa na jasho jingi sana n.k


*MATIBABU/DAWA YA PRESHA.*
-Ni vyema kwenda Hospital kwanza kujua tatizo lako na chanzo chake kabla ya kuanza kutumia dawa.

-Ipo mimea tiba yenye uwezo mkubwa wa kutibu tatizo la presha ya kupanda/kushuka na magonjwa ya moyo kwa ufanisi mkubwa sana.

-Dawa hii ya kulamba hutumiwa na wagonjwa wa presha kwa wastani wa siku 6 hadi 10 pekee (Dozi moja) na hufanikisha kuwaacha salama na kuwaepusha na matumizi ya vidonge ya kila siku.

-Mimea hii huweza kuondoa tatizo la presha na kutoa matokeo ya haraka sana kuliko matarajio ya mtumiaji.



*NJIA ZA KUEPUKA NA KUPUNGUZA HATARI ZA MATATIZO YA MOYO NA PRESHA*

▶️ Epuka kutumia tumbaku(sigara)
▶️ Punguza kiwango cha chumvi kwenye mlo wako.
▶️ Kula mbogamboga na matunda kwa wingi.
▶️ Fanya mazoezi/Shughulisha mwili.

▶️Punguza ulaji wa vyakula vya kukaanga(vitumiavyo mafuta mengi).

▶️ Epuka unywaji wa pombe.
▶️ Jitibie/Rekebisha Kisukari yako kwenye damu.
▶️ Rekebisha uzito wako ikiwa uko juu na kiasi cha mafuta mwilini (BMI)
▶️ Kuwa na muda sahihi wa kula chakula chako.

▶️ Punguza matumizi makubwa ya Wanga katika mlo wako.



Kwa Ushauri,Maoni pamoja na Msaada wa kimatibabu wasiliana nami kwa:⤵️

Contacts
Nutr.Sood

Calls/Sms/Whatsaap: 0678640098.
Morogoro, mjini & Ilala Dsm.

Vidokezo Salama

  • Usifanye malipo yoyote mtandaoni au kutoa taarifa zako binafsi kakikisha unaiona bidhaa kabla ya kununua.
  • Kuwa mwangalifu na wauzaji wanao hitaji malipo ya awali kabla ya kukutana na kukagua kifaa.
  • Jaribu bidhaa hakikisha inafanya kazi kikamilifu kabla ya kununua, fahamu zaidi kupitia ukurasa huu.
  • Hakikisha unakutana na muuzaji katika eneo salama na la wazi pale unapotaka kununua bidhaa.
Print
Toa Taarifa

Bidhaa Ulizoangalia

William Mtesigwa William Mtesigwa 2 years
TOYOTA CRESTA GX100
TZS 3,500,000
TOYOTA CRESTA GX100
Dar es Salaam
Gari ipo katika hali nzuri
Gari
TZS 3,500,000
matson jackson matson jackson 1 year
SUBARU FORESTER
TZS 18,500,000
SUBARU FORESTER
Dar es Salaam
PRICE 18.5 Contact ????0787290855 SUBARU FORESTER XT ON SALE Reg number .(DSA) Year model 2009 Engine Cc 1990 Low mileage New tyre Clean as new Rim sports COLOR SILVER
Gari
TZS 18,500,000
Empire tronix Pro Empire tronix 8 months
Samsung 50" DU7010 | DU7000 Crystal UHD 4K HDR Smart TV
TZS 1,350,000
Samsung 50" DU7010 | DU7000 Crystal UHD 4K HDR Smart TV
Dar es Salaam
Samsung 50" DU7010 Crystal UHD 4K HDR Smart TV – Now Available at Empire Tronix Tanzania Upgrade your home entertainment with the Samsung 50" DU7010 Crystal UHD 4K HDR Smart TV, designed to deliver stunning 4K visuals, vibrant colors, and seamless smart features for an immersive viewing experience. Whether you're watching movies, sports, or gaming, this TV e...
Bidhaa za Nyumbani za Umeme Kinondoni Dar Es Salaam
TZS 1,350,000
daniel john daniel john 8 months
HP ELITEBOOK 745 G4
TZS 430,000
HP ELITEBOOK 745 G4
Arusha
Ram = 8GB , HDD = 64OGB, PROCESSOR = CORE i5, AMD PRO A8 8GENERATION Battery = 2hr Bei = 430k karibu Laptop ipo Arusha Mjini 0755 442 9O2 Maongezi yapo
Used Kamera na Vifaa
TZS 430,000
Elisha Mboma Elisha Mboma 1 year
House for sale at Kigambon Mwongozo
TZS 68,000,000
House for sale at Kigambon Mwongozo
Dar es Salaam
Nyumba ipo kigambon 3km from road, 2rooms, dining kitchen 2 bathrooms and it's full fenced.
Nyumba Zinauzwa Kigambon Mwongozo
TZS 68,000,000
Thomson Mandara Pro Thomson Mandara 10 months
Pro Gari Kinondoni Dar es Salaam 10 months
USED 2016 LAND CRUISER V8 D/CABIN
$ 37,000
USED 2016 LAND CRUISER V8 D/CABIN
Dar es Salaam
READY FOR IMPORTATION USED 2016 LAND DOUBLE CABIN V8 1VD ENGINE 4500CC MANUAL 4WD PRICED UP TO DAR PORT CUSTOMS TAXES AND OTHER CHARGES NOT INCLUDED YET
Gari Kanisani Road
$ 37,000
Ivan Minja Ivan Minja 1 year
Nyumba inauzwa Malamba Mawili bei rahisi
TZS 80,000,000
Nyumba inauzwa Malamba Mawili bei rahisi
Dar es Salaam
Minja real estate $ Car Broker inakuletea:- Nyumba inauzwa malamba mawili. Ukubwa wa kiwanja Sqm 400. Vyumba vitatu kimoja master. Sebule, jiko na choo cha wageni. mita 700 kutoka Barabara ya Kinyerezi. Bei Mil 80 tu. Nipigie au whats app 0687575770 kwenda kuona nyumba.
Nyumba Zinauzwa Malamba Mawili
TZS 80,000,000
Japhary Abdallah Pro Japhary Abdallah 8 months
TOYOTA HARRIER
Check with seller
TOYOTA HARRIER
Dar es Salaam
PRICE/BEI:23.8M TOYOTA HARRIER YEAR:2003 ENGINE CAPACITY:2360Cc ENGINE CODE:2AZ-VVTI KILOMETERS:65,000 NEW TYRES,MUSIC RADIO,CLEAN SEATS AUTOMATIC TRANSMISSION COLOUR: PERLY WHITE VERY GOOD CONDITION
New Exchange Allowed Gari
Check with seller
Amina R Machibya Amina R Machibya 2 years
Nyumba Inapangishwa Kimara Millenia
TZS 250,000
Nyumba Inapangishwa Kimara Millenia
Dar es Salaam
Napangisha nyumba kimara millenia, vyumba 3,kimoja master. Umeme luku,maji unalipia mwenyew mwisho wa mwezi. nyumba ndan ya fensi
Nyumba za Kupanga
TZS 250,000
Patricia Mhekwa Patricia Mhekwa 2 years
Nyumba inapangishwa Mbweni Mpiji, Dar es Salaam. Kodi TZS 400,000 kwa mwezi.
TZS 400,000
Nyumba inapangishwa Mbweni Mpiji, Dar es Salaam. Kodi TZS 400,000 kwa mwezi.
Dar es Salaam
Nyumba stand alone inapangishwa Mbweni karibu na Nyaishozi college. Ina vyumba viwili master bedroom (self-contained). Ina sebule, jiko kubwa na stoo. Ina public toilet moja. Maji na luku inajitegemea. Kodi ni laki 400,000 kwa mwezi (negotiable). Malipo ya miezi 6. Nyumba ni mpya kabisa. Car parking space ipo. Kwa mawasiliano zaidi, piga namba 0758906593.
Nyumba za Kupanga Mbweni Mpiji
TZS 400,000
MANASE MKILANIA MANASE MKILANIA 2 years
MAZDA DEMIO (CHASSIS NUMBER)
TZS 12,800,000
MAZDA DEMIO (CHASSIS NUMBER)
Dar es Salaam
2010 MAZDA DEMIO (CHASSIS NUMBER) 2010 Manufacture year 80,305km 1340CC Engine capacity Automatic Petrol Unregistered Car * Black Interior * Black Fabric Cloth trim seats * Kenwood Original Radio * 14 inch Original Alloy Wheel (Sport Rims) From Japan * Front Fog Lights * After market Headlight unit Excellent Overal Condition Inside & Outside Total Price ...
Gari 12116 - P.o Box 13569
TZS 12,800,000
amer salmin amer salmin 1 year
Corolla rumion 2010
TZS 18,000,000
Corolla rumion 2010
Morogoro
Excellent condition
Gari 727
TZS 18,000,000
Smart Commission Agent Smart Commission Agent 2 years
Toyota Hilux Revo Legend2020
TZS 100,000,000
Toyota Hilux Revo Legend2020
Dar es Salaam
Toyota Hilux Revo Double Cabin Pickup , Year : 2020 Low mileage:49,000km , 2.8 Diesel , In very Good condition , MUSIC SYSTEM / ADROID , COLOR: Gray , KILOMETERS: 49000km , NEW TYRES 2022 , 4WD DRIVE , Transmission: Automatic , Location: Dar es Salaam ,
Gari
TZS 100,000,000
MOHAMED HASSAN Pro MOHAMED HASSAN 2 years
TOYOTA PRADO DIAMOND
TZS 38,000,000
TOYOTA PRADO DIAMOND
Dar es Salaam
Toyota landcruiser prado ???????? 2tr petrol engine cc2600 Well maintained Full Ac New tyres Sports reams ???????? Mil 38M Call...... Gari kali sana sio ya kuikosa mteja hatoki humuu pia nafanya exchange...
Gari
TZS 38,000,000
Richard Kunda Richard Kunda 2 years
Dyna for sale
TZS 18,500,000
Dyna for sale
Dar es Salaam
DYNA INAUZWA Engine original 14B 2.5 Tonnes Manual Gear Namba C Box body Double Tyre, Double Spring Inatembea na inafika popote Ipo Mikocheni B, DSM Bei 18.5M Maelewano yapo 0783 188839 Call/Sms/Whatsup
Magari Makubwa na Mabasi
TZS 18,500,000
NAOMI MUGISHA NAOMI MUGISHA 10 months
Dinali apartment
TZS 2,400,000
Dinali apartment
Arusha
we are located at moshono-kiroshi, we rent only the upper floor
Nyumba za Kupanga Kiroshi
TZS 2,400,000
Excela Joshua Excela Joshua 1 year
NYUMBA INAUZWA NA BANK MBEZI MSAKUZI KWA LUBABA
TZS 40,000,000
NYUMBA INAUZWA NA BANK MBEZI MSAKUZI KWA LUBABA
Dar es Salaam
NYUMBA INAUZWA NA BANK MBEZI MSAKUZI LUBABA. IKO MITA 500 KUTOKA MBEZI TO MSAKUZI ROAD LOC : MBEZI MSAKUZI KWA LUBABA UKUBWA : SQMT 400 PRICE : MIL 40. UMILIKI : MKATABA WA SERIKALI YA MTAA. SIFA:- -3 BEARD ROOM 1 SELF - SITTING ROOM - DINING ROOM - JIKO / STORE - PUBLIC TOILET -SERVANT QUATER YA VYUMBA VIWILI CONT. CALL Whatsapp &sms +255715090904 kwend...
Nyumba Zinauzwa Mbezi Msakuzi Kwa Lubaba
TZS 40,000,000
Mr eddy Benny Mr eddy Benny 3 months
HUDUMA ya ya KUHAMA
$ 1
HUDUMA ya ya KUHAMA
Dar es Salaam
☆☆ JE UNAHITAJI KUHAMA UNA HITAJI USAFIRI WA HAKIKA NA SALAMA KARiBu MR EDDY COOL SERVICE ..... ☆HUDUMA ZETU .... TUNAKODISHA GARI KUHAMA KIMAKAZI , OFFICE #HUDUMA YA KUSAFISHA NYUMBA AU OFICE ☆HUDUMA YA KUPAKI MALIZAKO KWA USALAMA NA KUSHUSHA KWA USALAMA UNAPOTOKA NA UNAPO KWENDA ☆HUDUMA ZA USAFI 》KATIKA MA OFFICE 》NYUMBA 》KUMBI ZA SHEREHE 》USAFI WA NGUO US...
Huduma za Kuhama na Usafiri Tabata
$ 1
Dunda Magari Dunda Magari 1 year
Gari Mwanza Mwanza 1 year
Toyota alphard
TZS 16,500,000
Toyota alphard
Mwanza
Toyota alphard gari ipo vizuri aina shida yoyote
Gari Yes - Ilemela
TZS 16,500,000
Excela Joshua Excela Joshua 1 year
SHAMBA LINAUZWA BAGAMOYO KITOPENI KWA MASHAKA
TZS 18,000,000
SHAMBA LINAUZWA BAGAMOYO KITOPENI KWA MASHAKA
Pwani
SHAMBA LINAUZWA BAGAMOYO KITOPENI KWA MASHAKA, NI BAADA YA KILOMO. NI KILOMITA 4½ TOKA BAGAMOYO ROAD LOC :BAGAMOYO KITOPENI KWA MASHAKA AREA :EKA 2 PRICE : MIL 18 UMILIKI : MKATABA WA SERIKALI YA KIJIJI CONT. CALL Whatsapp &sms +255715090904 kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>> https://wa.me/255715090904 Insta @excela_and_properties HUDUMA ZOTE Z...
Viwanja Bagamoyo Kitopeni Kwa Mashaka
TZS 18,000,000
Gari yangu Pro Gari yangu 11 months
Pro Gari Ilala Dar es Salaam 11 months
Toyota : Rav4
TZS 38,850,000
Toyota : Rav4
Dar es Salaam
push start , back tire , back camera , sport rim , winkle mirrors & fog lamps
Gari Posta Samora Street Gsm Salamander Tower 5th Floor
TZS 38,850,000
ITC JAPAN Pro ITC JAPAN 2 years
Pro Gari Ilala Dar es Salaam 2 years
TOYOTA RAUM 2004
Check with seller
TOYOTA RAUM 2004
Dar es Salaam
The 2004 Toyota Raum is a compact MPV (Multi-Purpose Vehicle) that focuses on space efficiency and practicality. It offers a versatile and compact design with a roomy interior, making it a suitable choice for urban driving and small families. Known for its reliability and user-friendly features, the Toyota Raum is a dependable and functional vehicle designed...
Gari 11101 - ,Dar Es Salaam,Tanzania
Check with seller
Ahmed Sereri Ahmed Sereri 7 months
Hisense Water dispenser
TZS 420,000
Hisense Water dispenser
Dar es Salaam
Hisense water despenser. 3 plags Hot Cold Normal 420,000. No warranty card
New Bidhaa za Nyumbani za Umeme
TZS 420,000
Gariyangu_Project Pro Gariyangu_Project 2 years
Toyota Hiace
TZS 38,000,000
Toyota Hiace
Dar es Salaam
Toyota Hiace 2.4 Dieasel available for import make your order now
Magari Mengine
TZS 38,000,000
Are you a professional seller? Create an account