Apartment for sale

TZS 180
Nyumba Zinauzwa
1 year
Tanzania
Dodoma
Dodoma
1115
413 views
SKU: 7671
Published 1 year ago by Happy Thomas
TZS 180
In Nyumba Zinauzwa category
1115, Dodoma, Dodoma, Tanzania
Get directions →
413 item views
NYUMBA 4(4in1) ZINAUZWA MICHESE DODOMA

Zipo umbali wa kilomita 7.6 kutoka city center na mita 70 kutoka reli ya SGR.

Zipo nyumba nne, mbili zimekamilika kila kitu. Zipo kwenye kiwanja kimoja chenye ukubwa wa 2600sqm, kimepimwa na kina hati.

Nyumba ya kwanza Ina vyumba vikubwa viwili vyote master , sebule na sehemu ya jiko na dinning.

Nyumba ya pili inafanana na ya kwanza Ina vyumba vikubwa viwili vyote master, sebule na sehemu ya jiko na dinning.

Nyumba ya tatu haijakamilika, ni pagale lenye vyumba vitatu vyote master, sebule na sehemu ya dinning.

Nyumba ya nne ni servant quarter Ina chumba master na sebule, chumba master peke yake na public toilet.

Kuna eneo la laundry, kisima Cha maji kirefu sana, matenki, compound Ina paving blocks na garden ya kuvutia. Eneo lote limezungukwa na fensi. Ujenzi umezingatia standard ya juu sana.

Kuna eneo kubwa limebaki unaweza kujenga nyumba zingine na kuweka swimming pool.

Nyumba hizi zinafaa sana kibiashara. Unaweza ku-redesign kuwa lodge au hotel. Aidha unaweza kuzifanya ziwe nyumba za kupangisha au ukaziongezea thamani zikawa full furnished apartments.

Bei ni milioni 180Ml.

Tupigie 0769619980
Kwa maelezo zaidi. Read more

Specs

Property Size Sq Ft 2600
Bedrooms 3-Bedrooms
Bathroom 1-Bathroom

Description

NYUMBA 4(4in1) ZINAUZWA MICHESE DODOMA

Zipo umbali wa kilomita 7.6 kutoka city center na mita 70 kutoka reli ya SGR.

Zipo nyumba nne, mbili zimekamilika kila kitu. Zipo kwenye kiwanja kimoja chenye ukubwa wa 2600sqm, kimepimwa na kina hati.

Nyumba ya kwanza Ina vyumba vikubwa viwili vyote master , sebule na sehemu ya jiko na dinning.

Nyumba ya pili inafanana na ya kwanza Ina vyumba vikubwa viwili vyote master, sebule na sehemu ya jiko na dinning.

Nyumba ya tatu haijakamilika, ni pagale lenye vyumba vitatu vyote master, sebule na sehemu ya dinning.

Nyumba ya nne ni servant quarter Ina chumba master na sebule, chumba master peke yake na public toilet.

Kuna eneo la laundry, kisima Cha maji kirefu sana, matenki, compound Ina paving blocks na garden ya kuvutia. Eneo lote limezungukwa na fensi. Ujenzi umezingatia standard ya juu sana.

Kuna eneo kubwa limebaki unaweza kujenga nyumba zingine na kuweka swimming pool.

Nyumba hizi zinafaa sana kibiashara. Unaweza ku-redesign kuwa lodge au hotel. Aidha unaweza kuzifanya ziwe nyumba za kupangisha au ukaziongezea thamani zikawa full furnished apartments.

Bei ni milioni 180Ml.

Tupigie 0769619980
Kwa maelezo zaidi.

Vidokezo Salama

  • Usifanye malipo yoyote mtandaoni au kutoa taarifa zako binafsi kakikisha unaiona bidhaa kabla ya kununua.
  • Kuwa mwangalifu na wauzaji wanao hitaji malipo ya awali kabla ya kukutana na kukagua kifaa.
  • Jaribu bidhaa hakikisha inafanya kazi kikamilifu kabla ya kununua, fahamu zaidi kupitia ukurasa huu.
  • Hakikisha unakutana na muuzaji katika eneo salama na la wazi pale unapotaka kununua bidhaa.
Print
Toa Taarifa

Bidhaa Ulizoangalia

Edward Isaya Edward Isaya 1 year
Gari Mwanza Mwanza 1 year
Vitz Rs
TZS 6,500,000
Vitz Rs
Mwanza
Vitz Rs???? Music system Cc:1290 Neat Condition Engine Smart Bei;6,500,000/=milioni Tzs???? Call & Whatsap Namba #0743448205 #Mr Eddo #usedcars #fyp #nkainatraders #mtwara #mwanza #mpambanaji #dodoma #tanzania #southafrica #lindi #daresalaam #sumbawanga #kigoma #zanzibar #world #online #business #forsale #morogoro #content Karibu Mteja????????????
Gari 1234 - 33312
TZS 6,500,000
Gariyangu_Project Pro Gariyangu_Project 2 years
Pro Gari Ilala Dar es Salaam 2 years
Toyota Ist
TZS 15,550,000
Toyota Ist
Dar es Salaam
Toyota Ist available for import make your order now
Gari
TZS 15,550,000
Donny Magari Donny Magari 7 months
Other 7 months
Toyota Porte
TZS 6,000,000
Toyota Porte
LOCATION DSM MIL 6 FULL AC NEW TYRES CALL 0676 478 888
Used Exchange Allowed Other
TZS 6,000,000
Mtc store Mtc store 2 years
Disaar vitamin c oil
TZS 10,000
Disaar vitamin c oil
Dar es Salaam
DISAAR VITAMIN C OIL AVAILABLE Th 10,000 • Oil nzuri ya vitamin c inasaidia kuondoa madoa mwilini * Wale wenye chunusi za mgongoni na kifuani hii oil inasaidia sana • Yanalainisha sana ngozi • Yanaipa unyevu ngozi • Hii oil haichubui inafaa kwa wanawake na wanaume! •' Ngozi ya mwili ina glow vizuri! Price: 10,000
Afya na Urembo
TZS 10,000
Serene Argent Serene Argent 2 years
Clothes Hamper with Lid
TZS 12,000
Clothes Hamper with Lid
Dar es Salaam
Clothes Hamper with Lid. Dark brown color.
Vifaa Nyumbani na Fanicha
TZS 12,000
SEKELA MINGA SEKELA MINGA 1 year
Plot for sale
TZS 25,000,000
Plot for sale
Zanzibar North
A nice plot for sale at kiwengwa Zanzibar the plot is second line from beach by walking will take 10 minutes a plot is so nice u can make house or a villa the size of plot is sqm 600
Viwanja Kiwengwa Kumba Urembo
TZS 25,000,000
Are you a professional seller? Create an account