DUKAPRO BUSINESS SOFTWARE

TZS 280,000
Huduma Nyingine
1 year
Tanzania
Dar es Salaam
Kinondoni
11100 - Plot 143, Mbezi Beach Goigi
793 views
SKU: 5166
Published 1 year ago by LEAH BUZUKA DEREFA
TZS 280,000
In Huduma Nyingine category
Plot 143, Mbezi Beach Goigi, 11100 Kinondoni, Dar es Salaam, Tanzania
Get directions →
793 item views
DUKAPRO ni mfumo wa Offline na Online wa mahesabu unaotumika badala ya madaftari kuokoa muda na kudhibiti wizi katika biashara

Wafanyabiashara huibiwa kwa kukosa muda wa kufanya mahesabu marefu hivyo hulazimika kuamini takwimu zozote wanazopewa. 

Kwa kutumia DUKAPRO mfanyabiashara atafahamu ukweli wa mapato & stock hivyo kuchukua hatua yenye tija kwa biashara yake.

Jinsi DukaPro inavyofanya kazi

1. Software inakuwa installed kwenye computer 
2. Bidhaa zote zinaingizwa kwenye software  
3. Ukiuza/kufanya matumizi  unapost kwenye software
4. Inapunguza stock iliyopungua automatically
5. Inaandaa report za mauzo, matumizi, faida, stock & fedha
6. Bidhaa zisizotoka, zinazotoka zaidi,  zinazokaribia kuexpire / kuisha in stock  
7. Madeni unayodai/kudaiwa nk.
8. Inatoa receipt, unaweza kutumia barcode scanner . Inatumika kwenye biashara zote za jumla & rejreja, mf supermarkets , liqour stores , bars, restaurants, cosmetics, boutiques, pharmacy stores,hardware stores n.k


GHARAMA
2 Users 280,000/Mwaka
6 Users 430,000/Mwaka
16 Users 590,000/Mwaka

CALL 0743 666 333 | 0622 666 333 Read more

Description

DUKAPRO ni mfumo wa Offline na Online wa mahesabu unaotumika badala ya madaftari kuokoa muda na kudhibiti wizi katika biashara

Wafanyabiashara huibiwa kwa kukosa muda wa kufanya mahesabu marefu hivyo hulazimika kuamini takwimu zozote wanazopewa. 

Kwa kutumia DUKAPRO mfanyabiashara atafahamu ukweli wa mapato & stock hivyo kuchukua hatua yenye tija kwa biashara yake.

Jinsi DukaPro inavyofanya kazi

1. Software inakuwa installed kwenye computer 
2. Bidhaa zote zinaingizwa kwenye software  
3. Ukiuza/kufanya matumizi  unapost kwenye software
4. Inapunguza stock iliyopungua automatically
5. Inaandaa report za mauzo, matumizi, faida, stock & fedha
6. Bidhaa zisizotoka, zinazotoka zaidi,  zinazokaribia kuexpire / kuisha in stock  
7. Madeni unayodai/kudaiwa nk.
8. Inatoa receipt, unaweza kutumia barcode scanner . Inatumika kwenye biashara zote za jumla & rejreja, mf supermarkets , liqour stores , bars, restaurants, cosmetics, boutiques, pharmacy stores,hardware stores n.k


GHARAMA
2 Users 280,000/Mwaka
6 Users 430,000/Mwaka
16 Users 590,000/Mwaka

CALL 0743 666 333 | 0622 666 333

Vidokezo Salama

  • Usifanye malipo yoyote mtandaoni au kutoa taarifa zako binafsi kakikisha unaiona bidhaa kabla ya kununua.
  • Kuwa mwangalifu na wauzaji wanao hitaji malipo ya awali kabla ya kukutana na kukagua kifaa.
  • Jaribu bidhaa hakikisha inafanya kazi kikamilifu kabla ya kununua, fahamu zaidi kupitia ukurasa huu.
  • Hakikisha unakutana na muuzaji katika eneo salama na la wazi pale unapotaka kununua bidhaa.
Print
Toa Taarifa

Bidhaa Ulizoangalia

Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 1 year
Work Pro Utility Knife
TZS 35,000
Work Pro Utility Knife
Dar es Salaam
Work Pro Utility Knife Price : 35,000Tshs Call / Whatsapp : 0627774377
Bidhaa Nyingine
TZS 35,000
Vela Zanzibar Pro Vela Zanzibar 7 months
Bahari Studios 1 Bedroom
$ 75,000
Bahari Studios 1 Bedroom
Zanzibar Central/South
Own a Luxury 1-Bedroom Studio in Zanzibar – Starting from $75,000! Experience the perfect blend of modern luxury and tropical charm with Bahari Studios at Vela Paje Zanzibar—just 300m from the pristine Paje Beach. ✅ Fully furnished with high-end appliances – move-in ready! ✅ Eco-friendly design with solar panels & water-saving systems ✅ High rental incom...
New Nyumba Zinauzwa Paje, South Unguja, Zanzibar
$ 75,000
Giftery Shop tz Pro Giftery Shop tz 7 months
Leather Desk Organiser
TZS 55,000
Leather Desk Organiser
Dar es Salaam
Hii Organiser nzuri sana kuiweka ofisini. Material yake ni leather quality nzuri mno. Tunaandika maneno unayotaka. Inafaa kwa ajili yako/zawadi kwa wafanyakazi/Boss wako ofisini #officegifts #leatherdeskorganiser #cooperatesofficegifts #Gifteryshoptz
New Mauzo ya Jumla
TZS 55,000
Dr. Micheal Lee Dr. Micheal Lee 1 year
SSD CHEMICAL SOLUTION FOR USD,EURO,GBP
TZS 9,000
SSD CHEMICAL SOLUTION FOR USD,EURO,GBP
Rukwa
SSD CHEMICAL SOLUTION FOR USD,EURO,GBP We sell SSD Chemical Solution used to clean all type of blackened, tainted and defaced bank notes. Our technicians are highly qualified and are always ready to handle the cleaning perfectly. Also available are .S. S. D. Automatic Solution, Castro X Oxide, A5., Activation Powder, Vectrol Paste 003, Tebi-Matonic,, Ttz Uni...
Huduma Nyingine
TZS 9,000
Giftery Shop tz Pro Giftery Shop tz 7 months
Wooden Clock Table Frame
TZS 60,000
Wooden Clock Table Frame
Dar es Salaam
Decoration nzuri sana kumpatia mtu zawadi. Ni wooden Frame yenye saa pembeni. Inafaa kuweka maneno mazuri utakayo/Logo (Branding) Inafaa kukaa Ofisini au nyumbani. Inafaa kuwa zawadi au Binafsi. Material ni Mbao.
New Mauzo ya Jumla
TZS 60,000
Are you a professional seller? Create an account