67 Pikipiki For Sale in Tanzania
Hizi hapa bei mbalimbali za Pikipiki mpya na used kutoka kwa wafanyabiashara Tanzania. Find great deals from verified sellers on Zoom Tanzania.
There was problem loading your listings, please try to refresh this page
Refresh
adem mendhi
1 year
2024 KTM 250SXF
TZS 3,000,000
2024 KTM 250SXF
Dar es Salaam
clean with no electrical or mechanical issues. Contact for more details whatsap me.
TZS 3,000,000
Pro
Thomson Mandara
1 month
neema yaqub
Friday 17:00
Boxer BM 2024
TZS 2,250,000
Boxer BM 2024
Dar es Salaam
INAUZWA: PIKIPIKI USED Aina: Boxer BM CC: 125 Hali: Imetumika lakini iko katika hali nzuri sana Bei: TZS 2,250,000 (Milioni Mbili na Laki mbili na nusu) Tayari kwa matumizi, inawaka vizuri, haijawahi pata ajali. Imehifadhiwa vizuri na iko tayari kuingia barabarani. Wasiliana nami kwa maelezo zaidi au kuona pikipiki: [0611200803] Usikose hii ofa – pikipiki im...
TZS 2,250,000
Mwajuma Yusufu
1 year
Tricycle motor
TZS 2,000,000
Tricycle motor
Dar es Salaam
TOYO NZURI, YENYE ENGINE NZURI KABISA NA INA CONDITION NZURI KWA ANAEHITAJI WASILIANA NASI KWA NAMBA:0754463055 TUNAPATIKANA: MBAGALA, MGENINANI KARIBUNI.
TZS 2,000,000
Walter Smuts
4 months
Isack Sam
1 year
Boxer 125
TZS 1,900,000
Boxer 125
Dar es Salaam
Nauza pikipiki boxer 125 Bei 1900000 maongezi Nipigie 0789148277
TZS 1,900,000
Jackson Njogolo
3 months
Elemo Electric Bike
TZS 1,800,000
Elemo Electric Bike
Dar es Salaam
Pikipiki Za Kuchaji za mizigo Zinapatikana Dukani Kwetu Temeke VETENARI Inabeba Hadi Kgs 300 Inatembea Hadi kms 100 Ikiwa full Charged Ina double shockup Nzuri Kwa Delivery ????
TZS 1,800,000
SOLARTES MEGA COMPANY LIMITED
2 years
Yamaha DX
TZS 1,700,000
Yamaha DX
Dar es Salaam
Yamaha DX 125CC USED NJE IKO VIZURI UNASAJILI MWENYEWE SPEED 140KM/H MILEAGE 11,000KM.
TZS 1,700,000
neema yaqub
Wednesday 19:17
Pikipiki TVS 2024
TZS 1,600,000
Pikipiki TVS 2024
Dar es Salaam
???? INAUZWA: PIKIPIKI USED ???? Aina: TVS STAR HLX CC: 125 Hali: Imetumika lakini iko katika hali nzuri sana Bei: TZS 1,600,000 (Milioni Moja na Laki sita) ???? Tayari kwa matumizi, inawaka vizuri, haijawahi pata ajali. ???? Imehifadhiwa vizuri na iko tayari kuingia barabarani. ???? Wasiliana nami kwa maelezo zaidi au kuona pikipiki: ???? [0611200803] Usiko...
TZS 1,600,000
neema yaqub
Wednesday 19:54
Pikipiki Boxer X Domo la Mamba 2024
TZS 1,600,000
Pikipiki Boxer X Domo la Mamba 2024
Dar es Salaam
???? INAUZWA: PIKIPIKI USED ???? Aina: Boxer X Domo la Mamba CC: 125 Hali: Imetumika lakini iko katika hali nzuri sana Bei: TZS 1,600,000 (Milioni Moja na Laki sita) ???? Tayari kwa matumizi, inawaka vizuri, haijawahi pata ajali. ???? Imehifadhiwa vizuri na iko tayari kuingia barabarani. ???? Wasiliana nami kwa maelezo zaidi au kuona pikipiki: ???? [06112008...
TZS 1,600,000
Elikind Lawrence
2 years
TVS STAR HLX 125
TZS 1,600,000
TVS STAR HLX 125
Dar es Salaam
INAPIGA STATA. INA UBORA WA UPYA. HAIHITAJI MATENGENEZO YOYOTE. DOCUMENTS ZOTE HALALI ZIPO. BIASHARA INAFANYIKA POPOTE ULIPO. PIGA SIMU 0692460901.
TZS 1,600,000
Kunda Kornel
2 years
Moudric Ramsey
2 years
TVS 125 INAUZWA
TZS 1,500,000
TVS 125 INAUZWA
Dar es Salaam
Hii pikipiki ipo kwenye hali nzuri sana, ilikua inatumika kwa matumizi binafsi ya mmiliki na haikuwahi kutumika kama boaboda. Njoo ujichukilie pikipiki nzuri kwa bei rahisi. FULL DOCUMENTS Haina mbaambamba. 0655 594859
TZS 1,500,000
Deo D
1 year
Dias Pius
1 year
AMEG ELECTRIC BIC
TZS 1,300,000
AMEG ELECTRIC BIC
Dar es Salaam
Pikipiki ya umeme imetumika miezi miwili tu, unapata na helmet bure. Unaweza washa kwa remote na funguo pia. Unapewa funguo mbili, moja ni spare mpya kabisa. Very classic. Nauza kwa bei ya hasara kabisa ingawa inafanya kazi vizuri, hilo vumbi kwenye picha lisikichanganye njoo ujionee.Changamkia fursa na pia maongezi yapo.
TZS 1,300,000
Jackson nyalusi
1 year
Boxer cc 125
TZS 1,300,000
Boxer cc 125
Pwani
Pikipiki kali Haina changamoto yoyote Ipo kibaha Tyre safi Injini safi
TZS 1,300,000
Magina Hassani
1 year
Trillionaire Jupiter
2 months
Electric bike
TZS 1,100,000
Electric bike
Dar es Salaam
FOR SELL???? SINOREI power GPS???? PIKIPIKI YA KUCHAJI???? INATEMBEA KM 100???? SPEED 100???? HAINA KIPENGELE???? NJOO DM KWA ANAEHITAJI???? PIGA 0612780397 au 0789239013 ✅✅
TZS 1,100,000
Sakina Miraji
2 years
Elikind Lawrence
2 years
george njau
1 year
SOLARTES MEGA COMPANY LIMITED
2 years
Bei Tunaongea
TZS 1,000,000
Bei Tunaongea
Dar es Salaam
TVs used in a good condition Inatumika private Iko vzr sana Full Documents zipo.
TZS 1,000,000
Robinson Helela
9 months
TVS PIKI PIKI INAUZWA
TZS 950,000
TVS PIKI PIKI INAUZWA
Dar es Salaam
Piki piki inauzwa.Ipo kwenye hali nzuri sana.Haijawah funguliwa engine.Imekua ikitumika kwa ajili ya delivery tu.Ni piki piki ya kampuni.Ofis zetu zipo kkoo na mwananyamala.Karibuni kwa maelezo zaidi
TZS 950,000
Abib Kibiki (MFCDP-TANZANIA)
1 year
Pikipiki TVS
TZS 950,000
Pikipiki TVS
Dar es Salaam
Pikipiki bomba kabisa full document, haina kipengele, ni kupiga starter na kuondoka. Tshs 950,000 tu
TZS 950,000
JACKSON ERNEST
2 years