Shamba linauzwa lipo kiwangwa bagamoyo pwani linaukubwa wa heka 2 linafa kulima mazao yoyote au kufuga kisasa hata makazi pia umbali kutoka lami kilometa 3 barabara safi mpaka shamba bei sh milioni moja na laki tano kwa heka moja mawasiliano no 0714121506 kalibuni sana kiwangwa yenye neema kuona bule asanteni sana
Looking for strategic land that gives you future returns and business potential? This 600sqm gem sits only 86 meters off the main Bagamoyo Road — a fast-growing commercial corridor in Tanzania! Offering unmatched convenience, visibility, and long-term value. Why Buy Now? With the upcoming BRT project on Bagamoyo Road, this area is set for a surge in property...
🏝️ Beach Plot for Sale – Kigamboni, Mwongozo (Bamba Beach) 🏝️ 📍 Location: Mwongozo – Bamba Beach, Kigamboni 📏 Size: 5,519 sqm 📜 Documents: Hati miliki safi 🌊 Feature: Beach front – inafaa kwa hotel, resort, restaurant au nyumba za likizo 🏢 Zoning: Commercial area 🚗 Distance: ~6 km kutoka Kigamboni Ferry (dakika 15–20 kwa gari)
📍 Location: Strategic spot on Bandari Street, Kurasini 🚛 – close to Dar Port & major transport routes. 📏 Plot Size: 1.5 acre 🛣️ Road Front Access 🏢 Zoned for: Commercial/Industrial Use 🔑 Top Features: ✔️ Tarmac road frontage ✔️ Water 💧 & electricity ⚡ available ✔️ Surrounded by busy warehouses & business centers ✔️ High-demand commercial zone 🚧 D...
Nyumba Inauzwa – Kimara, Dar es Salaam Bei: TZS 65,000,000 (Inayoweza kujadiliwa) Ukubwa wa Eneo: 25x25 sqm (Jumla sqm 650) Umiliki: Hati safi Hii ni nyumba ya makazi iliyojengwa kwenye kiwanja chenye ukubwa wa 25x25 sqm kilichopo Kimara, Dar es Salaam. Eneo lina uwanja mpana unaofaa kwa upanuzi wa baadaye au bustani. Umeme na maji vimeunganishwa, na mtaa ni...
Shamba linauzwa lipo kiwangwa bagamoyo pwani linaukubwa wa heka 50 linafa kulima mazao ya aina yoyote au makazi umbali kilometa 5 kutoka lami bei sh laki nane kwa heka moja barabara shafi mpaka shambani kuona bule kalibuni sana kiwangwa bagamoyo pwani
JUMLA YA VIWANJA KUMI NA SITA (16) VINAUZWA -Eneo/Mtaa Ni Nyashishi - Mwabebeya -Ukubwa Wa Kila Kiwanja Ni Mita 20x20 =400 Sqm -Ruksa Kununua Kiwanja Kimoja Au Zaidi -Bei Tsh Milioni Tatu Na Laki Nane kwa kimoja Wasiliana Nasi Kwa Simu Namba 0743220097
TUNAKOPESHA VIWANJA CHEKA KIGAMBONI SIMU 0659962452 Viwanja vimepimwa na vina ramani ya upimwaji. Ni tambalale, kuna umeme, maji, sehemu tulivu kwa washua barabara zake ni kubwa. Ukubwa Mita 25kwa20, mita30kwa20,mita 30kwa30 nakuendelea. Bei kuanzia milioni 9.
Plot ipo kunduchi mtongani kina mawe ya kulasimisha serikali ya mtaa kina upana 35 urefu 30 kina mtaa mpana sana unaeza jenga apartiment za kupangisha eneo nzuri bei m65 l
INDUSTRY AREA FOR SALE LOCATED AT KURASINI KILWA ROAD, PLOT SIZE: 5426 SQMS, CLEAN TITLE, INSIDE WITH OLD GODOWN, ASKING PRICE: USD 4000000 AGENT FEE : 100000 TZS 0745 30 43 43 WhatsApp
ENEO LA HEKARI 3 LINAUZWA KIGAMBONI Ni tambalale, majirani wamejenga kisasa, kuna umeme, maji shule zahanati na soko. Eneo linafaa kwa makazi na nyumba za biashara kujenga nyumba za kupangisha na maflemu ya biashara. Enelo lipo umbali wa nusu kilometa kutoka kituo cha basi. KILA HEKARI BEI MILIONI 8