NYUMBA INAUZWA MILIONI 33 IPO CHANIKA MWISHO STAND WILAYA YA ILALA DAR ES SALAAM ENEO: SQM 400 CALLS/WHATSAPP 0747847888 INAVYUMBA VITATU (KIMOJA MASTER) SITING ROOM, DINNING ROOM, INA JIKO NA PUBLIC TOILET MAJI YAPO UMEME UPO HUDUMA ZOTE ZA KIJAMII ZIPO BEI MIL 33 TU! TUNAHUSIKA NA UUZAJI WA NYUMBA, VIWANJA, MASHAMBA NK. KARIBUNI OFISINI KWETU CHANIKA MWISH...
Nyumba inauzwa njiro tanesko ina bedrooms tatu sebule dining jiko chumba kimòja ni master inauzwa na kila kitu ndani ikiwepo masofa vitanda Meza TV Kwa maelezo zaidi piga simu
This is good house for sale located in Morogoro town at Kingolwira outskirt Kitungwa area, - Full fenced - Big parking area - 15 Minutes walk from Dar - Moro Road - 3 Bedrooms with 1 master Bedroom
🏡 NYUMBA YA KISASA INAUZWA – KINYEREZI SHULE | MILIONI 150 TU! 🏡 🔥 Fursa Adimu – Nyumba Mpya Kabisa, Tayari Kukaa! ✅ Vyumba 3 (1 Master na choo chake) ✅ Sebule kubwa yenye nafasi ya starehe ✅ Chumba cha kulia cha kifahari ✅ Jiko la kisasa + choo cha umma ✅ Eneo: 500 sqm – nafasi ya kutosha kwa bustani au maegesho ✅ Umbali: Dakika 5 tu kutoka barabara ya lami...
Nyumba ya vyumba viwili (2) vikubwa, Sebule kubwa na jiko na choo. Madirisha safi makubwa na mapya ya Aluminium. Ukubwa wa eneo ni hekari moja kasoro, lipo karibu kabisa na barabara inayoelekea kivuko cha Busisi.
JENGO LINAUZWA BUSWELU -lina jumla ya vyumba 19 vyote ni self contained -ukubwa wa eneo ni 70x70 =4,900 Sqm -ina hati miliki ya wizara -bei Tsh Milioni 900 -punguzo lipo ???? 0743220097