Land is available in the Zegereni Industrial Area in Kibaha, accessible within 3 meters from the paved road. The area is surveyed and serviced with community amenities such as water and electricity.
Read more
Description
Land is available in the Zegereni Industrial Area in Kibaha, accessible within 3 meters from the paved road. The area is surveyed and serviced with community amenities such as water and electricity.
Shamba linauzwa lenye ukubwa wa heka 50. Lipo Kiwangwa, Bagamoyo - Pwani. Bei ni Tsh 700,000 kwa heka moja. Umbali ni kilomita 3 kutoka barabara kuu ya lami. Eneo linafaa kwa kilimo, makazi, na ufugaji. Mawasiliano: 0653870009
ENEO ( BEACH PLOT ) INAUZWA NYANGUGE -ukubwa wa eneo ni heka nne (4) -eneo ni la kwanza kutoka ziwani -umeme, maji na barabara vipoo -bei Milioni 45 + Wasiliana Nasi ☎️ 0743220097
Kiwanja kikubwa square meter 2745 kipo Geza kigamboni kina hati na huduma zote muhimu kama maji umeme na miundo mbinu ya barabara ipo tayari vizuri bei ni maelewano.
Kwa wateja serious only ,tufanye Biashara Kiwanja kina nyumba kumbwa na chumba kimoja cha ziada kwa nje, Kipo :- msongola, ilala Bei :- 25 million Ukubwa :- 318 square mita
🏝️ Beach Plot for Sale – Kigamboni, Mwongozo (Bamba Beach) 🏝️ 📍 Location: Mwongozo – Bamba Beach, Kigamboni 📏 Size: 5,519 sqm 📜 Documents: Hati miliki safi 🌊 Feature: Beach front – inafaa kwa hotel, resort, restaurant au nyumba za likizo 🏢 Zoning: Commercial area 🚗 Distance: ~6 km kutoka Kigamboni Ferry (dakika 15–20 kwa gari)
Shamba linauzwa lipo kiwangwa bagamoyo pwani linaukubwa wa heka 40 linafa kulima mazao ya aina yoyote au kufuga kisasa umbali kutoka lami kilometa 4 barabara safi mpaka shamba mawasiliano no 0714 121 506 kalibuni sana kiwangwa yenye neema kuona bule
Huduma za Fundi TV - Musa Electronics Je, TV yako imeharibika au haifanyi kazi vizuri? Usihangaike! Musa Electronics inatoa huduma bora na za haraka za ukarabati wa TV aina zote kwa bei nafuu. Tunashughulikia: ==>TV zinazoonesha picha hafifu ==>TV zinazokosa sauti au picha ==>Ukarabati wa motherboard na skrini ==>Masuala ya umeme na mengine mengi...
This is the bangalore house for rent in njiro nanenane it has 4 bedrooms with the large compaund nice location it goes for 700 hundreds dollars per month for more details call