TEDIVINA

Check with seller
Health, Beauty & Fitness
Monday 21:38
New
Tanzania
Dar es Salaam
Ubungo
Dar Es Salaam
21 views
SKU: 11537
Published 1 day ago by Rashidi Martine
Check with seller
New
Dar Es Salaam, Ubungo, Dar es Salaam, Tanzania
Get directions →
21 item views
Tatizo la kukosa choo kwa muda mrefu, (constipation) huweza kumpata mtu yeyote. Kuna watu wanaopata choo mara tatu kwa siku, wengine hupata mara chache kwa wiki. Kwa wale wanaofika siku tatu bila kupata choo huchukuliwa ni muda mrefu sana hivyo wako katika hatari.

Kuna baadhi ya mambo ambayo huchangia kukosa choo kwa muda mrefu/choo kigumu, na hivi ni baadhi ya vyanzo vinavyoweza kusababisha tatizo hilo;

*Msongo wa mawazo

*Ubovu wa lishe
Matumizi ya vyakula vilivyosindikwa sana, sukari, nafaka iliyokobolewa, pombe, huleta ugumu kwanye umeng'enywaji .

*Kutoshughulisha mwili (kutokufanya mazoez)
Utafiti unaonesha watu wanaotumia muda mwingi wakiwa wamekaa hasa ofisini wanaongoza kwa kupata matatizo ya kukosa choo kwa mda mrefu.

*Matumizi ya baadhi ya vidonge

*Matatizo ya tezi ya thyroid na matatizo mengine ya homoni:
Matatizo kama kisukari, kukoma hedhi, maumivu kabla ya hedhi.

*Upungufu wa magnesium

Madhara ya kukosa choo kwa mda mrefu

*Tumbo kuuma
*Tumbo kujaa gesi
*Bawasiri(kuota kinyama sehem ya haja kubwa
*vidonda kwenye utumbo mdogo na mpana


Fanya mambo haya yafuatayo ili kuzuia tatizo la kukosa choo kwa muda mrefu;

. Kula zaidi chakula chenye nyuzinyuzi kama maharage, mboga za majani,
matunda, nafaka nzima
. Kunywa maji mengi
. Fanya mazoezi ya mwili
. Jaribu kudhibiti msongo wa mawazo
. Usiahirishe kwenda chooni
. Jaribu kuweka ratiba maalumu ya kujisaidia, hasa baada ya kula.

Kama hautapata matokeo yoyote yale bas tutafute tukusaidie kwa haraka sana kupitia

Call:0744657095
WhatsApp: 0712043500
Tunapatikana dar es salaam kwa walioko mikoani tuwasiliane namna yakukusaidia Read more

Description

Tatizo la kukosa choo kwa muda mrefu, (constipation) huweza kumpata mtu yeyote. Kuna watu wanaopata choo mara tatu kwa siku, wengine hupata mara chache kwa wiki. Kwa wale wanaofika siku tatu bila kupata choo huchukuliwa ni muda mrefu sana hivyo wako katika hatari.

Kuna baadhi ya mambo ambayo huchangia kukosa choo kwa muda mrefu/choo kigumu, na hivi ni baadhi ya vyanzo vinavyoweza kusababisha tatizo hilo;

*Msongo wa mawazo

*Ubovu wa lishe
Matumizi ya vyakula vilivyosindikwa sana, sukari, nafaka iliyokobolewa, pombe, huleta ugumu kwanye umeng'enywaji .

*Kutoshughulisha mwili (kutokufanya mazoez)
Utafiti unaonesha watu wanaotumia muda mwingi wakiwa wamekaa hasa ofisini wanaongoza kwa kupata matatizo ya kukosa choo kwa mda mrefu.

*Matumizi ya baadhi ya vidonge

*Matatizo ya tezi ya thyroid na matatizo mengine ya homoni:
Matatizo kama kisukari, kukoma hedhi, maumivu kabla ya hedhi.

*Upungufu wa magnesium

Madhara ya kukosa choo kwa mda mrefu

*Tumbo kuuma
*Tumbo kujaa gesi
*Bawasiri(kuota kinyama sehem ya haja kubwa
*vidonda kwenye utumbo mdogo na mpana


Fanya mambo haya yafuatayo ili kuzuia tatizo la kukosa choo kwa muda mrefu;

. Kula zaidi chakula chenye nyuzinyuzi kama maharage, mboga za majani,
matunda, nafaka nzima
. Kunywa maji mengi
. Fanya mazoezi ya mwili
. Jaribu kudhibiti msongo wa mawazo
. Usiahirishe kwenda chooni
. Jaribu kuweka ratiba maalumu ya kujisaidia, hasa baada ya kula.

Kama hautapata matokeo yoyote yale bas tutafute tukusaidie kwa haraka sana kupitia

Call:0744657095
WhatsApp: 0712043500
Tunapatikana dar es salaam kwa walioko mikoani tuwasiliane namna yakukusaidia

Safety Tips

  • Never make a payment or provide personal information until you have verified the seller and the electronic device in person.
  • Be cautious of sellers asking for advance payments before you meet and inspect the device.
  • Always test the electronic device to ensure it is fully functional before making a purchase learn about device faults on this page.
  • Make sure to meet in a safe, public place when dealing with sellers.
Print
Report

Recently viewed

Carjunction Tanzania Carjunction Tanzania 2 years
Toyota Land Cruiser
$ 35,500
Toyota Land Cruiser
Dar es Salaam
Brand New Toyota Land Cruiser Prado Black Automatic 2021 2.7L Petrol for Sale in Tanzania at a very competitive price.
Cars
$ 35,500
Are you a professional seller? Create an account