Eneo la biashara linauzwa wilaya ya Kigamboni, Dar es Salaam

TZS 10,000,000
Viwanja
1 year
Tanzania
Dar es Salaam
Kigamboni
Kimbiji,Kwa Morisi
413 views
SKU: 7668
Published 1 year ago by jeremiah muguju
TZS 10,000,000
In Viwanja category
Kimbiji,Kwa Morisi, Kigamboni, Dar es Salaam, Tanzania
Get directions →
413 item views
Eneo linatazamana na barabara kuu iendayo Buyuni na barabara ya mtaa iendayo ufukweni (beach) jirani.

Eneo linaendelea kuchangamka kwa ujenzi na uwekezaji kama ujenzi wa makazi, viwanda, yadi, kiwanda cha saruji(sementi), mahoteli, fukwe,vituo vya mafuta,viwanda vya matofali,n.k.

Eneo lipo km30 kutoka feri, Kigamboni, Kitongoji cha kwa Morisi, njiapanda beach mpakani na kata ya Kimbiji.

Eneo lina ukubwa wa mita 20*20.Umeme upo jirani (nguzo moja).Maji yana patikana bila shida.

Eneo linafaa sana kwa uwekezaji wa sasa ama baadaye kwani lipo mahali bora sana kibiashara.
Eneo ni bora kabisa kwa:

Duka la vifaa vya ujenzi, super market ndogo, hoteli, mgahawa, baa, fremu za maduka, duka la nafaka, mashine ya kusaga, car wash, gereji, duka la spea, minara ya simu, hospitali, kiwanda cha kuteneneza matofali, n.k.

Bei ni shilingi milioni 10. Mazunguzo yapo kwa muhitaji.

Mawasiliano(mmiliki): 0685381338 Read more

Description

Eneo linatazamana na barabara kuu iendayo Buyuni na barabara ya mtaa iendayo ufukweni (beach) jirani.

Eneo linaendelea kuchangamka kwa ujenzi na uwekezaji kama ujenzi wa makazi, viwanda, yadi, kiwanda cha saruji(sementi), mahoteli, fukwe,vituo vya mafuta,viwanda vya matofali,n.k.

Eneo lipo km30 kutoka feri, Kigamboni, Kitongoji cha kwa Morisi, njiapanda beach mpakani na kata ya Kimbiji.

Eneo lina ukubwa wa mita 20*20.Umeme upo jirani (nguzo moja).Maji yana patikana bila shida.

Eneo linafaa sana kwa uwekezaji wa sasa ama baadaye kwani lipo mahali bora sana kibiashara.
Eneo ni bora kabisa kwa:

Duka la vifaa vya ujenzi, super market ndogo, hoteli, mgahawa, baa, fremu za maduka, duka la nafaka, mashine ya kusaga, car wash, gereji, duka la spea, minara ya simu, hospitali, kiwanda cha kuteneneza matofali, n.k.

Bei ni shilingi milioni 10. Mazunguzo yapo kwa muhitaji.

Mawasiliano(mmiliki): 0685381338

Vidokezo Salama

  • Usifanye malipo yoyote mtandaoni au kutoa taarifa zako binafsi kakikisha unaiona bidhaa kabla ya kununua.
  • Kuwa mwangalifu na wauzaji wanao hitaji malipo ya awali kabla ya kukutana na kukagua kifaa.
  • Jaribu bidhaa hakikisha inafanya kazi kikamilifu kabla ya kununua, fahamu zaidi kupitia ukurasa huu.
  • Hakikisha unakutana na muuzaji katika eneo salama na la wazi pale unapotaka kununua bidhaa.
Print
Toa Taarifa

Bidhaa Ulizoangalia

Judith Ikate Judith Ikate 2 years
House for sale
$ 890,000
House for sale
Dar es Salaam
Exclusive beach front house located in kunduchi on the picturesque beaches with unobstructed views of the indian ocean
Nyumba Zinauzwa
$ 890,000
Dunda Magari Dunda Magari 1 year
Gari Mwanza Mwanza 1 year
Ml 10500000
TZS 10,500,000
Ml 10500000
Mwanza
Toyota mark x
Gari Yes - Ilemela
TZS 10,500,000
Wagwanta Sina Wagwanta Sina 5 months
Gari Mwanza Mwanza 5 months
Toyota surf
TZS 32,000,000
Toyota surf
Mwanza
TOYOTA SURF NEW (DZU) Price/Bei 32,000,000/- Year: 2006 Cc: 2690 Fuel:Petrol Silver color
Used Gari
TZS 32,000,000
Gariyangu_Project Pro Gariyangu_Project 2 years
Pro Gari Ilala Dar es Salaam 2 years
Nissan Xtrail
TZS 17,690,000
Nissan Xtrail
Dar es Salaam
Nissan xtrail available for import make your order now for calling us
Gari
TZS 17,690,000
Justin Maganga Justin Maganga 6 months
Bmw 3series
TZS 12,900,000
Bmw 3series
Dar es Salaam
BMW 3 SERIES kali Sana (EAC) Mwaka - 2008 Cc - 1990 Mealage - 70000 Full ac Bei - 12.9 Mil Gari mpya Kwa maongezi zaidi 0629492727
Gari Ubungo Riverside
TZS 12,900,000
Meddy Nassor Meddy Nassor 8 months
Nyumba nzima inapangishwa ipo chanika Talian
Sold
Nyumba nzima inapangishwa ipo chanika Talian
TZS 250,000
Nyumba nzima inapangishwa ipo chanika Talian
Dar es Salaam
©️ madirisha ya aluminium ©️vyumba vitatu vya kulala kimoja master ©️floor yake ina full tiles ©️ jiko na sebule kubwa, dining ipo ©️ maji ya dawasco yapo na kisima pia kipo ©️ ipo ndani ya gate usalama upo wa kutosha ©️ina paving chini ©️umeme ni uhakika 24hrs ©️kodi 250,000 kwa mwezi kuanzia miezi 6 ©️mwezi mmoja wa dalali ©️service charge 10,000 ???? 0714...
Nyumba za Kupanga Sold Chanika Talian
TZS 250,000
Nafisa Hasham Nafisa Hasham 2 years
Used fiber boat for 3m price negotiable
TZS 3,000,000
Used fiber boat for 3m price negotiable
Dar es Salaam
Used fibre boat on sell 3m price negotiable contact 0629440556
Bidhaa Nyingine 255 - Uingondoni
TZS 3,000,000
Gariyangu_Project Pro Gariyangu_Project 2 years
Pro Gari Ilala Dar es Salaam 2 years
SUZUKI ESCUDO
TZS 27,000,000
SUZUKI ESCUDO
Dar es Salaam
SUZUKI ESCUDO AVAILABLE FOR IMPORT MAKE YOUR FREE ORDER NOW
Gari Nhc House Samora
TZS 27,000,000
Nabeel ikbal Pro Nabeel ikbal 7 months
Subaru forester:ml 17.7
TZS 17,700,000
Subaru forester:ml 17.7
Dar es Salaam
SUBARU FORESTER LOW MILEAGE 87000 COLOR :MAROON NEW YTRE PUSH TO START ENGINE YEAR 2009 ENGINE 1990 CLEAN SEAT PRICE (17,700,000) + REG ✅Exchange allowed ????Loc Dsm Call me:0677 789 575-TIGO 0746 267 886-Whatsapp
Used Exchange Allowed Mauzo ya Jumla Studio
TZS 17,700,000
Harab Motors Pro Harab Motors 2 years
Toyota Vanguard 2010
TZS 37,000,000
Toyota Vanguard 2010
Dar es Salaam
The car is in fully genuine and new condition only on harab motors tz ltd
Gari 1101 - New Bagamoyo Rd Next To International Eye Hospital
TZS 37,000,000
Harab Motors Pro Harab Motors 2 years
Toyota Premio 2008
TZS 28,000,000
Toyota Premio 2008
Dar es Salaam
best condition still like new only on harab motors tz ltd
Gari 1101 - New Bagamoyo Rd Next To International Eye Hospital
TZS 28,000,000
Are you a professional seller? Create an account