Eneo la biashara linauzwa wilaya ya Kigamboni, Dar es Salaam

TZS 10,000,000
Viwanja
1 year
Tanzania
Dar es Salaam
Kigamboni
Kimbiji,Kwa Morisi
458 views
SKU: 7668
Published 1 year ago by jeremiah muguju
TZS 10,000,000
In Viwanja category
Kimbiji,Kwa Morisi, Kigamboni, Dar es Salaam, Tanzania
Get directions →
458 item views
Eneo linatazamana na barabara kuu iendayo Buyuni na barabara ya mtaa iendayo ufukweni (beach) jirani.

Eneo linaendelea kuchangamka kwa ujenzi na uwekezaji kama ujenzi wa makazi, viwanda, yadi, kiwanda cha saruji(sementi), mahoteli, fukwe,vituo vya mafuta,viwanda vya matofali,n.k.

Eneo lipo km30 kutoka feri, Kigamboni, Kitongoji cha kwa Morisi, njiapanda beach mpakani na kata ya Kimbiji.

Eneo lina ukubwa wa mita 20*20.Umeme upo jirani (nguzo moja).Maji yana patikana bila shida.

Eneo linafaa sana kwa uwekezaji wa sasa ama baadaye kwani lipo mahali bora sana kibiashara.
Eneo ni bora kabisa kwa:

Duka la vifaa vya ujenzi, super market ndogo, hoteli, mgahawa, baa, fremu za maduka, duka la nafaka, mashine ya kusaga, car wash, gereji, duka la spea, minara ya simu, hospitali, kiwanda cha kuteneneza matofali, n.k.

Bei ni shilingi milioni 10. Mazunguzo yapo kwa muhitaji.

Mawasiliano(mmiliki): 0685381338 Read more

Description

Eneo linatazamana na barabara kuu iendayo Buyuni na barabara ya mtaa iendayo ufukweni (beach) jirani.

Eneo linaendelea kuchangamka kwa ujenzi na uwekezaji kama ujenzi wa makazi, viwanda, yadi, kiwanda cha saruji(sementi), mahoteli, fukwe,vituo vya mafuta,viwanda vya matofali,n.k.

Eneo lipo km30 kutoka feri, Kigamboni, Kitongoji cha kwa Morisi, njiapanda beach mpakani na kata ya Kimbiji.

Eneo lina ukubwa wa mita 20*20.Umeme upo jirani (nguzo moja).Maji yana patikana bila shida.

Eneo linafaa sana kwa uwekezaji wa sasa ama baadaye kwani lipo mahali bora sana kibiashara.
Eneo ni bora kabisa kwa:

Duka la vifaa vya ujenzi, super market ndogo, hoteli, mgahawa, baa, fremu za maduka, duka la nafaka, mashine ya kusaga, car wash, gereji, duka la spea, minara ya simu, hospitali, kiwanda cha kuteneneza matofali, n.k.

Bei ni shilingi milioni 10. Mazunguzo yapo kwa muhitaji.

Mawasiliano(mmiliki): 0685381338

Vidokezo Salama

  • Usifanye malipo yoyote mtandaoni au kutoa taarifa zako binafsi kakikisha unaiona bidhaa kabla ya kununua.
  • Kuwa mwangalifu na wauzaji wanao hitaji malipo ya awali kabla ya kukutana na kukagua kifaa.
  • Jaribu bidhaa hakikisha inafanya kazi kikamilifu kabla ya kununua, fahamu zaidi kupitia ukurasa huu.
  • Hakikisha unakutana na muuzaji katika eneo salama na la wazi pale unapotaka kununua bidhaa.
Print
Toa Taarifa

Bidhaa Ulizoangalia

Gariyangu_Project Pro Gariyangu_Project 2 years
Pro Gari Ilala Dar es Salaam 2 years
LAND ROVER DISCOVERY3
TZS 39,000,000
LAND ROVER DISCOVERY3
Dar es Salaam
Land rover Discovery3 2.7 TDV6 SE available for import make your free order now
Gari Nhc House Samora
TZS 39,000,000
Rahimu Ally Rahimu Ally 1 year
Shamba linauzwa Kiwangwa Bagamoyo Eka 10
TZS 3,500,000
Shamba linauzwa Kiwangwa Bagamoyo Eka 10
Pwani
Nauza shamba Kiwangwa Bagamoyo lenye umbali wa Mita 500 kutoka barabara kuu ya lami umeme maji vyote vipo kalibu bei kwakila heka moja ni Sh:3500,000/= milioni Tatu na laki tano karibu sana bado hujachelewa cm no...0659628665/=
Viwanja Kiwangwa
TZS 3,500,000
CHIEF MAGARI CHIEF MAGARI 7 months
Gari Mwanza Mwanza 7 months
Toyota crown
TZS 14,500,000
Toyota crown
Mwanza
Toyota crown kali sana ipo mwanza mjini njoo uchukue ukatumie
Used Exchange Allowed Gari Pasians
TZS 14,500,000
Ivan Minja Ivan Minja 1 year
House for sale Goba njia nne
TZS 180,000,000
House for sale Goba njia nne
Dar es Salaam
Minja real estate & Car Broker introduce:- House for sale Goba Njia nne. Plot size Sqm 500. 5 bedrooms-2 masters. Kitchen, sitting room and public toilet. Price Mil 180. Please call/whats app via 0687575770 for viewing the house.
Nyumba Zinauzwa Goba Njia Nne
TZS 180,000,000
Are you a professional seller? Create an account