Eneo la biashara linauzwa wilaya ya Kigamboni, Dar es Salaam

TZS 10,000,000
Viwanja
1 year
Tanzania
Dar es Salaam
Kigamboni
Kimbiji,Kwa Morisi
415 views
SKU: 7668
Published 1 year ago by jeremiah muguju
TZS 10,000,000
In Viwanja category
Kimbiji,Kwa Morisi, Kigamboni, Dar es Salaam, Tanzania
Get directions →
415 item views
Eneo linatazamana na barabara kuu iendayo Buyuni na barabara ya mtaa iendayo ufukweni (beach) jirani.

Eneo linaendelea kuchangamka kwa ujenzi na uwekezaji kama ujenzi wa makazi, viwanda, yadi, kiwanda cha saruji(sementi), mahoteli, fukwe,vituo vya mafuta,viwanda vya matofali,n.k.

Eneo lipo km30 kutoka feri, Kigamboni, Kitongoji cha kwa Morisi, njiapanda beach mpakani na kata ya Kimbiji.

Eneo lina ukubwa wa mita 20*20.Umeme upo jirani (nguzo moja).Maji yana patikana bila shida.

Eneo linafaa sana kwa uwekezaji wa sasa ama baadaye kwani lipo mahali bora sana kibiashara.
Eneo ni bora kabisa kwa:

Duka la vifaa vya ujenzi, super market ndogo, hoteli, mgahawa, baa, fremu za maduka, duka la nafaka, mashine ya kusaga, car wash, gereji, duka la spea, minara ya simu, hospitali, kiwanda cha kuteneneza matofali, n.k.

Bei ni shilingi milioni 10. Mazunguzo yapo kwa muhitaji.

Mawasiliano(mmiliki): 0685381338 Read more

Description

Eneo linatazamana na barabara kuu iendayo Buyuni na barabara ya mtaa iendayo ufukweni (beach) jirani.

Eneo linaendelea kuchangamka kwa ujenzi na uwekezaji kama ujenzi wa makazi, viwanda, yadi, kiwanda cha saruji(sementi), mahoteli, fukwe,vituo vya mafuta,viwanda vya matofali,n.k.

Eneo lipo km30 kutoka feri, Kigamboni, Kitongoji cha kwa Morisi, njiapanda beach mpakani na kata ya Kimbiji.

Eneo lina ukubwa wa mita 20*20.Umeme upo jirani (nguzo moja).Maji yana patikana bila shida.

Eneo linafaa sana kwa uwekezaji wa sasa ama baadaye kwani lipo mahali bora sana kibiashara.
Eneo ni bora kabisa kwa:

Duka la vifaa vya ujenzi, super market ndogo, hoteli, mgahawa, baa, fremu za maduka, duka la nafaka, mashine ya kusaga, car wash, gereji, duka la spea, minara ya simu, hospitali, kiwanda cha kuteneneza matofali, n.k.

Bei ni shilingi milioni 10. Mazunguzo yapo kwa muhitaji.

Mawasiliano(mmiliki): 0685381338

Vidokezo Salama

  • Usifanye malipo yoyote mtandaoni au kutoa taarifa zako binafsi kakikisha unaiona bidhaa kabla ya kununua.
  • Kuwa mwangalifu na wauzaji wanao hitaji malipo ya awali kabla ya kukutana na kukagua kifaa.
  • Jaribu bidhaa hakikisha inafanya kazi kikamilifu kabla ya kununua, fahamu zaidi kupitia ukurasa huu.
  • Hakikisha unakutana na muuzaji katika eneo salama na la wazi pale unapotaka kununua bidhaa.
Print
Toa Taarifa

Bidhaa Ulizoangalia

Ernest Mbwana Ernest Mbwana 1 year
Magari Tanga Tanga 1 year
Toyota Noah for sale
TZS 5,300,000
Toyota Noah for sale
Tanga
Toyota Noah for sale Karibu
Magari Kange Kasera
TZS 5,300,000
Ezekiel Peter Ezekiel Peter 11 months
Magari Mwanza Mwanza 11 months
Toyota spacio 2006
TZS 15,500,000
Toyota spacio 2006
Mwanza
Toyota spacio Eng 1nz Cc 1490 Full ac Milion 15.5 Location mwanza
Magari
TZS 15,500,000
Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 7 months
Pro Other 7 months
GEEPAS HEAVY DUTY STAINLESS STEEL 4BURNER GAS STOVE
TZS 375,000
GEEPAS HEAVY DUTY STAINLESS STEEL 4BURNER GAS STOVE
GEEPAS HEAVY DUTY STAINLESS STEEL 4BURNER GAS STOVE Price : 375,000Tshs Call / Whatsapp : 0627774377
New Other
TZS 375,000
Are you a professional seller? Create an account