SHAMBA REAL ESTATE FOR SALE IN KIWANGWA

TZS 5,000,000
Viwanja
3 years
Tanzania
Pwani
Bagamoyo
2986 views
SKU: 43
Published 3 years ago by Alphonce Kamisa
TZS 5,000,000
In Viwanja category
Bagamoyo, Pwani, Tanzania
Get directions →
2986 item views
Shamba lipo Kiwangwa eneo linaloitwa Bago katika kijiji cha Msinune. Lina ukubwa wa takriban eka mbili (02) kasoro hivi. Jirani n shamba ipo Shule ya Msingi Msinune. Barabara ya vumbi inafika hadi shambani na gari zinafika kiurahisi.
Umbali kutoka shambani hadi barabara ya lami inayotoka Bagamoyo kuelekea Msata ni kama Kilometa 1 hivi.

Linafaa kwa kilimo cha mananasi, mihogo, mahindi, michungwa, limao na migomba (ndizi).
Bei ya shamba hilo ni shilingi milioni Tano (5,000,000). Gharama za Serikali ya Kijiji ni za mnunuzi (buyer).

Kwa maelezo zaidi piga simu namba 0744 627 333 au 0712 682 475.

KARIBU SANA. Read more

Description

Shamba lipo Kiwangwa eneo linaloitwa Bago katika kijiji cha Msinune. Lina ukubwa wa takriban eka mbili (02) kasoro hivi. Jirani n shamba ipo Shule ya Msingi Msinune. Barabara ya vumbi inafika hadi shambani na gari zinafika kiurahisi.
Umbali kutoka shambani hadi barabara ya lami inayotoka Bagamoyo kuelekea Msata ni kama Kilometa 1 hivi.

Linafaa kwa kilimo cha mananasi, mihogo, mahindi, michungwa, limao na migomba (ndizi).
Bei ya shamba hilo ni shilingi milioni Tano (5,000,000). Gharama za Serikali ya Kijiji ni za mnunuzi (buyer).

Kwa maelezo zaidi piga simu namba 0744 627 333 au 0712 682 475.

KARIBU SANA.

Vidokezo Salama

  • Usifanye malipo yoyote mtandaoni au kutoa taarifa zako binafsi kakikisha unaiona bidhaa kabla ya kununua.
  • Kuwa mwangalifu na wauzaji wanao hitaji malipo ya awali kabla ya kukutana na kukagua kifaa.
  • Jaribu bidhaa hakikisha inafanya kazi kikamilifu kabla ya kununua, fahamu zaidi kupitia ukurasa huu.
  • Hakikisha unakutana na muuzaji katika eneo salama na la wazi pale unapotaka kununua bidhaa.
Print
Toa Taarifa

Bidhaa Ulizoangalia

rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 5 months
Pro Viwanja Dodoma Dodoma 5 months
Kiwanja cha tatu kutoka lami kinauzwa ihumwa el shadai
TZS 58,000,000
Kiwanja cha tatu kutoka lami kinauzwa ihumwa el shadai
Dodoma
KIWANJA KINAUZWA (CHA 03 LAMI) Mahali - IHUMWA EL SHADAI Ukubwa - Square meter 2,919 Documents - HATI Bei - Million 58
Viwanja
TZS 58,000,000
Sumeet Pro Sumeet 6 months
fully furnished 4 bedroom villa available for rent at masaki
$ 4,500
fully furnished 4 bedroom villa available for rent at masaki
Dar es Salaam
All Rooms En-Suites 1 Common Bathroom/Toilet Balconys Small Private Backyard Space Swimming Pool Private Terrace Generator Parking for 2 cars Maids Room For More Information/Viewing, Please Whatsapp/Call Us on +255784170040/+255658779962
New Nyumba za Kupanga
$ 4,500
RAM HOLDINGS TANZANIA LTD RAM HOLDINGS TANZANIA LTD 6 months
3BED MASTERPIECE | FULLY FURNISHED
TZS 450,000
3BED MASTERPIECE | FULLY FURNISHED
Arusha
Bump into the real dreamy workmanship. With 3bed 3bath guest's toilet. Other features Fireplace Outside fire pit Borehole Parking Terms 300k TZS per day and $1500 per month for long term stays. Contact Us For Viewing!
Nyumba za Kupanga Ngorongoro Building, Floor No 9 Room No 120
TZS 450,000
RAM HOLDINGS TANZANIA LTD RAM HOLDINGS TANZANIA LTD 6 months
1BED FURNISHED APARTMENT| NEAR PHILIPS RD
TZS 1,700,000
1BED FURNISHED APARTMENT| NEAR PHILIPS RD
Arusha
Set not far from Moshi Arusha road and just 3 minutes to Philips Rd 5 minutes to Clock tower Arusha city centre. With one spacious bedroom, nice living room furnished with cute sofas, television set, a fully equipped kitchen with kitchen cabinets and shelves. This house is on a paved compound and walking distance from the tarmac. Contact Us For Viewing!
Nyumba za Kupanga Ngorongoro Building, Floor No 9 Room No 120
TZS 1,700,000
Are you a professional seller? Create an account