Eneo la biashara linauzwa wilaya ya Kigamboni, Dar es Salaam

TZS 10,000,000
Viwanja
1 year
Tanzania
Dar es Salaam
Kigamboni
Kimbiji,Kwa Morisi
459 views
SKU: 7668
Published 1 year ago by jeremiah muguju
TZS 10,000,000
In Viwanja category
Kimbiji,Kwa Morisi, Kigamboni, Dar es Salaam, Tanzania
Get directions →
459 item views
Eneo linatazamana na barabara kuu iendayo Buyuni na barabara ya mtaa iendayo ufukweni (beach) jirani.

Eneo linaendelea kuchangamka kwa ujenzi na uwekezaji kama ujenzi wa makazi, viwanda, yadi, kiwanda cha saruji(sementi), mahoteli, fukwe,vituo vya mafuta,viwanda vya matofali,n.k.

Eneo lipo km30 kutoka feri, Kigamboni, Kitongoji cha kwa Morisi, njiapanda beach mpakani na kata ya Kimbiji.

Eneo lina ukubwa wa mita 20*20.Umeme upo jirani (nguzo moja).Maji yana patikana bila shida.

Eneo linafaa sana kwa uwekezaji wa sasa ama baadaye kwani lipo mahali bora sana kibiashara.
Eneo ni bora kabisa kwa:

Duka la vifaa vya ujenzi, super market ndogo, hoteli, mgahawa, baa, fremu za maduka, duka la nafaka, mashine ya kusaga, car wash, gereji, duka la spea, minara ya simu, hospitali, kiwanda cha kuteneneza matofali, n.k.

Bei ni shilingi milioni 10. Mazunguzo yapo kwa muhitaji.

Mawasiliano(mmiliki): 0685381338 Read more

Description

Eneo linatazamana na barabara kuu iendayo Buyuni na barabara ya mtaa iendayo ufukweni (beach) jirani.

Eneo linaendelea kuchangamka kwa ujenzi na uwekezaji kama ujenzi wa makazi, viwanda, yadi, kiwanda cha saruji(sementi), mahoteli, fukwe,vituo vya mafuta,viwanda vya matofali,n.k.

Eneo lipo km30 kutoka feri, Kigamboni, Kitongoji cha kwa Morisi, njiapanda beach mpakani na kata ya Kimbiji.

Eneo lina ukubwa wa mita 20*20.Umeme upo jirani (nguzo moja).Maji yana patikana bila shida.

Eneo linafaa sana kwa uwekezaji wa sasa ama baadaye kwani lipo mahali bora sana kibiashara.
Eneo ni bora kabisa kwa:

Duka la vifaa vya ujenzi, super market ndogo, hoteli, mgahawa, baa, fremu za maduka, duka la nafaka, mashine ya kusaga, car wash, gereji, duka la spea, minara ya simu, hospitali, kiwanda cha kuteneneza matofali, n.k.

Bei ni shilingi milioni 10. Mazunguzo yapo kwa muhitaji.

Mawasiliano(mmiliki): 0685381338

Vidokezo Salama

  • Usifanye malipo yoyote mtandaoni au kutoa taarifa zako binafsi kakikisha unaiona bidhaa kabla ya kununua.
  • Kuwa mwangalifu na wauzaji wanao hitaji malipo ya awali kabla ya kukutana na kukagua kifaa.
  • Jaribu bidhaa hakikisha inafanya kazi kikamilifu kabla ya kununua, fahamu zaidi kupitia ukurasa huu.
  • Hakikisha unakutana na muuzaji katika eneo salama na la wazi pale unapotaka kununua bidhaa.
Print
Toa Taarifa

Bidhaa Ulizoangalia

Nabeel ikbal Pro Nabeel ikbal 7 months
BmwX1 gari nzuri ml:40,000,000/=
TZS 40,000,000
BmwX1 gari nzuri ml:40,000,000/=
Dar es Salaam
*Price: *40,000,000/=* *BMW X1* fuel: PETROL Low mileage Color: WHITE YEAR 2015 New tyres Very clean condition Sport lights Full music system Android tv Leather seat Call me:0677 789 575_TIGO 0746 267 886_Whatsapp
Used Exchange Allowed Mauzo ya Jumla Studio
TZS 40,000,000
Dunda Magari Dunda Magari 2 years
Gari Mwanza Mwanza 2 years
Toyota crown Royal
TZS 8,900,000
Toyota crown Royal
Mwanza
Toyota crown Royal gari aina shida yoyote
Gari Yes - Ilemela
TZS 8,900,000
Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 1 year
SAMSUNG MWO MS32DG 4504ATE3 - 32L, Stainless, Ceramic
TZS 660,250
SAMSUNG MWO MS32DG 4504ATE3 - 32L, Stainless, Ceramic
Dar es Salaam
SAMSUNG MWO MS32DG 4504ATE3 - 32L, Stainless, Ceramic Price: 660,250Tsh Call/Whatsapp: 0627774377
Bidhaa Nyingine
TZS 660,250
matson jackson matson jackson 1 year
2014 TOYOTA HARRIER
TZS 53,000,000
2014 TOYOTA HARRIER
Dar es Salaam
*TOYOTA HARRIER* Engine: 1,990cc Color: BLACK Fuel: PETROL Year: 2014 Options: leather seats, adaptive cruise control, sport rims, parking sensors, radar system, Bluetooth music system, camera system, electric seats, steering control, camera *PRICE: 53,000,000* USAJILI:EGX #0787290855
Gari Dar Es Salaam
TZS 53,000,000
CHIEF MAGARI CHIEF MAGARI 7 months
Gari Mwanza Mwanza 7 months
NISSAN DUALS MPYA SANA
TZS 17,500,000
NISSAN DUALS MPYA SANA
Mwanza
Dualls kali sana inauzwa mwanza mjini,Gari haina kipengele unawasha unaendapopote
Used Exchange Allowed Gari Lumala
TZS 17,500,000
J Salvatory Salvatory J Salvatory Salvatory 1 year
Toyota HiAce
Check with seller
Toyota HiAce
Dar es Salaam
ENGINE 2RZ PETROL GARI IPO SAFI
Gari 1234
Check with seller
Samwel Mshote Samwel Mshote 1 year
2008 Subaru Forester for Sale
TZS 17,500,000
2008 Subaru Forester for Sale
Dar es Salaam
The car is still in excellent condition, with an engine capacity of 1990 cc. The price is 17.5m negotiable. For serious buyers please Call/WhatsApp number 0713757098.
Gari Oysterbay
TZS 17,500,000
Are you a professional seller? Create an account