*NEW LISTING – Prime Residential Plot in Msasani!* Looking for a rare investment opportunity in one of Dar's most sought-after locations? This is it! We’re excited to present a *prime residential property* located in *Msasani*, offering endless possibilities: - *Plot Size:* 1,381 sqm - *Built-Up Area:* 473.74 sqm - *Price:* TZS 2,160,000,000 / $800,000 - *Ti...
Nyumba ya vyumba viwili (2) vikubwa, Sebule kubwa na jiko na choo. Madirisha safi makubwa na mapya ya Aluminium. Ukubwa wa eneo ni hekari moja kasoro, lipo karibu kabisa na barabara inayoelekea kivuko cha Busisi.
NYUMBA YA KIZAMANI INAUZWA KIRUMBA -ina fremu tatu za biashara na nyumba za wapangaji -ukubwa wa kiwanja ni 33x15=495 Sqm -ina hati miliki ya wizara ☎️ 0743220097
Very nice house for sale in Mbweni kwa Shamte with three bedrooms all self contained. A short walking distance to the main road. Full tarmac, safe neighbourhood with security.
Nyumba inauzwa pasiasi mtaa lumala -ina vyumba vitatu vya kulala ( kimoja ni self contained ), sebule, dinning, jiko, stoo na public toilet -ukubwa wa kiwanja ni 25x20 =500 sqm -ina hati miliki ya wizara -bei Milioni 55
This is good house for sale located in Morogoro town at Kingolwira outskirt Kitungwa area, - Full fenced - Big parking area - 15 Minutes walk from Dar - Moro Road - 3 Bedrooms with 1 master Bedroom
Nyumba inauzwa njiro tanesko ina bedrooms tatu sebule dining jiko chumba kimòja ni master inauzwa na kila kitu ndani ikiwepo masofa vitanda Meza TV Kwa maelezo zaidi piga simu
HOSTEL INAUZWA MALIMBE CHUONI ( SAUT ) -ina vyumba 32 vya kulala vyote ni self contained -ukubwa wa kiwanja ni 522 SQM -ina hati miliki ya wizara NB:- -vyumba 8 kila kimoja kodi 800,000 kwa mwaka -vyumba 4 kila kimoja kodi Mil 1.2 kwa mwaka -vyumba 20 kila kimoja kodi Mil 1 kwa mwaka
TUNAKOPESHA VIWANJA CHEKA KIGAMBONI SIMU 0659962452 Viwanja vimepimwa na vina ramani ya upimwaji. Ni tambalale, kuna umeme, maji, sehemu tulivu kwa washua barabara zake ni kubwa. Ukubwa Mita 25kwa20, mita30kwa20,mita 30kwa30 nakuendelea. Bei kuanzia milioni 9.
• Direction: Kwa Mfipa, Sagale Magengeni km 8 kutoka Morogoro Road • Land Area: - Land No. 54 Sqm 9,455 - Land No. 53 Sqm 6,853 - Land (skwata) Sqm 2,000+ TOTAL AREA: Sqm 18,308 (ekari 4.5) • Document: Ofa (hati iko kwenye mchakato, itatoka muda wowote) • Price: TZS 7,000/sqm AU milioni 128 kwa maeneo yote matatu NB: Unaweza kununua eneo 1 au maeneo yote . ✓...