DUKAPRO BUSINESS SOFTWARE

TZS 280,000
Other Services
1 year
Tanzania
Dar es Salaam
Kinondoni
11100 - Plot 143, Mbezi Beach Goigi
625 views
SKU: 5166
Published 1 year ago by LEAH BUZUKA DEREFA
TZS 280,000
In Other Services category
Plot 143, Mbezi Beach Goigi, 11100 Kinondoni, Dar es Salaam, Tanzania
Get directions →
625 item views
DUKAPRO ni mfumo wa Offline na Online wa mahesabu unaotumika badala ya madaftari kuokoa muda na kudhibiti wizi katika biashara

Wafanyabiashara huibiwa kwa kukosa muda wa kufanya mahesabu marefu hivyo hulazimika kuamini takwimu zozote wanazopewa. 

Kwa kutumia DUKAPRO mfanyabiashara atafahamu ukweli wa mapato & stock hivyo kuchukua hatua yenye tija kwa biashara yake.

Jinsi DukaPro inavyofanya kazi

1. Software inakuwa installed kwenye computer 
2. Bidhaa zote zinaingizwa kwenye software  
3. Ukiuza/kufanya matumizi  unapost kwenye software
4. Inapunguza stock iliyopungua automatically
5. Inaandaa report za mauzo, matumizi, faida, stock & fedha
6. Bidhaa zisizotoka, zinazotoka zaidi,  zinazokaribia kuexpire / kuisha in stock  
7. Madeni unayodai/kudaiwa nk.
8. Inatoa receipt, unaweza kutumia barcode scanner . Inatumika kwenye biashara zote za jumla & rejreja, mf supermarkets , liqour stores , bars, restaurants, cosmetics, boutiques, pharmacy stores,hardware stores n.k


GHARAMA
2 Users 280,000/Mwaka
6 Users 430,000/Mwaka
16 Users 590,000/Mwaka

CALL 0743 666 333 | 0622 666 333 Read more

Description

DUKAPRO ni mfumo wa Offline na Online wa mahesabu unaotumika badala ya madaftari kuokoa muda na kudhibiti wizi katika biashara

Wafanyabiashara huibiwa kwa kukosa muda wa kufanya mahesabu marefu hivyo hulazimika kuamini takwimu zozote wanazopewa. 

Kwa kutumia DUKAPRO mfanyabiashara atafahamu ukweli wa mapato & stock hivyo kuchukua hatua yenye tija kwa biashara yake.

Jinsi DukaPro inavyofanya kazi

1. Software inakuwa installed kwenye computer 
2. Bidhaa zote zinaingizwa kwenye software  
3. Ukiuza/kufanya matumizi  unapost kwenye software
4. Inapunguza stock iliyopungua automatically
5. Inaandaa report za mauzo, matumizi, faida, stock & fedha
6. Bidhaa zisizotoka, zinazotoka zaidi,  zinazokaribia kuexpire / kuisha in stock  
7. Madeni unayodai/kudaiwa nk.
8. Inatoa receipt, unaweza kutumia barcode scanner . Inatumika kwenye biashara zote za jumla & rejreja, mf supermarkets , liqour stores , bars, restaurants, cosmetics, boutiques, pharmacy stores,hardware stores n.k


GHARAMA
2 Users 280,000/Mwaka
6 Users 430,000/Mwaka
16 Users 590,000/Mwaka

CALL 0743 666 333 | 0622 666 333

Safety Tips

  • Never make a payment or provide personal information until you have verified the seller and the electronic device in person.
  • Be cautious of sellers asking for advance payments before you meet and inspect the device.
  • Always test the electronic device to ensure it is fully functional before making a purchase learn about device faults on this page.
  • Make sure to meet in a safe, public place when dealing with sellers.
Print
Report

Recently viewed

Absaid yusuf Absaid yusuf 1 year
QURAN BLUETOOTH SPEAKER
TZS 80,000
QURAN BLUETOOTH SPEAKER
Dar es Salaam
HII NI SPEAKER AMBAYO INATUMIA REMOTE INAUWEZO WA KUSOMA QURAN,VISOMO VYA RUQYA NA INABADILIKA RANGI USIKU UNAPOGUSA KWENYE SPEAKER YENYEWE.. UNAWEZA KUFAIDIKA SANA NAYO NA VILE VILE UKAITUMIA KAZINI AU NYUMBANI KUSIKIZA QURAN BILA TATIZO LOLOTE . UTAIPATA SASA KWA NZURI TU PEKEE 80000TSH
Electronics 00100 - Dar Es Salam
TZS 80,000
Are you a professional seller? Create an account