Apartment for sale

TZS 180
Nyumba Zinauzwa
1 year
Tanzania
Dodoma
Dodoma
1115
364 views
SKU: 7671
Published 1 year ago by Happy Thomas
TZS 180
In Nyumba Zinauzwa category
1115, Dodoma, Dodoma, Tanzania
Get directions →
364 item views
NYUMBA 4(4in1) ZINAUZWA MICHESE DODOMA

Zipo umbali wa kilomita 7.6 kutoka city center na mita 70 kutoka reli ya SGR.

Zipo nyumba nne, mbili zimekamilika kila kitu. Zipo kwenye kiwanja kimoja chenye ukubwa wa 2600sqm, kimepimwa na kina hati.

Nyumba ya kwanza Ina vyumba vikubwa viwili vyote master , sebule na sehemu ya jiko na dinning.

Nyumba ya pili inafanana na ya kwanza Ina vyumba vikubwa viwili vyote master, sebule na sehemu ya jiko na dinning.

Nyumba ya tatu haijakamilika, ni pagale lenye vyumba vitatu vyote master, sebule na sehemu ya dinning.

Nyumba ya nne ni servant quarter Ina chumba master na sebule, chumba master peke yake na public toilet.

Kuna eneo la laundry, kisima Cha maji kirefu sana, matenki, compound Ina paving blocks na garden ya kuvutia. Eneo lote limezungukwa na fensi. Ujenzi umezingatia standard ya juu sana.

Kuna eneo kubwa limebaki unaweza kujenga nyumba zingine na kuweka swimming pool.

Nyumba hizi zinafaa sana kibiashara. Unaweza ku-redesign kuwa lodge au hotel. Aidha unaweza kuzifanya ziwe nyumba za kupangisha au ukaziongezea thamani zikawa full furnished apartments.

Bei ni milioni 180Ml.

Tupigie 0769619980
Kwa maelezo zaidi. Read more

Specs

Property Size Sq Ft 2600
Bedrooms 3-Bedrooms
Bathroom 1-Bathroom

Description

NYUMBA 4(4in1) ZINAUZWA MICHESE DODOMA

Zipo umbali wa kilomita 7.6 kutoka city center na mita 70 kutoka reli ya SGR.

Zipo nyumba nne, mbili zimekamilika kila kitu. Zipo kwenye kiwanja kimoja chenye ukubwa wa 2600sqm, kimepimwa na kina hati.

Nyumba ya kwanza Ina vyumba vikubwa viwili vyote master , sebule na sehemu ya jiko na dinning.

Nyumba ya pili inafanana na ya kwanza Ina vyumba vikubwa viwili vyote master, sebule na sehemu ya jiko na dinning.

Nyumba ya tatu haijakamilika, ni pagale lenye vyumba vitatu vyote master, sebule na sehemu ya dinning.

Nyumba ya nne ni servant quarter Ina chumba master na sebule, chumba master peke yake na public toilet.

Kuna eneo la laundry, kisima Cha maji kirefu sana, matenki, compound Ina paving blocks na garden ya kuvutia. Eneo lote limezungukwa na fensi. Ujenzi umezingatia standard ya juu sana.

Kuna eneo kubwa limebaki unaweza kujenga nyumba zingine na kuweka swimming pool.

Nyumba hizi zinafaa sana kibiashara. Unaweza ku-redesign kuwa lodge au hotel. Aidha unaweza kuzifanya ziwe nyumba za kupangisha au ukaziongezea thamani zikawa full furnished apartments.

Bei ni milioni 180Ml.

Tupigie 0769619980
Kwa maelezo zaidi.

Vidokezo Salama

  • Usifanye malipo yoyote mtandaoni au kutoa taarifa zako binafsi kakikisha unaiona bidhaa kabla ya kununua.
  • Kuwa mwangalifu na wauzaji wanao hitaji malipo ya awali kabla ya kukutana na kukagua kifaa.
  • Jaribu bidhaa hakikisha inafanya kazi kikamilifu kabla ya kununua, fahamu zaidi kupitia ukurasa huu.
  • Hakikisha unakutana na muuzaji katika eneo salama na la wazi pale unapotaka kununua bidhaa.
Print
Toa Taarifa

Bidhaa Ulizoangalia

Edward Isaya Edward Isaya 1 year
Gari Mwanza Mwanza 1 year
Vitz Rs
TZS 6,500,000
Vitz Rs
Mwanza
Vitz Rs???? Music system Cc:1290 Neat Condition Engine Smart Bei;6,500,000/=milioni Tzs???? Call & Whatsap Namba #0743448205 #Mr Eddo #usedcars #fyp #nkainatraders #mtwara #mwanza #mpambanaji #dodoma #tanzania #southafrica #lindi #daresalaam #sumbawanga #kigoma #zanzibar #world #online #business #forsale #morogoro #content Karibu Mteja????????????
Gari 1234 - 33312
TZS 6,500,000
Are you a professional seller? Create an account