Nyumba inauzwa njiro tanesko ina bedrooms tatu sebule dining jiko chumba kimòja ni master inauzwa na kila kitu ndani ikiwepo masofa vitanda Meza TV Kwa maelezo zaidi piga simu
Nyumba inauzwa buswelu -ina vyumba vitatu vya kulala ( kimoja ni self contained ), sebule, jiko, stoo na public toilet -ukubwa wa kiwanja ni 40x30 =1,200 sqm -ina hati miliki ya wizara -bei Milioni 75
SHULE INAUZWA DODOMA MJINI -Mahali - ZUZU MTAA WA PINDA Jirani na RING ROAD Shule ina madarasa manne (4), Ofisi 4, numba na vyumba vitatu na vyoo vyenye matundu 12. Eneo - Square meter 33,260 Pamepimwa na kuna kibali cha shule/taasisi. Bei - Million 230
New project brand New luxury apartments for sale oyster bay bdrm 1/2/3 3bdrm starting price usd 384000 2bdrm starting price usd 285,000 1bdrm starting price usd 165,000 more information call wasap 0714592413 0625503976
NYUMBA YA KIZAMANI INAUZWA KIRUMBA -ina fremu tatu za biashara na nyumba za wapangaji -ukubwa wa kiwanja ni 33x15=495 Sqm -ina hati miliki ya wizara ☎️ 0743220097
House for sale pasiansi - lumala -ina vyumba vinne vya kulala ( vitatu ni self contained ), sebule, jiko, dinning na public toilet -ukubwa wa kiwanja ni Sqm 600 -ina hati miliki ya wizara -bei Milioni 180
*NEW LISTING – Prime Residential Plot in Msasani!* Looking for a rare investment opportunity in one of Dar's most sought-after locations? This is it! We’re excited to present a *prime residential property* located in *Msasani*, offering endless possibilities: - *Plot Size:* 1,381 sqm - *Built-Up Area:* 473.74 sqm - *Price:* TZS 2,160,000,000 / $800,000 - *Ti...
HOSTEL INAUZWA MALIMBE CHUONI ( SAUT ) -ina vyumba 32 vya kulala vyote ni self contained -ukubwa wa kiwanja ni 522 SQM -ina hati miliki ya wizara NB:- -vyumba 8 kila kimoja kodi 800,000 kwa mwaka -vyumba 4 kila kimoja kodi Mil 1.2 kwa mwaka -vyumba 20 kila kimoja kodi Mil 1 kwa mwaka
Eneo limepimwa. Sebule,Jiko,Dinning na Stoo ndani. Blandering,fittings za umeme na maji zimekamilika. Panafaa kwa hostel na makazi. Nusu ya eneo lina fence tayari.
???? *APARTMENT MPYA YA KISASA INAPANGISHWA – UNUNIO BEACH, DAR ES SALAAM* ????️ ???? *Mahali:* Ununio Beach ???? *Kodi:* Tsh 1,000,000/= kwa mwezi ????️ *Malipo:* Miezi 6 ya mwanzo --- ✨ *MAELEZO YA APARTMENT:* ???? Vyumba 3 vya kulala – kimoja ni *Master Bedroom* ???? *Sebule kubwa yenye AC* na eneo la kulia chakula (*Dining*) ???? *Jiko la kisasa* lenye m...