SHAMBA REAL ESTATE FOR SALE IN KIWANGWA

TZS 5,000,000
Viwanja
2 years
Tanzania
Pwani
Bagamoyo
2739 views
SKU: 43
Published 2 years ago by Alphonce Kamisa
TZS 5,000,000
In Viwanja category
Bagamoyo, Pwani, Tanzania
Get directions →
2739 item views
Shamba lipo Kiwangwa eneo linaloitwa Bago katika kijiji cha Msinune. Lina ukubwa wa takriban eka mbili (02) kasoro hivi. Jirani n shamba ipo Shule ya Msingi Msinune. Barabara ya vumbi inafika hadi shambani na gari zinafika kiurahisi.
Umbali kutoka shambani hadi barabara ya lami inayotoka Bagamoyo kuelekea Msata ni kama Kilometa 1 hivi.

Linafaa kwa kilimo cha mananasi, mihogo, mahindi, michungwa, limao na migomba (ndizi).
Bei ya shamba hilo ni shilingi milioni Tano (5,000,000). Gharama za Serikali ya Kijiji ni za mnunuzi (buyer).

Kwa maelezo zaidi piga simu namba 0744 627 333 au 0712 682 475.

KARIBU SANA. Read more

Description

Shamba lipo Kiwangwa eneo linaloitwa Bago katika kijiji cha Msinune. Lina ukubwa wa takriban eka mbili (02) kasoro hivi. Jirani n shamba ipo Shule ya Msingi Msinune. Barabara ya vumbi inafika hadi shambani na gari zinafika kiurahisi.
Umbali kutoka shambani hadi barabara ya lami inayotoka Bagamoyo kuelekea Msata ni kama Kilometa 1 hivi.

Linafaa kwa kilimo cha mananasi, mihogo, mahindi, michungwa, limao na migomba (ndizi).
Bei ya shamba hilo ni shilingi milioni Tano (5,000,000). Gharama za Serikali ya Kijiji ni za mnunuzi (buyer).

Kwa maelezo zaidi piga simu namba 0744 627 333 au 0712 682 475.

KARIBU SANA.

Vidokezo Salama

  • Usifanye malipo yoyote mtandaoni au kutoa taarifa zako binafsi kakikisha unaiona bidhaa kabla ya kununua.
  • Kuwa mwangalifu na wauzaji wanao hitaji malipo ya awali kabla ya kukutana na kukagua kifaa.
  • Jaribu bidhaa hakikisha inafanya kazi kikamilifu kabla ya kununua, fahamu zaidi kupitia ukurasa huu.
  • Hakikisha unakutana na muuzaji katika eneo salama na la wazi pale unapotaka kununua bidhaa.
Print
Toa Taarifa

Bidhaa Ulizoangalia

mo estate mo estate 2 years
3 unt villa for rent mikocheni
$ 4,000
3 unt villa for rent mikocheni
Dar es Salaam
3 unit Villa for rent in mikocheni Each one with the 3bdrm living room kitchen cabinets all room self contained parking space big compound enough car's parking space The price for all villa $ 4000 contact ! call +255763421799 wasap 0625503976
Nyumba za Kupanga
$ 4,000
Edward Isaya Edward Isaya 3 months
Gari Mwanza Mwanza 3 months
2002 Toyota Succeed Cc 1490
TZS 16,500,000
2002 Toyota Succeed Cc 1490
Mwanza
Succeed Bei;16,500,000/=milioni Engine Good Smart 0743448205 Mr Eddo????????
Gari 33312
TZS 16,500,000
Gariyangu_Project Pro Gariyangu_Project 1 year
Pro Gari Ilala Dar es Salaam 1 year
LAND ROVER DISCOVERY3
TZS 35,500,000
LAND ROVER DISCOVERY3
Dar es Salaam
LAND ROVER DISCOVERY3 TDV6 AVAILABLE FOR IMPORT MAKE YOUR FREE ORDER NOW
Gari Nhc House Samora
TZS 35,500,000
Edwin PienarBikeShop Pro Edwin PienarBikeShop 1 year
2023 Specialized S-Works Levo SL Carbon - Electric Mountain Bike (PIENARBIKESHOP)
$ 7,900
2023 Specialized S-Works Levo SL Carbon - Electric Mountain Bike (PIENARBIKESHOP)
Arusha
Buying New 2023 Specialized S-Works Levo SL Carbon - Electric Mountain Bike from pienarbikeshop with cheap price, best quality guaranteed, international warranty. Visit our site: www.pienarbikeshop.com Price : USD 7900 Min Order : 1 Unit Lead Time : 7 Days Port : Bandara International I Gusti Ngurah Rai Bali Terms : T/T, Western Union, Paypal, Money Gram Shi...
Bidhaa za Michezo na Baiskeli 80233 - Jl. Gatot Subroto Tengah No.49i
$ 7,900
solutionnyumbani_tz solutionnyumbani_tz 8 months
Waterpressure gun
TZS 30,000
Waterpressure gun
Dar es Salaam
Water Pressure Nozzle
Vifaa Nyumbani na Fanicha Makongo Juu
TZS 30,000
Are you a professional seller? Create an account