Latest Listings of products like electronics, cars, house, land and other products for sale in Tanzania, check here to find wide selection of quality products at competitive price in Tanzania.
Nauza shamba lenye ukubwa wa heka 300 shamba hili linapatikana kijiji cha wami kata ya Msata shamba linaumbali wa kilometa 8 kutoka barabara kuu ya lami Gar inafika mpaka shamba kila eka moja inauzwa lak.350,000/= kwa mawasiliano zaid piga n.0659628665/=
Nauza shamba la kulima nanasi lenye ukubwa wa heka 5 lipo umbali wa kilometa 3 kutoka barabara kuu ya lami kila eka moja inauzwa 2.M Gar inafika mpaka shamba mwasiliano zaidi Piga no...0659628665/=
Inauzwa: Jiko la Gesi na Umeme Jiko hili la gesi na umeme liko katika hali nzuri sana na limetumika kwa miezi 4 tu. Linajumuisha vifaa vya gesi, vifaa vya umeme, mtungi mdogo wa gesi, na droo kwa ajili ya kuhifadhi vitu. Jiko hilo ni rahisi kusafisha na linafaa kwa ajili ya vyumbani vyote. Hali: Limetumika (miezi 4) Inajumuisha: Vifaa vya gesi, vifaa vya ume...