SHAMBA REAL ESTATE FOR SALE IN KIWANGWA

TZS 5,000,000
Viwanja
2 years
Tanzania
Pwani
Bagamoyo
2907 views
SKU: 43
Published 2 years ago by Alphonce Kamisa
TZS 5,000,000
In Viwanja category
Bagamoyo, Pwani, Tanzania
Get directions →
2907 item views
Shamba lipo Kiwangwa eneo linaloitwa Bago katika kijiji cha Msinune. Lina ukubwa wa takriban eka mbili (02) kasoro hivi. Jirani n shamba ipo Shule ya Msingi Msinune. Barabara ya vumbi inafika hadi shambani na gari zinafika kiurahisi.
Umbali kutoka shambani hadi barabara ya lami inayotoka Bagamoyo kuelekea Msata ni kama Kilometa 1 hivi.

Linafaa kwa kilimo cha mananasi, mihogo, mahindi, michungwa, limao na migomba (ndizi).
Bei ya shamba hilo ni shilingi milioni Tano (5,000,000). Gharama za Serikali ya Kijiji ni za mnunuzi (buyer).

Kwa maelezo zaidi piga simu namba 0744 627 333 au 0712 682 475.

KARIBU SANA. Read more

Description

Shamba lipo Kiwangwa eneo linaloitwa Bago katika kijiji cha Msinune. Lina ukubwa wa takriban eka mbili (02) kasoro hivi. Jirani n shamba ipo Shule ya Msingi Msinune. Barabara ya vumbi inafika hadi shambani na gari zinafika kiurahisi.
Umbali kutoka shambani hadi barabara ya lami inayotoka Bagamoyo kuelekea Msata ni kama Kilometa 1 hivi.

Linafaa kwa kilimo cha mananasi, mihogo, mahindi, michungwa, limao na migomba (ndizi).
Bei ya shamba hilo ni shilingi milioni Tano (5,000,000). Gharama za Serikali ya Kijiji ni za mnunuzi (buyer).

Kwa maelezo zaidi piga simu namba 0744 627 333 au 0712 682 475.

KARIBU SANA.

Vidokezo Salama

  • Usifanye malipo yoyote mtandaoni au kutoa taarifa zako binafsi kakikisha unaiona bidhaa kabla ya kununua.
  • Kuwa mwangalifu na wauzaji wanao hitaji malipo ya awali kabla ya kukutana na kukagua kifaa.
  • Jaribu bidhaa hakikisha inafanya kazi kikamilifu kabla ya kununua, fahamu zaidi kupitia ukurasa huu.
  • Hakikisha unakutana na muuzaji katika eneo salama na la wazi pale unapotaka kununua bidhaa.
Print
Toa Taarifa

Bidhaa Ulizoangalia

Tujijenge Tanzania Tujijenge Tanzania 1 year
KIWANJA KINAUZWA MAENEO YA PWANI, UTUNGEMWAGO MKURANGA
TZS 2,500,000
KIWANJA KINAUZWA MAENEO YA PWANI, UTUNGEMWAGO MKURANGA
Pwani
UREFU = Futi 60 UPANA = Futi 40 Kiwanja kipo kwenye maeneo ambayo yamerasimishwa na kwakupimwa Kipo eneo tambarare ambapo panapitika kwa urahisi, jirani na Serikali za mtaa
Viwanja Utungemwago - Kitongoji, Mlamleni Village
TZS 2,500,000
VIWANJA BEI POA Pro VIWANJA BEI POA 4 months
VIWANJA MPIJI STATION
TZS 1,500,000
VIWANJA MPIJI STATION
Dar es Salaam
???? *VIWANJA VINAPATIKANA – MPIJI STATION, KIBAHA!* ???? ???? *Umbali wa KM 6 kutoka Morogoro Road* ✅ *BEI YA OFA:* Milioni *1.5* (kutoka Milioni *1.8*) ???? *Malipo:* Unaweza lipa *cash* au *kidogo kidogo bila riba* hadi miezi 6! ???? *Siku za kutembelea site:* ➡️ Kila *Jumatatu, Jumatano, na Jumamosi* ???? *Eneo lina huduma zote za kijamii:* – Maji ???? –...
New Viwanja Mbezi Stend Ya Magufuli
TZS 1,500,000
Tujijenge Tanzania Tujijenge Tanzania 1 year
KIWANJA KINAUZWA MAENEO YA MTAA WA KWAMBIKI, MKURANGA
TZS 3,000,000
KIWANJA KINAUZWA MAENEO YA MTAA WA KWAMBIKI, MKURANGA
Pwani
Ipo Mtaa wa Kwambiki, Wilaya ya Mkuranga Barabara inayoelekea kisemvule, Karibu na Shule ya msingi Kibamba Eneo lipo jirani na barabara na linapitika kwa urahisi
Viwanja Mtaa Wa Kwambiki, Wilaya Ya Mkuranga
TZS 3,000,000
Excela Joshua Excela Joshua 1 year
VIWANJA VIMEPIMWA VINAUZWA MADALE MKOROSHINI
TZS 80,000
VIWANJA VIMEPIMWA VINAUZWA MADALE MKOROSHINI
Dar es Salaam
VIWANJA VIZURI SANA VINAUZWA VIWANJA VIMEKAMATA BARABARA KUBWA YA MADALE MKOROSHINI KUELEKEA MBOPO LOCATION: MADALE MKOROSHINI UKUBWA NI SQUARE METER 837 NA KUENDELEA BEI: SHILINGI ELFU 80 KWA SQUARE METER 1 VIMEPIMWA ILA HATI BADO CONT. CALL Whatsapp &sms +255715090904 kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>> https://wa.me/255715090904 Insta @excela...
Viwanja Madale Mkoroshini
TZS 80,000
Sumeet Pro Sumeet 4 months
fully furnished 4 bedroom apartment available for rent at upanga
TZS 5,400,000
fully furnished 4 bedroom apartment available for rent at upanga
Dar es Salaam
2 Master Bedroom with attached bathroom and toilet 1 common public bathroom and toilet Lift, Generator, Parking, Swimming Pool, Kids Play Area, Gym, Elevator Balconys and 360 View of the city from the terrace For More Information/Viewing, Please Whatsapp/Call Us on +255784170040 / +255658779962
New Nyumba za Kupanga
TZS 5,400,000
Hassan Kigodi Hassan Kigodi 9 months
House for rent in Oyster Bay
TZS 3,500,000
House for rent in Oyster Bay
Dar es Salaam
Standby generator, security, garden, water, electricity,huge parking area, free WiFi, etc. Viewing fee 30k + Commission One month rent. For more details about the house WhatsApp me
Nyumba za Kupanga Oyster Bay
TZS 3,500,000
Are you a professional seller? Create an account