Apartment for sale

TZS 180
Nyumba Zinauzwa
10 months
Tanzania
Dodoma
Dodoma
1115
294 views
SKU: 7671
Published 10 months ago by Happy Thomas
TZS 180
In Nyumba Zinauzwa category
1115, Dodoma, Dodoma, Tanzania
Get directions →
294 item views
NYUMBA 4(4in1) ZINAUZWA MICHESE DODOMA

Zipo umbali wa kilomita 7.6 kutoka city center na mita 70 kutoka reli ya SGR.

Zipo nyumba nne, mbili zimekamilika kila kitu. Zipo kwenye kiwanja kimoja chenye ukubwa wa 2600sqm, kimepimwa na kina hati.

Nyumba ya kwanza Ina vyumba vikubwa viwili vyote master , sebule na sehemu ya jiko na dinning.

Nyumba ya pili inafanana na ya kwanza Ina vyumba vikubwa viwili vyote master, sebule na sehemu ya jiko na dinning.

Nyumba ya tatu haijakamilika, ni pagale lenye vyumba vitatu vyote master, sebule na sehemu ya dinning.

Nyumba ya nne ni servant quarter Ina chumba master na sebule, chumba master peke yake na public toilet.

Kuna eneo la laundry, kisima Cha maji kirefu sana, matenki, compound Ina paving blocks na garden ya kuvutia. Eneo lote limezungukwa na fensi. Ujenzi umezingatia standard ya juu sana.

Kuna eneo kubwa limebaki unaweza kujenga nyumba zingine na kuweka swimming pool.

Nyumba hizi zinafaa sana kibiashara. Unaweza ku-redesign kuwa lodge au hotel. Aidha unaweza kuzifanya ziwe nyumba za kupangisha au ukaziongezea thamani zikawa full furnished apartments.

Bei ni milioni 180Ml.

Tupigie 0769619980
Kwa maelezo zaidi. Read more

Specs

Property Size Sq Ft 2600
Bedrooms 3-Bedrooms
Bathroom 1-Bathroom

Description

NYUMBA 4(4in1) ZINAUZWA MICHESE DODOMA

Zipo umbali wa kilomita 7.6 kutoka city center na mita 70 kutoka reli ya SGR.

Zipo nyumba nne, mbili zimekamilika kila kitu. Zipo kwenye kiwanja kimoja chenye ukubwa wa 2600sqm, kimepimwa na kina hati.

Nyumba ya kwanza Ina vyumba vikubwa viwili vyote master , sebule na sehemu ya jiko na dinning.

Nyumba ya pili inafanana na ya kwanza Ina vyumba vikubwa viwili vyote master, sebule na sehemu ya jiko na dinning.

Nyumba ya tatu haijakamilika, ni pagale lenye vyumba vitatu vyote master, sebule na sehemu ya dinning.

Nyumba ya nne ni servant quarter Ina chumba master na sebule, chumba master peke yake na public toilet.

Kuna eneo la laundry, kisima Cha maji kirefu sana, matenki, compound Ina paving blocks na garden ya kuvutia. Eneo lote limezungukwa na fensi. Ujenzi umezingatia standard ya juu sana.

Kuna eneo kubwa limebaki unaweza kujenga nyumba zingine na kuweka swimming pool.

Nyumba hizi zinafaa sana kibiashara. Unaweza ku-redesign kuwa lodge au hotel. Aidha unaweza kuzifanya ziwe nyumba za kupangisha au ukaziongezea thamani zikawa full furnished apartments.

Bei ni milioni 180Ml.

Tupigie 0769619980
Kwa maelezo zaidi.

Vidokezo Salama

  • Usifanye malipo yoyote mtandaoni au kutoa taarifa zako binafsi kakikisha unaiona bidhaa kabla ya kununua.
  • Kuwa mwangalifu na wauzaji wanao hitaji malipo ya awali kabla ya kukutana na kukagua kifaa.
  • Jaribu bidhaa hakikisha inafanya kazi kikamilifu kabla ya kununua, fahamu zaidi kupitia ukurasa huu.
  • Hakikisha unakutana na muuzaji katika eneo salama na la wazi pale unapotaka kununua bidhaa.
Print
Toa Taarifa

Bidhaa Ulizoangalia

Ayubu Rashidi Ayubu Rashidi 3 months
nauza kiwanja G-mboto Tsh 3
TZS 3,000,000
nauza kiwanja G-mboto Tsh 3
Dar es Salaam
kiwanja kipo katikati ya mji ulongoni G-mboto Dar es Salaam
Vifaa Nyumbani na Fanicha Ulongoni G-mboto
TZS 3,000,000
TANZANIA REAL ESTATES AGENCY Pro TANZANIA REAL ESTATES AGENCY 2 years
3BEDROOM HOUSE WITH STAFF HOUSE FOR SALE IN NJIRO, ARUSHA,TANZANIA
TZS 200,000,000
3BEDROOM HOUSE WITH STAFF HOUSE FOR SALE IN NJIRO, ARUSHA,TANZANIA
Arusha
Basic features of the property : sitting :dinning :kitchen :staff house :with title deeds :size of plot is 855SQM. FOR MORE INQUIRY CALL US:+255743000770
Nyumba Zinauzwa
TZS 200,000,000
Gladys Steven Gladys Steven 2 years
3 BEDROOM APARTMENT FOR RENT
$ 1,300
3 BEDROOM APARTMENT FOR RENT
Dar es Salaam
Payments per month is 1300$ Duration from 3 months Sitting room, dinning, kitchen, all rooms are ensuite, parking is available with 24hrs security. Contact us for more information +255620117303.
Nyumba za Kupanga
$ 1,300
Samson Joel Samson Joel 1 month
Bmw x5. 2015
TZS 83,000,000
Bmw x5. 2015
Dar es Salaam
Price: 83M Contact/ Bmw X5 M-Sport No[EK Year: 2015???? Cc: 2990 Fuel: Diesel ✅ Low mileage Color: Black Sunroof ✅ Leather seats Sport rims New tyres Good condition
Used Exchange Allowed Gari 9070 Dsm
TZS 83,000,000
Michael Dalali Michael Dalali 7 months
HOUSE FOR SALE MBEZIBEACH
TZS 1,300,000,000
HOUSE FOR SALE MBEZIBEACH
Dar es Salaam
GHOROFA NZURI SANA MBEZI BEACH CHINI KARIBU NA BAHARINI (BIL 1.3) Ina Vyumba Vinne Vya Kulala,Dinning,Sitting,Kitchen&Public Toilet Pia Kuna Servant Quarter Ya Vyumba Viwil Umiliki: Hati Miliki (Title Deed) Ukubwa Wa Eneo: SQM 1,200 Nyumba Ya Kisasa Vyumba Vyote A/c Bei : 1.3 Billion (Maongezi) Gharama Za Kwenda Site Ni Tshs 30,000/=
Nyumba Zinauzwa Mbezibeach
TZS 1,300,000,000
Are you a professional seller? Create an account